Heeeee kutoka kwenye ziro hadi juu na kushuka tena kwa kasi kurudi kwenye ziro mbona iyo kiboko
@FrankDeus-y8o23 сағат бұрын
Mama kasema is the project
@ibrahimnadir4490Күн бұрын
Pizza 🍕 na sausage 😅
@ArerimanazilfahassanZilfahassa2 күн бұрын
Mama teso
@user-lo6gd4tg2n2 күн бұрын
Tunaomba Show mpya, hii ni ya Mwaka uliopita
@RonnieBertin2 күн бұрын
Eheeee. I like that
@RoseKabwa2 күн бұрын
Amen
@kituhilel.j97472 күн бұрын
Salama upo vizuri dadangu nimekuwa nakufuatilia,lkn nakubali kazi zako.mwenyezi Mungu akusimamie dadangu
@lone_laugh-bn5re2 күн бұрын
Eeeenhe😂😂
@salehmakungu32382 күн бұрын
back to the work
@Paplick93 күн бұрын
Best ever 🐐🙌🧠 salama
@FARISYUSUPH3 күн бұрын
Love Mama Naya
@Hajer-be2kh3 күн бұрын
Toka nianze kumuona ni shati jeupe tu anavaaga 😊
@LucyRaia-sx8jk3 күн бұрын
Nampenda huyu dada zuu akiwa BBC news
@noahmallango82234 күн бұрын
Exta ordinary Interview big up Salama
@shanimbaruku20714 күн бұрын
🎉❤
@Topcentclassic4 күн бұрын
nimekuwa proud tu kusikia kumbe role modol wangu ana vinasaba vya iringa
@BabgBab4 күн бұрын
Salama naomba connection na uyo mwanajeshi anae hitaji kusapport under ground wasanii mim naitwa d.boy tupo wa3 kwenye gang letu tunaimba nyimbo za aina yoyote sana sana hip hop na drills
@BabgBab4 күн бұрын
Salama naomba connection na uyo mwanajeshi anae hitaji kusapport under ground wasanii mim naitwa d.boy tupo wa3 kwenye gang letu tunaimba nyimbo za aina yoyote sana sana hip hop na drills
@user-wv7ft8tm3z5 күн бұрын
Voice is👌
@daudifungo55215 күн бұрын
Hongera Sana Mzee Baba Nakumbuka Nyimbo yako ya Mashujaa Mkiwa na Kimulimuli Band
@veronicangwale71595 күн бұрын
Huyu mzee toka kafiwa na mwanae hayuko sawaa😢
@sophiesadick55105 күн бұрын
Masoud kila kitu kinachotutokea duniani kuna stages tunapitia na ya kwanza kabla ya 'kukubali' (ambayo ni ya sita) ni hiyo ya kuwa ya kujiuliza " kwanini mimi'.
@sophiesadick55105 күн бұрын
😂😂😂. so fun.
@sophiesadick55105 күн бұрын
😂😂😂, au unashtukiwa tu mtu anapozaliwa
@sophiesadick55105 күн бұрын
Salama, Michango yenyewe imekuwa ni KAUSHA MAJI
@nakilingwembele95045 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sophiesadick55106 күн бұрын
Asalam Aleykum. Salama kipindi chako ni SUPERB. Andaa pia MADA INAYOHUSU MICHANGO HASWA YA HARUSI, imekuwa ni too much mpaka tunashindwa ku- save.
@johnraymond66026 күн бұрын
SHUBAAAMIT ZAO💥💥💥
@yusufmohamed88746 күн бұрын
Kibonge salama
@user-mt6nu5hs8q6 күн бұрын
Salama mwambie brother masoud vp kuhusu pesa zetu kwa yule mwamba..!
@kasaisatv97656 күн бұрын
Loo!!! Views 10k kwa wiki moja??? Watanzania tunataka maudhui ya aina gani? Kwanza najuta sana kuchelewa kutazama hii video. Ubarikiwe sana Salama.
@KabulaMalimi-es1jm6 күн бұрын
Asante sana kwa kujitowa kwako Salama na timu yako yote
@samirmswahili7 күн бұрын
Alipoongelea mtoto imenigusa sana mungu awafanyie wepec watoto wetu wagonjwa mimi hua najiuliza ninapoona wanzangu watoto wao tofaut na wangu😢
@user-xp3vi3wc8p7 күн бұрын
safi kwa kurudi
@brainsngaugula60757 күн бұрын
Dina since day 1
@joojombi23417 күн бұрын
Jerry upo vizuri akhui ubarikiwe sana ,Ukhti Salama kazi Iendelee tupo pamoja
@PeterTobolla7 күн бұрын
Naomba Namba ya mchungaji
@allykamila34458 күн бұрын
Kumbe hii ni ya mwaka 2022?
@HamadAlex8 күн бұрын
Tulikumis sana Salama
@matwerangulichedr39858 күн бұрын
simply masoud is genius
@gj37419 күн бұрын
Volume ya background music ipo juu kuliko conversation yenyewe 🤦♂️