Elewa neno tunaishi nao hivyo hivyo hata kwa kinafiki
@Ba638286 сағат бұрын
How can you take a derby game like any other league match?
@fredrickipembe81888 сағат бұрын
Manula alianza utovu wanizamu kunawakati alikua akiitwa na simba anasema anaumwa akiitwa timu ya taifa tunamuona anadaka wakitaka simba anajivunja sasa nyinyi wanahabari mbona hamfatilii changa moto zake na simba mjue kwa nini alikua anajivunja? Mmebakia kiilaumu simba tu nendeni mkamhoji manula imekosea nini simba ?
@user-ce3tx7mr8v11 сағат бұрын
TFF ITENGENEZE UTARATIBU WA KUWAFUNGIA WACHAMBUZI KIZAZI HIKI KINA WACHAMBUZI WANAOHARIBU MPIRA
@halidimgonza594519 сағат бұрын
ni mamluki tuu hkn shabik wa kwel wa SIMBA anaweza kuhamia UTOPOLO. huyo hajasilimu ameritad. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
@daudmasare22 сағат бұрын
Sawa mmeshinda ila kwa mipango ya Alipacamwe😂
@SimuliziTamu2 күн бұрын
🔥🔥🔥
@MonicaJohn-r3z2 күн бұрын
Acha uongo
@Bforhizzle2 күн бұрын
Tupo pamoja
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps2 күн бұрын
Kajinga wewe hiko ni sarufi gani najua unamaana hicho
@Bforhizzle2 күн бұрын
Wananchi wameitika
@GosbertJohnson3 күн бұрын
Kwani wao awaogopi?
@GosbertJohnson3 күн бұрын
Nawa kubali sana wananchi wako vizuri sana sana
@alenibenjamin68603 күн бұрын
💚💚💚💚
@Saidaabdu3 күн бұрын
Unatafuta umaarufu Kwa vibe
@Saidaabdu3 күн бұрын
Bwabwa unaliwa Kwa maharagekunduni ww
@alitante42793 күн бұрын
Soon utajutia kuondoka simba mzee hk sasa ni ubaya ubwela
@user-yx3ic8zy9e3 күн бұрын
WASANII WANALETA SANAA ZAO KWENYE FOOTBALL AKİLİ HII DUNIANI IPO TANZANIA
@KhamisiKareem3 күн бұрын
Kariba dunisi yanga❤❤❤❤🎉🎉🎉😅😅😅😅
@salemarahbi91713 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅 mateso sasa basi
@JamesMsongole-q7m3 күн бұрын
Sasa kama hutak kumwon sii uache kumfatilia
@KhamisMahmud3 күн бұрын
aliye kwita mwalim ninani tahil kama ww
@RidhwanSaid3 күн бұрын
statiski
@DenisSanga-bj5ud3 күн бұрын
Maamuzi sahihi kabisa Mwamba Denis timu sio kabila na wengine manakaribishwa nafasi ni chache
@abedymtore27073 күн бұрын
Wape vyao mchiz wako
@FahadAbubakari3 күн бұрын
Kumezuka tabia ya watu kusema wanahama timu kuanzia kina manara hii haikuwahi tokea sehemu yeyote duniani ila tz imeeanza hii ni dalili ya ushamba njaa na uchawa , simba na yanga ni kama kabila unahamaje kuna wazee wamiaka ya nyuma wao ni pani africa mpaka kesho haya kesho simba ikifanya vizuri unarudi tena ushamba na kutokujua hizi timu taratibu zake na umaarufu wakijinga
@dr.elimikatv19193 күн бұрын
Hiz ni tabia za kike
@AishaSalum-r7m3 күн бұрын
Makolo maroho Kama nn😅😅😅😅😅😅😅
@HappyEel-wg4qx3 күн бұрын
Makoro ki Zanzibar ni mapumbu
@saidmkangwa13993 күн бұрын
Mjitekenya alafu mnacheka wenyewe eti mshabiki wa simba
@seifmsabah43843 күн бұрын
Kwaiyo ungeona youtube usingeamin?
@nancynana28183 күн бұрын
Hakunaga mtu anahama timu kirahisirahisi namna hiyo
@user-ch2it3qt5z3 күн бұрын
🎉🎉🎉 hiii nd Rahaa ya bongo 😂 mpira nkama siasa tu ccm na chadema 😂
@SophiaKilegu3 күн бұрын
Karibu tupate furaha zaidi
@comsmkemwa26714 күн бұрын
Hakuna ushabiki hapo, kama unapenda kweli mpira kutoka moyoni, si rahisi kuhama timu, ni kama kabilq
@comsmkemwa26714 күн бұрын
Kwani kupenda supu kuna tatizo gani? Halafu hiyo mbinu ya kuuza tketi kwa mtu mmoja, imefanywa sana ba watu wa simba kwanza, danganya makolo wenzio,