Ukweli ukiweka nyani na binadamu serikali inapna nyani ni boraa kuliko binadamu nyani anaharibu Kila kitu shambani ukimgusa au kumuuwa serikalini ni shidani kipindi cha miaka ya 73_83 serikali ilikua Kila wilaya ilikua ikitengewa fungu la kipana na wanyama wahatibifu na waliajiriwa wenye ujuzi na slahaa wnapewa ya serikali Sasa nyani wamepewa uhuru kuliko b:damu hasa hukuu kilimanjaro makuyuni himo nganjoni Kila mahali wanakila kuku vitoto vya mbuzi wakina mama njia za mkato kufika mashamani shida na hasaa tumbili kimaa wanaingia mpaka chumbani jikoni ukisahau chochote kimee nda ni sawa tumelalamika hatuskilizwi ukigonga twiga faini miloni hamsini tembo akiuwa mtuu uraiyani kifuta jasho sh laki kazaa yanatimia maneno mmyama ni Bora kuliko b damu
@geofreychitamu3667 күн бұрын
Serikali inawapenda wanyama kwa kuwa wazungu wanaleta Dora kwao,,wewe binadamu hawaoni faida kwako.
@saidchaula19477 күн бұрын
Hayo magazeti mbona huonyeshi vichwa vyake shida iko wap
@AnwaaryTv6 күн бұрын
Ni usomaji wa magazeti sio uonyeshaji wa vichwa
@ShukuTete-wb1fp7 күн бұрын
Acheni matusi mbona utoto mwingi nyieeeee
@Jumaamohamedi7 күн бұрын
Mnatuwekea video yazamani kilasiku badilikeni hii inaondoa mvuto wa kazi
@ElishaKashinje-eb6qx7 күн бұрын
Mmmmh huyu msomaji hajachangamka Kama maulidi kitenge
@MwajabuBakari-h5m7 күн бұрын
Shati hilo halikuhusu
@MdalesioWilliam7 күн бұрын
Uweunaonyesha picha za magazeti ndio unasoma ilaleta radha
@user-wo8dx8qc2h7 күн бұрын
Nawe badilisha shati Kila siku hilo
@jeremiajackson52827 күн бұрын
hongereni kwa kazi nzuri
@MathayoMhangwa9 күн бұрын
Mathayo mhangwa
@AdamSumuni22 күн бұрын
Nivizuri maana tunatakiwa kusikia nini kimehandikwa ndani ya magazeti
Mchambuzi mahili sana anastahili miaka kumi kamzidi juma anauchambuz wa kigugumiz
@nicholausmwinuka-iy5osАй бұрын
Asante mchambuzi wa magezeti
@nicholausmwinuka-iy5osАй бұрын
Hii ni nzuri sana maana hata vijijini kama mtandao upo
@skkenyatvАй бұрын
Napenda uchambuzi wa magazeti sana good job
@SYLIVERIOKILIMILAАй бұрын
Makonda anafaaa sana kukemea upuuzi
@DeusAloyceАй бұрын
Waache Makonda apige kazi wanamtaka Nini?
@kalunzy88Ай бұрын
🔥
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Hata yeye mwenyewe ni mwizi
@MartinYakobo-io1ogАй бұрын
Wachambuzi wamekuwa walotoshaji sana
@stephensindazi2640Ай бұрын
Samahani ndugu yangu msomaji tunaomba usiishie tu kwenye vichwa vya habari, soma japo mistali miwili ya kurasa ya gazeti kwani hata sisi wasikilizaji wako tunatumia data. Asubuhi NJEMA. Asante.