Wallah walio muelewa BACHU jinsi anavyoelewesha vzr na ewe ukaelewa vzr anachokizungumza plz like apa 👍
@awadhally105210 ай бұрын
Masha Allah
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@shukridawood513910 ай бұрын
Walio muelewa wote baadhi ni watu ambao wanapinga Maulid., lakini huo munaqasha uliwekwa na MADA ya Uongo katika barzanji na wakawekeana masharti yakua watumia Wana vyuoni peke yake kuthibitisha MADA ama Wana vyuoni walitoa hukmu Gani katika Hadith....hii tayari ilikua mtego Sheikh Bachu asingeweza ku ukwepa sababu ya kwanza ni maneno yake ndo yalitumiwa kuwekwa MADA hio Kwa kusema katika MIHADHARA MINGI kua Barzanji ni Muongo ama kile kitabu Sasa Waka amua watumie NENO lile la Uongo na pili hakuna mwana chuoni yoyote aliwahi kutoka hukmu ya urongo kwenye barzanji ange maliza library nzima asinge pata ndipo aligundua ni MANENO yake yeye kusema ni urongo na si Wana vyuoni ndo akashidwa kujibu...,
@user-qm4qd8yk2x10 ай бұрын
lakini wewe ndugu yangu @shukrdawood mada asli yake ni yale maswali ya Tanga urongo na shirki ndani ya barzanji na kwa ushahidi wa maneno yangu angalia kwa umakini sana mandalizi ya munaqasha shekh aboud alisema Nini?na shekh Abu Ahmad alisema Nini? ndio utajua ni upande upi uligeuza mada tafadhali angalia clip kuanzia 13 to 15 angalia na usikize viziri kwa hivyo said akufaa kumuliza bachu urongo WA Jafar barzanji laaa alifaa kujibu hayo maneno ayatole Aya au Hadith lakini kuuliza swali eti ni wanazuoni Gani wahadith wanamhukumu mtu(barzanji)akitumia maneno hayo huitwa mrongo. hio pia ni kama kuuliza ni wanazuoni Gani wa hadith wanamhukumu mtu(barzanji)akitumia maneno hayo Huwa mkweli mpaka hapa utaona said aliuliza swali la kitoto pili watu waupande wa twariqa walikwepa mada asli ambayo ilikuwa nikujadili urongo wa hio mistari lakini sio kumjadili mtu(barzanji)
@ahmedsalehe948910 ай бұрын
@@jambojambosafaris jibu liko wazi
@uzmanoorani672710 ай бұрын
Ustadh. Said Omar..alhamdulillah tutasoma maulidi..Kwa maisha yetu yote.. hakuna mwenye atatubadilisha..sisi na mtume pamoja hadi jannah.. Ameen
@abdallahmasaza48409 ай бұрын
😂😂😂 mswiba
@mubarakaibrahim57159 ай бұрын
Wewe soma tu. Kwsababu we ni mtu wa bidaaa
@khalidtechnology3679 ай бұрын
Ila ukumbuke malipo kwa mungu utayakuta
@abubakarallykalyuku961810 ай бұрын
Poole na Jazzaka'Allah khaira Sheikh Muhammad Bachu kwa kuelezea hurongo wa maneno yanayo patikana katika Barazanji.... Allah akulipe kheri kumtetea mtume
@khadijaali29910 ай бұрын
Masha'Allah lakuwwata Illah Billah, Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu
@shadyayussuf34110 ай бұрын
huy shekh wa mombas hana lolote kashindwa maan kakaa kam kahifadhishwa hy maneno anayo ya sema shekh wang muhammad bacho allah akulioe kila la khery fidunia walakhira❤❤
@hemedimsuya702410 ай бұрын
Barakallah fik ,, Muhammad bachu Allah akufishe katika kalimatuh Laillaha ilallah,, jazakallah kheir nakufatilia vizur tangu munaqasha wa Tanga nimejifunza mengi xna Jazakallah kheir
@user-yt3op9xi3k10 ай бұрын
Bachu ipo haja yakwenda kusomeshwa na sh said
@user-yt3op9xi3k10 ай бұрын
Acha kuruka ruka
@user-yt3op9xi3k10 ай бұрын
Tatizo unaruka wakati ww ndio ulimwita muongo mwana chuon
@user-yt3op9xi3k10 ай бұрын
Ww kwel punguwan Hadi baba Yako hakuwa na elm
@user-yt3op9xi3k10 ай бұрын
Ww una teremshiw wahay
@alhilalymediapro10 ай бұрын
Allah Akuhifadhi Na akulinde sh Muhammad Bacho na akufufuwe na Mtume ﷺ Kwa Juhudi hizi unazo fanya Ujira umefikie sheikh Wetu Marhuum nassor Bacho rahimahullah
@awadhally105210 ай бұрын
Isha Allah
@user-zl5mt6lk4n9 ай бұрын
Allahumma amin yarablghalamin
@mubarakaibrahim57159 ай бұрын
Sheikh muhamamdi nasoro bachu. Allah akuongoze. ila pia nilikuwa nakushauri ndugu yangu. Usifanye tena mdaharo na hawa watu wa bidaaa wasioelewa wajanja ktk din uelewa wao umeishia hapo ni vichwa mchunga
@user-ir5ec5jn3w10 ай бұрын
Muhammad Nassoro Bachu Salaf Saleh❤❤❤May Allah preserve you! #Blessed_Salaf
Allah akujalie kila lenye kheri na akuepushie kila lenye shari sheikh wangu sheikh Muhammad nasor bachu barakallah fiiik mashallah shikh
@khamismajlo933310 ай бұрын
Bonge la elimu inaletw na kijana mdogo Muhammad bachu mashallah shekh nasor bachu kaleta kijana
@dancanmusakhionganyo42704 күн бұрын
Allah
@leomwaki936610 ай бұрын
allaah amhifadhi my akhil kariim ust. muhammad nassor bachu. kafanya la maana kumaliza mujadala Kwa heshima ya ELIMU maana huyu mtetezi wa barazanji anataka kuaminisha watu katika kitu ambacho si sawa
@khaleedthande645710 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh muhammad nassor bachu
@hilalalhabsi204710 ай бұрын
MANDONGA ANAITWA SKUIZI, SIO BACHU TENA🤣🤣🤣
@musafirbaba210010 ай бұрын
Allahu akbar ☝️ Allah akulinde sheik Muhammad bachu hakika sisi twataka haqii hatutak makundi
@awadhally105210 ай бұрын
Kwel insha Allah
@jamilahjamilah415710 ай бұрын
Mm cji kitu ila naona hapa kuna mshekeli bachu kauliza swali kajibiwa hapo na yy akarundishiwa swali kwanini asijibu hilo swali ana kwepa kwa nn wakati dini imetuelekeza age jibu tuu mm hapo sijui tusikie anafundishwa nn yy maamuma mnafurahi kitu kisicho patiwa majibu bachu arundi ajibu swali kama anajua na km hajui aseme na ss tupate faida atacho fundishwa eti mijitu inampa pongezi ajibu alight ulizwa taabu ya yy mawahabi niwabishi sijui mmelishwa nnbaadla ya kutagaza dini mmekalia maulidi biidaa nje wanaosema na bii issa mungu watafundishwa na nani acheni kila mtu afate anacho amini tuuangaalie nje yupo kwenye allaa illaa haillaalah muhammad rasuulu llaah basi marumba
@KiluaFilm10 ай бұрын
Bachuu Hoyeeee MashaAllah | Hawaa Jamaa Wa Twarika Hawana Hoja
@habibasalim309210 ай бұрын
😅😂😂,hawana lolote amenakia kuenuka enuka na kumtishia bachu 😅😅
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@habibuchwinyaaisaidi10 ай бұрын
mashaaAllah Shukran shk Bachu Hawo ni tarika ...قال تعالي "و إذا خاطبهم الجاهلية قالوا سلاما"Nashkuru Shk Bachu Shk saidi Ana khoofu
@hilalalhabsi204710 ай бұрын
BAADA YA KUJIKOJOLEA MAMBRUI NA KUKIMBIA SUALI 🤣🤣🤣
@fahimabdallah527110 ай бұрын
Kiboko yao hawa ni sheikh abdallah humeid, sheikh Muhammad bachu mungu akujaze kila la kheir kwa kazi unayofanya.
@user-xz5nj7kk2j7 күн бұрын
Hakuna kiboko mbele ya mtume Mohammad s.a.w
@qassimsothe780810 ай бұрын
Tunashuhudia tukiwa marsabit tumejua ukweli sh... Muhammad bacho uko sawa kabisa 💯💯💯🙏👍🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@shaaden-10 ай бұрын
🤲 Allah akujalie uhai mrefu wenye manufa akuepushe namaradhi khatari akuwekee wepesi kwenye maisha yako uondoke duniani Allah akiwa radhi na ww sheikh wangu Bachu. Chukuwa 🌸💐 yako❤❤❤
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Sheikh gani anaemtukana na kumpinga babake mbele za watu mwanchuoni bachu sio yeye huyo mohamed mwenye kibri
@is_haaqbimany343010 ай бұрын
Mohammed bachu Allah akuweke sheikh wetu MashaAllah
@Banly-FamilyMombasa10 ай бұрын
Huyo sheikh abubakar ndio alimsomeshaa saidiii since mdogooo . Na pia nimesoma kwao. Lakini bwana ukweli maulidiii nimeona ni giza nimetoroka alhamdullilah
@ramadhanjuma821710 ай бұрын
🎉🎉
@rahmaoman512210 ай бұрын
🎉🎉🎉
@oscarkulundu384810 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akuzidishie Ilmu na hikma sheikh Muhammad Bachu Masha-Allah, Allahuakbar, Maulidi ni Bidhaa leo imebainika wazi
@alimarsahussein-ls7fm10 ай бұрын
MashaAllah shk Mohammed bachu kwa kutufahamisha dini na penda sana darsa zako
@badrumulinda734910 ай бұрын
Mungu ambariki sheikh Bachu ,hapa tuko ulaya, sheikh said Katupotezeya mda wetu.
@aboumuqbil252910 ай бұрын
Wallahi thumma wallahi mnaqasha wa wa tanga sabas kidogo sana alituteteresha lakini mnaqasha huu yena kapewa ijazaaa aaa badooooooo. MUHAMMAD ALLAH AKUJAZE AFYA KIUKWELI UMEJITAHIDI KWENYE ILOOOOOO
@zeitunMohammed10 ай бұрын
ولا تقطع كل خلاف مهين
@SamMus-qn1pu10 ай бұрын
Kwa jina alie muweza na muomba mola awahifadhi woootee watu wa sunnah
@SamMus-qn1pu10 ай бұрын
Aaa sabas yy mwenyewe kit ilikua chachomaaa
@habibasalim309210 ай бұрын
Ustadh Muhammad Nasor bachu May Allaah preserve you young man ,our Akhy who willing to connect people to the creator
@hilalalhabsi204710 ай бұрын
MANDONGA
@user-lg4hp2jr9o10 ай бұрын
❤
@hilalalhabsi204710 ай бұрын
BAADA YA KUJIKOJOLEA MAMBRUI BAADA YA KUJIKOJOLEA MAMBRUI NA KUKIMBIA KUULIZWA 🤣🤣🤣
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@user-ir5mv4ux4i10 ай бұрын
Just guys tuchukue elimu na tupate elimu tumjue allah❤❤ vizazi vinategemea uwepo wenu tuswali swala tanoo na tumche allah na tuish ktk misingi ya lailaa hailla llah na tuishi ktk misingi ya imaan huku ni kupotezana na huu ni ujingaa na upuuzi wa kupoteza vizazi
@yusuffadhil619510 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh Bachu, hawakuwezi hata kidogo
@basmabasma628710 ай бұрын
Sheikh bachuuu ma shaa Allah .Allah yahfadhak.ameen
@SamMus-qn1pu10 ай бұрын
Allah atuekeee
@user-rb8ir9co9k10 ай бұрын
@@SamMus-qn1pu Aamin
@user-rb8ir9co9k10 ай бұрын
Aamin
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@saidgawawa851910 ай бұрын
MashAllah tabarakah Allah,sheikh bachu Allah akuzidishie elmu ,akupe na afya njema uzidi kuelimisha ummah .amiin ya Rabb 🤲🤲
@ayah84410 ай бұрын
Amiiiiin
@habibasalim309210 ай бұрын
Aameen
@user-rb8ir9co9k10 ай бұрын
Aamin
@issaahmad126410 ай бұрын
Bachu ameshindwa kujibu!!!
@awadhally105210 ай бұрын
Amiin
@swafiaismail-ji1op10 ай бұрын
Allah akuhifadhi ya sheykh muhammad nassor bachu. Hao matwariqah hawakuja kwa nia ya kuilimishana maana iko wazi hawana hoja ila wmekuja kiushindani na uyo sheykh said n mtoto sana kwako ki elimu. Allah akunusuru sheykh muhammad bachu na pia atuongoze sote nimejifunza hau wtu maulidi wanatumia mfumo wa paster wahepe swali na na kueka hoja ilio inje ya mada
@khadidjasuleiman800610 ай бұрын
Mashallah tabaraka llah 🥰 Bachu nakupongeza saana 🤗 hao wengine ni watu wabidaa sijapenda walivyo maliza na Maulidi 😢 Subhanallah 🤔
@SamMus-qn1pu10 ай бұрын
Wajinga waangamiaa
@mafiatv547910 ай бұрын
Acha usenge, huyo naecho alijibu hapo hilo swali
@farahadan558710 ай бұрын
Mowliid bidaa akuna daliili hadhisi ni munkar
@alisaidi635810 ай бұрын
mawlid hayana shida bro
@alisaidi635810 ай бұрын
@@farahadan5587na youtube nayo dalili ni ipi
@swafiirbulbul81910 ай бұрын
Maashaa Allah.. Sheikh Muhammad Bachu.. Allah akupe kheri .. Tutakuja Zanzibar kupiga Goti in Shaa Allah. ❤
@habibasalim309210 ай бұрын
Aameen
@yusraahmed178310 ай бұрын
Bachu ana hekma sana ma sha allah,aneleza vzuri tukaelewa,na hakutaka kushindana na mtu aliebobea maulidini na barzanji akaeleza vzuri sana,mm nilikuwa na shakana sasa umenitowa shaka,shukran shk bachu allah akuhifadhi amiin amiin.
@saidessry994210 ай бұрын
Kakutoa shaka gani ndugu yangu Ktk midahalo yake yote hakuna mdahalo alioharibu kama huu Na ninakuhakikishia bachu hakusoma elimu ya hadithi lakini mambumbumbu hawawezi kuliona hilo Kwasababu alikuwa hajui chochote ktk mustalahil hadithi na anatafsiri makosa matupu 3:32:16
@maimunasalim794610 ай бұрын
Mtihani huu wanazungusha uku na uku lakini hawataki kuthibitisha uwongo wao shekh Muhammad bachu mungu akulinde
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@user-nh2wt4yd7w9 ай бұрын
Mashallah sheikh Muhammad Bachu Allah akuhifadhi
@user-ik4eg4fh7c10 ай бұрын
Allah akuhifadhi shekhe bachu
@nasserabdallah575010 ай бұрын
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه أجمعين❤
@user-nm3tq2cv2r10 ай бұрын
MashaAllah ustadh Bachu, the aim was the world to know not him to know even though he has no points he is only emphasizing one question for the whole debate, but for us viewer we have learnt a lot MashaAllah, May Allah increase your Knowlge
@user-oc8rh9br4k10 ай бұрын
Shekhe Mohammed Bachu Allah akuzidishie elim na umrimrefu tuzid kunufaika ni kweli hasaa mauld ni uzush mim nimekisoma kitbu cha barazanj hakina ukweli wowote ni uzish ulio wazi
@user-fi4pj8dx1v10 ай бұрын
JazaakaLLAAHU kheiran yaa habiib sheikh Muhammad bachu.
@user-nb2tb9zk5i10 ай бұрын
Mashalla wote niwasomi nimefurai sana Allah awape afya na ngufu inshallah ❤❤❤
@MusatwahiruOmari10 ай бұрын
Hakika
@yusufkhanna10 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akuhifadhi sheikh Muhammad bachu
@user-rb8ir9co9k10 ай бұрын
Aamin
@qasemindho374610 ай бұрын
Allah Amhifadhi sheikh Mohammed bachu BarakaAllahu fiicafiyatik wa fii cilmik....
@Wida_de_boss10 ай бұрын
Mashallah sheikh bachu Allah akupe uwelewa zaidi inshallah na sheikh said Allah akupe umelewa zaidi inshallah.
@issackkhalifali122010 ай бұрын
Watu ya maulidi hawana masikio ya kusikia ilmu ,,,sheikh bachu ulimwengu mzima wamekufahamu ,,Allah akuhifaidki
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@user-vg2fb5nq6w10 ай бұрын
Shekh bachu ni mfasaha sana na mtulivu sana katika kutetea haqqi allah akufungulie kifua chako shekh bachu
@musakibwana459610 ай бұрын
yeah, mtulivu kwenye dharau na kiburi
@shabaniabubakar726210 ай бұрын
Ibara zamshinda
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@Zahra_Media25510 ай бұрын
Tatizo mnaofuatilia mjadala mwafuatilia kiushabiki hamzingatii hoja wala mada, kwasababu hapo mada sio maulidi yafaa au haifai bali mada ni urongo uliopo kwenye kitabu cha Barazanjy. Hivyo acheni ushabiki kuweni waadilifu katika kufuatilia mada inavyozungumzwa
@JumaJuma-et5ei10 ай бұрын
Masha Allah sheikh Muhammad bachu
@zanzibarspice868610 ай бұрын
Sheikh Bachu Nimekufahamu na Kukuelewa Kwanz ulivunja hoja ya msingi wa Swali lake kama halina hoja wala uhai wa kielimu
@zeinabibrahim38210 ай бұрын
Allah akuhifadh sheikh Mohammad Bachu
@saidswaleh774210 ай бұрын
BARAKHALLAHU FIYKUM AL AKHY SHEIKH WANGU MUHAMMAD BUCHU
@ahmedmohd283610 ай бұрын
Sheikh umemaliza kazi umesomesha vzr sana🎉,jukumu la kuwabadilisha kuwacha uzushi baada ya kuonesha ukweli ni la Allah,mwenye kutaka na amini na mwenye kutaka basi ayakataee,Hukmu atahukumu Allah.
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@user-ch4vp9oj7e10 ай бұрын
Haqi nishaiona walillahil hamd bachu masha allah allah akuzidiahie
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@sabahikhamisabdulla436110 ай бұрын
Shukran ya Akhi Bachu, bidaa haiwezi kusimama mbele ya haki. Mada ni UWONGO WA BARZANJE na si uwongo wa Mtunga kitabu.
@omarsongz442210 ай бұрын
Said Omar huna elimu kwenye hili,maulid hayafai kalas..Muhammad Bachu Allah akuzidishie In sha Allah
@swafiirbulbul81910 ай бұрын
Sheikh Bachu Maashaa Allah.. ... Yupo vyema
@amaribrahim656110 ай бұрын
Tumeelimika alhamdulilah sheilh Bachu mungu atakulipa kwa kutaka ukweli ubainike na wenye kukataa ukweli mungu awaongoze na atuongoze sote
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@rubugahassan305710 ай бұрын
Allah azidi kukuhifadhi sheikh wetu Muhammad Bachu kwa kutudhihirishia wazi kuwa maulidi ni bidaa iliyokua wazi.
@habibasalim309210 ай бұрын
Aameen
@khadijaabdalla467310 ай бұрын
Mashallah tabaraka Mohammad bachu
@user-vn3fk6rf5l10 ай бұрын
Mashaallah jazaakaallhu alkhayir sheikh Mohammed bachu
@Hassan_Bamatraf10 ай бұрын
Muhammad bachu barakallahu fik.. Allah akuhifadhi
@AhmedAlbaity8410 ай бұрын
SAID KIUKWELI AMETIA AIBU AMEISHIWA HUWEZI KUJIBU ANAZUNGUSHA LUGHA TU NA ANAFANYA ISTIHIZAI. SHEIKH MUHAMMAD BACHU ALLAH AKUZIDISHIE ELMU. BARAKALLAH FII.
@abdallahomar7910 ай бұрын
Tupe ushahidi Ya kwamba hyo maneno Ya barzanji ni ya uongo ndo tuamini ni uongo
@MuhammadMuhammad-lq2um10 ай бұрын
Kumuita mtu sio fast 11 sio istihizai kwako?waona said tu hebu jiongeze
@@abdallahomar79 tegesha sikio lako from 2:12:12 kwa makini..Na ukitaka kusikiliza Afadhali sikiza Asubuhi na mapema kichwa yako itakuwa safii utaweza kufahamu kuliko baadaye kichwa yako itakuwa kina moshi wa bangi😂😂😂😂
@Teralkum10 ай бұрын
Allahumma amiin❤
@azizashaaban87010 ай бұрын
Mashallah tabarakallah shelkh Nassor bachu may allah s.w.t protect you and muslim ummah always the truth hurt every one.jazakallahul kheir yaa sheikh.
@mahamoodomar379010 ай бұрын
Jazakallah Bachu, Allah akupe kheri nyingi dunia na akhera, Hakuna anayeza kutetea batwili wanababaisha tu
@hajiurio927410 ай бұрын
Allah akulipe kila la kheri Bachu kazi ni kufikisha khiyari ya mtu kufuata,haiwezekani kizazi hiki kijue ya kheri kuliko Maswahaba .
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@mody-guyngido279210 ай бұрын
Long live Sheikh Bacchu Allah Akuhifadhi Na Akuzidishie elimu
@abdikadirgodana752810 ай бұрын
Aameen
@habibasalim309210 ай бұрын
Aameen
@user-rb8ir9co9k10 ай бұрын
Aamin
@hilalalhabsi204710 ай бұрын
AAMIN, MAANA HUYU MANDONGA KATUAIBISHA HUKU MAMBRUI, ASIENDE TENA MAMBRUI MAANA KULE HATOKI MTU SALAMA. TUMEPINDULIWA CHALIIII MAWAHABI NA WASHENZI HAWA WA MAULIDI, HATA MTAANI NAONA AIBU KUTOKA, LAKINI TUJIKAZENI KUJISIFU TUMESHINDA HIVYO HIVYO 🤣 JAPO TUMEPIGWA BAO ZITO ILI WAFUASI WETU WASIJE KUHAMA SANA WA KAINGIA USUFI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@HusseinAli-bu9ej10 ай бұрын
Mashallah sheikh bashu
@Noorahjaffar14310 ай бұрын
Iam so proud of you sheikh bachu.
@IddySharifu-sg1xz9 ай бұрын
Shekh Muhammad bachu mungu akuhifadh
@FahadAbdallah-nv9wz10 ай бұрын
Mashaallah sheikh bachu ni simba allah amlinde InshaAllah
@awadhally105210 ай бұрын
Insha Allah
@Safinatulshifaa10 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wabishi na umeonyesha elimu
@fatmamahdi784710 ай бұрын
Mashallah sheikh nassor bachu. Allah akulinde .
@alisaidi635810 ай бұрын
amin amlinde na ampe ilmu asikimbie tena
@user-rb8ir9co9k10 ай бұрын
Aamin
@basmabasma628710 ай бұрын
Ameen
@user-so5xt7pj2l10 ай бұрын
Bachuu upo vizuriii sanaaa
@dalouaa922510 ай бұрын
Ma shaa Allah Bachu, Allah akuzidishie ilm
@user-mi1yv5gi3x10 ай бұрын
Shekh Muhammad Bachu Allah akujaze kher kwa jitihada yako kwa ya kuwaelesha hao masuf Kwakweli hawa jamaa wanahila nyingi tuuuu!!
@sinawsinaw620110 ай бұрын
Subhaanallaah allaah waisilamu tusomeni 😢😢allaah atujaalie kwa hilo
@husseinamani981810 ай бұрын
Huyu Saidi ni tapeli mpotoshaji ubishi tu Haqi ipo wazi kabisa. Sheikh Bachu Allah akubariki sana.
@successpathnetwork10 ай бұрын
Wallah bado hajatokea wa kufanya mjadala huu na sheikh Bachu...
@babauna345810 ай бұрын
Jazzaka Allah shekh nassor bachu. Allah akuhifadh. Na sema: "Haki imekuja, na uwongo umetoka. Hakika ni uwongo, usio dhihirika." (Al-Isra [17] : 81 Maulidi ni Uzushi . Khitima uzushi. Na zefee pia ni uzushi , kuomba makakaburini uzushi. Allah atuhifadh na wazushi.
@SamMus-qn1pu10 ай бұрын
Nataman ingekua mimi yani
@leomwaki936610 ай бұрын
amiin
@sadikihamad977010 ай бұрын
Aaaamin
@rashidbuzubona657710 ай бұрын
Mbona nyote mnaungana kumtetea ndugu yenu bachu inamaana hakuna hata Moja aliloshindwa?
@rashidbuzubona657710 ай бұрын
Mbona munaushabiki zungumzeni kweli
@khamisimoshi594710 ай бұрын
Munaqasha wa Tanga ulikua vizuri na umetulia kuliko huo wa kenya mombasa vurugu tupu
@rashidsalim175910 ай бұрын
Subhaanallah, kwa hakika huku ni kupoteza muda tuu, hawa watu wanaojiita twarika huwa wanataka ubishani na ushabiki tuu,, huwa hawatafuti haki,,, Allah atuongoze sote
@SofiaAbubakar-uy7bo10 ай бұрын
Alaaaaa sisi ni wanibishi
@habibasalim309210 ай бұрын
Alafu wanajaribu kumtishia
@salumrashid851310 ай бұрын
Tumekulewa sheikh Bachu
@is_haaqbimany343010 ай бұрын
Said na masheikh wake Allah awazinduwe masikin
@alf817710 ай бұрын
KAMA TWAENDA MAULIDINI KUMSIFU BARZANJY BASI SAID KASHINDA NA KAMA TUNAKWENDA KUNSIFU MTUME BASI BACHU KASHINDA 🎉🎉
@oldmanmpitanjia280510 ай бұрын
Kubwa sana hii.. safi👏👏
@user-ym5ui3ov1m10 ай бұрын
Mwisho nimeelewa vizuri.bachu upo sahihi sana
@issaahmad126410 ай бұрын
Amaa kweli wahabia hamutaelewa mpaka munakufa!! Kwanza bachu ibara hajui kuzisoma makosa matupu!!
@musamusahshafi149610 ай бұрын
Shekh bacu Allah atakulipa
@basmabasma628710 ай бұрын
Sheikh bachuu Allah yahfadhak.ameen U nailed it
@muhsinmwambule943510 ай бұрын
Sheikh Bachu ni mzuri wa kuongea. Sheikh Saidi si mzuri wa kuongea. Kuna swali la msingi aidha hawakuelewana wote wawili au mmoja hakumuelewa mwenzake. Sheikh Bachu amesema Imam Barzanji ni muongo na akatoa ushahidi wa hadithi ya kuwa hadithi aliyoiweka ni Munkar. Akaulizwa swali; ni wapi wanawazuoni wa hadithi wakisema hii hadithi ni Munkar huyo mtu ni muongo? Licha ya Sheikh Said kuzunguka sana lakini Sheikh Bachu ilimfaa amuelewe na ajibu hilo!
@habibasalim309210 ай бұрын
Aameen
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@Lamapacha00110 ай бұрын
Wallahy hakika sheikh Said umetupotezea mda maana kila ukiongea unasema “swali langu liko pale pale” kama Bachu ilikuwa hajui basi ingelijibu ww…. Kisha hilo sio swali hilo wallahy Said umetupotezea mda sanaa
@abuahmado10 ай бұрын
Allah yihdeeh....anauliza swali baatil, halafu anaact kama mtoto hataki kuendeleya. Kama mtoto aliyegoma mpaka apewe peremendi.
@shurlaally168610 ай бұрын
Shukran sheikh Mohammed bachu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@bellaillu10 ай бұрын
Congrats al hajaar tv
@badrukheir410 ай бұрын
Mashaallah bachoo ukweli umebainika
@khadijaabdalla467310 ай бұрын
Kwa nini hujibu wewe shkh Said 😢😢😢😢😢😢
@MerabaqshAbdulaziz10 ай бұрын
Mawahabi Lini Mutakubali mumeshinda.Pia Haya hamuna.Hamuendi Kwa ilmu yenyu zaidi ni Ufedhuli.Mumuogope Allah.Munatumiwa na Mayahudi kugawanya imma.
@yusufathman247810 ай бұрын
Wallai billahi tallahi... haqqi upande wa Dj saidi wanaijua ila hawataki kufuata. Nimegundua kua mawlid ni chama tuu hicho wanaopoteza watu wasiojua dini. Alhamdhulilah nimeling'amua hilo. 3:15:30. صاخ الديك وطلع الصبح واستيقظ الناس
@SamMus-qn1pu10 ай бұрын
Sana akhy tue mskin na familia zetu
@jambojambosafaris10 ай бұрын
Swali hakulijibu je mtu akiandika hadithi dhwaifu huitwa muongoo kulingana na wanazuonii jibu swali rahisi litafteni kwa wanazuoni waislamu msifate watu tusomenii
@yusufathman247810 ай бұрын
@@jambojambosafaris swali lilijibiwa kitambo tena kitaalamu
@badrumulinda734910 ай бұрын
Bachu Allah akuhifadhi.
@AA-yr7sr10 ай бұрын
Hamumuwezi Bachu hatakidogo well dane Kwa kuwanyosha🖤🖤🖤🖤👋🏿
@issaahmad126410 ай бұрын
Bachu hajui kabisa
@user-rb8ir9co9k10 ай бұрын
@@issaahmad1264 hujui ww labda
@shabaniabubakar726210 ай бұрын
nonesense
@abdirahmanshawkani10 ай бұрын
Maulidi itabaki kuwa BIDAA mbaka kiama
@marianali795110 ай бұрын
Sheikh Muhammad Bachu May Allah preserve him, came prepared and backed his claims up with evidences. But on the other hand the pro mawlid guy was just waffling and will not answer direct questions.
@is-haqmf851310 ай бұрын
I swear to God. Let's call them out for every kind of innovation. May Allah grant Bachu steadfastness in this. He's helping the Ummah.
@SstStockings10 ай бұрын
@marianali7951 Stop being an illiterate sheep, sh Bachu couldn't even answer the very first question, sh bachu literally stated himself, for him weak hadiths which are not sahih can be considered as sahih I mean astaghfirullah, And InshaAllah I'll also start praying mawlid now by the will of Allah. The ppl of mawlid have more knowledge than this so called self proclaimed sh bachu may Allah guide him to the righteous path, no scholar ever uses a weak hadith. If he wanted he could've used a sahih hadith but his statement shocked us also more, this guy is a paid agenda from the israel.
@naahla1910 ай бұрын
Wallah he is helping this ummah big time. May Allah preserve him indeed Aameen. WELL DONE M.BACHU MAASHA ALLAH YOU R SO GOOD IN BOOKS!!
@SstStockings10 ай бұрын
@@naahla19 by stating weak hadith's, as a reference proves his illiteracy, he's actually helping alot. {in misguidance}
@habibasalim309210 ай бұрын
Aameen Allaahumma Aameen
@adamaliali220610 ай бұрын
Mashaallah sheikh Mohammed bachu
@alimukabana148410 ай бұрын
Nilikuwa mpiga maulidi lakini sasa natubu na rasmi narudi upande wa haqqi.
@cynthiacycy445910 ай бұрын
Haki ipi
@swafiirbulbul81910 ай бұрын
@@cynthiacycy4459 Haki ya upotevu wa Maulid na Mibarazanje 😅🤣
@ausatmwangi646410 ай бұрын
Hapa nicheke tu kwa kuwa mawahabi na kupandikiza mapropaganda kama huyu aliyesilimishwa na Bachu kuacha maulid 😂😂😂nicheke tena
@khadijakhamis348010 ай бұрын
MASHAA ALLAH KARIBU KWENYE HAQQ
@cynthiacycy445910 ай бұрын
Ach ni nyamaze mimi
@KubwaKuliko-dk4bm10 ай бұрын
Furaha yangu ni twarika wamekubali yalio kuemo katika barzanji ni uongo sasa wataka jee na barzaji mwenyewe nimuongooo lakini maulidi barzanj ni uongo wamekubaliii
@saraadamu746810 ай бұрын
Ustadh said bachu yuko sahihi mbona hutaki kukubali bachu Allah akuhifadh