VUTA NI VUTE ILIOTOKEA WAKATI MJADALA UKIENDELEA, JANJA JANJA ZA KUKWEPA KUJIBU MASWALI. MUNAQASHA

  Рет қаралды 34,627

KHIDMA TV

KHIDMA TV

10 ай бұрын

• VUTA NI VUTE ILIOTOKEA... #KHIDMATV

Пікірлер: 159
@user-rf9un4bi1b
@user-rf9un4bi1b 10 ай бұрын
Alhamdulilahi nimepata faida kubwa sana katika munaqasha wajana baada yakusikia mara kwa mara,kuwa kumbe barzanji ni ukweli ila ilitumika hadithi dhaifu ...lkn hakuna uwongo kwa barzanji. Alhamdulilahi ...
@hamisisalimu6908
@hamisisalimu6908 10 ай бұрын
Hiyo ndio mombasa ya mambrui kitovu cha elimu
@abuuzainab8581
@abuuzainab8581 15 күн бұрын
Maa Shaa Allah ustadh Saidi
@ShamimWanjiru-bm6ve
@ShamimWanjiru-bm6ve 3 ай бұрын
Mambrui hio!!!!
@user-mh3et6rr7j
@user-mh3et6rr7j 10 ай бұрын
bachu ni mdhaifu sana, kama angejua angemuacha sheikh said atoe ile khadith lakini akajikanyaga akasema yeye mwenyewe kwamba ni khadith dhaif sasa suali lilokuja limekuwa kubwa kwake mpaka ameharisha kwenye kiti
@KhamisBakar-ge4sp
@KhamisBakar-ge4sp Ай бұрын
Masha Allah Ustadh Said❤❤
@DeiraKd
@DeiraKd 2 ай бұрын
Iyo ime nikosha sana kuona bachu ame kosa jibu
@AhmedSaid-mk7qs
@AhmedSaid-mk7qs 10 ай бұрын
Bachu wew ni mbabaishaji tu huwezi kujibu hata swsli moja wew ni msomi gani huna ilmu
@MahadaAdam-hb7hm
@MahadaAdam-hb7hm 2 күн бұрын
Bachu,ni mbabaishaji katika dini anawatowa watu ktk dini anawapa makafiri njia ya kuudharau uislam.
@user-hq5iy8ou2d
@user-hq5iy8ou2d 9 ай бұрын
Huyo bachu ni mbabaishaji halafu huongea sana na mtu ambaye huongea sana huwanimbabaishaji.
@cusmancabdullah7127
@cusmancabdullah7127 10 ай бұрын
Walahi bachu ni vitisho tu kumbe
@lusitoally5623
@lusitoally5623 2 ай бұрын
Wewe mwenyewe bachu hiZbi
@AbubakariGuzuye
@AbubakariGuzuye 10 ай бұрын
Bachu yupo sahihi ww shekh said toa ushahidi wa kielim so ubishi kuna watu wanakuskia wapate elimu # bachu allah akuhifadh unatoa elim hujaj kushinda nadhan nmeeleweka vzr
@omaryramdhani9823
@omaryramdhani9823 10 ай бұрын
MNAMPA MOYO TU JAMAA YENU KAGARAGAZWA
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 8 ай бұрын
Hakuna elimu kwenye mtandao acha ujinga kasome
@basmabasma6287
@basmabasma6287 10 ай бұрын
Sheikh bachuu Allah yahfadhak wu yitawil omrak.ameen You nailed it.
@user-de4yj3oc1g
@user-de4yj3oc1g 10 ай бұрын
Bachu jibu swali
@rashidsuleiman9253
@rashidsuleiman9253 4 ай бұрын
Assalaam alaikum. Masheikh wangu nawapenda nyote kwa ajili ya ALLAH, ningetamani mkae chini wenyewe peke yenu mjadiliane haya mambo pasi na mavideo na mapicha na ndani yake pakiwa na staha kwa kila upande. mwisho mkubaliane mnayokubaliana na mkhitalifiane mnayokhitalifina na mkubali kukhitalifiana halafu uislamu usonge mbele
@maulidmaulid2106
@maulidmaulid2106 5 ай бұрын
Muhammed bachu yupo sahihi kabisa.mtume akusherehekea siku yake ya kuzaliwa wala maswahaba awakusherehekea.maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...
@MuhaMago-ce3bx
@MuhaMago-ce3bx 10 ай бұрын
Asante bachu kwa ujasir kuwatow watu ujinga
@user-jq5vo6pi2v
@user-jq5vo6pi2v 10 ай бұрын
Tumeelewa kuwa maulid si ibada ni maslahi yawatu kwaajili yanjaa tu
@user-rz9dg5um7x
@user-rz9dg5um7x 3 ай бұрын
Masheikh mnazililisha dini ya uislam ilitakiwa mkae chini peke yenu mrekebishane na sio kwenye mitandao ivi mnawapa picha gani wasiokuwa waislam Allah awaongoze
@saidsobongo912
@saidsobongo912 10 ай бұрын
Sufi ukimpeleka kwa dalili hajibu hata siku moja😅😅
@abubakarhussein2186
@abubakarhussein2186 10 ай бұрын
Dalili zipi uyo anaropoka tuu leo uwahabi umeporomoka 😂😂
@mwalimjecha6893
@mwalimjecha6893 10 ай бұрын
Sufi au wahabi
@ZaujiyatSuhfi-rl8sr
@ZaujiyatSuhfi-rl8sr 10 ай бұрын
Ama kwa hakika uislam hauna ujanja ujanja wala kupindisha mambo yote yamekamilika na ukileta ujanja utaumbuka tu
@ahmedmattar4661
@ahmedmattar4661 10 ай бұрын
Bachoro leo umepata Aibu unatukana watu leo mungu kadhihirisha kua wew unazoea matusi tu leo umepata mvwamba
@abdulkarimukusaga3617
@abdulkarimukusaga3617 10 ай бұрын
Sawa we said bachu kasema nyie niwazushi tuambie kama sio uowongo tuendelee na maulidi ukisindwa leo tunaacha maulidi
@HemedSerious
@HemedSerious 10 ай бұрын
Usifanye punguani km mlitaka kujibiwa hoja zenu mlitakiwa kujibu mlichoulizwa alafu na hoja zenu c mngepata kujibiwa ttzo lenu nyny mnajiona nyny tu ndo mna Haki ya kuulizwa, kwani walokimbia ni akina nani pale, suali b. Km mngejibu shkh saidi angeondoka pale? Nyny mnataka mumtawale mtu mumuulize nyny tu masuala alafu la kwake kauliza mwanzo mnjifanya hakuna jibu kumbe hamjui chcht zaid ya kuropoka ropoka uhuni tu
@moringesokoine4614
@moringesokoine4614 8 ай бұрын
Ni bora ya makafir kuliko hawa mawahabb kina bachu
@suleymanmrutu9498
@suleymanmrutu9498 Ай бұрын
Backu kazidiwa
@thefoodshaikh811
@thefoodshaikh811 10 ай бұрын
Uhai wangu wote sikudhani bachu atashinda home and away. Yaani Tanga ni majazi na mombasa ni munkar = uzushi wa maulidi.
@HemedSerious
@HemedSerious 10 ай бұрын
Jaahili, unadharau majazi, had kwenye kuran majaz inatumik sana tu, km hujui ndgu yngu ulie jahili hukusoma shule Wala madrasa upo kiushabiki, Lugha ya mashairi km kilivyo kitabu Cha barzanji au kitabu chcht za barzanji lazima "majaz" kasome japo kidg Ili ucje kufa na ujinga wako ndg
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 10 ай бұрын
"It is difficult to bring a fool into sense" - (Issa bun Maryam, Peace be Upon Him)
@abdullaseifkhamis4277
@abdullaseifkhamis4277 10 ай бұрын
Mashekhe mwatia Aibu Jambo hilo tu ndilo lawatoa mishipa wakati kuna mengi yadonwa na kuku. Nyote mwatakiwa Musome na Hekma
@seifsalum3018
@seifsalum3018 10 ай бұрын
Hii niqash kiufup hakuna majibu ya kuwa barzanj maneno yake si uhongo, na hakuna hadith ya kuonyesha kuwa maneno ya barzanj ni ukwel, watu wa twarik wanakwep maswal, aisee namshukur Allah kunitoa ktk bidaa ya kukat viono
@jakuabdull34
@jakuabdull34 10 ай бұрын
Acha ujinga
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 10 ай бұрын
Bachu na ujanja wako wote leo ume pata janjaure Zile hoja zako za kupotosha wajinga leo hazipo tena Ume ulizwa swali dogo lime kushinda kujibu Shida yako ni little knowledge bro kasome mamburui
@safiasaidi3280
@safiasaidi3280 10 ай бұрын
Mjinga huy nd amsomeshe bachu au? Mhh mwana wenu kaangukia pua
@user-de4yj3oc1g
@user-de4yj3oc1g 10 ай бұрын
Bachu anategemea coment za wafuasi wake ili wamtie nguvu lakin safar hii umefeheka sanaaa janjajanja yooooote kwishaaa
@mohamedswaleh6778
@mohamedswaleh6778 10 ай бұрын
We Mjing nn
@mohamedswaleh6778
@mohamedswaleh6778 10 ай бұрын
Ushawaion bbak akicoment apa shenz kbx mtu anatia qauli z wanazuwon unalemba umalaya wako
@mkude
@mkude 10 ай бұрын
Bachu amedhihirisha Dunia kama yaliyomo kwenye kitabu Cha barzanji ni uzushi kwahiyo kwenye maulidi yanasomwa maneno yasiyokuwa sahihi na wamaulidi wakakubali ila wakaanza kuzungusha zungusha amjadili mtu yeye kasema hajadiliwi mtu tunajadili uzushi kwenye kitabu Cha barzanji
@iddimohamed254
@iddimohamed254 10 ай бұрын
Mwenye kuelewa ashaelewa kka bachu ametufungua maskio...ni msomi kabsaaa
@hamisimuhammad3656
@hamisimuhammad3656 10 ай бұрын
Bachu yupo vizuri tu lakn huyo said hamna kitu 😄😄😄
@farijalaidd-sv8zb
@farijalaidd-sv8zb 10 ай бұрын
labda na wewe usogee kati na vipeperush vyenu
@hassanhussein2422
@hassanhussein2422 9 ай бұрын
Bachu haja Fika kuwango YA niqash Na sh said sh said m.a
@bwagizoselemani8434
@bwagizoselemani8434 10 ай бұрын
Mm ninacho kiona nikwamba kila mmoja ashike upande wake sisi wanadamu hatuwezi kuzuiya haya ispokua Kwa uwezo wa mungu
@Kalaharidesertstorm
@Kalaharidesertstorm 10 ай бұрын
Mambo ibainishwe kisha kila mtu ashike yake hakuna makosa wala hatulazimishi hata kurani ndio ina yo sema bainis há MAMBO na hicho ndicho bachu alicho dai thibitisha riwaya usiseme inaweza tumika 2 natayari mnajua ní munkar hadith
@user-mq2jv9du6t
@user-mq2jv9du6t 8 ай бұрын
Sasa
@Salimsaid-nk1qv
@Salimsaid-nk1qv 4 ай бұрын
Mashaallah sheikh bachuu kwa kuamua kuondoka maana anaofanya nao munakasha hawelewi huenda elimu ndio tatizo
@abdiazizmohamed444
@abdiazizmohamed444 2 ай бұрын
Swali ni dogo sana Je ukinukuu riwaya dhaifu kwenye kitabu chako kinaitwa utaitwa muongo?
@user-ym4oo2bu1v
@user-ym4oo2bu1v 8 күн бұрын
Jibu swali ulilo ulizwa
@AbubakariGuzuye
@AbubakariGuzuye 10 ай бұрын
Kama n swali ameshindw bachu kujibu bas lijibu ww tupate elimu kama unajuw hatutak kushindan tunatak elimu
@khaliphaabubakar9466
@khaliphaabubakar9466 10 ай бұрын
Bachi ndio anasema siku zote kuwa Barzanji ni muongo.Sasa ajibu hilo suala. Ndio au Hapana?
@Habib_Swaleh
@Habib_Swaleh 10 ай бұрын
USIKOSE KUTAZAMA KHUTBAH YA JUM'AH YA SHEIKH BACHU NA JUMANNE ATAKUWA LIVE KUELEZA KITABU CHA BARZANJI MUNKAR YAKE KWA KITABU YAANI MAOVU YKE KUPITIA ALHAJAR TV AU UTAZIPATA BAADAE KWA CHANEL YA SHEIKH BACHU MPAKA KIELEWEKE NA WAELEWE UNASOMA NINI KATKA MAWLID MAANA WENGI HAWAJUI WANACHOKISEMA KWA MAWLID WALA TAFSIRI ZKE ABADAN.
@abduljecha7779
@abduljecha7779 9 ай бұрын
Hapa kuna wengine wana utoto
@mohamedrashid7864
@mohamedrashid7864 10 ай бұрын
Moh bhachu kaangukia pua jmn doooo aibuuuuu .hodari kuuliza .yeye leo kaulizwa swali moja hoi taabani
@aliabdallah5183
@aliabdallah5183 10 ай бұрын
Hamnakili mnaweka zogotu
@AminaAmina-pc5ke
@AminaAmina-pc5ke 10 ай бұрын
Huyo
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 2 ай бұрын
kiukweli kama ukimfuatilia jafar barazanji huwezi kumuita mzushi...utakuwa bado huna elimu na hukumfahamu...uwe umesoma mda gani ikawa unaelimu zaidi...soma zaidi elimu ni pana
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 10 ай бұрын
Halaf nichokiona kwamba huu mjadala pia hamupo kutafauta ukweli mupo kwenye kushindana tu na kitu chengine kwamba lugha munazozitumia hazipendezi katika kufahamishana tukumbuke sisi ni waislam
@AbubakarShundi-og8ce
@AbubakarShundi-og8ce 10 ай бұрын
Swala la منكر hakukulisema شيخ سعيد kalisema huyo kijana anayejikweza dhidi ya Sheykh wa barazanji yeye Sheykh saidi alithibitisha tu alilo sema bachu alafu Sheykh said akauliza
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 10 ай бұрын
HAO MAKHURSFI WANAJIFANYA HAWANAZO!!NA WAJINGA WENZAO WAWAUNGA MKONO WAJINGA WENZAO!! ACHENENI NA HAO MASUFI!!
@swalehmohamed1590
@swalehmohamed1590 10 ай бұрын
BACHO AJUA KUSOMA KITABU NA KUFASIRI LAKINI HAELEWI MAANA NA UNDANI WA ANACHOKISOMA
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 10 ай бұрын
Swadakta bro wewe ume elewa vizuri sana
@user-mw2rn7pp4y
@user-mw2rn7pp4y 10 ай бұрын
Bachu elimu yakupiga chenga halafu ubishi umeuweka mbele wasubua wtu2 kwnza kasome kaka halafu ndo uje mombasa heee?
@rajabungatanda630
@rajabungatanda630 4 ай бұрын
Mashekhe wote muliopo hapo ktk mdahalo murudi kwa allwah mumlaani shetani Hapo nimegundua mumejawa na shetani kwenye nafsi zenu "Ushindani" na" kibri " Kila mtu kati yenu anataka awe bingwa Kwahiyo mumesahau ata malengo yaliyowaleta hapo
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 10 ай бұрын
Hapa tu nimejifunza kwamaba kwemye usilam kuna baadhi ya watu wametia maneno yao na mawazo yao ili kuharibu Uislam na haya ndio yanatokea leo na mijadala mijadala isio na suluhisho
@adamrajabu231
@adamrajabu231 8 ай бұрын
WATU WATETEA UGALI WAO😂😂
@tahaddath
@tahaddath 10 ай бұрын
Hahaha bachu umefeli wewe huna elimu yeyote na mawahabi wenzako unaleta mambo ya ng'ombe fala w
@rashidsimba3680
@rashidsimba3680 10 ай бұрын
Bachu amepanic sana
@khadijacassim151
@khadijacassim151 9 ай бұрын
Kwanini nyinyi watu wa bidah kumbe mmefahamu kwamba wanyama hawakuzungumza lakini mwawadanganya watu siku za maulidi kwamba wanyama walizunguza
@MbwanaMakamba
@MbwanaMakamba Ай бұрын
Tatizo la wahabi mwafata mkumbo bila elimu halafu pia hamuwasikilizi mashekh zenu
@ShaabaniAyyubu
@ShaabaniAyyubu 10 ай бұрын
Twarika hamna kitu kwanza kanuni ya mjadala walikubalian kujibu kwa dalili zenye thabit mbna alikubali kuwa hadithi yake ni dhaifu hapo kwanza kwenye kanuni ya makubaliano saidi yupo nje alaf mbona shekh said mbna kajibiwa alaf na kam sio sawa alivyojibiwa mbna hajatuambia yeye sisi tulitaka faida lkn bado
@aliabdallah5183
@aliabdallah5183 10 ай бұрын
Nyote hamnaakili
@hidayaramadhani1833
@hidayaramadhani1833 2 ай бұрын
Mwana wabachu ajielewi kabisa mawahabi someni mwatutia aibu
@seifsalum3018
@seifsalum3018 10 ай бұрын
Leo nimeamin watu wa bidaa hawapendi kusoma, dj side kaulizwa swali naye anauliza kabla ya kujibu
@hafidhsalum-jp2mw
@hafidhsalum-jp2mw 10 ай бұрын
Ata na mie ningeshindwa sio bachu tu kwa kutumia hadithi za uongo kua ni ushahidi ndugu zenu mashia pia wanayoyasema wanatoa hadithi za uongo na kama itakua hivo basi hii dini kila mtu atatunga hadithi yake itumike kwrnye dini
@abubakarhussein2186
@abubakarhussein2186 10 ай бұрын
Sio hadithi ya uongo ile ndugu ingekuwa ya uongo ingeitwa hadithi maidhuu
@saidihaji3739
@saidihaji3739 10 ай бұрын
Alhamdulillahi haqqi imeshazihir kuwa Bacho ameshindwa . Bacho alidai kuwa : katika barazanji kuna uwongo. Na dalili alioisimamia ni kwamba " hadithi iliotumika ktk kitabu ni (( munkar )) Akaulizwa : Jee kutumia hadithi munkar katika kitabu inapelekea kuitwa menye kitabu ni ((Muongo )). Au maneno hayo yatazingatiwa kuwa ni uwongo ?? Lakin Bacho hakuweza kujibu mpaka mwisho wa mjadala . Alikuwa anakwepa kwepa . Leo imedhihiri : Ukosefu wa dalili kwa Bacho na kumsingizia lmam barazanj kuwa ni muongo. Amesema maneno hayo bacho bila ya dalili yoyote . bali ni kumtuhumu tu mwanachuoni .
@Salimsaid-nk1qv
@Salimsaid-nk1qv 4 ай бұрын
Nyie mashekhe wote hapo hamna elimu kama barzanji kaandika maneno ya uwongo si muongo?ina maana hadithi ndio inafanya maneno ya barzanji kuwa kweli? Acheni upuuzi wenu kuwadanganya waislamu
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 10 ай бұрын
Mtume s,w,a ameondoka ametuachia kitabu na sunna sasa bachu yupo vema Bali huyo mwingine ni mtu wamaulid nandio hao Wenda wazee wao walikiwa wajiita mashariff.
@swalehmohamed1590
@swalehmohamed1590 10 ай бұрын
BACHU AMEULIZA SWALI KISHA AKALIJIBU MWENYEWE KWA RIWAYA YA ABU NUEIM AKAULIZWA SWALI NA SAID JUU YA RIWAYA AKAKWEPA NA HUKU ATETEWA NA ABU AHMAD..
@mkude
@mkude 10 ай бұрын
Wewe itakuwa unatabu ya uelewa sanaa.bachu amedhihirisha kitabu Cha barzanji kina munakari dhaifu.hao wanazungusha zungusha wanataka Bachu athibitishe uongo sheikh Bachu amesema hatumjadili mtu tunajadili kilichomo kwenye kitabu Cha barzanji
@swalehmohamed1590
@swalehmohamed1590 10 ай бұрын
@@mkude hhhhhhhhhhhh KILICHOMO NDANI YA BARZANJI KIMEANDIKWA NA MTU, UKITAJA KITU KINA ALOKIANDIKA UKISEMA NI CHA UONGO NA YULE ALOKIANDIKA PIA NI MUONGO, BACHU NDO ALOZUNGUSHA WATU NA PIA YEYE NA WENZAKE HAWANA UELEWA..AYA NI ZA MUNGU, HADITHI NI ZA MTUMI S. A. W MANENO YA BARZANJI NI YA NANI, HHHHHHHH, MBONA HAMUELEWI.
@saidinusura109
@saidinusura109 10 ай бұрын
Maalim na wajina wangu Said kwa bahati mbaya anafanya mjadala wa kitoto sana.
@abdallahally842
@abdallahally842 10 ай бұрын
Bachu kakiri barzanji katumia Hadith munkar kakiri mwenyewe maanake kukiri maanake sanadi anaijua swali limeulizwa kama umekiri Hadith ya barzanji imetoka kwenye Hadith munkar swali jee Hadith munkar ikitumika kwenye sira jee wanazuoni wa Hadith wamekubaliana ikiwa Hadith munkar kaitumia jee mtu huyo ni muongo? Swali simple lkn bachu anajua akikubali au akikataa swali linalokujaa ni gumu zaidi ndio maana hakutaka kujibu sio hajui hakutaka kujibu makusudi anazungukaa lkn swali hajibu 😊 kakwama kabanwa vibaya😊
@youmoha8200
@youmoha8200 9 ай бұрын
angelijibu angetolewa mahadithi nyingi ya dhaifu katika vitabu vya wanazuoni wakubwa..akina ahmad bn hambal na tirmidi na ibn majah na nisai..natija ingelikuwa hao pia na waringo?
@masudbasra566
@masudbasra566 4 ай бұрын
Hamuna elimu yoyote munatafu sifa tuu
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 10 ай бұрын
Athibitishe wanyama
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 8 ай бұрын
Kasome afa kuskiliza munakasha kapekue vitabu usomeshwe usiwe kama mjinga
@jumajuma1324
@jumajuma1324 9 ай бұрын
Ukishikamana na upuuzi wa barazenji unajitayaishia njia ya kwenda motoni mana unamzulia Mtume s.A.w na Mtume kasema atakae mzulia atayarishe makaalio yake na moto
@SaidaFankupi
@SaidaFankupi 9 ай бұрын
Hkna urongo wowoteee nyinyi hamna kitu😅😅
@BILALKASSIM-ol6kk
@BILALKASSIM-ol6kk 10 ай бұрын
Bachu hujui kbxasssaaa elim yko niya sifa kabxaaaa ostz said ni faqih mkubw xn
@swalehmohamed1590
@swalehmohamed1590 10 ай бұрын
BACHO HAJUI TAKHRIIJ WALA NATIJA YA TAKHRIIJ,
@youmoha8200
@youmoha8200 9 ай бұрын
kusema kweli hana elimu kabisa...kasoma muqarar tu..yote yaonesha umuhimu wa kusomeshwa na ustadh
@AminaAmina-pc5ke
@AminaAmina-pc5ke 10 ай бұрын
We festi lvn nashidwa nhwu
@khamismwalim5604
@khamismwalim5604 10 ай бұрын
Mjadala wa Ahlu Twariqa vs Mawahabi 1-0
@mafiatv5479
@mafiatv5479 10 ай бұрын
حيت سئلوا wanapoulizwa au walipoulizwa
@hosinali8164
@hosinali8164 9 ай бұрын
Nyamaza huna lakusema ulishindwa kujibu uskut
@youmoha8200
@youmoha8200 9 ай бұрын
ngombe ina vichwa 3 n 5
@abdallhabinmkasibayyat6657
@abdallhabinmkasibayyat6657 10 ай бұрын
Leo umeaibika mno ndugu yangu bacho
@mwalimjecha6893
@mwalimjecha6893 10 ай бұрын
Kaaibika vibaya mno chaliiiiii
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 10 ай бұрын
Wala hajaaibika!!
@AbubakarShundi-og8ce
@AbubakarShundi-og8ce 10 ай бұрын
Dogo kibri cha kutukana wanachuoni wacha kitakupeleka pabaya huna unacho kijua tafadhali wacha kutukana vipenzi vya Allah utalanika
@HemedSerious
@HemedSerious 10 ай бұрын
Eti wanalalamika kadhalilishwa bachu km hatoacha kuwatukana wenye elimu zao ataendelea kudhalilika bdo hajadhalilika aswa, ata thumni ya adab alokua nayo baba ake yy hana
@hindamir2008
@hindamir2008 10 ай бұрын
Kalale umeshindwa kujibu waleta stori z kuku nabngombe
@mkude
@mkude 10 ай бұрын
Sheikh Bachu amedhihirisha uzushi uliomo kwenye kitabu Cha barzanji.hao wakaanza kuzungusha zungusha lakini imeeleweka vizuri sanaa
@mohdhilaly7900
@mohdhilaly7900 10 ай бұрын
Ila uongo huo upo kwenye hadith sio barazanji waliosema wamenukuu hadithi dhaifu ila hadithi dhaifu ulamaaa ngani anasema ni uongo ? Ajibu bachu asilete ujanja
@Habib_Swaleh
@Habib_Swaleh 10 ай бұрын
​@@mohdhilaly7900SAID KAULIZA SWALI AMBALO KWAMBA BARZANJI SI MPOKEZI WA HADITH KWAN ULAMAA WA HADITHI WANAMUHUKUMU MPOKEZI AU MATNI AU ISNAD YAANI CHENI KUANZIA ILIPOPOKELEWA LKN IMAM BARZANJI SI MPOKEZI WA HADITHI AMENUKUU AKAANDIKA NA KUSIMULIA KWA MASHAIRI.😇😇😇
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 ай бұрын
@@mohdhilaly7900 Ahal Al Bidaa
@fadhilimusa9732
@fadhilimusa9732 8 ай бұрын
Amedhihirisha kutia kasri akitia haraka amekanyagwa.ashaonekana elimu changa
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 4 ай бұрын
Bachu yupo sahihi sana
@AhmedSaid-mk7qs
@AhmedSaid-mk7qs 10 ай бұрын
Mawahabi hawafahamu kitu
@hamishijja4574
@hamishijja4574 10 ай бұрын
Mmmh ostadhibachu yukovizury sana tenanamkubali
@MbwanaMakamba
@MbwanaMakamba Ай бұрын
Wahabi nyie endeleeni kupiga kelele kazi yenu ubishi tu ila hamna elimu kaeni chini mfundishwe msikurupuke mtaumbuka Sana inshaallah kwasabab pia mnaubinafsi ndani yake
@mohamedimcheni2068
@mohamedimcheni2068 10 ай бұрын
Bachu kasome
@asifznz
@asifznz 10 ай бұрын
Jamma wa tarika said yeye hajali kwamba kitabu cha barzanji ndani munauwongo yeye anataka tu barzanji asiitwe murongo au muongo 😂😂😂😂😂sasa kitabu kime jaa uongo shirki kibao he doesn't mind what his people are reading is inauthentic he doesn't mind at all 😂😂😂😂😂people are going astray from the right path he doesn't mind 😂😂he wants people to not call jaffer barzanji a liar, kumekucha!!!!waafuasi wake wacha waende mtoni kwakufanya shirki lakini BARZANJI asiitwe MUONGO 😂😂😂yeye KASHINDWA kabisaaaaa kuitete kila kitabu cha BARZANJI Dahhhhh what loss,halafu anarukaruka eti kashinda,hoja hata moja haijajibiwa ,na yule jamma alova miwani anapokea simu za watu wakati mjadala unaendelea mwambie ashikilie hapo hapo😂😂😂😂😂halafu saidi anazugumza kalegeza mikono ,WEEEEEWE,😂😂😂😂😂Eti kashinda😂😂😂😂
@MuhaMago-ce3bx
@MuhaMago-ce3bx 10 ай бұрын
Anaejuw ajibu ilitujuwe tusiojuw
@ayauii
@ayauii 10 ай бұрын
Watu wa twarika wababaishaji hawakujibu suala waloulizwa barazanji imeandikwa mimba ya mtume ilipiingia wantama walizungumza.wamebabaisha wametoka kwenye mada kisha.wameinuka wamemaliza.kwa sababu hawana jawab.( bachu ametufungua macho hatusimi tena maulidi wamezua tu Hawa
@HemedSerious
@HemedSerious 10 ай бұрын
Muongo ww husomi maulidi Toka zamani ni mnafiki tu
@user-qu6eh5gu6t
@user-qu6eh5gu6t 10 ай бұрын
Sema wapi ni uongo. Wanqchopinga apo ni nadharia ni vip viumbe wa Allah kama ndeng, samaki n.k wanaweza kuzungumza. Na wakat huo huo wamesahau nabbing suleiman alikuwa anaongea na wanyama na pya nabii suleiman alisimamisha msafara wake kisa alisikia sisimiz akiwaambia wenzake watoke barabaran kuwa jesh la nabii suleiman litawakanyaga
@user-qu6eh5gu6t
@user-qu6eh5gu6t 10 ай бұрын
Na pya nabii nuhu aliwasikia chewa wakimsabihi mola wao
@SaidaFankupi
@SaidaFankupi 9 ай бұрын
Urongo we mnafik husomi maulid kisha Leo ndio wasema hivo
@HuzaimaRamadhan-kb1wz
@HuzaimaRamadhan-kb1wz 10 ай бұрын
Bachu tutajie mwanawazuoni alie thibitisha hojazako
@mkude
@mkude 10 ай бұрын
A.edhibitisha munakari dhaifu kwenye kitabu Cha barzanji kwahiyo mnasoma kitabu kwenye maulidi ambayo ni urongo ambayo hayajadhibiti Kwa mtume s a w
@AbubakarShundi-og8ce
@AbubakarShundi-og8ce 10 ай бұрын
Basi mjibu wacha kibri dogo
@AhmedSaid-mk7qs
@AhmedSaid-mk7qs 10 ай бұрын
Yaani huyu bachoro hajui hata kutamka maneno ya kiarabu hajui tafsiri hajuilkani anasema nini wala anakusudia nini
@MUBKAM-th3ln
@MUBKAM-th3ln 10 ай бұрын
Hili jamaa jinga kweli Analeta mambo ya tarabu .... kwenye Mambo ya Elimu... Funny yako kuimba kaswida
@user-ve3wu5jn1l
@user-ve3wu5jn1l 10 ай бұрын
Bachu kunywa maji shehe
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 10 ай бұрын
BACHU KATUMWA NA MUNGU.
@jambojambosafaris
@jambojambosafaris 10 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aM-cnct9qte1qas.htmlfeature=shared Ujanja wa bachu wajulikana
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 10 ай бұрын
😅Hawa ashabul ubwabwa Wabish na utoto mwinqi, Wameshindwa kuthibitisha Walichoambiwa badala yake nao wanauliza suali. Elimu ndoqo na ubishi tu. Kiufup wamejitekenya wenyew na kucheka wenyew.
@hassanmambomambo8442
@hassanmambomambo8442 10 ай бұрын
leo bachu umeaibika ukome siku nyengine kutukana mashekh ona sasa ulivyo fedheheka watu wanaakili wewe si umemuita BARAZANJE kuwa ni muongo wewe? na video zako zipo leo wakataa ngoja zitaletwe ili watu wakujue kuwa wewe nikinyonga kujibadilisha rangi naleo umemuita Imamu albarazanje na Dua umemuombea ukome siku nyengine
@MbwanaMakamba
@MbwanaMakamba Ай бұрын
Subhaanallah nyie wahabi hamna lolote mnakurupuka Sana Allah awasamehe Sana
@AbubakarShundi-og8ce
@AbubakarShundi-og8ce 10 ай бұрын
Wewe ni ktk wajinga nakuusia wacharia wacha kutukana wanachuoni wacha ilo swala
@SALEHKK864
@SALEHKK864 10 ай бұрын
Mtoto wa bach ka shindwa kujibu tena arudu akasome
@bwagizoselemani8434
@bwagizoselemani8434 10 ай бұрын
Hajashindwa kujibu sema kila mmoja anatetea hoja Yake bachu yupo sahihi sema tu hawez kuwabadilisha ispokua Kwa uwezo wa mungu Tu
@HassanKhamis-pz5hy
@HassanKhamis-pz5hy 10 ай бұрын
Shekh Bach achakuwasumbua watu
@abdallhabinmkasibayyat6657
@abdallhabinmkasibayyat6657 10 ай бұрын
Unaleta ujanja wako wa hovyo
@AthumaniMahmoud
@AthumaniMahmoud 10 ай бұрын
Bacho kua na hekma pia pole sana kaka
@rashidichuri1149
@rashidichuri1149 10 ай бұрын
haya mmbo yanajeka chuki tu
@hafidhsalum-jp2mw
@hafidhsalum-jp2mw 10 ай бұрын
Asa kuna mjadala wa nini apo wakati mtu anajibu hoja kwa hadithi zaifu
@issambamba9236
@issambamba9236 10 ай бұрын
Tofautisha dhaifu na uwongo.
@abubakarhussein2186
@abubakarhussein2186 10 ай бұрын
Dhaifu bachu kaulizwa wanawachuoni gani wamesema ni hadithi dhaifu ni ya uongo bachu kakimbia kiti wewe ni nan mpka unasema hayo
@zigzag4487
@zigzag4487 10 ай бұрын
​@@abubakarhussein2186tafsiri ya kitu dhaifu kinafaa kutumika au hakifai
@user-de4yj3oc1g
@user-de4yj3oc1g 10 ай бұрын
Bachuuuu chaliiiii ukome kuwatukana wanazuoni
MUHAMMEDI BACHU KITANZINI NA USTADH SAIDI MAMBURUI MUNAKASHA BARZANJ
1:31:53
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 45 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 7 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
MASWALI NA MAJIBU KWA SHEIKH MUHAMMAD KUSOMA (BIDAA) IGOMA MWANZA 2024
27:56
SHEIKH SAID ATOA SOMO JIJINI DSM, MTOTO WA BACHU USIPOELEWA HAPA BASI
19:54
MAMBO YALIYOZUSHWA KATIKA MAZISHI SHEKHE NASSORO BACHU
56:06
Madrasatulfurqani Tv
Рет қаралды 12 М.
MAOVU YA SHEIKH WA MKOA ALHADI MUSSA YAWEKWA HADHARANI
15:15
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 18 М.
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 45 МЛН