Alhamdulilahi nimepata faida kubwa sana katika munaqasha wajana baada yakusikia mara kwa mara,kuwa kumbe barzanji ni ukweli ila ilitumika hadithi dhaifu ...lkn hakuna uwongo kwa barzanji. Alhamdulilahi ...
@hamisisalimu690810 ай бұрын
Hiyo ndio mombasa ya mambrui kitovu cha elimu
@abuuzainab858115 күн бұрын
Maa Shaa Allah ustadh Saidi
@ShamimWanjiru-bm6ve3 ай бұрын
Mambrui hio!!!!
@user-mh3et6rr7j10 ай бұрын
bachu ni mdhaifu sana, kama angejua angemuacha sheikh said atoe ile khadith lakini akajikanyaga akasema yeye mwenyewe kwamba ni khadith dhaif sasa suali lilokuja limekuwa kubwa kwake mpaka ameharisha kwenye kiti
@KhamisBakar-ge4spАй бұрын
Masha Allah Ustadh Said❤❤
@DeiraKd2 ай бұрын
Iyo ime nikosha sana kuona bachu ame kosa jibu
@AhmedSaid-mk7qs10 ай бұрын
Bachu wew ni mbabaishaji tu huwezi kujibu hata swsli moja wew ni msomi gani huna ilmu
@MahadaAdam-hb7hm2 күн бұрын
Bachu,ni mbabaishaji katika dini anawatowa watu ktk dini anawapa makafiri njia ya kuudharau uislam.
@user-hq5iy8ou2d9 ай бұрын
Huyo bachu ni mbabaishaji halafu huongea sana na mtu ambaye huongea sana huwanimbabaishaji.
@cusmancabdullah712710 ай бұрын
Walahi bachu ni vitisho tu kumbe
@lusitoally56232 ай бұрын
Wewe mwenyewe bachu hiZbi
@AbubakariGuzuye10 ай бұрын
Bachu yupo sahihi ww shekh said toa ushahidi wa kielim so ubishi kuna watu wanakuskia wapate elimu # bachu allah akuhifadh unatoa elim hujaj kushinda nadhan nmeeleweka vzr
@omaryramdhani982310 ай бұрын
MNAMPA MOYO TU JAMAA YENU KAGARAGAZWA
@user-fy4op1sw2f8 ай бұрын
Hakuna elimu kwenye mtandao acha ujinga kasome
@basmabasma628710 ай бұрын
Sheikh bachuu Allah yahfadhak wu yitawil omrak.ameen You nailed it.
@user-de4yj3oc1g10 ай бұрын
Bachu jibu swali
@rashidsuleiman92534 ай бұрын
Assalaam alaikum. Masheikh wangu nawapenda nyote kwa ajili ya ALLAH, ningetamani mkae chini wenyewe peke yenu mjadiliane haya mambo pasi na mavideo na mapicha na ndani yake pakiwa na staha kwa kila upande. mwisho mkubaliane mnayokubaliana na mkhitalifiane mnayokhitalifina na mkubali kukhitalifiana halafu uislamu usonge mbele
@maulidmaulid21065 ай бұрын
Muhammed bachu yupo sahihi kabisa.mtume akusherehekea siku yake ya kuzaliwa wala maswahaba awakusherehekea.maulid itabaki kuwa uzushi nanidhambi kusherehekea kitu ambacho mtume muhammad swalallahu alayi wasalam akuruhusu kifanyike.ACHENI KUSHEREHEKEA MAULID,ACHENI KUFATA MKUMBO.SHEIKH SAID MUOGOPE ALLAH, KWENYE QURAN AMNA SEHEMU ALLAH AZZA WA JALLA AMERUHUSU MAULID...
@MuhaMago-ce3bx10 ай бұрын
Asante bachu kwa ujasir kuwatow watu ujinga
@user-jq5vo6pi2v10 ай бұрын
Tumeelewa kuwa maulid si ibada ni maslahi yawatu kwaajili yanjaa tu
@user-rz9dg5um7x3 ай бұрын
Masheikh mnazililisha dini ya uislam ilitakiwa mkae chini peke yenu mrekebishane na sio kwenye mitandao ivi mnawapa picha gani wasiokuwa waislam Allah awaongoze
@saidsobongo91210 ай бұрын
Sufi ukimpeleka kwa dalili hajibu hata siku moja😅😅
@abubakarhussein218610 ай бұрын
Dalili zipi uyo anaropoka tuu leo uwahabi umeporomoka 😂😂
@mwalimjecha689310 ай бұрын
Sufi au wahabi
@ZaujiyatSuhfi-rl8sr10 ай бұрын
Ama kwa hakika uislam hauna ujanja ujanja wala kupindisha mambo yote yamekamilika na ukileta ujanja utaumbuka tu
@ahmedmattar466110 ай бұрын
Bachoro leo umepata Aibu unatukana watu leo mungu kadhihirisha kua wew unazoea matusi tu leo umepata mvwamba
@abdulkarimukusaga361710 ай бұрын
Sawa we said bachu kasema nyie niwazushi tuambie kama sio uowongo tuendelee na maulidi ukisindwa leo tunaacha maulidi
@HemedSerious10 ай бұрын
Usifanye punguani km mlitaka kujibiwa hoja zenu mlitakiwa kujibu mlichoulizwa alafu na hoja zenu c mngepata kujibiwa ttzo lenu nyny mnajiona nyny tu ndo mna Haki ya kuulizwa, kwani walokimbia ni akina nani pale, suali b. Km mngejibu shkh saidi angeondoka pale? Nyny mnataka mumtawale mtu mumuulize nyny tu masuala alafu la kwake kauliza mwanzo mnjifanya hakuna jibu kumbe hamjui chcht zaid ya kuropoka ropoka uhuni tu
@moringesokoine46148 ай бұрын
Ni bora ya makafir kuliko hawa mawahabb kina bachu
@suleymanmrutu9498Ай бұрын
Backu kazidiwa
@thefoodshaikh81110 ай бұрын
Uhai wangu wote sikudhani bachu atashinda home and away. Yaani Tanga ni majazi na mombasa ni munkar = uzushi wa maulidi.
@HemedSerious10 ай бұрын
Jaahili, unadharau majazi, had kwenye kuran majaz inatumik sana tu, km hujui ndgu yngu ulie jahili hukusoma shule Wala madrasa upo kiushabiki, Lugha ya mashairi km kilivyo kitabu Cha barzanji au kitabu chcht za barzanji lazima "majaz" kasome japo kidg Ili ucje kufa na ujinga wako ndg
@jumakapilima729510 ай бұрын
"It is difficult to bring a fool into sense" - (Issa bun Maryam, Peace be Upon Him)
@abdullaseifkhamis427710 ай бұрын
Mashekhe mwatia Aibu Jambo hilo tu ndilo lawatoa mishipa wakati kuna mengi yadonwa na kuku. Nyote mwatakiwa Musome na Hekma
@seifsalum301810 ай бұрын
Hii niqash kiufup hakuna majibu ya kuwa barzanj maneno yake si uhongo, na hakuna hadith ya kuonyesha kuwa maneno ya barzanj ni ukwel, watu wa twarik wanakwep maswal, aisee namshukur Allah kunitoa ktk bidaa ya kukat viono
@jakuabdull3410 ай бұрын
Acha ujinga
@user-fy4op1sw2f10 ай бұрын
Bachu na ujanja wako wote leo ume pata janjaure Zile hoja zako za kupotosha wajinga leo hazipo tena Ume ulizwa swali dogo lime kushinda kujibu Shida yako ni little knowledge bro kasome mamburui
Bachu anategemea coment za wafuasi wake ili wamtie nguvu lakin safar hii umefeheka sanaaa janjajanja yooooote kwishaaa
@mohamedswaleh677810 ай бұрын
We Mjing nn
@mohamedswaleh677810 ай бұрын
Ushawaion bbak akicoment apa shenz kbx mtu anatia qauli z wanazuwon unalemba umalaya wako
@mkude10 ай бұрын
Bachu amedhihirisha Dunia kama yaliyomo kwenye kitabu Cha barzanji ni uzushi kwahiyo kwenye maulidi yanasomwa maneno yasiyokuwa sahihi na wamaulidi wakakubali ila wakaanza kuzungusha zungusha amjadili mtu yeye kasema hajadiliwi mtu tunajadili uzushi kwenye kitabu Cha barzanji
@iddimohamed25410 ай бұрын
Mwenye kuelewa ashaelewa kka bachu ametufungua maskio...ni msomi kabsaaa
@hamisimuhammad365610 ай бұрын
Bachu yupo vizuri tu lakn huyo said hamna kitu 😄😄😄
@farijalaidd-sv8zb10 ай бұрын
labda na wewe usogee kati na vipeperush vyenu
@hassanhussein24229 ай бұрын
Bachu haja Fika kuwango YA niqash Na sh said sh said m.a
@bwagizoselemani843410 ай бұрын
Mm ninacho kiona nikwamba kila mmoja ashike upande wake sisi wanadamu hatuwezi kuzuiya haya ispokua Kwa uwezo wa mungu
@Kalaharidesertstorm10 ай бұрын
Mambo ibainishwe kisha kila mtu ashike yake hakuna makosa wala hatulazimishi hata kurani ndio ina yo sema bainis há MAMBO na hicho ndicho bachu alicho dai thibitisha riwaya usiseme inaweza tumika 2 natayari mnajua ní munkar hadith
@user-mq2jv9du6t8 ай бұрын
Sasa
@Salimsaid-nk1qv4 ай бұрын
Mashaallah sheikh bachuu kwa kuamua kuondoka maana anaofanya nao munakasha hawelewi huenda elimu ndio tatizo
@abdiazizmohamed4442 ай бұрын
Swali ni dogo sana Je ukinukuu riwaya dhaifu kwenye kitabu chako kinaitwa utaitwa muongo?
@user-ym4oo2bu1v8 күн бұрын
Jibu swali ulilo ulizwa
@AbubakariGuzuye10 ай бұрын
Kama n swali ameshindw bachu kujibu bas lijibu ww tupate elimu kama unajuw hatutak kushindan tunatak elimu
@khaliphaabubakar946610 ай бұрын
Bachi ndio anasema siku zote kuwa Barzanji ni muongo.Sasa ajibu hilo suala. Ndio au Hapana?
@Habib_Swaleh10 ай бұрын
USIKOSE KUTAZAMA KHUTBAH YA JUM'AH YA SHEIKH BACHU NA JUMANNE ATAKUWA LIVE KUELEZA KITABU CHA BARZANJI MUNKAR YAKE KWA KITABU YAANI MAOVU YKE KUPITIA ALHAJAR TV AU UTAZIPATA BAADAE KWA CHANEL YA SHEIKH BACHU MPAKA KIELEWEKE NA WAELEWE UNASOMA NINI KATKA MAWLID MAANA WENGI HAWAJUI WANACHOKISEMA KWA MAWLID WALA TAFSIRI ZKE ABADAN.
@abduljecha77799 ай бұрын
Hapa kuna wengine wana utoto
@mohamedrashid786410 ай бұрын
Moh bhachu kaangukia pua jmn doooo aibuuuuu .hodari kuuliza .yeye leo kaulizwa swali moja hoi taabani
@aliabdallah518310 ай бұрын
Hamnakili mnaweka zogotu
@AminaAmina-pc5ke10 ай бұрын
Huyo
@saidrakwe87272 ай бұрын
kiukweli kama ukimfuatilia jafar barazanji huwezi kumuita mzushi...utakuwa bado huna elimu na hukumfahamu...uwe umesoma mda gani ikawa unaelimu zaidi...soma zaidi elimu ni pana
@omarmohammed515710 ай бұрын
Halaf nichokiona kwamba huu mjadala pia hamupo kutafauta ukweli mupo kwenye kushindana tu na kitu chengine kwamba lugha munazozitumia hazipendezi katika kufahamishana tukumbuke sisi ni waislam
@AbubakarShundi-og8ce10 ай бұрын
Swala la منكر hakukulisema شيخ سعيد kalisema huyo kijana anayejikweza dhidi ya Sheykh wa barazanji yeye Sheykh saidi alithibitisha tu alilo sema bachu alafu Sheykh said akauliza
BACHO AJUA KUSOMA KITABU NA KUFASIRI LAKINI HAELEWI MAANA NA UNDANI WA ANACHOKISOMA
@user-fy4op1sw2f10 ай бұрын
Swadakta bro wewe ume elewa vizuri sana
@user-mw2rn7pp4y10 ай бұрын
Bachu elimu yakupiga chenga halafu ubishi umeuweka mbele wasubua wtu2 kwnza kasome kaka halafu ndo uje mombasa heee?
@rajabungatanda6304 ай бұрын
Mashekhe wote muliopo hapo ktk mdahalo murudi kwa allwah mumlaani shetani Hapo nimegundua mumejawa na shetani kwenye nafsi zenu "Ushindani" na" kibri " Kila mtu kati yenu anataka awe bingwa Kwahiyo mumesahau ata malengo yaliyowaleta hapo
@omarmohammed515710 ай бұрын
Hapa tu nimejifunza kwamaba kwemye usilam kuna baadhi ya watu wametia maneno yao na mawazo yao ili kuharibu Uislam na haya ndio yanatokea leo na mijadala mijadala isio na suluhisho
@adamrajabu2318 ай бұрын
WATU WATETEA UGALI WAO😂😂
@tahaddath10 ай бұрын
Hahaha bachu umefeli wewe huna elimu yeyote na mawahabi wenzako unaleta mambo ya ng'ombe fala w
@rashidsimba368010 ай бұрын
Bachu amepanic sana
@khadijacassim1519 ай бұрын
Kwanini nyinyi watu wa bidah kumbe mmefahamu kwamba wanyama hawakuzungumza lakini mwawadanganya watu siku za maulidi kwamba wanyama walizunguza
@MbwanaMakambaАй бұрын
Tatizo la wahabi mwafata mkumbo bila elimu halafu pia hamuwasikilizi mashekh zenu
@ShaabaniAyyubu10 ай бұрын
Twarika hamna kitu kwanza kanuni ya mjadala walikubalian kujibu kwa dalili zenye thabit mbna alikubali kuwa hadithi yake ni dhaifu hapo kwanza kwenye kanuni ya makubaliano saidi yupo nje alaf mbona shekh said mbna kajibiwa alaf na kam sio sawa alivyojibiwa mbna hajatuambia yeye sisi tulitaka faida lkn bado
@aliabdallah518310 ай бұрын
Nyote hamnaakili
@hidayaramadhani18332 ай бұрын
Mwana wabachu ajielewi kabisa mawahabi someni mwatutia aibu
@seifsalum301810 ай бұрын
Leo nimeamin watu wa bidaa hawapendi kusoma, dj side kaulizwa swali naye anauliza kabla ya kujibu
@hafidhsalum-jp2mw10 ай бұрын
Ata na mie ningeshindwa sio bachu tu kwa kutumia hadithi za uongo kua ni ushahidi ndugu zenu mashia pia wanayoyasema wanatoa hadithi za uongo na kama itakua hivo basi hii dini kila mtu atatunga hadithi yake itumike kwrnye dini
@abubakarhussein218610 ай бұрын
Sio hadithi ya uongo ile ndugu ingekuwa ya uongo ingeitwa hadithi maidhuu
@saidihaji373910 ай бұрын
Alhamdulillahi haqqi imeshazihir kuwa Bacho ameshindwa . Bacho alidai kuwa : katika barazanji kuna uwongo. Na dalili alioisimamia ni kwamba " hadithi iliotumika ktk kitabu ni (( munkar )) Akaulizwa : Jee kutumia hadithi munkar katika kitabu inapelekea kuitwa menye kitabu ni ((Muongo )). Au maneno hayo yatazingatiwa kuwa ni uwongo ?? Lakin Bacho hakuweza kujibu mpaka mwisho wa mjadala . Alikuwa anakwepa kwepa . Leo imedhihiri : Ukosefu wa dalili kwa Bacho na kumsingizia lmam barazanj kuwa ni muongo. Amesema maneno hayo bacho bila ya dalili yoyote . bali ni kumtuhumu tu mwanachuoni .
@Salimsaid-nk1qv4 ай бұрын
Nyie mashekhe wote hapo hamna elimu kama barzanji kaandika maneno ya uwongo si muongo?ina maana hadithi ndio inafanya maneno ya barzanji kuwa kweli? Acheni upuuzi wenu kuwadanganya waislamu
@abdallahmmary859110 ай бұрын
Mtume s,w,a ameondoka ametuachia kitabu na sunna sasa bachu yupo vema Bali huyo mwingine ni mtu wamaulid nandio hao Wenda wazee wao walikiwa wajiita mashariff.
@swalehmohamed159010 ай бұрын
BACHU AMEULIZA SWALI KISHA AKALIJIBU MWENYEWE KWA RIWAYA YA ABU NUEIM AKAULIZWA SWALI NA SAID JUU YA RIWAYA AKAKWEPA NA HUKU ATETEWA NA ABU AHMAD..
@mkude10 ай бұрын
Wewe itakuwa unatabu ya uelewa sanaa.bachu amedhihirisha kitabu Cha barzanji kina munakari dhaifu.hao wanazungusha zungusha wanataka Bachu athibitishe uongo sheikh Bachu amesema hatumjadili mtu tunajadili kilichomo kwenye kitabu Cha barzanji
@swalehmohamed159010 ай бұрын
@@mkude hhhhhhhhhhhh KILICHOMO NDANI YA BARZANJI KIMEANDIKWA NA MTU, UKITAJA KITU KINA ALOKIANDIKA UKISEMA NI CHA UONGO NA YULE ALOKIANDIKA PIA NI MUONGO, BACHU NDO ALOZUNGUSHA WATU NA PIA YEYE NA WENZAKE HAWANA UELEWA..AYA NI ZA MUNGU, HADITHI NI ZA MTUMI S. A. W MANENO YA BARZANJI NI YA NANI, HHHHHHHH, MBONA HAMUELEWI.
@saidinusura10910 ай бұрын
Maalim na wajina wangu Said kwa bahati mbaya anafanya mjadala wa kitoto sana.
@abdallahally84210 ай бұрын
Bachu kakiri barzanji katumia Hadith munkar kakiri mwenyewe maanake kukiri maanake sanadi anaijua swali limeulizwa kama umekiri Hadith ya barzanji imetoka kwenye Hadith munkar swali jee Hadith munkar ikitumika kwenye sira jee wanazuoni wa Hadith wamekubaliana ikiwa Hadith munkar kaitumia jee mtu huyo ni muongo? Swali simple lkn bachu anajua akikubali au akikataa swali linalokujaa ni gumu zaidi ndio maana hakutaka kujibu sio hajui hakutaka kujibu makusudi anazungukaa lkn swali hajibu 😊 kakwama kabanwa vibaya😊
@youmoha82009 ай бұрын
angelijibu angetolewa mahadithi nyingi ya dhaifu katika vitabu vya wanazuoni wakubwa..akina ahmad bn hambal na tirmidi na ibn majah na nisai..natija ingelikuwa hao pia na waringo?
@masudbasra5664 ай бұрын
Hamuna elimu yoyote munatafu sifa tuu
@abdallahkambangwa721510 ай бұрын
Athibitishe wanyama
@user-fy4op1sw2f8 ай бұрын
Kasome afa kuskiliza munakasha kapekue vitabu usomeshwe usiwe kama mjinga
@jumajuma13249 ай бұрын
Ukishikamana na upuuzi wa barazenji unajitayaishia njia ya kwenda motoni mana unamzulia Mtume s.A.w na Mtume kasema atakae mzulia atayarishe makaalio yake na moto
@SaidaFankupi9 ай бұрын
Hkna urongo wowoteee nyinyi hamna kitu😅😅
@BILALKASSIM-ol6kk10 ай бұрын
Bachu hujui kbxasssaaa elim yko niya sifa kabxaaaa ostz said ni faqih mkubw xn
@swalehmohamed159010 ай бұрын
BACHO HAJUI TAKHRIIJ WALA NATIJA YA TAKHRIIJ,
@youmoha82009 ай бұрын
kusema kweli hana elimu kabisa...kasoma muqarar tu..yote yaonesha umuhimu wa kusomeshwa na ustadh
@AminaAmina-pc5ke10 ай бұрын
We festi lvn nashidwa nhwu
@khamismwalim560410 ай бұрын
Mjadala wa Ahlu Twariqa vs Mawahabi 1-0
@mafiatv547910 ай бұрын
حيت سئلوا wanapoulizwa au walipoulizwa
@hosinali81649 ай бұрын
Nyamaza huna lakusema ulishindwa kujibu uskut
@youmoha82009 ай бұрын
ngombe ina vichwa 3 n 5
@abdallhabinmkasibayyat665710 ай бұрын
Leo umeaibika mno ndugu yangu bacho
@mwalimjecha689310 ай бұрын
Kaaibika vibaya mno chaliiiiii
@jumakapilima729510 ай бұрын
Wala hajaaibika!!
@AbubakarShundi-og8ce10 ай бұрын
Dogo kibri cha kutukana wanachuoni wacha kitakupeleka pabaya huna unacho kijua tafadhali wacha kutukana vipenzi vya Allah utalanika
@HemedSerious10 ай бұрын
Eti wanalalamika kadhalilishwa bachu km hatoacha kuwatukana wenye elimu zao ataendelea kudhalilika bdo hajadhalilika aswa, ata thumni ya adab alokua nayo baba ake yy hana
@hindamir200810 ай бұрын
Kalale umeshindwa kujibu waleta stori z kuku nabngombe
@mkude10 ай бұрын
Sheikh Bachu amedhihirisha uzushi uliomo kwenye kitabu Cha barzanji.hao wakaanza kuzungusha zungusha lakini imeeleweka vizuri sanaa
@mohdhilaly790010 ай бұрын
Ila uongo huo upo kwenye hadith sio barazanji waliosema wamenukuu hadithi dhaifu ila hadithi dhaifu ulamaaa ngani anasema ni uongo ? Ajibu bachu asilete ujanja
@Habib_Swaleh10 ай бұрын
@@mohdhilaly7900SAID KAULIZA SWALI AMBALO KWAMBA BARZANJI SI MPOKEZI WA HADITH KWAN ULAMAA WA HADITHI WANAMUHUKUMU MPOKEZI AU MATNI AU ISNAD YAANI CHENI KUANZIA ILIPOPOKELEWA LKN IMAM BARZANJI SI MPOKEZI WA HADITHI AMENUKUU AKAANDIKA NA KUSIMULIA KWA MASHAIRI.😇😇😇
@jumakapilima72958 ай бұрын
@@mohdhilaly7900 Ahal Al Bidaa
@fadhilimusa97328 ай бұрын
Amedhihirisha kutia kasri akitia haraka amekanyagwa.ashaonekana elimu changa
@abdull_hafidh4 ай бұрын
Bachu yupo sahihi sana
@AhmedSaid-mk7qs10 ай бұрын
Mawahabi hawafahamu kitu
@hamishijja457410 ай бұрын
Mmmh ostadhibachu yukovizury sana tenanamkubali
@MbwanaMakambaАй бұрын
Wahabi nyie endeleeni kupiga kelele kazi yenu ubishi tu ila hamna elimu kaeni chini mfundishwe msikurupuke mtaumbuka Sana inshaallah kwasabab pia mnaubinafsi ndani yake
@mohamedimcheni206810 ай бұрын
Bachu kasome
@asifznz10 ай бұрын
Jamma wa tarika said yeye hajali kwamba kitabu cha barzanji ndani munauwongo yeye anataka tu barzanji asiitwe murongo au muongo 😂😂😂😂😂sasa kitabu kime jaa uongo shirki kibao he doesn't mind what his people are reading is inauthentic he doesn't mind at all 😂😂😂😂😂people are going astray from the right path he doesn't mind 😂😂he wants people to not call jaffer barzanji a liar, kumekucha!!!!waafuasi wake wacha waende mtoni kwakufanya shirki lakini BARZANJI asiitwe MUONGO 😂😂😂yeye KASHINDWA kabisaaaaa kuitete kila kitabu cha BARZANJI Dahhhhh what loss,halafu anarukaruka eti kashinda,hoja hata moja haijajibiwa ,na yule jamma alova miwani anapokea simu za watu wakati mjadala unaendelea mwambie ashikilie hapo hapo😂😂😂😂😂halafu saidi anazugumza kalegeza mikono ,WEEEEEWE,😂😂😂😂😂Eti kashinda😂😂😂😂
@MuhaMago-ce3bx10 ай бұрын
Anaejuw ajibu ilitujuwe tusiojuw
@ayauii10 ай бұрын
Watu wa twarika wababaishaji hawakujibu suala waloulizwa barazanji imeandikwa mimba ya mtume ilipiingia wantama walizungumza.wamebabaisha wametoka kwenye mada kisha.wameinuka wamemaliza.kwa sababu hawana jawab.( bachu ametufungua macho hatusimi tena maulidi wamezua tu Hawa
@HemedSerious10 ай бұрын
Muongo ww husomi maulidi Toka zamani ni mnafiki tu
@user-qu6eh5gu6t10 ай бұрын
Sema wapi ni uongo. Wanqchopinga apo ni nadharia ni vip viumbe wa Allah kama ndeng, samaki n.k wanaweza kuzungumza. Na wakat huo huo wamesahau nabbing suleiman alikuwa anaongea na wanyama na pya nabii suleiman alisimamisha msafara wake kisa alisikia sisimiz akiwaambia wenzake watoke barabaran kuwa jesh la nabii suleiman litawakanyaga
@user-qu6eh5gu6t10 ай бұрын
Na pya nabii nuhu aliwasikia chewa wakimsabihi mola wao
@SaidaFankupi9 ай бұрын
Urongo we mnafik husomi maulid kisha Leo ndio wasema hivo
A.edhibitisha munakari dhaifu kwenye kitabu Cha barzanji kwahiyo mnasoma kitabu kwenye maulidi ambayo ni urongo ambayo hayajadhibiti Kwa mtume s a w
@AbubakarShundi-og8ce10 ай бұрын
Basi mjibu wacha kibri dogo
@AhmedSaid-mk7qs10 ай бұрын
Yaani huyu bachoro hajui hata kutamka maneno ya kiarabu hajui tafsiri hajuilkani anasema nini wala anakusudia nini
@MUBKAM-th3ln10 ай бұрын
Hili jamaa jinga kweli Analeta mambo ya tarabu .... kwenye Mambo ya Elimu... Funny yako kuimba kaswida
@user-ve3wu5jn1l10 ай бұрын
Bachu kunywa maji shehe
@hassanbakari452510 ай бұрын
BACHU KATUMWA NA MUNGU.
@jambojambosafaris10 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aM-cnct9qte1qas.htmlfeature=shared Ujanja wa bachu wajulikana
@mussakiziyzi40810 ай бұрын
😅Hawa ashabul ubwabwa Wabish na utoto mwinqi, Wameshindwa kuthibitisha Walichoambiwa badala yake nao wanauliza suali. Elimu ndoqo na ubishi tu. Kiufup wamejitekenya wenyew na kucheka wenyew.
@hassanmambomambo844210 ай бұрын
leo bachu umeaibika ukome siku nyengine kutukana mashekh ona sasa ulivyo fedheheka watu wanaakili wewe si umemuita BARAZANJE kuwa ni muongo wewe? na video zako zipo leo wakataa ngoja zitaletwe ili watu wakujue kuwa wewe nikinyonga kujibadilisha rangi naleo umemuita Imamu albarazanje na Dua umemuombea ukome siku nyengine
@MbwanaMakambaАй бұрын
Subhaanallah nyie wahabi hamna lolote mnakurupuka Sana Allah awasamehe Sana