Unadhani anatafuta pesa ama umaarufu??? Wanaslimu masupastaa mabilionea wakimarekani,, nanimaarufu pia ,,,,mwaipopo Allah akufungulie pepo
@rskiabdala48686 жыл бұрын
Saada Kimenya amin inshaallah kw ste
@asmamshihili56945 жыл бұрын
Mashaalah
@omaryamani9926 жыл бұрын
Mashaallah! hakika dini mbele ya mwenyezi mungu ni uislamu... Allah wafanyie wepesi hawa mashekhe wetu kwa haya wanayoyafanya. Hakika makafiri moto ndiyo mafikio yao!
@aminariziki16776 жыл бұрын
uislam ndio dini ya haki mbelee ya Allah. mwaipopo,profesor Mazinge na mashekhe Wetu wote Allah awape umri waeneze uislam barabaraaa.
@user-it6zi7zw8y3 ай бұрын
mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah allah akujalie kila kher Katika shekhe mazinge🙏🙏🙏🙏
@munirayusra918 жыл бұрын
Masha Allah mwalimu wetu mazinge Allah akujalie pepoo ww na wenzio
@abdulmohammed56876 жыл бұрын
Abdul Mohammed na husna Jackson tunamwomba mwenyezi mungu akujalie pepo ya fridaus
@muslimsnewsvideos78827 жыл бұрын
mashallah Allah awaongoze ktk iman ya kiislamu Amin yarabil alamin
@omarnkeshimana50072 жыл бұрын
ASH'HADU AN LAA ILAAHA ILA LLAAHU WA ASH'HADA MUHAMADAN ABDUHU WA RASUULUHU SWALA LLAAHU ALA'IHI WA SALAMA
@user-nr1bf7iu8z2 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah. mungu awalinde masheikh wetu
@alimbwana49616 жыл бұрын
maashallah dini ya uislam ni hakki mola wetu waonyesh njia wasoijua din ya hakk
@sadickhagamye Жыл бұрын
Mwnyezi mungu awape maisha marefu
@ussikhamisussi48826 жыл бұрын
Nyinyi wakristo acheni matusi ya kiholela! Watu wanajadiliana tu kama chuki bakini wenyewe. Hamjalazimishwa kusilimu mko huru matusi ya nini sasa! Bakini tu na imani zenu.
@fatumaramadhanmashaallahal99665 жыл бұрын
Mashaallah mazinge na na huyu kaka mungu awabariki sana mashaallah tabaraka llahu mungu awape nguvu ya kueneza uislamu Allahu bariki inshaallah
@ftimaramadan47482 жыл бұрын
kumbe nipo huku pia najipongeza mwenyewe alhamdhulilah
@Osama-fw7oj6 жыл бұрын
mashallah sheh mazinge mungu akubark
@swidicqmustaph2687 жыл бұрын
Ila Dawa ya Qafiri ni ndogo Sana, Allah atupe Shahada
@mbidadaud12566 жыл бұрын
kwa kaul zenu fimbo za mungu zitawaangamiza mtazalilishwa mpaka mwislam wa mwisho
@santodelove43515 жыл бұрын
Fimbo ya Mungu kwa waikristo
@zainabomar55125 жыл бұрын
Wakrisito hamjielewi
@saudahassan66672 жыл бұрын
Mashaallah masheikh wetu Allah awaongoze
@nahodasalamala18742 жыл бұрын
8
@elizabethfares46506 жыл бұрын
Mashallah mungu akubaliki Sana AMEEN
@athumanzahir83162 жыл бұрын
Yesu ni mwana wa mungu
@Arishafa547 Жыл бұрын
😂😂😂😂Pole sana
@shamsiyasalim68662 ай бұрын
Ana nyapanyapa kama paka ndio ananyapa mana paka ndie ananye nyapia panya paka ananyapa ndio kiswahili cha Mombasa
@hawamashallahmkubwa54168 жыл бұрын
masha allah mungu akuzidishie umri uweze kuwaelimisha wakristo sababu wamepoteya
@rinompemba59262 жыл бұрын
Napoleni kwa magumu mnayo pitia walimu wangu . ALLAH awe nasi waislam siku zote
@user-it6zi7zw8y3 ай бұрын
Allah awalani awa makafiri alafu mara nyingi awa makafiri wanapiga sana dini ya kislam sijui kwanini wakati allah kaisha sema vitabu vyake dini ni mmoja tu islam wanawafunga jela bila kosa
@rokoowilfred23182 жыл бұрын
Tunajua maana ya ukristo sio huo upotoshaji
@mercyvilili2 жыл бұрын
Muko kimwili ndio maana hamuelewi
@asiamatitu15736 жыл бұрын
Mashaallah. Allah awalinde katika kazi hii ya da'awah
@halidmusa49806 жыл бұрын
Islam iyo ndio dini ya haki mbele ya mwenyezimungu
@abdullaha4937 жыл бұрын
Mwaipopo sio mjinga labda nying msioelewa, kila kitu kipo wazi kinajieleza IPI dini ya haki kwa weny akili timamu maana uyo Mwaipopo katumia iyo bibble kuwaonesha watu udhaifu wa dini ya kikisto ili kuwaokoa waliopotoka, na nyie si mnaijua bibble hamuoni, mi ntawaombea Allah awasaidie coz u really need help Christianz
@zamzam83998 жыл бұрын
Islam ndiyo dini ya haki
@user-up6bq6or8y2 ай бұрын
❤mazinge
@khalifamuhammed30195 жыл бұрын
poleni sana waislam. kutokujuwa yesu ni mungu lakin hyo mazinge atawapeleka motoni kabis. ni mtu anapingana na qurani yake napia bado aelewi hata asomewe quran poleni sna yna hyo ni mtu ambaye ajielewi kabisa
@ahmedibrahim21272 жыл бұрын
Ww ndio chizi
@UMMYYFATMA11 ай бұрын
MASHALLAH MASHALLAH ❣️ ❣️ TABARAKALLAH
@abdallahzuberi28545 жыл бұрын
Mungu awapeuzima wa afya njema awaondolee vikwazo vilivyombele ilimuweze kuutetea uislam
@athumanzahir83162 жыл бұрын
Ukisema dini lazma kuwe na dini mbili mfano ssm na chadema ukrsto ni imani uislam ndo dini Muhammad kaileta
@crescentvscross1132 Жыл бұрын
Kama kuna dini yakulinganishwa na Uislamu labda ianzishwe lkn hakuna hakuna haita tokea
@mwadawasaidi23047 жыл бұрын
makafili poleni sana mtakwenda kuwaka moto uko . rejeeni kwa Mola wenu makafili
@irenemagoto26467 жыл бұрын
hivi kumbe hujui kuwa allah ndo atakuwa ukuni wa jehanam pole yako
@tattoally23417 жыл бұрын
ww iren mageto kwanz staghafiru hii dunia t ucjigambe kwa maneno km ukuni wa jahann utaenda juwa mjinga weee usojielew ten utukome na dini yetu c kijing sw
@irenemagoto26467 жыл бұрын
tatto ally sibishani na mtu asiye kuwa na akili na mjinga ni wewe
@fatmahamad21565 жыл бұрын
@@irenemagoto2646 staghafiru sana ,na ili ustaghafru uingie ktk uslimu,kwani hapo ulipo ni kafiri huwezi kustaghafru na ndo maana ukamtukana Mungu,dah mrejee Allah (s.w)watakao kuwa kuni ni watu na mawe
@shaingurusangaza6584 Жыл бұрын
Subhanallah
@Winky_spyder2 жыл бұрын
Hungeachana na ukristo, ungebadilisha kanisa kwa sababu Catholic si kanisa takatifu
@aniphaally50175 жыл бұрын
Mashaallah allah azidi kukuongoza
@rinompemba59262 жыл бұрын
Professional mazinge
@eppiemodest2 жыл бұрын
Hayati Nyerere alikuwa anasali kanisanla St. Peter iliyoko Msasani si St. Joseph pale Posta kama unavyosema uwongo kwa Waislamu wenzako. Nilikuwa nasoma shule ya St. Joseph nayajua hayo. Kwenye events chache ndiyo alikuwa anakuja pale.
@abcmnbb26102 жыл бұрын
yani raha sana
@joharially43525 жыл бұрын
makafir malipo yao siku yamwisho nijahannam, ebu badilikeni , mnaijua kweli ila mnabisha , uwislam ndy din ya kweli
@abcmnbb26102 жыл бұрын
Alhamdulillah kwakuwa muislam
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
😀misijawaelewa kabisa hawa wakristo
@samanthaali8736 жыл бұрын
Allahu Akbr
@irenemagoto26467 жыл бұрын
nashangaa pale wanaposema bibilia siyo maneno ya Mungu wakati kuna maandiko wamecopy na kupeste
@Amishjuma6 жыл бұрын
irene magoto bible is corrupt and has got so many errors . Lucifer ashawateka nyara .
@Mimi.Official768 жыл бұрын
Watu wana jaribu kumpita Mungu akili
@omargbabagbaba42318 жыл бұрын
MashaAllah mazinge wape vidoge
@zwuenakhalfan20986 жыл бұрын
Mashaallah mazinge mmesema maneno ha haki tumuombe Mungu awajalie wakristo wote duniani awape ufahamu kujua dini ya haki kwa Mungu ni islam na ndio walikuja manabii wote kusema Mungu ni mmoja hakuzaliwa hana mwana wala mshirika sasa yesu sio mtoto wa Mungu wala si Mungu msiwe wakaidi tafuteni dini someni vitabu na mtulize akili mtapata ukweli
@mbidadaud12565 жыл бұрын
Dini haimpeleki mtu mbinguni bali ni Matendo yako
@shabamuhidin6342 жыл бұрын
tatizo lako shule,sa hayo matendo utayapata wapi bila kurudi kwenye dini na vitabu,wahindi wana matendo mazuri lakini wanaabudu masanamu matendo yao ni bure,siku hizi tumesoma bwana huezi kutupeleka kama mabehewa
@halimamwachilimwachili50995 жыл бұрын
Allah awatangulie Masheikh ln shaa Allah,Mnapitia magumu.Alhamdulillah
@alimutta91218 жыл бұрын
mwaipopokweli yako
@husha63722 жыл бұрын
Quran 9:34
@nero7941 Жыл бұрын
Upotoshaji
@anjelinawiliam54156 жыл бұрын
mungu akulehem
@rokoowilfred23182 жыл бұрын
Upotoshaji sinagogi sio msikiti
@cajiinqas22138 жыл бұрын
Mansha Allah
@aliclass75267 жыл бұрын
mashallhaa
@aminaharufa13432 жыл бұрын
Mwana popo umesema ukweli kabisa
@frankgichia76856 жыл бұрын
Kweli mwaipopo unastahili kusamehewa kwa kuwa ujualo ulisemalo
@aniphaally50175 жыл бұрын
Frank Gichia allah akuongoze
@ftimaramadan47482 жыл бұрын
mashallah
@eppiemodest2 жыл бұрын
Halafu mjue Dini ni imani. Wewe Mwislamu unajisifia dini yako. Lakini. Isije ukaukosa pepo kwa matendo yako. Udhalilishaji wa dini za watu kumbe roho yako haiko sawa. Tafakari.
@ashunashunabdallah33197 жыл бұрын
cc htumtukani yesu.Tunamkubal n mtume wa mngu.lkn ninyi wakirsto munmtkana.mhd...yesu Hakula ngurue kwNn ninyi wakirsto munakula.
@irenemagoto26467 жыл бұрын
ulikuwepo
@tattoally23417 жыл бұрын
irene magoto ww ulikuwepo
@irenemagoto26467 жыл бұрын
Tatto ally inaonekana hujaenda shule ukiulizwa swali nawe unauliza swali
@tattoally23417 жыл бұрын
irene magoto na ww bado unahitj urud chekechea ukajifunze abc coz mm nilikuulz ulikuwep lkn hukujuw vyakujibu
@irenemagoto26467 жыл бұрын
we ndo uridi chekechea siyo mimi alafu kama huko msikitin mnafundishwa kutukana katukanene huko huko siyo hapa
@kibibimwanamvuamohammadmoh98237 жыл бұрын
Allahumma Aamiyn thumma Aamiyn
@sausalishebetyyanitishiohm77908 жыл бұрын
mola awpe Wales k wenye jambo yakheri
@mwanasweet80996 жыл бұрын
Na ndomana MwenyeziMungu ameahdi ataenda kuwachoma moto wakristo, mayahudi na dini nyengine ambao si waislam maana hawataki kuelewa wanaendekeza dunia tu saa nyngne unajiuliza Mungu kaumba moto lakn bado watu wakaidi jee ingekuwa hajaumba moto singekuwa tafarani
@irenemagoto26467 жыл бұрын
muongo sana huyo
@asiamatitu15736 жыл бұрын
irene magoto ni vema ukasoma ili ubaini ukweli wewe mwenyewe ukweli na uongo kuliko kusema maneno ya kifedhuli
@dazuuhmd8195 жыл бұрын
Irene soma acha ujinga
@jazilahsaidi98182 жыл бұрын
How do we reply wakisema tumswalie mtume...I need to know please
@sitnafaraj2813 Жыл бұрын
Swalu ala nani Muhammad
@sitnafaraj2813 Жыл бұрын
Swalu alaaa nabii Muhammad
@sangojoselyne43238 жыл бұрын
mungu akuinde
@saadakimenya43566 жыл бұрын
Mwaipopo to a sirihizo
@stallonesylvester19888 жыл бұрын
yeye alikuwa anabudu sanamu kwa kutumia Yesu Christo....mwombeni vile mohamed anasema wamwombe kwa mungu
@sahariabdul8 жыл бұрын
huna lolote kafiri mkubwa
@ahmedymmland52845 жыл бұрын
Uislam in din ya hak Mashaallah
@kayesumaureen60445 жыл бұрын
OMG Muslims!! Just give up your stupidity cause I know that Jesus is the real son of God and if you don't believe that you won't be able to see God either period.
@kayesumaureen60445 жыл бұрын
And I agree with you brother
@kayesumaureen60445 жыл бұрын
He was being out of the topic
@irenemagoto26467 жыл бұрын
Mungu ni roho hawajamaa wagumu sana kuelewa
@irenemagoto26467 жыл бұрын
back africa kafiri ni wewe ambae hujui
@rskiabdala48686 жыл бұрын
Roho nd nn?
@khuzeimaabdul42756 жыл бұрын
irene magoto Kama mungu ni roho Kutakuwa na roho ngapi duniani?wa wapi ww
@specialslavery63155 жыл бұрын
Mungu ni roho !! Sasa sisi binaadam nn?
@samiramohamed985 жыл бұрын
@@irenemagoto2646 hahahahaaaaaa Yan ww I thnk hujsom mung roh ss kwann mwasem yes heee
@ramzansaid68338 жыл бұрын
wakriato nyinnyi makafili jaman
@stevenjm13147 жыл бұрын
wewe wasema
@tattoally23417 жыл бұрын
kwel makafir hao
@ashoramashaallahmohammed33486 жыл бұрын
Ramzan Said mashaallah
@flaviankiria4356 жыл бұрын
Huyujamaa ni muongooo dah!
@alimassea6126 жыл бұрын
Flavian Kiria yaani pamoja na kuambiwa ukweli bado mmegubikwa na ulevi
@flaviankiria4356 жыл бұрын
Ali Massea kwasababu Mungu si Mwanadamu hata ashindwe jambo isitoshe hata uyoshetani niyeye aliye muumba.
@rskiabdala48686 жыл бұрын
Lete wako ukweli
@zainabomar55125 жыл бұрын
Naitaka hii video watsap jaman nitaipataje
@hassankhamis65355 жыл бұрын
Download app inaitwa snaptube hlf uandike jina la iyo video utaipta kwenye gallery yko
@zainabomar55125 жыл бұрын
@@hassankhamis6535 ok sawa asante my
@raphaelras45095 жыл бұрын
Muongo huyu!!
@frankgichia76856 жыл бұрын
Huo ni uongo peleka ushetani wako ukooo tanzania
@Amishjuma6 жыл бұрын
Frank Gichia nyinyi ndio mnahubiri errors lucifer has take charge in christianity .
@rskiabdala48686 жыл бұрын
Maisha yte ukweli unauma
@khuzeimaabdul42756 жыл бұрын
Frank Gichia ww ndy hujui ulisemalo umepotea
@HassanBiggston5 жыл бұрын
Watombwa ww
@yoveanyakarungu15476 жыл бұрын
Ww ni kweli uwclamu fisi dini ya kisilam n ya fisi
@Amishjuma6 жыл бұрын
yovea Nyakarungu 😂😂😂😂yakikristo niya lucifer mnamuabudu shetani mkimtaja kuwa yy ni yesu ...Ole wenyu mnayo macho na hamuoni.
@anjelinawiliam54156 жыл бұрын
tafuteni umaaaalufu mwingine ilasiokatika mamboyamungu mungu awasamehe maaanahamjuimlitendalo
@samiramohamed985 жыл бұрын
Ww ndyhujui ulitendalo kwann hutak kuteteadin yako Kam kwel ya hak
@lesleymambo29207 жыл бұрын
kafiri ni ww hapoooooo usokuwa na adabu kwani uliiumba hii dunia wewe
@alimassea6126 жыл бұрын
Lesley Mambo pole
@rskiabdala48686 жыл бұрын
Usiumie huu nd ukweli ulivo
@khuzeimaabdul42756 жыл бұрын
Lesley Mambo Ukweli unawauma
@omarympambije32215 жыл бұрын
hakika ukristo n ukafiri ulio dhahir
@mullershallshall7396 жыл бұрын
Anae sema yesu nimungu au nimtoto wamungu watu hao hawataenda mbinguni kwenye uzima wamilele..ikiwa Yesu nimtoto wamungu na Eva nae nimtoto wanani?Wakiristo tafuten dini yakweli Achen kudanganywa na mapaster namapadri....
@yusrakhamis4495 жыл бұрын
muller shall shall
@amosichacha56755 жыл бұрын
Kuukataa ukiristo ni kukubali mwenyewe kwenda jehanam ya moto ukiwa na akili zako timamu!
@HassanBiggston5 жыл бұрын
We watombwa nn
@amosichacha56755 жыл бұрын
Nimekusamehe, Neema ya Bwana ikusaidie umpokee Yesu Kristo akuokoe akubadilishe yakale yawe mapya. Akutakase akubadikilishe tabia, uachane na matusi. Huyo unayemfuata hana uwezo wa kukuokoa wala kukubadilisha ukawa na tabia njema!