Рет қаралды 306
Mwaka 1994 na miaka kadhaa mbele haukuwa mwaka mzuri kwa mahusiano ya nchi mbili duniani yaani Nchi ya Marekani ikiongozwa na Rais Bill Clinton na nchi ya Singapore ikiongozwa na Ong Teng Cheong.
Sakata hili linaanzia na Kisa cha ongezeko la wizi wa alama za barabarani na
uharibifu wa magari ya watu mtaani.
_______________________________________________________________
@NiaNiMaarifa imeamua kuja na SHINDANO maalumu kwa SUBSCRIBERS Wetu na wafuatiliaji wetu wa Makala Zetu.
NAMNA YA KUSHIRIKI.
Nirahisi.
1. Ingia kwenye Channel yetu na Bonyeza Orodha ya Video zetu kisha Tafuta Video ambazo ZIPO Kwenye hali au zimeandikwa PREMIERED Na upande wa kulia wa video husika utaona Chumba cha Kuchati.
2. Washindi ni WAWILI tu kwa kila video. Mmoja ni kutoka kwenye Kibox cha kuchati upande wa kulia. Akiwa wakwanza kujibu swali kwa kuweka jibu sahihi. Jibu lakwanza ndilo litakuwa linaonesha MSHINDI Wa swali.
- Mshindi wa PILI atapatikana kwenye Comment ya Video Husika. UKIWA WA KWANZA ku- Comment pia utakuwa umejishindia Zawadi Tajwa.
Ungana na msimulizi katika kupata maarifa zaidi:-
Usisite Ku-Comment na Kushare, pia ku-like.
- Facebook: / nianimaarifa
- Instagram: /
- KZfaq: kzfaq.info...