Рет қаралды 79,535
Wakatoliki waliosimamishwa kupokea EKARISTI kisa MWAMPOSA Taarifa zafika kwa Askofu Ngalalekumtwa.
Askofu Ngalalekumtwa Baada ya kupotea Waraka wa Mapadre waliowasimamisha waumini wao Kupokea Ekaristi takatifu nae ameshusha Rungu Jingine kwa wakatoliki wote Jimbo zima la Iringa ikiwa ni kuungana na Maamuzi ya Mapadre wake kwa kitendo walichokifanya cha kushiriki mkutano wa Mwamposa uliofanyika huko iringa mwishoni mwa wiki iliyopita