Afya Na Kazi | Ibada ya Jumapili | 23 Jun 2024 | Rev. Dr. Eliona Kimaro

  Рет қаралды 11,039

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Ай бұрын

IBADA YA JUMAPILI (IBADA YA KWANZA)
23/ 06/ 2024
UJUMBE WA LEO: AFYA NA KAZI

Mathayo 8 : 14 - 17
14 Hata Yesu alipofika nyumbani kwa Petro, akamwona mkwe wa Petro, mamaye mkewe, amelala kitandani hawezi homa.
15 Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka, akawatumikia.
16 Hata kulipokuwa jioni, wakamletea wengi wenye pepo; akawatoa pepo kwa neno lake, akawaponya wote waliokuwa hawawezi,
17 ili litimie lile neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema, Mwenyewe aliutwaa udhaifu wetu, Na kuyachukua magonjwa yetu.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Пікірлер: 36
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 22 күн бұрын
Amina Hakika neno hili likawe funzo katika Maisha yetu
@TheodosiaSangka
@TheodosiaSangka Ай бұрын
Jamani.mchungaji Kimario Mungu nakubariki sana napenda namna unavyoifafanua Biblia hakika i mwalimu mkuu Bwana awe nawe daima endelea kutuimarisha kiimani 🙏🙏
@shegamagdalena9780
@shegamagdalena9780 22 күн бұрын
Nakuelewa saaana Mtumishi.Godbress you
@aivanntomi9484
@aivanntomi9484 Ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@jophuley6487
@jophuley6487 Ай бұрын
Mungu akujalie uzima mtumishi unahuduma ya kipee hakika unatugusa moyo baba
@WillyMwanri
@WillyMwanri 28 күн бұрын
Ahsante kwa chakula cha kiroho
@aloycekilaga7865
@aloycekilaga7865 Ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri yanayo tusii tusiwasikilize manabii wachonganishi barikiwa mtu wa Mungu
@irakazaeriekim4753
@irakazaeriekim4753 Ай бұрын
Namie nipone magonywa yoote katika jina la yesu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@paulinarichard8107
@paulinarichard8107 Ай бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri yako pastor
@makyeintiro1023
@makyeintiro1023 19 күн бұрын
👏👏👏👏👏👏
@user-ri3dm7fh6u
@user-ri3dm7fh6u Ай бұрын
Amen nimebarikiwa nikiwa🇸🇦
@LilianMbangwa
@LilianMbangwa Ай бұрын
Ameeen
@aivanntomi9484
@aivanntomi9484 Ай бұрын
Mungu akubariki saaana kwa mafundisho Amen 🙏🙏
@user-oh1le3pf4o
@user-oh1le3pf4o Ай бұрын
Mungu akutunze baba umefanyika baraka kwa wengi
@forminaformina7694
@forminaformina7694 Ай бұрын
Amina.MUNGU.akubariki.mchungaji.nimebarikiwa.sana
@marcelinamtalo2895
@marcelinamtalo2895 26 күн бұрын
Mungu amtunze mchungaji Kimaro. Huduma yakeimeniponya na kunifundisha mengi
@aivanntomi9484
@aivanntomi9484 Ай бұрын
Ubarikiwe saaana mtumishi wa Mungu
@tracychesoli2900
@tracychesoli2900 Ай бұрын
Nashukuru mungu nimelelewa na bibi ingawa marehemu bali naendelea kutunza dadazake
@naeema8155
@naeema8155 Ай бұрын
Amen 🙏 🙏
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j Ай бұрын
Mchungaji umeongea kwa hisia huku mtaani ninayaona Sana unakuta mtu ana tabia mbaya harafu anaenda kwenye hayo makanisa yao akiludi anaanza kusema analodwa kajazwa upepo wa sumu ya maneno najiuliza mtu anapata wapi kusema Mimi nabii
@olephilemon1773
@olephilemon1773 Ай бұрын
Amen
@babas1452
@babas1452 Ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji Kimaro kwa mahubiri yenye uhai ndani yake.
@josephmuthoka4992
@josephmuthoka4992 Ай бұрын
Nabirikiwa sanaa mchugaji nikiwa Kenya na mafundisho Yako. Barikiwa sanaa. Umenifungua macho kuhusu tabiri chonganishi
@HILDAJOSEPHAT
@HILDAJOSEPHAT 29 күн бұрын
Nashukuru sana mahubiri ni mazuri. Naumia sana ikiwa napenda furaha na amani kwenye familia lakini ndo natuhumiwa uchawi na kutengwa nifanyeje
@witnesssamwely8812
@witnesssamwely8812 Ай бұрын
Nimebalikiwa sana mtumishi
@AbelMwakilembembwate
@AbelMwakilembembwate Ай бұрын
Kweli somo nimelielewa ubarikiwe mtumisshi
@aivanntomi9484
@aivanntomi9484 Ай бұрын
Amen Amen 🙏🙏
@EK-kp2np
@EK-kp2np 25 күн бұрын
Leo nimethibitisha wewe ni mtumishi wa kweli wa Mungu, ni kweli wale wanaoenda kwenye maji ya upako, mafuta ya upako na kadhalika, background yao ni kushiriki kwa waganga wa kienyeji, 100% TRUE👌🏼
@forminaformina7694
@forminaformina7694 Ай бұрын
Amina
@josephmkina
@josephmkina Ай бұрын
Baba, Iko sahihi kabisa, MTOTO wangu wa chuo kikuu, Kila mwezi bibi yake huwa anatumiwa pocket money na bibi yake.
@deborakasambula7431
@deborakasambula7431 Ай бұрын
Amee
@ombenkallenge1924
@ombenkallenge1924 Ай бұрын
Amen 😊
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 29 күн бұрын
Baaba! DR ELIONA KIMARO UMEFUNDISHA VIZURI MNOO JAMBO HILI LA KAZI NA AFYA, UBARIKIWE SAANA. 1971 KCMC ILIZINDULIWA, NAMI NATIBIWA PALE! NA FAMILIA YANGU, JUZI NILIINGIA KANISANI HAPO KUOMBA UPONYAJI.😊
@user-jl7er9fh4r
@user-jl7er9fh4r Ай бұрын
😮😮😮😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@aivanntomi9484
@aivanntomi9484 Ай бұрын
Amen 🙏🙏
REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I
34:28
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 11 М.
USHUHUDA WA MAMA ALIYESOMA UZEENI  (HESABU NI KAMA KIFO HUWEZI KUEPUKANA NAYO)
16:15
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 34 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 76 МЛН
KUVUNJA NIRA YA KUKOSA KIBALI || IBADA YA JUMAPILI || PASTOR GEORGE MUKABWA || 04/06/2023
1:54:48
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 53 М.
NGUVU YA MACHOZI YA MTU BY EV DANIEL IKOJA "
26:09
EV DANIEL IKOJA
Рет қаралды 343
Kinyanya kuhonoka gikuu mokoini ma muhiki
1:25:38
Ngugi wa karanja Mcee TV
Рет қаралды 17 М.
MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: KAMA UNATAKA KUFANIKIWA DUNIANI, KUOMBA PEKE YAKE HAITOSHI.
9:11
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 123 М.
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Israel Mbonyi
Рет қаралды 22 МЛН
REV. DR. ELIONA KIMARO: KUISHI KESHO I
32:34
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 19 М.
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 34 МЛН