#*Afya Podcast#* Fuatana na Prof. Mohamed Janabi ili kufahamu Tabia Mbaya 10 zinazoweka Figo zako HATARINI..
Пікірлер: 197
@legera633 ай бұрын
Mungu wangu linda afya yangu sayansi ni bora ila wewe ni bora zaid✊
@domisonrichman64993 ай бұрын
Habari hii tv sikujua kama ipo hongera prof Jababi elimu nzuri umetoa..Ila mm ni kijana umri wangu 32yrs nina tatizo ambalo hospitali wameshidwa kujua tiba yake wala chanzo naomba mwenye namba ya simu ya Prof Jababi anisasidie guys nateseka sana almost miaka 8 sàsa ....Msada wakuu
@dullaone4543 ай бұрын
Jitahidi uende jkci. Pale muhimbili kitengo cha moyo. Utampata.
@jamesswai16833 ай бұрын
Nenda Muhimbili ndio suluhisho..
@barnabasmboya76883 ай бұрын
Yesu Kristo anaweza kukuponya. Mpe Yesu nafasi. Kwa msaada zaidi unaweza kunifuata nitakushauri na tutaomba na utapona
@SalamaSwedy3 ай бұрын
@@barnabasmboya7688 😂😂😂 Wacha utapeli
@husseinhamis14283 ай бұрын
we kichwa yako mbovu @@barnabasmboya7688
@jeremiahbhulituma85518 күн бұрын
Prof. Habari za kazi. Mimi ni mfuatiliaji mzuri Wa mafundisho yako. Kila kipindi unachorusha najifunza zaidi. Wewe kwanza umbo lako liko sahihi. Hapo ulipo una umri wa miaka mingapi. Na uzito wa kilo ngapi. Maana nakuona uko very super active!!! Natanguliza shukrani kwa majibu ya maombi hayo
@molitvonline3 ай бұрын
Asante sana Dr . Imeeleweka mungu akupe maisha malefu huna baya na mtu Dr janabi
@taturamadhan59403 ай бұрын
Allh akulipe si rahisi kwa mtu mwenye cheo kama chako kuandaa vipindi na kutuelewesha hii ni kwa sababu unaona hatari iliyopo na unataka tujikinga. Ahsante sanna
@HanifaOman-oo4pl3 ай бұрын
Sana huyu baba anaiimani. anahuruma na binaadam wenzie
@emmiemmi38612 ай бұрын
Kweli kabisa
@phantyrhymes95363 ай бұрын
Simple and best explanations. Congrats Prof. Mohamed Janabi.Anajua kuelimisha sana.
@Abdalla.Said_013 ай бұрын
Unatoa elimu nzuri sana Prof. Mohamed
@aloycerichard56842 күн бұрын
Mungu akubariki sana nimeelewa ulaji holela ni hatar kubwa
@sixytntongambele30383 ай бұрын
We jamaaa unaafya ya aqiri iliyo strong sana Me binafsi sijutii kukufaham kwakweli
@martinjohn78543 ай бұрын
NASHUKURU SANA DOKTA. NAOMBA KILA. KADA YA DAKTARI BINGWA TAIFA, ITOE MADA YAO HUKU, ILI TUJIEPUSHE NA HATARI HIZI.
@josephlorri4313 ай бұрын
Mzee amenyooka,...ila maisha yanahitaji nidhamu kubwa
@hezronmlwale74163 ай бұрын
Hakıka mzee amenyooka mpaka... Nıdhamu kubwa katıka maısha haya nı muhımu sana. 🙏🙏
@OnejobKope3 ай бұрын
Asante sana doctor ubarikiwe
@officialyohanamalisa18733 ай бұрын
Saana nidhanu ndio kila kitu. Ukikuta mtu anafukia nyama choka kilo moja na bia, akidhani huna hela ya kula , ila siku atakua anafanya dialisis atalia kama nyau 😊
@josephlorri4313 ай бұрын
@@officialyohanamalisa1873 maisha yana mwisho, usimdharau na kumnyanyapaa anayekula kilo nyama choma. Duniani tunapita.
@AbuuMuhsin3 ай бұрын
Tuko pamoja Dr. Nakufuatilia kila siku na kila somo lako.
@greysonmbembelakarateka58423 ай бұрын
Ahsante, Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuelimisha
@abuuramadhan80933 ай бұрын
Prof apewe muhimbili kwa miaka 100 ameibadilisha san Hospital ya Taifa
@gloryurassa98733 ай бұрын
Asante sana kwa Elimu ya afya Dr. Janabi. Mungu akuzindishie wingi wa siku
@alwysalehmohamedalammary35073 ай бұрын
Shukran doctor Allah akulipe kwa unachokitoa kwa jamii
@user-uw7er1ec3v3 ай бұрын
Nimekuelewa doctor.mungu akuzidishie kutupa elimu napia .akuingize peponi amin
@joshuakimambo27653 ай бұрын
Elimu nzuri sana. Elimu ya kujitambua bado inahitajika sana. Magonjwa mengi yangeweza kuepukika kwa kubadilisha tu mfumo wa maisha
@asnathmugassa1363 ай бұрын
Aksnate sana professor Janaby kwa elimu nzuri sana
@eliamtani28403 ай бұрын
Thank You Prof.
@adamkalokaza68133 ай бұрын
hongera profesa janabi nakufuatilia
@HanifaOman-oo4pl3 ай бұрын
Maashaallah Allah akulipe heri Dr. JANABI
@paskalkinyunyu90453 ай бұрын
Mungu akutie nguvu utupe elim naelimika sana sana asante
@Kisase3 ай бұрын
Asant sana doctor mungu akulinde
@maryammo-gd3me3 ай бұрын
Asante sana kwa elimu nzur
@adellahchipanyanga51073 ай бұрын
Mungu akubariki somo zuri xana hili
@severinmmassy76272 ай бұрын
Hongera Sana prf. Hiv kukojoa mara kwa mara unawezakukuweka hatarini pia
@user-pd2kw4qo2o3 ай бұрын
Asante sana prof🎉
@joctanmotoka26373 ай бұрын
Ubarikiwe sana prof
@samsonshedrack56773 ай бұрын
Doctor asante kwa somo zuri,
@winnesakara69573 ай бұрын
Asante doctor
@user-wo2ye5vh4q3 ай бұрын
Asante dr kwa somo
@victorntaganyamba73133 ай бұрын
Asante kwa somo zuri
@JOFREYSONGOLA3 ай бұрын
Thank you Dr
@user-jm6kb2ti1y2 ай бұрын
Doctor tunaomba mjibu coment zetu
@mariamkibindo17412 ай бұрын
Shukran sana professor MJ
@MrDaoud-il9nt2 ай бұрын
Shukrani doctor Allah akulipe
@francisosodo80013 ай бұрын
Asante Prof. Kwa Elimu
@MohamedMursal-nb6nm3 ай бұрын
Thanks Dr
@James-hb2gv3 ай бұрын
Asante sana kiongozi Mungu akubaliki
@khadejakhadeja97133 ай бұрын
Asanteee pfrs Jana bi❤❤❤❤ kwa somo
@abdoulzainoubongoth2556Ай бұрын
Dr janabi Mungu akupe maisha marefu
@ernestjophreymalaba33742 ай бұрын
Ubarikiwe sana My Role Model
@abrahamsingano53722 ай бұрын
Hongera sana Dr. Mungu akuzidishie umri
@baluhyajr.9133 ай бұрын
Asante sana Prof. Janabi kwa elimu ya afya kwa umma.
@victoreleonardmdee91583 ай бұрын
Ahsante Kupata Elimu hii
@josephmsacky22483 ай бұрын
6:09 Hii nzuri sana, ongera sana dr
@user-cf5yb5fk4s3 ай бұрын
Shukran prof janabi hakika kinga ni bora kuliko tiba
3 ай бұрын
Good Job Prof Janabi🤝
@amaniupendo10783 ай бұрын
Asante sana kabisa from 🇨🇩
@josiahkulwa343 ай бұрын
Shukran kwa mafunzo yenye kutujenga kiafya
@ampeliusjoachimu78203 ай бұрын
Thanks and be blessed🙏🙏🙏
@gracekagoma32313 ай бұрын
Hongera sana DR🎉🎉
@HusseinJumaa-my6dc3 ай бұрын
Nashukuru kuwafahamu nitaendelea kuwa fuatilia
@bogoheidaso26283 ай бұрын
Asante dr
@TowardJesusTv7773 ай бұрын
Asante Prof. Barikiwa sana....nakufata toka DRC
@salutarysebastian2882Ай бұрын
Asante sana kwa elimu
@ernestshekalaghe19452 ай бұрын
uko vizuri sana Prof . Janabi
@lucasisundwa21252 ай бұрын
Thanks for class
@mbondehemed28413 ай бұрын
Nimekupata janabi mungu aliki kwasomo rako
@FrankDeo-xu7zw3 ай бұрын
Ubarikiwe kiongoz
@Mr.SOPHAT3 ай бұрын
Thanks you ❤
@hashkhantantrasiraji1183 ай бұрын
Shukrani 🙏🙏🙏
@niriacatering1723 ай бұрын
Shukrani sana
@kobylwaho31913 ай бұрын
safi sana dr nashukur Kuifahamu hii chanel inayofundisha mambo muhimu ktk maish yetu
@azammchunguzi46873 ай бұрын
Dr upo vizur
@tatankakoroba483 ай бұрын
Prof Janabi..huwa nafuatilia sana session zako...
@Gunze153 ай бұрын
Asant san Dr
@linnetmbotto72123 ай бұрын
Umesahau utumiaji wa vipodozi vyenye kemikali kali
@ukweli2553 ай бұрын
Naamimi kuna Media Kubwa kama Clouds Media au Wasafi Tv wataingia mkataba na hii Channel ili haya Maudhui yawe yanawafikia wengi ambao kuifia KZfaq ni ngumu!
@ce-08Ай бұрын
Alishaenda wahi kwenda clouds sema ....
@EvanceShirima3 ай бұрын
Dr mo janabi unipa somo nimetoka na kitu kimojahapo,msaliimie bingwa mwenzio hapo dialysis mgumi na ness mnyenyekevu asie na mawaa HAJIRA ###
@deogratiasntalindi42002 ай бұрын
MUHIMBILI#Afya bodcast# naomba mnisaidie mawasiliano ya Prof.Janabi nina maswali mengi sana
@franciskennethngwale51952 ай бұрын
Sio lahisi hivo kupata
@MosesMsuya-yq9ru2 ай бұрын
Imeeleweka doctor
@Bioone06Ай бұрын
Kulinda afya yako
@gabrielygodfrey78153 ай бұрын
Tuko pamoja Dr
@tumaininyambita50023 ай бұрын
Asante
@joycemboya57282 ай бұрын
Tunaomba Dr mfanyie utafiti Sawa zetu za asili tulizotimia huko nyuma na zikatusaidia
@goodlucknjau773 ай бұрын
Shikamoo pro kwenye pombe ongeza ata mbili mkubwa 😂😂😂
@user-ny8fl5gu6q2 ай бұрын
Heeeeee
@AbihudiMbekomize-uy7kp3 ай бұрын
Asante sana doctor lakini pia nina maswali jenaweza kuuliza
@ManyamaOG2 ай бұрын
Assalam alaikum, dr janabi naomba utuelezee maradhi gesi na namna ya kujikinga . Insha Allah
@benjaminjackson85672 ай бұрын
Thank you so much for your consideration 🙏🏿🙏🏿
@johngibson30893 ай бұрын
Asante sana Dr Janabi kwa kutuelimisha. Je, juice ya miwa ni salama kwa figo?
@juliuskitaluka12063 ай бұрын
Hakika MUNGU akubariki Sana wewe kweli ni msomi
@user-iy3fx7cl1j3 ай бұрын
Huyu jamaa anajua kutupa madini na anajua kuchambua
@DanielMabula-hs7kr2 ай бұрын
Good
@omarmohammed51573 ай бұрын
Hapa kwenye ulaji wa pombe kupitiliza ningependeza useme watu wasitumie pombe kwasabab hata hio glass moja inaleta athar ndan ya mwili
@DativaMbowe2 ай бұрын
Sasa mimi ninae kunywa wine zaid ya moja mungu nisaidie nimeogopa
@samyjoseph2732Ай бұрын
Nani kaniambia niangalie hii daaah 😢😢
@eujeniosamwel53232 ай бұрын
👏👏
@radhiambwana33533 ай бұрын
Tunashkur kwkuwa tunapata Elim ya mapema.
@mohammedabdullah589521 күн бұрын
❤❤❤
@drackshad29953 ай бұрын
🤝
@user-jm3jl3ir2q3 ай бұрын
Ningependa aweke nambayake jamani
@josphinengugi49782 күн бұрын
Dr Habari Niko na sida ya kukojoa Sana tena mukonjo unakuja na nguvu sana naulisa hi nisida gani??
@user-qr4jq2ly6j3 ай бұрын
🙏🙏
@jumannemalale29433 ай бұрын
Najua hii itanifanya niwe maarufu sana 😢😢😂
@bonifaceferdinand5663 ай бұрын
Somo zuri Dr,ila hujatuambia nini tule ili Figo zetu ziweze kuwa salama
@johnmwasilu70873 ай бұрын
Hayo aliyokwambia fanya kinyume chake ndiyo jibu. Pia yale asiyoyataja ndiyo hayana madhara makubwa unaweza kula
@sitisalum95733 ай бұрын
Mwenyezi mungu akubariki sana prof,
@isacklaizer67763 ай бұрын
Kunywa maji ya kutosha, punguza chumvi, punguza sukari, Punguza matumizi yaliyopitiliza ya dawa za maumivu (NSAID), Kuacha Unywaji wa pombe uliopitiliza...n.k.,
@MinskBelarus-il2tl3 ай бұрын
Boniface, mbona ameweka Wazi? MAJI KAMA CHAKULA BORA
@shukranjulius95263 ай бұрын
😂😂@@MinskBelarus-il2tl
@tatankakoroba483 ай бұрын
Our body when having too much acid ....can be reduced by eating alkaline foods ...ie all vegy and fruits
@abuuramadhan80933 ай бұрын
Janab
@rodsconehenry42493 ай бұрын
MAMBO YA AFYA HAYA,MWISHOWE MTATUAMBIA HADI KULALA NA FENI KUNASABABISHA FIGO KUFELI,,SASA USINGIZI ASKARI HAWALALAGI KABISA KUMBE NI HATARI
@ambroceharouna16123 ай бұрын
Wewe utabisha mpka kifo chako
@abdallahmmary85913 ай бұрын
Mzaha kwenye ukweli ni mzaha uliouzoea kwenye maisha yaki jitafakari ndg
@rodsconehenry42493 ай бұрын
@@abdallahmmary8591 angalia Figo zako sio zangu
@abasilihundu2003 ай бұрын
Nani kakwambia askari halalagi kabisa, acha kukariri. Kwamba mda wote anakuwa kazini
@rodsconehenry42493 ай бұрын
@@abasilihundu200 kwani Dr kasema tulale mda wote?au kukosa mda mwingi wa kulala?we unaelewa bs