Aondoke , Mbona Ronaldo ameondoka na Real Madrid na amebeba ubingwa wa UEFA na makombe mengine
@samwelimayunga41882 күн бұрын
Kwahiyo simba nayo imekuwa madrid ndugu yangu
@bbclondonulimwenguwasoka61262 күн бұрын
Toka kitambo Okwi , Kaseja waliondoka na Simba ikapata wafalme wapya kama Kagere, Manula ikabeba makombe
@mariaphilipo2 күн бұрын
@@bbclondonulimwenguwasoka6126 👋👋👋
@ShamCrowAbilityКүн бұрын
Real madrid sio simba jizime 💣data 2
@AhmedyyMicharazo-wi4mxКүн бұрын
😂😂😂 bado hamjasema
@pascalgasper4032 күн бұрын
Mi Simba Nampenda Huyu Msemaji tu😅😅 Mchezajj anashinda Hospital 😅
@israelmwasamboma70922 күн бұрын
Yote ni maisha aende awesome simba nguvu moja
@onekisstv84122 күн бұрын
😂😂😂😂 ila Ahmed ally asee sio poa wewe jamaa tukupe kipindi pale Cheka tu
@albertvalentino1302 күн бұрын
This is the big shem to them --- yaani msimu unaanza mpaka unaisha --- msimu mwingine unakaribia kuanza viongozi hawajajua kama wanamhitaji chama msimu ujao au la! " mambo ya ajabu "
@GibsonNtamamilo2 күн бұрын
Wewe hujui masuala ya mikataba usione wanatangazwa kuwa wamesaini ni Mtifuano hasa mastaa.
@noelmarapachi18082 күн бұрын
Jawabu wanalo na pengine wamesha fanya uamuzi, ni vile wanafikiri watakavyo waingia mashabiki
@taseleli91812 күн бұрын
@@noelmarapachi1808hakuna aibu Wala nini hapo hata msimu uishe na uanze hakuna Cha ajabu hapo Kwa kutojua nani anaachwa na nani anabaki.
@salumhamisi222 күн бұрын
Ndo umeandika nini?
@DanielChaula2 күн бұрын
Kama mchawi ivi
@azimioalbertongellangella89702 күн бұрын
Huyu ni comedian kabisaa😂
@KayegeleCharles2 күн бұрын
Mo kwakazi hii chama yeye sio mungu
@BenardSadani2 күн бұрын
Nakubal can Ahmed aly
@onekisstv84122 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 Ahmed Kwanini utoe buku unatuzalilisha
@TheBastarrrdКүн бұрын
😂😂😂mwehu sana huyu kijana
@user-wk2bg8zf3l2 күн бұрын
SIMBA NGYVU MOJA 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@modekaisirili58502 күн бұрын
Namba moja mjeshi apa
@user-jk1tw1fh5q23 сағат бұрын
Daaah simba ishakuwa na siasa nyingi saaana nenden directly
@godfrey39262 күн бұрын
Simba Sports, viongozi wanafanya analysis za maana, hakuna pressure hapa, tuliyafanya haya last time and didn't work, tutawapa muda. Simba, nguvu moja
@abdulsaha00952 күн бұрын
Hapo kwa Messi katupiga, Barcelona hawakumtoa Messi kwaajili Kiwango Chake.
@AbshirMubaarack2 күн бұрын
Yan dah ahmed bonge 1 la comedian
@AmaniKasekwa-uw8hpКүн бұрын
Chama Bado ana umuhimu sana kwenye timu yetu
@stevenkonalla-cm2rq2 күн бұрын
Kwa maelezo haya hauhitaji hata D moja kujua kuwa chama kashaondoka
@salimmalaka2562 күн бұрын
ULIMUONA TIMU INGINE BASI KESHAONDOKA HUYO 😂😂😂😂
@magobocrissvance11872 күн бұрын
Ha ha haaaaa
@GeorgeMarcky-og6os15 сағат бұрын
Taarifa hiyo ni maandalizi na ishara tosha ya THANK YOU ya chama mwamba wa Lusaka naamin wanasimba tutamkumbuka Kwa mengi ila ukweli ni kuwa hivyo ndivyo mpira ulivyo
@MAGEMEYOHANA2 күн бұрын
Kaka Leo umeongea point
@chillogeorge1383Күн бұрын
Ipi?
@CrissyMgaya-ti1np2 күн бұрын
Chama aende tu bwanaa yeye nan
@jamesjames23682 күн бұрын
Hongera semaji la CAF. Utopolo na Mamluki wake wanaweweseka
@josephatjordan21502 күн бұрын
SIMBA WANAANDALIWA KUPOKEA TAARIFA😂😂😂
@user-cs2mo8eb6n2 күн бұрын
Umeongea leo sana vizuri amedi Alil
@alexmbonde8154Күн бұрын
Jamaa anajua maana ya SWOT Analys alfu mess kaondoka bac kwasababu za kimshahara na siyo kama bac awamtak
@GeofreySamson-f2y2 күн бұрын
Aende tu. Mbona hapo mwishoni mwa musimu, Simba imecheza bila Chama na tukashinda mechi nyingi tuuu. Na kuna mechi tumecheza na Chama akiwemo na tukafungwa vlevle. Chama sasa aende tu
@furika7931Күн бұрын
Kama shabiki wa simba napongeza uongozi kwa uamuzi huu wa kuachana na chama. Ni mchezaji mzuri lkn ukilinganisha faida na hasara ya kuendelea na Chama binafsi naona Faid ni kubwa zaidi
@user-iq4rv8dq5r2 күн бұрын
Chama abaki kwa uwezo mkubwa alionao na makubwa aliyoyafanya Simba na kuwaziba mdomo kwa kumfuatilia mara kwa mara na itakuwa kiki ya kujichafua Simba.
@NorbethJosphath-hm1zb21 сағат бұрын
Acha woga
@user-lj2vp6ec1p15 сағат бұрын
Si wa mwongezee mkataba Chama wampe pesa tu
@user-vw2ux5sh4x2 күн бұрын
Chama abaki simba fundi sana
@anithawidambe75432 күн бұрын
Upo sahihi sana semaji letu la Caf wasitutishe
@rehemaabdalah1863Күн бұрын
Binafsi chama aende tubaki na tim yetu
@alicenice17112 күн бұрын
Huyu nae ameshaanza comedy zake kabla ya league😂😂
@VeronicaAdam-lx8yd2 күн бұрын
Unatak nn?😂😂😂😂
@OmarDaud-sf1kn2 күн бұрын
Nitashangaa sana kama mtamuacha chama ili abaki onana babakarsa fred maiko jobe itakuwa mnatutesa sana
@linnusaloyce6559Күн бұрын
Simba nguvu moya papaa wangu atuwazi vya jirani tunawaza familia yetu ukitaka kuishi vizuri usiangalie jungu la jirani yko likoje simamia lako huenda likawa nono kuliko lake ndg zangu
@LetasKomba-br1xhКүн бұрын
Kunamwaka Rial Madrid ilikua na mastaa wote wa Dunia lakin chaajabu hawakuchukua ubingwa wowote, kuwa na mastaa co kuwa na Tim bora
@user-ts2lz6zr7f2 күн бұрын
Plz chama achaguwe wapi anataka acheze asilazimishwe achaguwe anakotaka
@jumannechibaladya62232 күн бұрын
Acha maneno mzeee...unajidhalilisha tu...ukweli would unaujuwa..chama ndio ameamuwa kuondoka sio viongozi....
@onekisstv84122 күн бұрын
Ila Ahmed ally 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 aya bhana wewe jamaa comedian sana
@user-tn5zr5lu4r2 күн бұрын
Huyu ayhavurugwa na chama
@user-rz4mi8og1w16 сағат бұрын
Wazunguluka Eeeee ukweli nikwamba chama amegoma kuongeza mkataba
@user-xp5jo5id7e12 сағат бұрын
Ww acha ujinga mesi aliomba kuondok baada ya kuona barcelona imedhorot kiuchumi mess kiwango chake hakijawahi kushuka abadan ..
@marcokaroje8980Күн бұрын
Wachezaji wazuri huwa wanakuwa mabingwa wa nchi usiwadanganye umma dogo klabu imefeli na italendelea kufeli hata msimu juu
@omarymtotela37512 күн бұрын
Mbumbumbu fc
@user-uu8pb6qi3n2 күн бұрын
Chama akienda yanga na mm uko uko..
@abedysteven49302 күн бұрын
Karibu xana haha 😂😂😂
@dominicmasele7502 күн бұрын
😂😂😂😂karibu sanaaaa
@andrew-mv4pc2 күн бұрын
Wee naye unajitoa ufaham ...wakati kabla ya kukutana na Yanga ulikubali kuwa Yanga wana timu nzuri kuliko Simba ...na leo hii unasema eti msimu uliopita mlikuwa na mnatimu nzuri kuliko zote za ligi.....!!!!!
@DeusMadalali2 күн бұрын
Hujaelewa amesema Simba ili kua na wachezaji wazuri sio timu
@EzekiaMichael-jn5np2 күн бұрын
Sasa chama kwaheri Simba
@NemesMasawe2 күн бұрын
Ahmed bwanaaaa ni shidaaa
@wazinzatv3152Күн бұрын
Jamaa mbona anapigo za kishoga sana anabinya midomo kama demu aiseee
@japhetmahega3871Күн бұрын
Mmechemka nyie chama unampa thank you huku unachka asieee
@JohnAthanas-uu5opКүн бұрын
Kwa maneno hayo semaji tunaomba viongozi wafanye usajili wa kweli tupate kina chama wengine maana unadhilisha chama hatobaki simba
@BahathMmassa2 күн бұрын
Hayo maneno unayo yaongea hao unao waambia wanakusikia na wanakuelewa sana na wanakuona
@maulidubaya16422 күн бұрын
Chama kwaheri aisee kwa style ih
@Tchidymbanga2 күн бұрын
Hizi ni akili za DOUBLE KICK 🎉🎉🎉
@MpforsmartКүн бұрын
Semaji langu rinanifuraisha sana
@atotube1883Күн бұрын
Shida nikwamba messi kaondoka kaenda marecan lakini chama akiondoka anaenda yanga hauoni ni uzuni huo... akitoka anabidi haondoke kabisa tanzania
@ismailmasoud60012 күн бұрын
Tathmini ya mchezaji anafanya KOCHA au kiingozi...?..🤣🤣🤣
@user-uu8pb6qi3n2 күн бұрын
Messi ameondk Barca unaonaje Hal ya Barcelona
@komboarts71102 күн бұрын
Chama hayupo iko Wazi shikeni moyo ndugu zangu wanasimba wenzangu
@donaldbenedict5761Күн бұрын
Huyu jamaa kweli mambumbumbu
@wildlife57302 күн бұрын
Acha uongo mess ameondoka kutokana na maswala ya kifedha sio kiwango kimeshuka
Maskin makolo wanatia huruma ona wanavojitetea chama kawagomea hahahha😅😅😅
@froladaudi32172 күн бұрын
Mkundu utakuwa unakuwasha kakunwe
@taseleli91812 күн бұрын
Kama alivyowagomea Utopoloooo!!! 😂😂😂😂
@NemesMasawe2 күн бұрын
Jesh la mtuu mmojaaa
@GeofreySamson-f2y2 күн бұрын
Aende tu. Mbona hapo mwishoni mwa musimu, Simba imecheza bila Chama na tukashinda mechi nyingi tuuu. Na kuna mechi tumecheza na Chama akiwemo na tukafungwa vlevle. Chama sasa aende tu !!!!
@user-it7np6zz9f2 күн бұрын
Nimekuelewa sana semaji
@user-ce3tx7mr8v2 күн бұрын
DUBE ANASHINDA HOSPITALI KILA MECHI ANAWAFUNGA SIMBA,ITAKUWAJE AKISHINDA AVIC TOWN'?
@magobocrissvance11872 күн бұрын
Atawauwa
@BenedictohanscansumuniКүн бұрын
Hapo umeongea point leo
@fredmbossa-kc3qn2 күн бұрын
kiuhalisia inaonekana chama ndo kaikataa simba,,ila sio kwamba simba hawamtaki,,
@user-gd5fc6vk9fКүн бұрын
Uyu ahmedy ally ananikera mm anakicheko fulan hv Cha unafki sikipend Kama nn😂😂
@risekidy76609 сағат бұрын
Hapa hakuitaji hata D moja. Chama ni green and yellow😂😂
@user-rz4mi8og1w16 сағат бұрын
Sasa kama anashinda ospital ilikuaje mlikua mnamtaka
@mymussept36622 күн бұрын
Umenichekesha kwenye hilo buku lenyew daaa h
@jumbeojaso57672 күн бұрын
Ahmed amechanganyikiwa, kwani chama amemaliza mkataba na kuanzia keshokutwa ni mchezaji huru,. Inasemaje viongozi wa simba ndiyo wana mustakbali wa Chama? SHAME on you Ahmed
@robertzamani56122 күн бұрын
Ally Kamwe aliongea mapema sana kuhusu Chama mkaanza kuongea nae kumuongezea mkataba,Chama amewatolea nje Simba
@user-jn3nf7uw1wКүн бұрын
Nlopokaji anajua sambusa ni sawa na chapati??!!
@chillogeorge1383Күн бұрын
Siasa, siasa, siasa. Yaani hivi ndivyo mambumbumbu wao wanavyopenda. Tantalila kibaaao, msimu umeisha na unakaribia kuanza badala ya kuonyesha wamejiandaa vp kuziba pengo wao wanaendelea kuwapa piriton. Yaani Chama muda wote akae anasubiri maamuzi ya akina mangungu??? Vitendo vya Chama kwa viongozi wake vilionyesha wazi amechoka kuendelea na simba
@amanmohamed2202 күн бұрын
waulize Baca wanahaligan sasaiv?
@salimmalaka2562 күн бұрын
NIPE NAMBA YAO NTAWAULIZA 😂😂😂
@user-mg1yl2rl8s2 күн бұрын
Kama mnasajiri kina Mutale ni wazi jahazi linazidi kudidimia na ni wazi sasa timu imekosa mvuto kwa wachezaji wa maana na wakubwa. Chama hawezi kucheza timu isiyo na dira wala uelekeo wa kufanya vizuri
@LuckyTemu2 күн бұрын
YANGA SAIV ANCHEZA NA AIKLI YA MAI WAKE 2 😂😂😂 KDOGO 2 MMEJAA APO BADO
@josephgalandu128Күн бұрын
Hahaaaaaaaa waota ndoto za mchana baaadoooo ,sasa Chama mbaya😅
@AliAliahmada-ht4riКүн бұрын
Kama mlipoteza muda mwingi kuzungumza nae ili aongeze muda, na tajiri akasema kuwa bado wanamuhitaji Chama, leo hii unawezaje kusema kuwa Chama hawezi kuisaidia Simba, kweli wapenzi wa Simba ni mbumbumbu wanadanganywa kama watoto😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
kwa jinsi anavyoongea huyu kweli chama anaenda yanga
@juliusmvungi50872 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 Ahmed
@adamiddymbali402Күн бұрын
Ally mpumbavu 😂😂😂😂 eti ndo uwezo wangu😂😂😂😂
@hssanrubota3891Күн бұрын
Mnatusumbua kila siku chama chama ni nani ww na wengine ni wazi wa mb zetu hamujielewi mnasjil cocha hakuna wachezaji wanachukuliwa mikononi mwenu hamutak wazajwazur kama akina Pukuu ili mlete akina Sawa dogo ili mpige hela tumechoka na mashaili yako ya kipuuz