Mashabiki wa mpira tusiwatukana wachezaji wetu. Wachezaji muwe mnatusamehe tunapoongea
@hubertelias6180Күн бұрын
Broo uko sawa
@RashidOmary-bd5oz2 күн бұрын
Yanga watasajiri siasa
@anithawidambe7543Күн бұрын
CHAMA USIJALI BAKIA SIMBA
@stevendstv2725Күн бұрын
Wewe cukuwa pesa za waandiahi wa abari kwenye social media , utangaze ovio
@user-yh3dv2bl7u2 күн бұрын
Gb 64 Leo hunyoki vizur wachezaji wetu walio wengi hawajitumi wanajituma mpaka wakijiskia tunajua uwezo alionao lakini kunawakati hawaitendei haki nemboya Simba mtu ukwer apewe .
@jonathansirkintungi743420 сағат бұрын
Chama ana majivuno ataharibu wachezaji wengine aondoke ili simba irudi kwenye nafasi yake.
@stevendstv2725Күн бұрын
Akuna mchezaji kushinda timu ??? Uli kuwa na sema wakayi ulisjkiya chama ana ondoka , wewe gb 64 ovio kabosa , ovio 😂
@anithawidambe7543Күн бұрын
Chama tunaomba ubaki Simba.
@nasibuahmedy24389 сағат бұрын
Kun Aguero alishawafunga Liverpool tena msimu wa 2018/19 City akiwa home
@michaelijisida20 сағат бұрын
Michaeli jisida Masanja Chama ambaki Simba nampenda anajituma kusaidia timu ya simba
@EliasKishomaiКүн бұрын
naomba kuuliza kwan Simba tulivofungwa na Yanga Chama hakuwepo???
@AmaniKasekwa-uw8hpКүн бұрын
Nikweli chama ame tufanyia mambo makubwa chama apewe heshima yake pia viongozi wali angalie sana hili chama Bado ana umuhimu mkubwa kwenye timu yetu
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv8 сағат бұрын
Chama anatafa chakula ya watoto wake ataki sitori chama mwanaichi
@AshaNtimizКүн бұрын
Kwani chama amesaini simba
@nassorsharifu983723 сағат бұрын
ila hapo ni sizitaki hizi mbichi.
@KokoloLambinguniКүн бұрын
Saido alikua anasumbua sana timu pinzani kwanza achoki akiwa uwanjani anazunguka uwanja mzima
@beatusmajumbi71258 сағат бұрын
Simba siasa zinawaponza usajili anafanya mo kocha akija anasema wachezaji hawafai anzeni na kocha
@remmytemba6459Күн бұрын
Nakukubali
@ericmutalemwa8040Күн бұрын
Wapumzisheni hao wamevurugwa sana hao hawakijui hata wanachokiongea
@stevendstv2725Күн бұрын
Ausikiya aya ??? Ujuwi wapi uko
@Stephano7222 күн бұрын
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba Mimi nawaamini viongozi wetu wanaakiri yakuona mbali ila nawaomba tu wakae wafikilie kwa mxqwison wamludishe tu simba hata yeye hatakataa kwa Sasa atapunguza masharti ameliona jambo zuri liko simba sc
We ropoka tu. 0000 kichwan dunduka. Fc umesha zeeka. Epuka fezea wewe. Kwa wachezaji wapi umri si tatizo au unazungumzia wachezaji mitumba? Bei chee
@mathiasthadei9394Күн бұрын
Hiyo ni mbinu ya yanga ili simba imbakishe Chama na udhaifu ubaki palepale. Msimu ujao kipigo Kwa Simba kipo palepale
@HassanHassan-cd9fs2 күн бұрын
Pia GB 64 ulisema mo anaibomoa Tim lkn leo unampamba na kumuona hana baya
@salimmalaka256Күн бұрын
KWA HIYO TUKUSAIDIE NINI CHOGO WEWE 😂😂😂😂😂
@HenercoJacob8 сағат бұрын
😂
@JahaSaid2 күн бұрын
Nyie wote miyayusho na viongozi wote paka tajili,sasa mnafanya sajili bila kushilikiana na kocha mtakae mleta hamuoni tatizo?kocha yoyote atakae kuja hapo bado mtamtimua tu,kwani wachezaji bora na timu bora hujengwa na kocha mwenyewe
MACHOGOOOOOOOOO MMEKALIYA MAJUNGU NA FITINA TU 😂😂😂
@KokoloLambinguniКүн бұрын
Saido aludi
@HassanHassan-cd9fs2 күн бұрын
Mm unavosema simba ndio tim kubwa na mabingwa baran africa mm ckubaliani na ww ili nikuamin nioneshen makombe ya clab bingwa na mseme ligikuu bara mmechukua makombe marangap?
Namba zinasemaje? Ukubwa wa time sio makombe ndio maana leo ukizungumzia Tim kubwa kama tp azembe amechukuwa makombe ya shirikisho MARA 5 lakini yup nyuma ya simba huwezi kubishana au kupingana na ukweli ukiangalia namba
@ibrakulwa2737Күн бұрын
Jidanganye tu
@user-sm8vc7np8jКүн бұрын
We ndo ujidangany maana hjui lolote
@stevendstv2725Күн бұрын
Ovio wewe gb 64 ,
@ikulunimahalipatakatifu76422 күн бұрын
Unaenda kimataifa huna maestro players kama chama na onana , unaacha jobe , sarr sijui na nani ... hapo simba unazengua subiri kula sita na yanga tu.., na kutoka mechi za awali shirikisho, na kuendelea kugombania nafasi ya nne na tano
@taseleli91812 күн бұрын
Sasa wewe unaumia nini wakiishia nafasi ya nne hata wakifungwa 6 kwani wewe shida yako nini?
@MalonJr-en4kr2 күн бұрын
Chama kaondoka
@sosomacharles99202 күн бұрын
Unajidanganya,muda utaongea.
@mlaumusic2507Күн бұрын
Acha uongo wewe mshamba
@KabungaKalla-fw4pp2 күн бұрын
Nimeamini Simba Madunduka kweli hajawahi kusema kuwa Mo alikuwa nje ya Simba leo unadai kuwa ameridi.Habari ya kusajili chama nakudai ni mzee nihabari za wanasimba . Hata chàma moyo unataka mwili hautaki. Wananchi tuna vyuma sio timu ya kuunga UNGA hii. Wewe unahabari za kukariri. Uwezo wa chama umeshuka .na mtamkataa.na wewe utakuwa wa kwanza kumkataa.
@neemamwijage2 күн бұрын
Ayo yote umeyasema baada yakusikia chama anabakia simba
@athmanimkangara92902 күн бұрын
Utopolo katika bora wake
@nyakatievents2 күн бұрын
Simba team yangu ila hakuna uzembe wanaufanya kama kumbakiza chama malakumi ya saido kubaki kulko kubaki chama Simba Simba tumepoteza makombe miaka mitatu inatakiwa tufanye mabadriko ya wachezaji wenye kassi ya mpila wa sasa 😂😂 viongozi tatzo wanasajiri kwa kuskilza mashabiki na c kuiangalia team inaitaji nn hapa viongozi ziro