No video

Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela

  Рет қаралды 151,287

Azam TV

Azam TV

Ай бұрын

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.

Пікірлер: 282
@abdallahally842
@abdallahally842 Ай бұрын
Tunaosema tutajiunga na simba bando kuichangia simba weka like
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf Ай бұрын
Msemaji ni mmoja tu ktk ligi yetu ya African,na ni semaji letu la kafu ❤
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Ай бұрын
Yaan aacha tu ma simba day siku hiyo. Watakoma mwaka huu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mo Boss kubwa hoyooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍semaji wetu hoyoooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍
@NteziryayoAime
@NteziryayoAime Ай бұрын
Much love from Rwanda 🇷🇼 I'm APR FC fan 🤍🖤🤍🖤 turabakurikiye Tanu kwa tanu
@nesto_automobiles6537
@nesto_automobiles6537 Ай бұрын
Asanteni sana azam kwa kuiweka hii you tube maana niliikosa kutokana na kukatika kwa umeme
@abdallahally842
@abdallahally842 Ай бұрын
General magori ubaya ubwela genius
@user-rl1vr1fd1r
@user-rl1vr1fd1r Ай бұрын
Magori ni mtu haswa anatakiwa atunzwe kwa faida ya Simba ya sasa na baadae
@DicksonPeter-ym5od
@DicksonPeter-ym5od Ай бұрын
Magori ni mashine ya kweli pale simba ,mungu ampe maisha marefu pale simba,,,by dickson peter ..nikiwa dar
@JoshuaLeonard-lo3cs
@JoshuaLeonard-lo3cs Ай бұрын
Simba nguvu moja Tim kubwa Africa na Dunian tuwe watulivu kwanzia viongoz mpk mashabik tutaimarka tu na tutaendeleza ubabe wetu
@IsackVedasta
@IsackVedasta Ай бұрын
Msemaji Bora Tanzania 🇹🇿 na Africa nzima.
@user-ze2nk8cw5s
@user-ze2nk8cw5s Ай бұрын
Kama mpanzu anazingua aachwe maana waliopo kwangu Mimi viongozi siwadai ila ushauri wangu naomba waliosajiliwa wapewe nafasi wacheze
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu Ай бұрын
Huyu jamaa ni hatar ana kpaji kwakweli We love u broooo
@Hemedyamir
@Hemedyamir Ай бұрын
Magori anajibu maswali vizur kweli ni mtu wa mpira anaijua Simba kindakindaki Hawa ndo tunawataka kwenye Simba Kwanza anaipenda Simba ni fans wa Simba"Simba nguvu moja🔥💪"
@user-lo9fn9hf7q
@user-lo9fn9hf7q Ай бұрын
I
@user-gn4cp2vq2y
@user-gn4cp2vq2y Ай бұрын
Nawapongza saaaaana wakuu wangu hao kwa kazi nzuri wanazo fanya kwa moyo,....mungu azidi kuwajalia afya njema
@Dayotz
@Dayotz Ай бұрын
Bro magoli u looks like my dady rest in peace dady
@mohamedjuma1960
@mohamedjuma1960 Ай бұрын
Am proud Simba fan
@DullhFeyy
@DullhFeyy Ай бұрын
Ahmad bin Aliy nakukubar sanaaa kwa uwezo wa mungu inshaanllah furaha tuliyoikosa kwa mda mref viongozi wachezaji wajitume kwa bidii wajue kitu gani tunacho kihitaji tutarudi kwenye furaha tuliyo ipoteza.
@user-bh7cc4dt3b
@user-bh7cc4dt3b Ай бұрын
Mungu awabariki Simba yetu isonge mbele, amina
@Lusindehalima-si3ej
@Lusindehalima-si3ej Ай бұрын
Wapi onana jamani mtuweke wazi tunaumia mashabiki wake
@SwaumuShabani-qm4xo
@SwaumuShabani-qm4xo Ай бұрын
Semaji anaetrend tiktok cmba nguvu moja ubaya ubwela
@yusufmruma2870
@yusufmruma2870 Ай бұрын
Magori is intelligent, big up
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf Ай бұрын
Magori,napenda sana majibu yako kama mgunda tu,maneno mengi ya nini unajibu point
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Ай бұрын
SAFI SANA SEMAJI LETU LA CAF. TUNAKUPENDA SANA WANASIMBA
@gabrielrobert8677
@gabrielrobert8677 Ай бұрын
Magori mtu haswa, hamnaga mkurya fala Town.... bigg up saana Tata Magori
@abelimaganga417
@abelimaganga417 Ай бұрын
Hawa watu wawili sina mashaka nao kabsa nawaamini mnooo🦁🦁🦁🦁
@salumumabomba9611
@salumumabomba9611 Ай бұрын
Nakubaliii sana Chama langu,Magori mnyamaaaaaaa
@Busagotz
@Busagotz Ай бұрын
Ally komwe na Hers njoo ujifunze kuongea kama hiv pointi
@issahamis581
@issahamis581 Ай бұрын
hawezi yure bwakubwaku
@abumuhammad9615
@abumuhammad9615 Ай бұрын
Interview imekamilika sana
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 Ай бұрын
Magori yupo vizuri, hana papara, katulia
@HajiKanyumbu-xn6vh
@HajiKanyumbu-xn6vh Ай бұрын
Nalipongeza sana chama langu simba 🦁🦁🦁 nguvu moja 💪💪💪
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Ай бұрын
Mpanzu na Fei Toto tunauwa watu kwa pressure, please waleteni msimbazi
@user-ms8rl1nr9o
@user-ms8rl1nr9o Ай бұрын
Hongereni sana viingozi wetu
@raphaelernest8253
@raphaelernest8253 Ай бұрын
Nakubali ubaya ubwela
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le Ай бұрын
Semaji la wasemaji tz wengine waropokaji tu
@teilencedevard9431
@teilencedevard9431 Ай бұрын
Semaji linalo ingia on trending upepo unao semaji
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw Ай бұрын
Mtangazaji ni shabiki wa simba ameshindwa kujizuia
@timothymbughuni1356
@timothymbughuni1356 Ай бұрын
Humjui vizuri Mahmood wewe, ni utopolo mzuri tu but very professional!
@user-ts8bf4ef3u
@user-ts8bf4ef3u Ай бұрын
wewe ni wa juzi juz bin zubery ni mwanachama wa yanga siyo shabiki tu ni mwanachama wa yanga
@Lusindehalima-si3ej
@Lusindehalima-si3ej Ай бұрын
Jamani mbona kibu hatumuoni kulikoni?????
@mnyusihiza9161
@mnyusihiza9161 Ай бұрын
Roho mbaya haijifichi unaumia ukiwa wapi 😂😂😂😂😂
@timotheothadeomgassa4929
@timotheothadeomgassa4929 Ай бұрын
Ulitaka awe chura?
@djchid2417
@djchid2417 Ай бұрын
Huyu mwamba ni hatar ni mashine ya kuongea
@AbkHashim-o3j
@AbkHashim-o3j Ай бұрын
Viongoz wanapo fanya usajili wanaakiri wana jua nan anafaa kwahyo tusubirie viongoz wafanye usajili tuone uwanjan alafu unapo sema ni siasa wewe mwanachama? Tusiwe tunapga makelele alafu kumbe hata kad ya mwanachama huna waache viongoz wafanye usajili
@dixhangdecious7528
@dixhangdecious7528 Ай бұрын
Una hoja kabsaa familia ✊
@songarashidy1995
@songarashidy1995 Ай бұрын
yoooo if you like SIMBA like my comment down
@juniorjoshua2452
@juniorjoshua2452 Ай бұрын
Musa mangungu ni kilus I mpaka Sasa wengi hawamtaki ila watu wameamua kuweka umoja
@DeborahSaitoti-oy7fm
@DeborahSaitoti-oy7fm Ай бұрын
Kweli Ila atatoka tu simba tuweke kwanza nguvu nyingi timu na club ikae sawa mangungu ni mdudu mdgo Sana siku moja tu makiamka anakuta THANK YOU YAkE MEZANi😂😂😂😂😂
@KibibiMwalimu-pg8fg
@KibibiMwalimu-pg8fg Ай бұрын
Mimi ni mwa😊 mwanachama lakini Nipo American nitafanyaje ili nichangie nikitokea huku 🇱🇷?
@user-gz2or2ui9n
@user-gz2or2ui9n Ай бұрын
Kongole sana semaji la caf
@mohamednipala7000
@mohamednipala7000 Ай бұрын
Simba.....!!!!! Nguvu moja
@shekhebakari1998
@shekhebakari1998 Ай бұрын
Naitwa Hamis from kigamboni naomba hiyo huduma yasimba bando ije namitandao mingine tafazali
@MwanahamisHussein-dp2if
@MwanahamisHussein-dp2if Ай бұрын
Nanunua
@FreemasonPesaZaMajini
@FreemasonPesaZaMajini Ай бұрын
Ongezeni wanachama wapya,lkn mkiweka sharti moja la kila mwanachama lazima alipie kadi yake kila mwaka na akiwa ajalipia ndani ya miaka miwili ifutwe apewe mwingine na yeyote atakayelipia siku ya uchaguzi asiruhusiwe ili kumfanya aone umuhimu wa kulipia kadi kwa wakati
@mariammbapira645
@mariammbapira645 Ай бұрын
Simba bando ipo vodavom
@renatusmwanakatwe-gl9xb
@renatusmwanakatwe-gl9xb Ай бұрын
Asante azam
@hamismwangwale563
@hamismwangwale563 Ай бұрын
Ubaya ubwela Ila SEMAJI LETU halitaki unyonge🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mwasunga
@mwasunga Ай бұрын
Amed baba utaniua mm wew nimwamba ndomana walikushindwa wakaleta watatu iri wakuchangie wamelala nabado watalala
@mwanangusana
@mwanangusana Ай бұрын
😂😂😂😂😂 sasa iyo ni taasisi kweli ?? Kitengo kiwe na mtu mmoja kwelii ??
@epefrapetro1398
@epefrapetro1398 Ай бұрын
Mimi nimwana chama wa smba nigeomba kramo twende nae naiman atatusaidia
@AlexMgeta
@AlexMgeta Ай бұрын
Mbona kramo yupo sana na aliongeza mkataba wa mwaka mmoja
@georgesamweli4062
@georgesamweli4062 Ай бұрын
Semaji 🎉🎉🎉
@Miche7_
@Miche7_ Ай бұрын
Mashine ya kuongea alikuwa anaumia 😂😂😂😂
@samahakihange6421
@samahakihange6421 Ай бұрын
Nimeipenda iyo raisi wa wasemaji ote tanzania semaji la caf
@user-bf3mm5wu1s
@user-bf3mm5wu1s Ай бұрын
simbaa nguvu moja 😊😮
@omariwaziri5031
@omariwaziri5031 Ай бұрын
Kadi za mashabiki tuna zipataje
@KibibiMwalimu-pg8fg
@KibibiMwalimu-pg8fg Ай бұрын
Nataka kadi yangu niliyosajiliwa wilaya ya mvomero kata ya mkindo Nataka kuchangia nikiwa huku 🇱🇷
@JasmineMahdi-w9f
@JasmineMahdi-w9f Ай бұрын
Mtafut Ahamedi aliy
@KanizioBugota
@KanizioBugota Ай бұрын
Tuipende simba yetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@IssaKisaka-wo3mq
@IssaKisaka-wo3mq Ай бұрын
Simba nguvu moja
@ashrafameir4064
@ashrafameir4064 Ай бұрын
Kwanini wamemtoa mgunda kwenye bench
@robsonwilliam8301
@robsonwilliam8301 Ай бұрын
Wenzenu wanatafuta wachezaji ninyi mnatafuta maneno mtaani ya kudanganyia watu.
@RashidiKilumbi
@RashidiKilumbi Ай бұрын
Tutajie Tena hiyo no, ya kujiunga Simba bando.
@johnmgalatia5375
@johnmgalatia5375 Ай бұрын
Pia muulize tulihamasishwa kukata kadi za uanachama kupitia benki ya Equity bank je zile tuachane nazo?na tukate za CRDB NA NMB?
@johnmgalatia5375
@johnmgalatia5375 Ай бұрын
Naomba namba ya msemaji Ahamedy
@AbednegoMurosi
@AbednegoMurosi Ай бұрын
Mwenda hatumuonii kambini
@afaijuma8474
@afaijuma8474 Ай бұрын
Kwanza nawapongeza kwakipindi kizuli oja yangu. Ipokwenye namna yakutumia mtandao wa Voda Mimi nipo Mozambique nauku sisi tupo tunanufaishaje Simba yetu?
@sijaonamjungufinias481
@sijaonamjungufinias481 Ай бұрын
Kramo jamani mwacheni mbona kapona jamani
@likubaro7443
@likubaro7443 Ай бұрын
Nijambo jema Sana hilo,ushauri kuweke utaratibu wa taarifa za makusanyo ya kila mwezi wapenzi wangapi wa simba wamejiunga na kiasi gani kimechangiwa hii italeta moral yakujiunga wengine.tunataka kujenga uwanja tunashindwa vp na KMC?.wingi uwe ni sababu kuleta maendeleo.
@hamadbakar7091
@hamadbakar7091 Ай бұрын
Simba nguvu Moja yani mwaka huu tumesajili IGP watupu au maamiri jeshi watupu yani hakuna kuruti kwenye kikosi chetu
@peterwilliam5411
@peterwilliam5411 Ай бұрын
Azam TV kiboko yaoo 🎉🎉
@ROJAOMARY-ys7xb
@ROJAOMARY-ys7xb Ай бұрын
Kipindi kitam sana nilokuwa natamani kusikia sauti ya father magoli na hamedi alii
@allymtunge5530
@allymtunge5530 Ай бұрын
Kwan uto wanakuaga wapi? Kufikili sana
@RomwadMhagama
@RomwadMhagama Ай бұрын
Nasisi wangoni hua tunatumia hiloneno
@AudaxLwekamwa-kt6eg
@AudaxLwekamwa-kt6eg Ай бұрын
Kuna mwamba njaa ilkua inampiga apo 😅😅kiasi kwamba anapiga miayo kwenye myk😅
@malickomary5687
@malickomary5687 Ай бұрын
Sema huyu mzee magoli safi sana yani...
@kingndinyo9764
@kingndinyo9764 Ай бұрын
Trending 1 simba nguvu moja
@user-kn7bo6iz4n
@user-kn7bo6iz4n Ай бұрын
Nguvu mojaa❤❤❤❤
@JosephMwita-m7t
@JosephMwita-m7t Ай бұрын
Nakupongeza sana sana kwa kufanya usajili mkubwa sana Bado mmoja tu ellia mpanzu
@elinathanbanka5485
@elinathanbanka5485 Ай бұрын
Tukimshindwa Elia mpanzu bac yanga bingwa tena na jezi ya msimu huu ctanunua kabxa
@ivankakooza1765
@ivankakooza1765 Ай бұрын
Utopolo ni Utopolo tu
@jr45_unique10
@jr45_unique10 Ай бұрын
Huo niushamba kama ushamba mwingine usajili niswala lamakubariano na lenyefaida pande zote mbili kaka
@VeronicaAdam-lx8yd
@VeronicaAdam-lx8yd Ай бұрын
😂😂😂😂Wew ninan usip nunua
@Hassan-ot1mc
@Hassan-ot1mc Ай бұрын
Usiponunua sisi tutanunua
@MuftyHussein-kf7tm
@MuftyHussein-kf7tm Ай бұрын
Nimesha nunua tayari imeisha hiyo nguvu moja ❤❤❤😂😂🎉
@user-bb8de4bl5n
@user-bb8de4bl5n Ай бұрын
Wewe hujui kitu huyu Zubery Yanga damu ujue hilo
@jumamnemo8383
@jumamnemo8383 Ай бұрын
Hiyo safi Simba bando
@josephfrank4446
@josephfrank4446 Ай бұрын
Sasa magor karudi nafraha sasa🎉
@brycesonkaaya9764
@brycesonkaaya9764 Ай бұрын
Mwambie Ahmed Ally anakumbuka alichoambiwa na mshabiki wasimba toka mikese juu ya uzinduzi wa jezi?
@JohnEugeni-f8m
@JohnEugeni-f8m Ай бұрын
Yaan simba huwa wanaanza yanga wanaiga et yanga famili mara wiki ya wanachi yaan lzm simba waanze wao wanaiga
@GervasKasagula-m7m
@GervasKasagula-m7m Ай бұрын
Magoli tunakutakia majukum mema ya simba yetu
@westonyjob1747
@westonyjob1747 Ай бұрын
Semaji la cuf umetisha
@BigZhumbe
@BigZhumbe 29 күн бұрын
Semaji la Mnyama, Semaji la Dunia 🎉🎉🎉🎉🎉
@jumanneelias-mc7sw
@jumanneelias-mc7sw Ай бұрын
iyo simba bando naomba iwekwe kwa mitandao yote pleaSE
@harunaThobias
@harunaThobias Ай бұрын
Kramo Bado nimchezaji wa Simba?
@ELIASJACOB-by4qs
@ELIASJACOB-by4qs Ай бұрын
Nguvu moja 💪💪
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 Ай бұрын
Ni kawaida yetu walijitapa kupambana na sisi nyuma mwiko likawakuta wakajitoa Tena Kwa aibuuu
@user-cg8vh4fn7z
@user-cg8vh4fn7z Ай бұрын
Mbona kama kuna mtu anapiga mihayo apo
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw Ай бұрын
Ahmed hata uwe shabiki wa yanga na azam lzm umsikilize tu 😂 ila hao wengine kina kamwe wanasikilizw ma mashabk wao tu
@iddiyusufu4408
@iddiyusufu4408 Ай бұрын
Kaka umeongea maana kamwe ni shabiki siyo msemaji
@ZachariaMwita-bu7rw
@ZachariaMwita-bu7rw Ай бұрын
@@iddiyusufu4408 msemaji mi mmoja tu 😆
@jacksonmatitu3918
@jacksonmatitu3918 Ай бұрын
interview ya kwanza no 1 trending
@Mrsule255
@Mrsule255 Ай бұрын
406 subscribers 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👏👏👏🙏... let's go..!
@MtoroIdd
@MtoroIdd Ай бұрын
Mzee magori fukuza manula huyo kirusi kitoke
@MartineRichard-me2ip
@MartineRichard-me2ip Ай бұрын
Simba Nguvu moja
@khalidsharji2462
@khalidsharji2462 Ай бұрын
Simba nguvu Moja tuchangiye
@mariammbapira645
@mariammbapira645 Ай бұрын
Wangoni pia bwers njoo rudi kibantu
@CyprianHatari-qy9yv
@CyprianHatari-qy9yv Ай бұрын
Mfarume wa nyika wekundu wa msimbazi
@rogatikaigarula4112
@rogatikaigarula4112 Ай бұрын
Mzee magoli utakaa mdagani ktk uongozi wa simba?
Vital'o FC 0-4 Yanga SC | Highlights | CAF CL 17/08/2024
10:10
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 30 МЛН
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 10 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /28/ #love
45:53
BabaJoan
Рет қаралды 24 М.
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 30 МЛН