Naipenda simba naitaji furahaa kwa vifaa vilivyo sajiliwa
@ThomasAssey7 күн бұрын
Ukweli ni semaji na sio afisa habari ndio maana alimsifu sana jobe , chikwende, sawadogo Babar sar najua hatujasahau kuhusu wimbo wake kuhusu mlete mzungu ama kesha sahau jinsi alivyo ropoka kumsifu hayo nkwake ni mafanikio makubwa na huenda akaweka rekodi ya kuwa msemaji aliyefeli zaidi katika historia
@simonphabiano905010 күн бұрын
Semaji🎉
@SaitotyLangass10 күн бұрын
Simba ngu Moja lakin ahmedi ali tunataka kuona uwezo wako wakujiamisha mkuu tumechoka 3:53
@user-jn3nf7uw1w9 күн бұрын
Nlopojaji subiri ngoma ianze..boli c mdomo ni uwanjani Goli 5 pale pale
@user-ds3wk8cq1e10 күн бұрын
Mwaka huu Vipi kibegi kipooo
@roberttagaya909810 күн бұрын
Huyu jamaa ni kiboko kwa kujibu majibu ya uweledi.
@waziribori228010 күн бұрын
LAMECK LAWI ACHEZE SIMBA COASTAL HAITAMFIKISHA MBALI VIONGOZI WA COAST WANAMHARIBU
@SaitotyLangass10 күн бұрын
Simba ngu Moja lakin ahmedi ali tunataka kuona uwezo wako wakujiamisha mkuu tumechoka