Hans Rafael ni mwamba kweli kweli for me ni mchambuzi wangu bora kwa sasa.
@athumankassim-vp8bn12 күн бұрын
Am from Mombasa but huyu jamaa anajua sana anachozungumza congratulations 👏
@ShedrackYohana-v4c12 күн бұрын
Hans rafaeli nimchambuz wangu Bora kwa sasa
@Stevennaminga13 күн бұрын
Nawakubari sana kazi njema.
@user-ou4ck8uj2b13 күн бұрын
Hans unajua
@andrew05025 күн бұрын
Kwan Geoff Lea wa EFM/TVE naye amekuja huku Crown? mbona nmesikia sauti yake
@nabiimgongolwa87289 күн бұрын
UONGOZI UKIWA WA KIJANJAJANJA WACHEZAJI HUKATA TAMAA.
@BuruhaniRashidi2 күн бұрын
Namuelewa hansi
@MaepoHassan12 күн бұрын
Ww ni bora kwa sasa
@anithawidambe754313 күн бұрын
Kocha na viongozi sikilizeni France Rafaeli anavyoonea yupo sahihi sana fuateni anavyopanga timu
@jaffjeff691213 күн бұрын
@anitha kuuchambua ni jambo lingine ila kuucheza kwake sasa
@eddyology73049 күн бұрын
Mpira ungekua unachezwa mdomoni wangemsikiliza
@SaidFupi8 күн бұрын
Na mpira unapangwa mdomoni ndio maan kocha hachez ila ndie anaetengenez timu
@anithawidambe754313 күн бұрын
Nyie pangeni kikosi kwakufuata huyu jamaamkaka
@Jumaaissa-mm6eg10 күн бұрын
Jemedar jau
@ChachaMakuru-s9o6 күн бұрын
😂😂😂😂😂et watazuiaje juma ayo bna
@paulpaschal618511 күн бұрын
Huyu msimu ulopita akiwa wasafi baada ya usajili alisema YEYE HAWADAI SIMBA WAMESAJILI KWELI na hatawalaumu...ila kuelekea mwisho wa msimu akawa anasema SIMBA WANAFELI KUANGALIA WACHEZAJI WAZURI WA KUWASAJILI,akajisahaulisha maneno yake...haya maneno yake yatunzeni halafu ikitokea wachezaji wamefeli tumsikie anachosema
@sikapendinakapenda417011 күн бұрын
Huyu au Hawa watangazaji wote wa WASAFI wote ni Utopolo na wapo kwa ajili ya kuijenga Utopolo na sio SIMBA. Haitotokea never on earth wakaitakia mema SSC. Hivyo ku-comment hapa ni kama kujichoresha. Bora kusikiliza Clouds ambao wanatafuta balance na sio bias.
@eddyology73049 күн бұрын
Hii ni CROWN. Sio wasafi
@mohamedimbaki9713Күн бұрын
@@eddyology7304😂😂😂 ujue kujitambua ni kipaji
@eddyology730423 сағат бұрын
@@mohamedimbaki9713 kabisa. Kama vipaji vingine tu. Sasa kaandika utitiri wa maneno halafu yote pumba tu