Ndg Kalonga nashukuru kwamba umezungumza ukweli hayo unayozungumza nadhani ni ya kweli kabisa. Mungu yu pamoja na wamchao. Bahati mbaya ni kwamba Mhe Msigwa kiapo cha madhabahuni kinaweza kumtesa kweli kabisa ni wakati wake kutubu na kurejea hata ikiwa si kuwa mwanachama wa CDM.
@MageAwe-hl5zb17 күн бұрын
Ubarikiwe kaka ubarikiwe kwa kusema ukweli hakika msigwa ni yuda msaliti
@corporatethugsent738017 күн бұрын
Daaa aseee kumbe CHADEMA Ina watu jaman hawaskikagi biut wanahekima sanaaa yan dah
@CornenciaFaustine-pd2rc18 күн бұрын
Kumwita mchungaji msigwa ni kukinajisi cheo cha uchungaji kidini. Nafikiri ataeleweka vyema kama ataitwa msigwa iskariote aka mzee wa vipande thelathini.
@user-bz5ti6op6z17 күн бұрын
Usimtukane mwenzio fanya kazi yako tu
@emanuelsinyinza17 күн бұрын
Kwa mikowa yetu mbeya na songwe mtajuwa ni wilaya ipi inawasomi waliyo bobea hasa wanasheria. Hongera sana wasomi wa rungwe mnatutowa soni
sitarajii umsifie Msigwa hata kwa fimbo linda ajira yako ya usaidizi! tundu rafiki yangu wa karibu sana lakini siwezi msema msigwa kisa jinsi tunavyofahamiana na Lisu. Msigwa kaamua tumieni muda wenu kuijenga CDM kumsema hakusaidii hata kwa pesa! Ubora wa chama sio kusimangana ni kukijenga chama toka SACCOS ya mchaga mmoja kuwa chama cha kijamii!
@wilifredmollel969018 күн бұрын
Msigwa asingeweza baki chadema bila uongozi ndo Mana kasaliti
@wilifredmollel969018 күн бұрын
na asikie alipo huyo msigwa
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey16 күн бұрын
KABAINI KWAMBA CHADEMA HAINA SERA NA WALA VIONGOZI PIA NAO HAWANA SERA KAONDOKA IMEKUWA NDIO SERA YENYEWE TAFUTENI JENGINE KWA SASA MSIGWA CHADEMA NI BENDERA KUFUATA UPEPO UENDAPO
@JosefuSwai17 күн бұрын
Kaka uko vizuri sana Asante sana
@chezariboy17 күн бұрын
Kwenye loliondo na sakata la wamasaimsohwa alikuwa. Bubu alikuwa upande wa samia na uccm. Kwelii nimeaminii, with wanamjua kea kina Sana msigwa
@abbiecox116 күн бұрын
mmetoka hamkutoka wezi toka kenya nyie tupa kule!
@generosennko834317 күн бұрын
Duh! Baadhi ya hawa watumishi wa mungu wanahitaji kuombewa rehema kwa kweli. Wanaweza kuwa wanaumia sana mioyoni wakijifanyia self examination. Tuwaombee tuu
@benardkinde849618 күн бұрын
Ni kweli kabisa kama kweli ni mchungaji msigwa hayupo salama maana Mungu hapendezwi na wazalimu na wanafiki
@abbiecox116 күн бұрын
fungua kanisa kama umejua Mungu amemchukia aliyejitoa na kumpenda mmiliki wa SACCOS
@joelsaganya407718 күн бұрын
Kuna kikao kimoja cha bunge Msigwa aliambiwa na wabunge wenzake kuwa hafai hata kuchunga nguruwe, kilichotokea kimethibitisha yaliyonenwa.
@user-iy8mq9ii8t11 күн бұрын
Kabla hajahamia ccm alikua anasemaje kuhusu.ccm na Leo anesemaje kuhusu chadema.msikilizeni
@yudanziku603018 күн бұрын
Msigwa kwa hadhi yake boraa awe mkimya kwakweli.
@philemonsnyanda945018 күн бұрын
Amuulize zito kabwa aliekua anaandaliwa majukwaa na ccm
@TemuCalvinWilbard17 күн бұрын
Msigwa tulimwamini sasa amegeuka mamluki amelikoroga na atalinywa
@wilifredmollel969018 күн бұрын
Hakuna mwenye ubavu wa kui ua chadema tuna usubiria mkutano wake aje aseme habari ya sacos.
@abbiecox116 күн бұрын
si bora umuulize Makengeza mmiliki wa SACCOS
@user-iy8mq9ii8t11 күн бұрын
Kigeugeu hakinaga mwisho na huko akikosa cheo ataondoka kwan nn? Mbn hakuondoka chadema alipokua kiongozi
@user-hu9bf7nw4c12 күн бұрын
Msigwa ni feki ,maana anajifanya mtumishi wa mungu kumbe huko serikalin ameenda kua tapel wa vyama au serkalin
@francissimwinga-gb2vd18 күн бұрын
Msingwa mnafiki tu anajiita mchungaji kanunuliwa na makaratasi ya Dunia
@DamasAmos-ue2gh16 күн бұрын
Ndungu yangu musigwa simchungaji uchungaji wake unalusu lushwa uyo nimchungaji muchumia tumbo akuna chauchungaji pele ninjaatu wengine wanamchezea mungu
@gowekogoweko580317 күн бұрын
❤
@sebastiansalamba31317 күн бұрын
Mko sawa nafikiri mwakani itakiuwa kivumbi nguo kuchanika
@MnubiMm16 күн бұрын
Hivi kumbe nyie ndio mlimtuma yule kijana achome picha ya Raisi haya usemayo ni yale ulioambiwa na bosi wako ila bakisha akiba ya Maneno hayana Ukweli unamtafutia Msigwa njia ya kuchafua msingwa lakini pia msigwa alionekana wasiwazi ataenda kumpinga Mbowe kwenye Uchaguzi mkuu kwa nini usiseme haya kabla ya msigwa kuja CCM story tu hiyo
@chezariboy17 күн бұрын
Duiiiuuu,, nimekuamni kwenye lalamiko la uuzaji loliyondo msgwa hjawai uunga mkono
@HadaikaNgabona16 күн бұрын
Wewe bado una cheo siku ukiacha na wewe utavua gwanda.
@annemlay1117 күн бұрын
CHADEMA kwa asili kina shida.Msigwa na Lowasa nani zaidi.
@MageAwe-hl5zb17 күн бұрын
Mama atamweka sasa msigwa kama katibu mwenzi
@JuliusMlengeswa17 күн бұрын
Siasa haina rafiki au adui wa kudumu! Huoni maslahi Hamia penye maslahi mapema
@emanuelsinyinza17 күн бұрын
Wateuzi wanaleta soni kulawiti kupigilia chupa raia sehemu za siri nani atakuwa na imani nawateuzi wenye udhaifu kama huo.
@marakidtz945418 күн бұрын
Hii habar ni ya Jana Jumatatu Jitahidi Uwe Unaenda Ontime
@tumainimwaifunga388417 күн бұрын
Kumbe anaroho mbaya
@PaskaliCharles-pz8ds17 күн бұрын
Aondoke tu kibaraka mkubwa na wananchi hawana tena imani nae labda wampe nafasi za kiteuzi
@clemencemkondya856118 күн бұрын
Chadema wanachama na viongozi wao niwatu wakuprnda shari .mnamtetea mtu mhalifu .
@walidmgonja364418 күн бұрын
CHAGADEMA ni chama cha wahuni,wao ndio wanashawishi vijana kuvuta bangi,kutukana,kukosa adabu nk
@jesaminzo17 күн бұрын
Jitahidi ukate rufaa kijana arudi ndani, kama huridhiki na miaka miwili au faini ya milioni tano!
@sebastianmwantuge559717 күн бұрын
Wahuni ni wale wanaofuja rasilimali za Tanganyika @@walidmgonja3644
@user-bx3ko9ft5t17 күн бұрын
Upendo usipende chadema Iko juuu
@walidmgonja364417 күн бұрын
@@user-bx3ko9ft5t ni kweli chagadema ipo juu Kilimanjaro
@abdallahkihanza48217 күн бұрын
Alijitoa kafara na ubunge iringa hapati
@obinasimbeye175014 күн бұрын
Kajitoa kafara
@MusaOgwoko17 күн бұрын
Mchungaji kuku
@user-tb8zb4rv6h18 күн бұрын
Nyie chadema hamuoni kama chama chenu kinakwenda Mirama?
@lupyanamatimbwi806418 күн бұрын
Msigwa mnafiki au hypocrite
@tanzanite994417 күн бұрын
Hata Godbless Lema yuko Mbioni kusaliti kwasababu ya Maslahi binafsi, ni muda tuu utaongea.
@user-jc8el6je5e17 күн бұрын
Wewe nikma gwajima alivyo sema amempoteza MAKONDA kwenye siasa lakini....,....,..,.
@allyhasani375018 күн бұрын
Tangia alipotetea uzwaji wa mapoli loliondo nilimfuta kichwan mwangu
@tanzanite994417 күн бұрын
Nawewe unaamini kuwa Mbuga ya Loliondo imeuzwa? Shida za akili za Watu wa chadema ndio mama hii Sasa kuamini kila kitu. Yaani kitu kikikodishwa kwa Chadema ni kimeuzwa.
@neliusgosbertbaguma869317 күн бұрын
Kwahiyo unaona sawa kukodisha mbuga na kuhamisha wakazi? Kama ilikodishwa uliambiwa wamelipa sh ngapi na watakaa kwa muda gani?
@HamzaHeri18 күн бұрын
WEWE KAMA NI MSAIDI MKABILA NA MDINI HUYO ALAFU MBINAFSI HANA HOJA YEYOTE KUTUPOTOSHA SISI WA TANZANIA SIASA ZENU HAZINA NA FASI NCHII HII
@Brunn-mh2bq18 күн бұрын
Haya tena mtetezi wa mama hebu tuambie una hoja ipi ya maana kama unaona ukabila na udini basi wewe ni.....
@TM-zs3rm17 күн бұрын
Hamza mwislamu wewe ndo muuza roliondo na mamako. Waarabu wamekupa kilemba na ukajisahau wewe ni mtanzania unamuuza mpaka mkeo au kumtoa mwanao awe mke wa tatu. Nani anahitaji awe mke wa tatu. Si hajiamini. Utawezaje kuwa kiongozi kwa namna hii.
@user-cz5sd6ys8i18 күн бұрын
Mbona wewe ni chawa alafu hujioni,chadema na Wana chama wao wako sahiii