AIC Chang'ombe Choir (CVC) ft. Zoravo - KILA ULIMI (Official Live Video)

  Рет қаралды 263,316

AIC Chang'ombe Choir (CVC)

AIC Chang'ombe Choir (CVC)

4 ай бұрын

#KILA ULIMI, ni wimbo wa Nne katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
Tunaamini wimbo huu utaenda kufanyika Baraka katika maisha yako. MUNGU AKUBARIKI.
LYRICS
Iweni na nia iyo, hiyo
ndani yenu
ambayo (ambayo)
Ilikuwemo pia ndani ya Kristo Yesu ( Kristo Yesu)
Ambaye (ambaye)
Yeye mwanzo (Yeye mwanzo)
Alikuwa Yu na namna ya MUNGU
Naye hakuona
kule kuwa sawa na MUNGU
Kuwa ni kitu
Cha kushikamana nacho
Bali alijifanya
kuwa hana utukufu
Akatwaa namna ya mtumwa
Akawa mfano wa mwanadamu (wa mwanadamu)
huyu YESU (huyu YESU)
Tena alipo onekana
Ana mwili kama mwanadamu
Alijinyenyekeza
Akawa mtii
Hata mauti na mauti ya Msalaba
(Mauti ya Msalaba)
Kwa hiyo tena MUNGU
Alimwadhimisha mno
Akamkirimia jina
Lile lipitalo kila jina
Ili kwa jina la YESU
Kila goti lipigwe
Na kila ulimi ukiri
Na kila ulimi ukiri
Ya kuwa YESU Kristo
Ni Bwana
Kwa utukufu wa MUNGU Baba
Utukufu wa MUNGU Baba
Special Thanks
AICT CHANG'OMBE CHURCH
Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
CREDITS.
Song writer - Elisha Gerlad
AICT Chang'ombe Church
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
MUSIC DEPARTMENT
Music Team - Benjamin Makolobela (MD,MAIN KEYS)
Elisha Gurlaty (AUX 1)
Elia Mahuna (AUX 3)
Onesmo Peter (AUX 2)
Emmanuel Yusuph (BASS)
Daniel (LEAD GUITAR)
Mayala Bubele (TRUMPET)
Charles Stenson (TROMBONE)
Meshack Wilson (TROMBONE)
Eliya Makaya (ALTO SAX)
Raphael Luhende (ALTO SAX)
Samson Mathew (DRUMS)
Video production - CVC Media
Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro

Пікірлер: 616
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Baada ya #KilaUlimi kukiri kuwa Yesu ni Bwana. IJUMAA HII TAR 22/03 TUNA SURPRISE TUMEKUANDALIA KWENYE AUDIO PLATFORMS ZOTE 🔥🔥🔥 -Apple Music -Spotify -Boomplay -Audiomack -Deezer -Amazon Music -Tidal NA ZINGINE NYINGI……….. MUDA NI ULE ULE SAA SABA MCHANA(1300hrs) 😊 Tunapatikana kwa jina moja tu la (AIC Chang’ombe Choir ) kwenye platform zote.
@elishapembese1963
@elishapembese1963 4 ай бұрын
song writter Elisha Gerlad ndio yupi?
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
@@elishapembese1963 0:10 huyu anaeonekana kwenye hiyo dakika
@elishapembese1963
@elishapembese1963 4 ай бұрын
Okay anyecheza piano eeeh?
@elishapembese1963
@elishapembese1963 4 ай бұрын
Hongera yake Sana ....wimbo Una power kubwa na walioimba wameubeba vizuri. Hongereni Sana watumishi I'm inspired alot
@felixmusila4692
@felixmusila4692 4 ай бұрын
Following from Canada and definitely I will follow you on every platform. You such a blessing…
@michaellutonjagospelsinger6611
@michaellutonjagospelsinger6611 4 ай бұрын
Naomba like kwa mpiga keyboard
@EvanceChevensky-oj7de
@EvanceChevensky-oj7de 3 ай бұрын
Oooh yeees🎉🎉🎉💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@nyakendajohn1352
@nyakendajohn1352 3 ай бұрын
❤❤❤
@nyakendajohn1352
@nyakendajohn1352 3 ай бұрын
Nzurii mbarikiwe🥰
@AbigaelKivuyo
@AbigaelKivuyo 4 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na huu wimbo 🔥🔥🔥🔥. Kama na ww umebarikiwa gonga like❤
@musamalaba6401
@musamalaba6401 4 ай бұрын
WIMBO WENYE PUMZI YA MUNGU (TOKA KWENYE MAANDIKO) Wafilipi 2:5-11, 5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; [6]ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; [7]bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; [8]tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba. [9]Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; [11]na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba. MUNGU AWABARIKI KWA HUDUMA YENU YA UUMBAJI❤
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen mtumishi
@agnessboaz7349
@agnessboaz7349 4 ай бұрын
MTUNZI NI NANI ? MUNGU AKUBARIKI KOKOTE ULIKO
@meshackmarco152
@meshackmarco152 4 ай бұрын
Hakuna jambo linanipa faraja kama kuona Vijana wadogo wakitoa muda wao kwa ajili ya kuinua jina la Yesu
@raymsanii
@raymsanii 2 ай бұрын
Mnaoshinda kuandika hapa ati rudini kwa AIC ya zamani naomba niwaambie mna shida, na sio kwa ubaya but that is very hypocritical of you to even say in the first place🙄Growth is inevitable, hata wewe hivi ulivyo si basi ungekosa kugrow ubaki ulivyo kuwa baada ya kuzaliwa? If you dont want to support this great ministry ni sawa, but kuongea maneno yasiyo na msingi ni vibaya sana! Again I repeat, Growth is Inevitable!!! Good song fam, beautiful dance for God, beautiful dressing, beautiful singing, band top notch, I love this new AIC and I look forward even to better and best pieces to come❣❣❣❣❣🤝🏽
@rich-lr8tq
@rich-lr8tq Ай бұрын
0 seconds ago as much as i know AIC huwa haina limitations katika uimbaji, so you are very correct
@ibrahimbaruch2743
@ibrahimbaruch2743 12 күн бұрын
Some people are just rigid and resistant to change. As if the Bible illustrates how Christian music should be done. Change is inevitable
@jerrysonjulius7106
@jerrysonjulius7106 4 күн бұрын
Acha watu watoe maoni yao,, kila mtu ako na haki ya kutoa maoni yake mm naona zamani walikuwa sawa kuliko sasa
@marrypius576
@marrypius576 19 сағат бұрын
​@@jerrysonjulius7106mbona wew ujabaki kama zamani 😂😂😂
@freedriwa7050
@freedriwa7050 4 ай бұрын
I can only imagine how Heaven is going to be..🔥🔥
@wakywenaky3674
@wakywenaky3674 4 ай бұрын
Mpiga keyboard ainuliwe sana kwa kazi nzuri na kuonesha ushirikiano wa kucheza,kamshahara kaongezwe please 😂😂😂
@user-ho2ve4oi4q
@user-ho2ve4oi4q 4 ай бұрын
Duuuuuuu nihatar nilijua moyo do wimb pekee nilio upend kumbe bad kuna nyimbo bhan Hii ni hatar san hongera san san
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Baaaado baaado 😅
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen Utukufu kwa Mungu
@paultimotheo5200
@paultimotheo5200 4 ай бұрын
KWAYA NAMBA MOJA TANZANIA🙌🙌🙌
@victoriansolo3842
@victoriansolo3842 4 ай бұрын
Mungu awabariki sana watumishi hawa❤
@phylisobayo319
@phylisobayo319 4 ай бұрын
Kudos to the drummer and everyone. This is powerful 👏 🙌 👌
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@brightonisaack1722
@brightonisaack1722 4 ай бұрын
Yeleuwiiiii🔥🔥🙌🙌Huu wimbo hauchoshi jamani🔥 TUJUANE TUNAORUDIA RUDIA😀🙌🙌🙌
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen
@katunzijasson5410
@katunzijasson5410 4 ай бұрын
Kwaya kongwe yenye ubora wakileo hata katika umri wake wa muda mrefu...kazi nzuri hongereni AIC KAZI MWAIFANYA MTALIPWA KWA KIPIMO CHENU
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@amoserasto8001
@amoserasto8001 4 ай бұрын
Mungu awainue na awatunze kwa Kazi nzuri kama Hii, Wimbo mzuri na Waimbaji wote wameimba vizuri Sana sana, I like it❤❤❤
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@joshuajustustz
@joshuajustustz 4 ай бұрын
CVC ft ZORAVO TOGETHER. MY GOD BLESS YOU ALL🎉🎉🎉. Kazi yenu ni njema. ❤❤❤
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@user-mt4bt7mk3n
@user-mt4bt7mk3n 4 ай бұрын
Mbarikiwe sana, nataman kuona Wimbo wa Masoro wenu wa siku zote, wakiimba pamoja, nitabarikiwe sana✊​@@AICTChangombeChoir_
@pst.stanleynnko5821
@pst.stanleynnko5821 3 ай бұрын
Jamani Yesu amejibu maombi yangu natamani kuendelea kuwaona CVC kwenye ivi viwango zaidi na zaidi. Yamekuwa maombi yangu yamuda mrefu Asante Yesu wewe unajibu😭😭
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 3 ай бұрын
Amen. Barikiwa sana kutuombea na tunaomba uendelee kutuombea sana.
@JuniorKim-gj9lp
@JuniorKim-gj9lp 2 ай бұрын
MUNGU akubariki
@JoshyKaji
@JoshyKaji 4 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Asante sana YESU, upendo ulionipenda nimeuona na waajabu nakutisha sanaaa
@ruthmagulu4896
@ruthmagulu4896 4 ай бұрын
Ameen
@zachariamabina2923
@zachariamabina2923 4 ай бұрын
Basst apewe Maua yake na yude dada mwenye nguo ya kijani dahh anajua wengine tuna wajua wako on 🔥🔥🔥 hii Ni Kali kushinda zote
@manmaking7717
@manmaking7717 4 ай бұрын
Mnaokumbuka wimbo wa Halleluya mwimbieni Bwana Wimbo mpya wapiiiiii!
@ayubumani4613
@ayubumani4613 4 ай бұрын
Elohimu , Moyo , Kila ulimi Nipo kwa karibu sana Zinaimba kwenye system yangu ya spika nne mziki mzuri Ujumbe mzuri Uchezaji sasa dah na enjoy Aic Chang'ombe nina nyimbo zenu nyingi za tangu kipindi hicho cha Haleluya Mwimbieni bwana wimbo mpya sifa zake zivume katika kusanyiko ....... Jamani Vocal sasa dah Acha niishie hapa❤
@dicksonsenni9109
@dicksonsenni9109 4 ай бұрын
Ubarikiwe. endelea kuwa hewani zipo na nyingine nyingi zinakuja. Julisha na wengine Nao wazidi Kubarikiwa
@adellahchipanyanga5107
@adellahchipanyanga5107 4 ай бұрын
Jamari kwayesu ni raha sanaaaa kila ulimi na ukiri kua yesu kristu ni bwanaaaaaaaa🎉❤❤❤❤🎉haleyuaaaa hosaaanaa
@tusekileiseme2639
@tusekileiseme2639 4 ай бұрын
Wimbo mzuri sana. Hongereni sana CVC kwa kazi nzuri. Mungu azidi kuwabariki.
@sabunifeleshi7563
@sabunifeleshi7563 4 ай бұрын
Mungu ni mwema , injili lazima ipelekwe kwa mataifa Yesu Kristo alituachia maangizo
@JohnImmah
@JohnImmah 4 ай бұрын
This is super ❤❤..... Aic chang'ombe mna kiti chenu pamoja na Wazee 24 Kwenye kiti Cha enzi MUNGU awabarikii hii nimeipenda Sanaa everything is well ❤️‍🩹❤️‍🩹
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾 Glory to God
@adellahchipanyanga5107
@adellahchipanyanga5107 4 ай бұрын
Inaleta raha kuona vijana wengi wanamtukuza mungu wetu mmbarikiwe sanaaa
@ruthmagulu4896
@ruthmagulu4896 4 ай бұрын
Ameen Ameen
@johncharlessingano8551
@johncharlessingano8551 4 ай бұрын
Bethel GOSPEL SINGERS. TUNAWAPONGEZA CVC KWA KAZI NZURI
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@ruthmagulu4896
@ruthmagulu4896 4 ай бұрын
Ameen
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 4 ай бұрын
Amen
@josueuwimana1444
@josueuwimana1444 4 ай бұрын
yusu mwana wa Mungu upewe sifa zote Baba unasistahili milele
@merumount5988
@merumount5988 4 ай бұрын
Mubarikiwe watumishi wa Mungu..Utukufu kwake Mungu Mkuu sana...! Nidhamu ya juu sana, mavazi, vitendo, upigaji vyombo..real wonderful!!
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾 Utukufu kwa Mungu
@thomaslukubi7299
@thomaslukubi7299 4 ай бұрын
What a combination CVC +Zoravo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jamesfrank5703
@jamesfrank5703 4 ай бұрын
Sitaionea haya injili ya Mungu, maana ni uweza wa Mungu uletao wokovu......
@dorcastesha423
@dorcastesha423 3 ай бұрын
hii nyimbo nyie tena hcho kipengele cha ''kwahyo tena Mungu alimwadhimisha mno akimkirimia jina jina lipitalo kila jina ili kwa hilo jina kila goti lipigwe na kila ulimi ukiri'' 🙌🙌🙌 ur the best u guyz😘😘
@eliasmateko4462
@eliasmateko4462 4 ай бұрын
Blessed be the name of God We finalize March in the abundance of blessings from my favourite choir Ameeeeenn
@quenlameck2835
@quenlameck2835 4 ай бұрын
Zoravo's voice ni manukato❤❤
@zachariamabina2923
@zachariamabina2923 4 ай бұрын
Tuna angalia kila muda
@joellumala3206
@joellumala3206 4 ай бұрын
Pasaka hii #Kila_Ulimi Utakili! Blessed morning.,
@lourdeslida1457
@lourdeslida1457 4 ай бұрын
Na kila ulimi ukiri ya kuwa Yesu kristo ni Bwana kwa utukufu wa Mungu baba🙌🙌🙌
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@agnessboaz7349
@agnessboaz7349 4 ай бұрын
Namuona bonge grace mtoto wa mama tunda la roho buzuluga choir hongereni sana kwa huduma wimbo mzuri❤
@jamesandulile1894
@jamesandulile1894 3 ай бұрын
Very Very Powerful Message, Trust me, kuna Nguvu inatembea na huu wimbo
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 3 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@JuniorKim-gj9lp
@JuniorKim-gj9lp 2 ай бұрын
Amen
@elizabethyusuph9221
@elizabethyusuph9221 4 ай бұрын
Asante Yesu kwa kunifia msalabani...ninakiri kuwa wewe ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu 🙏
@sheilapande9024
@sheilapande9024 4 ай бұрын
The feeling of a choir and a modern touch. This very beautiful
@felixmusila4692
@felixmusila4692 4 ай бұрын
From Canada we are blessed.
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾 Be Blessed
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 4 ай бұрын
Amen
@milkakasebele1088
@milkakasebele1088 4 ай бұрын
Huu wimb ni moto mung awabariki Zaid na zaid
@justuskiptoo3395
@justuskiptoo3395 4 ай бұрын
Another One: Ambaye Yeye Mwanzo😊😊!
@JacksonLazaro-mm3qs
@JacksonLazaro-mm3qs 4 ай бұрын
❤❤Naipenda Sana yule mama mwembamba mweusi mwenye sauty Nyoro yupo wapi???2024
@jerrymadaha9895
@jerrymadaha9895 4 ай бұрын
Tafuta wimbo unaitwa Mwokozi utamuona
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Yupo
@CareenDenis
@CareenDenis 4 ай бұрын
May God bless you family in Jesus Christ
@benjaminsamwel5059
@benjaminsamwel5059 4 ай бұрын
Zoravo your blessed voice, and U bless us
@mwlkimath1539
@mwlkimath1539 4 ай бұрын
Glory to God Hakika CVC Mungu awakuze zaidi na zaidi Mungu azidi kuongezeka kwenu Daima na nyie mpungue Uso wa Mungu uende nanyi Daima MSIGOMBANE NJIANI
@reginamarwa8636
@reginamarwa8636 4 ай бұрын
Zoravooooooooo.......oyooooh.......hongereni Chang,ombe Aic.......hubiriniiiiii
@bethuelnatembeya5342
@bethuelnatembeya5342 4 ай бұрын
Kwa yesu kuna raha
@lilianjumba3298
@lilianjumba3298 4 ай бұрын
Naomba mje huku kwetu Kenya thika AP chapel mtufunze tufike hapo
@dicksonsenni9109
@dicksonsenni9109 4 ай бұрын
Tunashukuru kwa mwaliko. Tuzidi kuombeana na kuna siku Mungu atafungua njia tutafika. Mubarikiwe
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾 Kwa neema ya Mungu tutafika
@rebekajilo
@rebekajilo 4 ай бұрын
my favorite choir be blessed
@eliemwandaza2483
@eliemwandaza2483 4 ай бұрын
Huu wimbo Una nguvu Mbarikiwe wa tumishi kwa kumuinuwa Yesu kwa namna ya kipekee
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@janemoraa9997
@janemoraa9997 4 ай бұрын
Hongereni Soloists na CVC kwa kazi njema. Keep Glorifying the Lord!
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@noelshipella2689
@noelshipella2689 4 ай бұрын
This is the gospel song
@user-im7ym7ly8g
@user-im7ym7ly8g 4 ай бұрын
ELISHA GERALD POPOTE ULIPO HONGERA KWA UANDISHI MZURI.... THIS SONG IS A Jam
@user-lv2td9rx2x
@user-lv2td9rx2x 4 ай бұрын
Mbarikiwe wote kila msikiapo habari njema ya ufalme wa Mungu aishie milele na milele🙏
@suzielomyan4565
@suzielomyan4565 4 ай бұрын
best choir ever ❤
@fionavalentine5745
@fionavalentine5745 Ай бұрын
Ambaaye ambaaye. The dance,the instruments, the song and the singers am definitely in love with this song..🎉❤ this is a vibe💥
@gitiganiibrahimdanhi7692
@gitiganiibrahimdanhi7692 4 ай бұрын
Mubarikiwe Sana Watumishi wa Jehovah 🙏🙏🙏
@bahatkisam8367
@bahatkisam8367 4 ай бұрын
❤❤❤ When words fails, let worship speaks
@joshuamwakatobe3988
@joshuamwakatobe3988 4 ай бұрын
Aiseee Mungu anainuliwa
@mwanjokaully4904
@mwanjokaully4904 4 ай бұрын
kuna huyo mwamba ameimba kama joellwaga 😅🙌
@NicholasKanzi
@NicholasKanzi 4 ай бұрын
May God bless u,karibu kenya
@NicholasKanzi
@NicholasKanzi 4 ай бұрын
Very soon tutabarikiwa pamoja
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen Asante sana
@NicholasKanzi
@NicholasKanzi 4 ай бұрын
Nimebarikiwa sana
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 4 ай бұрын
Assnte
@jukaelyelisha6311
@jukaelyelisha6311 4 ай бұрын
Aisee nyimbo zinamafuta ya roho mtakatifu aisee mnafanya kweli kristo awainue sana
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@victoriansolo3842
@victoriansolo3842 4 ай бұрын
Amina
@NdiseProtasy
@NdiseProtasy 4 ай бұрын
Mungu Abariki mbegu mnayoipanda Kwake, Mungu awape Baraka mpate Hitaji la mioyo Yenu Mfanikiwe wote mjikite kwake2❤❤❤🎉Nawapenda sana
@princessanne1270
@princessanne1270 4 ай бұрын
ZORAVO NA MFELO WHAT A COLLABO🔥🔥🔥
@IssackMfelo
@IssackMfelo 4 ай бұрын
Watu tunapokea baraka kupitia nyimbo
@ananemaemanuel8751
@ananemaemanuel8751 4 ай бұрын
Mungu azidi kuwainua viwango vya juu zaidi kwaajili ya utukufu wake ❤
@zablonimazengo2117
@zablonimazengo2117 4 ай бұрын
Sauti ya Zoravo Ina UPAKO saana🙇🏾‍♂️😫🙌🏼
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Sana 🙌🏾
@abednegomukuna7371
@abednegomukuna7371 2 ай бұрын
Uimbaji wenu unapendeza sana, si mungu anipe hicho kibali
@EradiusReuben-fn1db
@EradiusReuben-fn1db 4 ай бұрын
Mungu azidi kuwafanya watumishi wakee 🙏🙏🙏Dada aliye solo MOYO kiukwelii yuko ndani ya uwepoo
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@EliyaJames-fn3dz
@EliyaJames-fn3dz 3 ай бұрын
Chang'ombe mnatisha sana kila siku mnakuja kwa namba nyingine ,stay blessed
@graysonlameck1317
@graysonlameck1317 4 ай бұрын
AIC’s Tone + Modern Gospel Live recording 👌👌👌👌💯🔥🔥🔥
@barakachiboni3973
@barakachiboni3973 4 ай бұрын
Daah kwa kweli nimesisimuka hatari
@user-iy9wb5nn7g
@user-iy9wb5nn7g 4 ай бұрын
❤❤❤nabarikiwa sana naisi kama mwili wangu unataka kupaa yaani kama nipo pale na Mimi raha sana🙏🙏🙏🙏
@jamesjohn2601
@jamesjohn2601 4 ай бұрын
mbarikiwe sana.
@juntwakabete1664
@juntwakabete1664 4 ай бұрын
Zoravo ft mfello🔥🔥
@Behindsomeone
@Behindsomeone 4 ай бұрын
Nice song hongereni sana AIC chang'ombe
@scayoscayo3998
@scayoscayo3998 4 ай бұрын
The music director of this song is something else-Bwana ambariki mnoo, Watumishi wa Wa Mungu ni hakika mmeugusa moyo wa kristo Kwa nyimbo hii- the complete masterpiece! Amazing Amazing!!
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@catherinemuisyo7619
@catherinemuisyo7619 3 ай бұрын
Amen and Amen 🙏🙏🙏
@innogmsuya_minister4953
@innogmsuya_minister4953 4 ай бұрын
Mfeloooo 🔥🔥🔥🔥🔥
@stanleymwendwa193
@stanleymwendwa193 4 ай бұрын
Very well done you are my favorite Stanley from kenya
@ntahomvukiyevincent9245
@ntahomvukiyevincent9245 4 ай бұрын
Jameni tupeni muda ndio huuu:' Kila ulimi'.Burundi nawapenda saaaaana
@dicksonsenni9109
@dicksonsenni9109 4 ай бұрын
Ndo unakuja endelea kusubiri. julisha na wengine wapate hii Neema. Tunashukuru
@ExaudyMassawe
@ExaudyMassawe 4 ай бұрын
MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI AWABARIKI SANA SANA SANA AICT CHANG'OMBE, ZORAVO MUNGU AZIDI KUKUPAKA MAFUTA MABICHI
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@DeboraKyembela
@DeboraKyembela 4 ай бұрын
Safii sanaa. Bonge la songii....very good... MUNGU azidi kuwainua
@andrewmatheka9749
@andrewmatheka9749 4 ай бұрын
Watching from Kenya ,my all time favorite choir...be blessed Aic changombe..yesu kristo ni bwaaana
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
🙏🏾
@rachelsenni8919
@rachelsenni8919 4 ай бұрын
Amen
@joycelaura4611
@joycelaura4611 4 ай бұрын
Siwaoni lidya na bahati jamani uwiii mmeimba vzr ila nataman nao niwaone wote 3 hapa ila yote kwa yote sifa apewe Bwana Mungu
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾 Lydia na wengine wote wapo, usikae mbali na channel hii utawaona tuh. Lakini pia unaweza kwenda kusikiliza album nzima kwenye audio platforms kama Audiomack, boomplay, spotify na apple music uweze kuwasikia kina Lydia na wenzake wote. Ubarikiwe
@alexlusaka1315
@alexlusaka1315 4 ай бұрын
Jaman hao masolo wa3 hawawez kuimba kila siku wao kuna vipaji vipya nao lazima wapewe nafasi ili kwaya iendelee kufanikiwa kubalini nyakati zinabadilika mfumo wa nyimbo zile za kwenda studio ulishapitaga.
@robbysartproductioncompany5306
@robbysartproductioncompany5306 4 ай бұрын
TULIA KIJANA PUNGUZA PRESSURE ZA WONGOFU MPYA KWANZA KUNYWA MAJI ALAFU SIKILIZA WATAALAMU TUKUCHANE SASA LAKINI HATUTOKI KWENYE KEY...NI HIVI MTU HAPEWI KUIMBISHA WIMBO TU ETI KWA SABABU NI SOLO MZURI AU ANAJUHUDI SANA KWENYE MAHUDHURIO AU ANAMPENDA SANA MUNGU AU WEWE ULITAMANI ANGEFANYA YEYE N.K. KIMZIKI HAPO UNAKULA BIG NOOOOO!!!!TAKATIFU NA HAIPINGWI......🤨IKIFIKA SUALA LINAHUSISHA MZIKI BORA NA WA VIWANGO KWANZA TUNAANGALIA PUNCH YA MTU KATIKA WIMBO HUSIKA, EXPERIENCE YAKE KWENYE LIVE PERFORMANCE,TECHNICS NA SKILLS ZA KU PLAY ARROUND NA AUDIENCE,STAGE PRESENCE, CONFIDENCE,MAOMBI NA UTULIVU WAKE KWA MUNGU IN RELATION NA EVENT YENYEWE VINAENDANA??? NDIPO TUNAKUJA SASA VOCAL RANGE YAKE INAENDANA NA WIMBO HUSIKA,??JE ANAWEZA KUTEMBEA KWENYE MAIN KEYS ZOTE ZA WIMBO HUSIKA AU ANAFANYA VIZURI KWA BAADHI YA NYIMBO TU.....??? NAAMINI HADI HAPO UTAKUWA KWA KIASI UMEELEWA VIZURI MTUMISHI LABDA UAMUE TU KUKAZA FUZU😁. NA JAMBO JINGINE NI KWAMBA MWALIMU (DIRECTOR) SASA NDIO ANAYEPANGA NANI ATAIMBA WIMBO GANI KUTOKANA NA MAZOEZI ALIVYOFANYA...IT MEANS KUNA UWEZEKANO KABISA HAO ULIOTAMANI WAIMBE WANGEWEZA KUIMBA LAKINI HAWAKUFANYA VIZURI KWENYE REHERSAL NA MWALIMU AKACHAGUA HAWA NDIO WATAFANYA HUU WIMBO KWA KUZINGATIA VIGEZO VYA UBORA NA UJUZI UNAHITAJIKA KUSIKIKA KAMA NILIVYOKUFAFANULIA HAPO JUU NA SIO MIMI AU WEWE AMBAO HATUJUI MCHAKATO HUU ULIANZIA WAPI NA UKAISHIA WAPI. NAHITIMISHA KUSEMA KWAMBA MPE SIFA NA UTUKUFU MUNGU ALIYEWEZESHA KAZI HII NZURI KUFANYIKA TENA KWA VIWANGO VYA JUU VINAVYOENDANA NA NYAKATI NAMAJIRA YA SASA.....YAANI IMEAN CVC WAMEJUA KUUTENDEA HAKI HUU WIMBO KWENYE KILA DEPARTMENT"PERIOD" #KILAULIMI#CVC#NEEMAGOSPEL#LOVETOALL.
@mwilathomas2382
@mwilathomas2382 4 ай бұрын
@@robbysartproductioncompany5306 maelezo mengi tena kwa herufi kubwa, but nothing you explained professionally
@dicksonsenni9109
@dicksonsenni9109 4 ай бұрын
Mpendwa unayosema ni sawa lakini si kwamba hawajaimba, wameimba kuna wimbo umetoka unaitwa MWOKOZI mmoja kaimba na wengine nyimbo zinakuja kaeni mkao wa kubarikiwa. Pia unapoona wengine wanaimba jueni ni matokeo mazuri ya kazi ya Mungu na wao wanazidi Kubarikiwa kwa kuona vipaji vinaongezeka. Mubarikiwe kwa kuendelea kusubiri nyimbo walizoimbisha
@agnesmilgo66
@agnesmilgo66 4 ай бұрын
Mabadiliko sometimes hayafurahishi ila tunakubali,ni vile tunafurahia tukiwaona wakisolo,tunawaomba msiwatenge mbali hao kina Dada watatu!.Kenyan fan
@johnnehemiah-iw9jg
@johnnehemiah-iw9jg 4 ай бұрын
NA BARIKIWA SAWANAA MUNGU. AKUMBUKE KILA HATUA ❤
@eliasleonard2598
@eliasleonard2598 4 ай бұрын
Oya mfello unajua unajua tena bro 🔥🔥🔥umenikosha sana kuanzia kwenye MOYO hadi KILA ULIMI UTAKILI🔥🔥🔥 hii combo ya mfello na zoravo ni 🔥🔥
@joshuanyakoe9856
@joshuanyakoe9856 4 ай бұрын
Just beautiful and thrilling production. What a worship!!!!! God and the entire heaven is happy for you CVC
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾 Glory to God
@user-ur8re6cj4p
@user-ur8re6cj4p 4 ай бұрын
Amen mbarikiwe sana❤
@user-ei5qw9zn7q
@user-ei5qw9zn7q 4 ай бұрын
Wimbo huu ni baraka🔥🔥🥳🙌🏽
@DevothaZacharia-sf9gz
@DevothaZacharia-sf9gz 4 ай бұрын
Mmeimba vzr na kila mliempa usolo wamedeserve ,❤
@vascosteven3928
@vascosteven3928 4 ай бұрын
Jamani waimbaji aic changombe nawasihi kwa jina la mwenyezi Mungu wapendwa. Turudi kwa mfumo wetu wa zamani.
@felixjunior4772
@felixjunior4772 4 ай бұрын
Unataka waimbie kwenye majani ndio ulivyowazoea?
@meshackmarco152
@meshackmarco152 4 ай бұрын
Relax pls
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Upi huo mtumishi?
@jantsjefta8381
@jantsjefta8381 4 ай бұрын
😅 mtumishi naomba usikilize t ujumbe wa neno la mungu haya mengne yanapita t kulingana na nyakat na muda tuliopo saiv nadhan hata ww huwa unabdili mavazi sidhan kama nguo yako ya miaka 20 iliyopita bado unaivaaa bali unadili nguo lakn bado inaitwa vazi ndiyo maan na wao wanaimba hivi saiv
@AtupokileEliass
@AtupokileEliass 4 ай бұрын
Fikiria tena ulichoongea then ujicheke mwenyewe
@PreciousPolle
@PreciousPolle 15 күн бұрын
Aisee wimbo mzuri nimeupenda 🎉🎉🎉 ❤
@user-me9iq2sm9b
@user-me9iq2sm9b 4 ай бұрын
Kwa kweli ni burudani mmbarikiwe sana watumishi wa mungu kwa kueneza neno lake kwa njia ya nyimbo nzuri
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@petermhinga70
@petermhinga70 4 ай бұрын
Leo wa 12 like zangu jmn
@user-kb7ss2wl7d
@user-kb7ss2wl7d 4 ай бұрын
Katika nyimbo hizi ni wimbo mmoja tyu ninaupenda sana huwa unanibatiki sana ule wa Moyo
@petrokabote2831
@petrokabote2831 4 ай бұрын
This is professional, you guys 🙌
@AICTChangombeChoir_
@AICTChangombeChoir_ 4 ай бұрын
Amen 🙏🏾 Glory to God
@user-xb2mq5mz7t
@user-xb2mq5mz7t 4 ай бұрын
Hongera Elisha kwa utumishi
AIC Chang'ombe Choir (CVC) - MOYO (Official Live Video)
10:08
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 329 М.
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 61 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 5 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН
Neema Gospel Choir - Nikurejeshee (Live Music Video)
12:44
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 2,9 МЛН
AIC Chang'ombe Choir (CVC)  -  MSIKILIZE ROHO   (Official Live Video)
9:05
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 12 М.
Eunice Ferdinard - Twakuamini Yesu
9:00
Eunice Ferdinand
Рет қаралды 17 М.
Ukae Nami - Henrick Mruma (Official Live Video)
13:06
Henrick Mruma
Рет қаралды 2,8 МЛН
BEST OF NEEMA GOSPEL CHOIR 2023
1:20:20
THE LM STUDIOS
Рет қаралды 207 М.
AICT Chang'ombe Choir -  Nafsi (Official Music Video)
10:05
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 1,9 МЛН
akimmmich (feat. Turar) - UMYTTYŃ BA?| official lyric video
2:54
akimmmich
Рет қаралды 4,1 МЛН
Nurmuhammed Jaqyp  - Nasini el donya (cover)
2:57
Nurmuhammed Jaqyp
Рет қаралды 436 М.
Duman - мен болмасам кім? (Mood Video)
2:35
Duman Marat
Рет қаралды 71 М.
KeshYou x Snoop Dogg - Forever Sunday (Official Music Video)
3:06
BM PRODUCTION
Рет қаралды 97 М.
Әділет Жауғашар & SUNDET MUSLIM - Бір оқиға [M/V]
3:05
Әділет Жауғашар
Рет қаралды 125 М.
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
3:26
JYP Entertainment
Рет қаралды 56 МЛН
LISA - ROCKSTAR (Official Music Video)
2:48
LLOUD Official
Рет қаралды 129 МЛН