Kweli Ahmed ally ndo mtangazaji. Bora kwasababu yey ndo msemaji muongo kuliko wasemaji sikia hii CHAMA hawezi kwenda Clabu yoyote hap TZ mhhhhh na kweli hajaenda
@lowasameliyo4027 Жыл бұрын
Mnanichekesha jmn watoto wa azam sport nafurahi kuwaona mko pamoja
@user-bo5qp9gz8m4 күн бұрын
Ali kamwe usihoji umesha sikia ni waa wa😂😂😂😂😂😂
@masubukopita7201 Жыл бұрын
Ahmed all anajua kuongea hao wengne wanalopoka tu
@teddymhagama611 Жыл бұрын
msemaji ni Ahmed Ally wengine mapoyoyo
@mishikombowato1457 Жыл бұрын
Hujioni ww ulivyo mwehu😂
@josephrobertjohn433620 сағат бұрын
Jaman kumbe hapa tz msemaji professional ni mmoja tu Ahmed aly tu check wengine wanaongea kama mademu wanatongozwa
@user-po8hz7xw9j Жыл бұрын
Yani hawa ni wahuni vichwa vyao vibovu😅😅
@petersonjamess6497 Жыл бұрын
Huwa napenda sana utani wa hawa jamaa
@PatrickWilliam-m8d8 күн бұрын
Watu mnaotowa maoni yenu hebu kuweni naadabu Ahmed tukitafuta wasemaji nayy msemaji? Hauna pwenti
@ujamaabashiri2996 Жыл бұрын
Kuna msemaji na waongeaji, hapo msemaji ni mmoja tyu wengine ni waingeaji
@jumashedafa Жыл бұрын
Kwa timu iliyoitwa hasa langon tunashafungwa tyr mengin ni maajabu ya mpira
@yusuphjilala846 Жыл бұрын
Waandishi wengi mazuzuu😴!!!!!!
@yusuphjilala846 Жыл бұрын
Ibwe na ahmed akili hamna mkichwaaa😴😢😴😢
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@hemedwalid6570 Жыл бұрын
sasa mechi Kama hii mnaweka kiingilio Cha nin weka bule tu waite watu waje uwanja mechi muhimu nyie mnaweka hela ya kiingilio
@norbertmakundi2305 Жыл бұрын
Hawa jamaa nawapenda mno
@teddymhagama611 Жыл бұрын
timu ya taifa acheni mageti wazi watu waingie bure, Mwambieni Rais atununulie tiketi maana hili Sasa ndio Jambo lake kindakindaki
@user-po8hz7xw9j Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😅
@alicenice1711 Жыл бұрын
Semaji ni mmoja tuu hapo Ally kamwe tu
@joerryFrancis-mc1mo11 ай бұрын
Ali kamwe unatixha kaka
@BADAWY575 Жыл бұрын
Hawa wasemaji ni wasemaji upepo hawana upeo au akili au kujua kama wapo katika jambo la nchi ,wanaongea ujinga wao lazma wabadilike kiuhakika hii ni game ya taifa pumbavu zao
@frankhoffa8356 Жыл бұрын
Unajua maana ya utani?
@BADAWY575 Жыл бұрын
@@frankhoffa8356 utani upo na sehemu zake ,au baada ya kufanya walicho itiwa ,but wao ni mwanzo mwisho
@user-rs8bx6uh6q Жыл бұрын
Mtoto wa faida kwa Azam media ni Ali kamwe kweli ni pigo
@user-rr7du8om1z8 күн бұрын
Ali kamwe n mt w maan sana maan lzma aanze na shkran,na kuw falsafa nzri ya kuongea