ALIKIBA ammwagia sifa DIAMOND baada ya Chris Brown kuicheza Komasava na kuipost TIKTOK

  Рет қаралды 27,765

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

6 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 110
@user-sn8gg6hf3i
@user-sn8gg6hf3i 4 күн бұрын
Alikiba❤❤❤❤
@stephanokigosi656
@stephanokigosi656 4 күн бұрын
upo live sana kaka fredrick Bundala.. Tupo pamoja dl
@channyanjen9047
@channyanjen9047 4 күн бұрын
Safi Sana Alikiba wewe ni kaka wa Diamond ❤❤❤❤❤❤
@queenmariposa799
@queenmariposa799 4 күн бұрын
Hiyo sio hatua huo ni msamba 😂😂😂 KING ni mmoja tu#long live the King
@husseinbhatia434
@husseinbhatia434 4 күн бұрын
Kiba amekua sana.this is a kind of king
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt 4 күн бұрын
Saafi Kabisa blood 💥🔥💯⭐
@EmanuelMtafya-zw1xm
@EmanuelMtafya-zw1xm 4 күн бұрын
Alikiba kakuaaa🎉🎉
@alexkenyata
@alexkenyata 4 күн бұрын
siku zote team kiba wakubwa kiakila
@allahisone6386
@allahisone6386 4 күн бұрын
​ HHHH NDIOOO_🤦🏿‍♀️
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 4 күн бұрын
Safi sana🎉❤
@kilimaentertainment1687
@kilimaentertainment1687 4 күн бұрын
Bro Leo umeongea vizuri sana najua unaongea but Leo Yani it's amazing unajua ukiwa msanii ni kama mwanasiasa sometimes unaweza kuongea Kwa njema kabisa watu watafasiri vibaya mpaka ukajuta kwann ilisema vile but tukiwa na elimu ya maongezi tunaweza kuongea as the same time tunabalance maneno wasioleta ukakasi hata hovyo kiswahili chetu ni kizuri kabisa kwenye kuongea big up sana bro Mungu akuzidishie.
@titoamani-e8b
@titoamani-e8b 2 күн бұрын
Diamond Platnumz harongwangi....Ujumbe kwa Harmonize😂😂😂😂
@hamadihamisiambale8943
@hamadihamisiambale8943 4 күн бұрын
This is king of bongo flaver❤
@IbraahKongwizi
@IbraahKongwizi 4 күн бұрын
mimi wakwanza naomba liké zangu 🎉🎉🎉🎉
@alexkenyata
@alexkenyata 4 күн бұрын
goog
@nsabimanaabedi541
@nsabimanaabedi541 4 күн бұрын
Kwakeli Alikiba amekuwa
@user-om5go9nj6n
@user-om5go9nj6n 4 күн бұрын
For the first time King anaongea as mature man, let bifu continue but mweny akifanya powa uongeeni positive The only mature artist tuko nayey east Africa ni uyo Big azipo fika international vizuri musahau msani mwengin kufika uko
@DAVID-wp4vc
@DAVID-wp4vc 4 күн бұрын
Wa kwanza
@DorotheiaPafra
@DorotheiaPafra 19 сағат бұрын
Safi sana kiba
@user-sh5gl8tw3w
@user-sh5gl8tw3w 3 күн бұрын
Kiba ana hekima sana
@bongobana666
@bongobana666 3 күн бұрын
Hizi ni strategies za media yake kwenda viral😂
@youngweezy3846
@youngweezy3846 2 күн бұрын
D mbili☑️😅😅😅
@YasreArafat-kk9en
@YasreArafat-kk9en 4 күн бұрын
Toka Alikiba aneanza mziki Zaidi ya miaka 23 Leo ndo kaongea point Leo aneonyeha uzalendo kitu hajawahi kufanya b4 Kunbe ilikuwa hajahipata Simba huwa anamzungumzia vizuri Sana U are wormly Wellcome
@joyhylton7901
@joyhylton7901 4 күн бұрын
❤❤❤❤❤Diamond. Haters go to the back. Diamond is the king. 🇺🇸
@mzukaunlocked670
@mzukaunlocked670 4 күн бұрын
There can never be two kings, only one King Kiba let that sink in
@joyhylton7901
@joyhylton7901 4 күн бұрын
@@mzukaunlocked670 And I’m telling you who that one king is. Diamond and that's on period and please I do not repeat do not care what you have to say. Now let that sink in. Get it Thank you. 🇺🇸
@bensonelisa3225
@bensonelisa3225 3 күн бұрын
Appreciate King
@kimah9855
@kimah9855 4 күн бұрын
King is always a king 🤝🙌🙌
@avitrujweka2113
@avitrujweka2113 2 күн бұрын
👏👏👏
@user-pt7lc4xu3d
@user-pt7lc4xu3d 4 күн бұрын
King's bg up
@kenyzach9124
@kenyzach9124 4 күн бұрын
kweli wabongo hawana jema😂. sifa katoa mmemaind, angekaa kimya mngesema ana kiburi😂
@paschalaldo1476
@paschalaldo1476 3 күн бұрын
King
@IsackManene-gt2ym
@IsackManene-gt2ym 3 күн бұрын
This is what we call maturity.
@emmanuelrichard6771
@emmanuelrichard6771 4 күн бұрын
Hii n kubwa saanah King 🤴 ame appreciate
@vanny387
@vanny387 4 күн бұрын
Safii snaaa Mfalme... Alikibaa
@invocavitykitaly2483
@invocavitykitaly2483 4 күн бұрын
wa kwanza mm na sitaki like mm
@petersynto2043
@petersynto2043 4 күн бұрын
Safi sana sijawahikukubali Ila leo ❤❤❤❤
@msafirimiracle6613
@msafirimiracle6613 4 күн бұрын
Definition of positivity
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 4 күн бұрын
Kikeke kwawekeza nguvu nyingi,,hongera sana kikeke na ally
@DM_15
@DM_15 4 күн бұрын
Kupost sio hatua nimsamba,😂😂😂😂
@Ujuechazi-hb9pc
@Ujuechazi-hb9pc 4 күн бұрын
Nimekuelewa
@irenematari6218
@irenematari6218 4 күн бұрын
Wow good answer❤
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 4 күн бұрын
Simba ndoo Yale majiii
@jimyjastini9995
@jimyjastini9995 4 күн бұрын
Acha ushamba wako nawewe mwandishi sifagan arizomwaga zaiditu yakutafuta kiki nahuyo mtangazaji wake eti ange poxti angeonekanaje 😂😂 kwani angeongezann kwa mondi huyo kiba 😂😂😂😂😂😂😂
@officialsbjovea5822
@officialsbjovea5822 4 күн бұрын
Tafuta hela acha makasiliko
@wisevictor-xc9ub
@wisevictor-xc9ub 4 күн бұрын
Alikiba ni mtu sanaaa
@user-jh9yv1zp1l
@user-jh9yv1zp1l 4 күн бұрын
Big up kiba
@gaspergasper9830
@gaspergasper9830 4 күн бұрын
😂😂WCB inanguvu kubwa tayar kiba kaingia kwenye mfumo Diamond ni kioo mpaka kiba anakitumia kujiangalia😂😂
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Күн бұрын
Mtego uo
@Officialmodel_001
@Officialmodel_001 4 күн бұрын
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥🔥🔥
@abedysteven4930
@abedysteven4930 4 күн бұрын
Alikiba xaxa naona umekuwa !! Nliwambia achana na bifu msonge mbele !! Kama Nigeria walivyo!
@WaziriRamadhan-ML
@WaziriRamadhan-ML 4 күн бұрын
Wameamua kuikuza radio
@emmanuelnyakunga8320
@emmanuelnyakunga8320 4 күн бұрын
Ilo swali kajibu basi tu atafanya je Sasa😂😂😂
@trizereve3386
@trizereve3386 4 күн бұрын
Natamani diamond na Alikiba watoe ngoma
@comics3437
@comics3437 4 күн бұрын
Kiba is intelligent,
@ibrahimngulungu
@ibrahimngulungu 4 күн бұрын
nimekuelewa sana tutasonga mbele kimziki
@James-sz4ec
@James-sz4ec 4 күн бұрын
We umebakiza taarabu tu lazma umwongere Ili jina lako liendelee kuwepo maana kama unapotea hv
@KhadijaZahoro
@KhadijaZahoro 4 күн бұрын
Sapot ni muhim kama munataka kufikia malengo flan umoja una nguvu ndio mana wanaijeria wamefika mbal Ali kiba tunataka hit Kal za kimataifa sio Ngoma za ndan t Enjoy na komasava
@marlodemarlove9281
@marlodemarlove9281 4 күн бұрын
Kizazi sana hata kuongea inatosha 🥰
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 4 күн бұрын
Mtamuelewa polepole ❤️
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 4 күн бұрын
Kiba amekua safi sana
@besteva499
@besteva499 4 күн бұрын
Nyinaye wana sns niwahovyo ama mumekosa habali sasa unazani alikiba angejibu nini
@fatumasaidi2592
@fatumasaidi2592 4 күн бұрын
Hawa waandishi wa habari nao wanapenda fitna sana
@IbrahDeDonny-lv2lo
@IbrahDeDonny-lv2lo 4 күн бұрын
Kwan Jomba Nchumali anaxemaje huko?? Mamaeee 😅😅😂
@AmosBenesta
@AmosBenesta 4 күн бұрын
Alikiba anazingua kwenye mavazi
@hashimuhamisi3182
@hashimuhamisi3182 4 күн бұрын
kamvalishe
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 4 күн бұрын
Hii haitok moyon 😂😂 kiba
@zamdayusuph858
@zamdayusuph858 4 күн бұрын
Sns naomba jina la huo wimbo hapo mwishon
@bosssyedmund8785
@bosssyedmund8785 4 күн бұрын
Ukishakua na media lazima ukubali yote
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 2 күн бұрын
Yeye huyo diamond ashawahi kupist wimbo woworecwa Alikiba?
@zclassicfashionz1573
@zclassicfashionz1573 4 күн бұрын
𝐊𝐢𝐧𝐠...
@muanashaswaleh5110
@muanashaswaleh5110 4 күн бұрын
Kwani bila daimond hawezi fanya mambo yake paka ugomvi
@Yness-vh4yy
@Yness-vh4yy 4 күн бұрын
Yamemshinda!!
@kshayofurniture2941
@kshayofurniture2941 4 күн бұрын
Amwagia?? 😂 Wapi Sasa nje au ndani
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 күн бұрын
Anaanza kumuelewa SIMBA. Amechelewa sana kumuelewa Simba ila sasa anaingia kwenye mfumo. Good one Ali Kiba
@shwaibukhatibu2838
@shwaibukhatibu2838 4 күн бұрын
Wewe ndo imechelewa kuwaelewa wenzako NI wafanya biashara we endelea na ushabiki mandazi
@KhalidiMtawa
@KhalidiMtawa 4 күн бұрын
😂😂😂 ndo alivyosema mfumo which where 😅😅😅
@yussufritzy7684
@yussufritzy7684 4 күн бұрын
Acha uswahili
@Qqambaa
@Qqambaa 4 күн бұрын
Ali kiba forever inakuuma eeh tafuta ndimu
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 күн бұрын
@@shwaibukhatibu2838 Akili huna aliyekuambia sijui kama ni wafanyabiashara ni nani? Team Kibakuli mna mihemko ya misamba 🤣🤣🤣🤣🤣
@IsaacParuz
@IsaacParuz 4 күн бұрын
Jamaa anaongea kama kikwete
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD 4 күн бұрын
His father😂 umechelewa
@Peterchila-un2lx
@Peterchila-un2lx 4 күн бұрын
Kiba umekua sana
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 4 күн бұрын
Eti acheze fallen angel badilika ww imba kimataifa zaidi na sio bongo flava tu eti aimbe nhoma y Alikiba yan aje aimbe bongo flava kwl??
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 4 күн бұрын
Nitajie chart Gani kubwa komasava imeingia? Mnapelekeshwa tu na upepo nyie, hakuna chart zozote kubwa komasava imeingia pamoja na kelele zote hizo
@isayamsisika6255
@isayamsisika6255 4 күн бұрын
​@@Oldskulgemini9991umejibu vizuri
@user-pk1yl7zt8p
@user-pk1yl7zt8p 3 күн бұрын
Kuchezwa na breazy n chart kubwa kuliko hizo unzozfikiria ww😂😂😂😂#breazy n GO.A.T kuliko hizo chart kama hujui muulze hy ulokaa naye atakuambia#komasava global son yen atacheza pimbi na hizo chart unazozifagili😂😂😂
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 3 күн бұрын
@@user-pk1yl7zt8p isije ukafikiri Mimi ni shabiki wa kiba au labda namchukia mondi! sinaga ushabiki wa msanii yeyote mi napenda ngoma ya yeyote Ili mradi iwe nzuri tu, kwahiyo we unaamini Chris brown akicheza wimbo akaiweka tik tok ndo basi eti!😃 Upo zama Gani mzee!😅 Kesho na kesho kutwa mnakuja kulalamika oh wanatuonea hawatuweki kwenye tuzo, hakuna anaemwonea mtu, ishu mnajipa ukubwa usio na uhalisia, ngoma inatembea TikTok sawa lakini Ili iwe international song inabidi iwepo kwenye chart kubwa za Dunia, ngoma mbaka leo Ina streams milioni Moja tu Spotify unaita ngoma international? Unazijua ngoma za international Mzee? Wasafi wanawabeba Sana nyie jamaa aisee tukitoka nje huko ndomana tunaaibika uhalisia hatuna, uongo mwingi na chuki zisizo na msingi, mziki sio rahisi hivyo kama mnavyofikiria, haya bana nyie mmeshazoea kudanganywa na wasafi Kila siku Haina shida bana, lakini uhalisia hua unakujaga kuonekana tu baadae😅
@robertkingke5592
@robertkingke5592 4 күн бұрын
Tanzania jameni sasa Chris kucheza tu nyimbo nikitu yakuongelea kila mahali...sasa akipiga colabo itaongelewa aje
@adamutilar3147
@adamutilar3147 4 күн бұрын
Umefulia wewe
@user-wt9nd8bh2h
@user-wt9nd8bh2h 4 күн бұрын
😂😂😂Sio hatua ni msaamba
@thompsonkiputa6842
@thompsonkiputa6842 4 күн бұрын
Hypocrite 😅
@Amazinggirl-vd8ub
@Amazinggirl-vd8ub 4 күн бұрын
You’re hypocrite
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 4 күн бұрын
Kiba achana na huyo domo tena hata ungekataa kujbu tu ni wapuuzi
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 4 күн бұрын
Una makasiriko ndugu 😂
@nyamabeatz
@nyamabeatz 4 күн бұрын
alikiba leo nimeamini kuwa wewe ni mkumbwa
@DorotheiaPafra
@DorotheiaPafra 19 сағат бұрын
Safi sana kiba
@ELIFASMADEBHO
@ELIFASMADEBHO 4 күн бұрын
King
@DorotheiaPafra
@DorotheiaPafra 19 сағат бұрын
Safi sana kiba
Alikiba feat Billnass - Fallen Angel (Visualiser)
4:22
Alikiba
Рет қаралды 317 М.
When You Get Ran Over By A Car...
00:15
Jojo Sim
Рет қаралды 14 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 3,8 МЛН
The Sidi Rex Boots🔥 #motorcycle #racing #shorts
0:14
Goedhart Motoren
Рет қаралды 25 МЛН
БАССЕЙН ДЛЯ АВТО ЗА 25 000 000 ТГ 🌊🚖
11:44
Ерболат Жанабылов
Рет қаралды 82 М.
metallic body HULNA excavator truck
0:13
Excavator Technology
Рет қаралды 10 МЛН