Diamond big up for putting us kenyan on the world map
@HeriRamadan-qx2hk6 күн бұрын
Mi ni mtanzania lakini kusema ukweli Daimond plutnum anapendwa sana 254.
@emmanuelnyakunga83206 күн бұрын
Diamond ft Pogba coming Soon.😂
@Pemba6806 күн бұрын
Musimfananishe Simba na vitu vya ajabu ajabu
@othinielkamyola36976 күн бұрын
HUYU MWAMBAA NOMAAA 🎉🎉ASIMBAAA
@NoName-pp4lo6 күн бұрын
Simba na wanawe
@majariwabarasokoroza97016 күн бұрын
😂
@user-pk1yl7zt8p6 күн бұрын
We mmakonde haujui me Simba la masimba dangote
@channyanjen90476 күн бұрын
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
@stanslausjohn87916 күн бұрын
Diamond ni jitu la mafanikio tu Wakat yule Mlapanya harmonize ni jitu la majungu
@user-hk2oz2eg4j6 күн бұрын
Mwenye roho mbaya hapati mafanikio.
@ianbryse14175 күн бұрын
😂😂😂😂 ulishaona wap mmakonde kafika ulaya 😂
@titoamani-e8b5 күн бұрын
Majini ya Harmonize hawatoshi kwa Simba la Masimba😅😅😅😅😅
@DjsmokyUrban6 күн бұрын
Haikua uvue nguo sahio....😮ni swala la baadae...
@hamedmohammed89126 күн бұрын
Amewahi ila bdae atamaliza mwenyewe.
@CristianiMamboleo-j8d6 күн бұрын
Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi
@saleemsuleiman22206 күн бұрын
Acha Shobo we mkenya diamond ni Mtanzania 😅
@rosemahenge90716 күн бұрын
@@saleemsuleiman2220Kama wanamtaka bora wawe wanasema anaiwakilisha vyema EAST AFRICA hapo tutawaelewa😂😂
@saleemsuleiman22206 күн бұрын
@@rosemahenge9071 wajinga sana hawajui hata kujificha kwenye kichaka 🤣🤣🤣🤣🤣
@rosemahenge90716 күн бұрын
@@saleemsuleiman2220 🤣🤣tuwazoee tu majirani zetu vizuri vyote vya kwao
@LihogosaMicrocredit-n7yКүн бұрын
Pogba to be bunned from Football for long term This is the European strategies To underrate the African players in highest platfom to the world you will understand me in 2030
@wartv7306 күн бұрын
Ommy dimpoz na wanyama , ommy dimpoz na Ronaldo ommy dimpoz na wayne Rooney
@muwezahasani40174 күн бұрын
Simba much respect 🔥🔥
@SandreAlhlwah-bv1cx6 күн бұрын
❤❤❤❤
@bingobilaly78086 күн бұрын
Internet iko bzy na kenya sisi tunakomboa inch tuko busy
@makamekhalfan59686 күн бұрын
wa kwanz npw lik
@omarkatesh32995 күн бұрын
Sio makonde ana hangaika na wanawake wenye matako tanzania kuwa valisha pete daily.
@RoyaltyFamily-nk2km5 күн бұрын
Sio wanawake tu bali ni wanawake wenye matako makubwa😂😂😂
@LihogosaMicrocredit-n7yКүн бұрын
Hizi, ni mbinu za Wazungu kuwaondoa ktk reli wachezaji wa Kiafrika na wenye asili ya Afrika. Mtanielewa 2030
@avitrujweka21135 күн бұрын
👑🤴🦁🔥🌎🔥
@clementrobert-s5s4 күн бұрын
Simba🙌🙌
@hamidamussa-sy4fm4 күн бұрын
Bgp simba diamond platnumz
@richkaja33175 күн бұрын
Big 👆 sanaa mond usije bongo zarau
@user-ix1zs6gm1b6 күн бұрын
Numba moja
@IbrahStaneliy5 күн бұрын
Simba❤❤❤❤❤❤
@yusufsong79935 күн бұрын
Atafuta kiki uyoo kalipa pesa ili mradi atume video kakutana na pogba 😂😂😂
@elidiustudoy26405 күн бұрын
😂😂😂 kwauo mtepesho.
@Stevekapugi6 күн бұрын
Balaaaa
@JemimaNyange-si8cr6 күн бұрын
Simba for life
@adambakari92765 күн бұрын
Kukutana na mtu sio kwamba ndo kuunga urafiki😂 mnaweza kukutana mkapiga story kisha kila mtu akala 50 zake ommy dimpo alienda had OT akakutana na wachezaji kibao wa man u na akampa de gea jez ya taifa mbona hamku liongelea saaaama
@BraveMajaliwa-gf7ru6 күн бұрын
Paul pogba kwasasa ni kama chokora hana chochote 😅😅😅
@DjsmokyUrban6 күн бұрын
Kamshike kalio😮
@BraveMajaliwa-gf7ru6 күн бұрын
@@DjsmokyUrban hahaha 😆 😂 🤣 kama mashabiki tukimuona diamond platnumz ba Paul pogba tunaona wanatengeneza team ya umalaya tu ila kwa brand ya maana never 😆 😂 🤣
@IbniAbbas-yz3kt6 күн бұрын
Wabongo bana bado sana😂 kupiga picha tuu ishakuwa trending
@exaverysimon10646 күн бұрын
na w kapige kama n rahis
@IbniAbbas-yz3kt5 күн бұрын
@@exaverysimon1064 sina ushamba huo!na ningekuwa nao ningesha jaza cm mana kazi yangu nakutana kila mtu maarufu
@SaidTsuma-je8dv6 күн бұрын
simbaa 🔥🔥🔥
@paizinhosaide-cv9pm5 күн бұрын
Simbaa
@kachabisnea88154 күн бұрын
Sasa Popobawa sasa hivi ana ustar gani bhana
@godluckgmanartist-ju7jp6 күн бұрын
Simba ni simba tu wacha waongee endelea kupasua mawingu mwamba wa Tanzanian🎉
@japhetsilungwe47196 күн бұрын
Mvuta unga mwenzake
@adamsengo18696 күн бұрын
Pogba aside akamuahalibu kijana wetu kwa madawa😂
@user-jh9yv1zp1l6 күн бұрын
Harm majung t vichek vy bange
@yusufsong79935 күн бұрын
Ommy dimpoz ndio baba yao
@justnice81566 күн бұрын
Kumbee walikuwa club
@leeheyon6 күн бұрын
no way Pogba juju 😂
@Abby_Shawn_KE6 күн бұрын
😂😂msichokijuwa Brotherhood inamaanisha undugu na umoja ambayo jina jinginie ni Freemason, sio ajabu kumuona mchoma mkaa hapa kwetu amekaa na Rick Ross,
@humbleshoal6 күн бұрын
Jamani kwan diamond anavuta unga?
@kidatokassim76166 күн бұрын
Sasa iyo duza ya nini mondi nae mkurugenzi wa ovyo sana huyu 😂😂
@vibetz99916 күн бұрын
Washirikina wamekutana
@awadhally10526 күн бұрын
😂😂😂
@ramayonline22816 күн бұрын
Umejuaje kama ni washitikina….!!!!!?😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-pk1yl7zt8p6 күн бұрын
Kama ww ulivokutana masikini wenzako 😂😂😂😂
@RichardRutembesa-ns1kn6 күн бұрын
Maskini unatia huruma!!! 😢
@mossyahmada21884 күн бұрын
😅😅
@ericnzaro91386 күн бұрын
Asante sana diamond kwa kuipeperusha bendera yetu ya kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@JeanMalilo6 күн бұрын
Wana huziana dawa za kulevya
@awadhally10526 күн бұрын
😂😂
@user-pk1yl7zt8p6 күн бұрын
Inaubaya gan we masikini
@JeanMalilo6 күн бұрын
@@user-pk1yl7zt8p mimi sio maskini we mbuzi 😀😀😀
@user-wi2sk8uj5s6 күн бұрын
Diamond is a Kenyan artist big up bro endelea kutuwakilisha sisi
@KhamisOmar-kt4kz6 күн бұрын
Nynyi wakenya akili zenu mbovu
@KhamisOmar-kt4kz6 күн бұрын
Diamond ni mkenya sio matako yako
@user-qz8gn6bn6r6 күн бұрын
Nmambo ykawaida acheniii ujing mtu wenu Yuko na sifaa
@its_khalidy_466 күн бұрын
Sasa na hii ni habari!?? Pogba mwenyewe jobless apo majobless wamekutana!😂
@prudentjm30396 күн бұрын
We mwenye kaz hebu nenda Dubai kale bata uwafundishe maisha hao jobless 😂😂
@user-pk1yl7zt8p6 күн бұрын
Mbn masikini huwaga mnachuk sana 😂😂😂
@espoiraklonda86646 күн бұрын
watanzania mnapenda kutia kakitu kadogo mkalete kama vile ni vitu vikubwa hakuna mtu ambaye anaongea na watu vizuri hapa ufaransa kama huyo jamaa pogba na anaingia mara nyingi sana tu ni vitu vya kawaida hakuna kitu cha ajabu hapo
@AcksunBonifas-mj2sw6 күн бұрын
mondi mkariiiiiiiiiiii❤❤❤😂
@user-pk1yl7zt8p6 күн бұрын
Kama n rahisi kaongee naye na wewe 😂😂😂au kistuli mwenzio akaongee naye#lamasimba forever
@hirizonetz95586 күн бұрын
Mpeleke baba Yako akaongee nae Kama ni kawaida tu
@ramayonline22816 күн бұрын
Nasubiria kuona video yko ukiongea na Pogba kama ni rahic 😂😂😂
@CristianiMamboleo-j8d6 күн бұрын
Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi
@Rodgers_016 күн бұрын
???????????
@CristianiMamboleo-j8d6 күн бұрын
Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi
@kristofuraha6 күн бұрын
Nimependa hii!😂
@user-vw1wd3lx2d6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kenye ten
@CristianiMamboleo-j8d6 күн бұрын
Diamond unawakilisha kenya kimataifa ongera sanamu yako iko Nairobi