Apo kiba mm nimekukubar zaid bro, ww sio mnafiki bro kiba❤❤❤ Umeongea reality kumuhusu mond
@alfanimwakipesile1912 күн бұрын
Kaba WEWE ni MTU nzuri sana HUNA chuki na wasanii wenzako HONGERA SANA kaka MWENYEZI MUNGU atakulia zaidi
@shikuhata12 күн бұрын
Moja ya interview yenye majibu ya kisomi na heshma yake. Hongera sana King
@stevenemwakasimba-pt8er18 күн бұрын
Kiba umeanza kuonesha kukua sio mwanzo kila utakachohojiwa kuhusu chibu ulikua na majibu ya kitoto sasa umekua wale ni wadogo zako majibu ya busara kama hayo ndio fans wakutosha utapata maisha yanasonga safi
@Rumbakweka10 күн бұрын
Sabb n kuwa na media
@user-qu4wz1wo2f16 күн бұрын
Simba nguvu moja❤
@mariamnchimbi786616 күн бұрын
Karibu Tena Yanga Bro, Ulituchanganya sana kwenda Simba.
@user-habarinamichezo7 күн бұрын
😂😂😂unachangnywa na mtu alokuw humpi mia yko Pole xna
@judithtitomalyeta400017 күн бұрын
Safi kiba nakupendaga saaana una busara sana
@joycemmassi504618 күн бұрын
Utafika mbali sana Kiba karibu sana Yanga utapata follower wengi huku nyumbani kumenoga
@NelbatKasekwa18 күн бұрын
Alikiba wewe nimsani mkubwa na mkongwe na unabisara🎉🎉🎉
@EliusGamanywa12 күн бұрын
Aya bana mwanabisara😂
@EzekiaMichael-jn5np4 күн бұрын
Uko vizuri sana bro
@EsterMbilo18 күн бұрын
king kiba salute kwako tusiwadiis value wasanii wetu
@NemesMasawe18 күн бұрын
Nice king kiba
@dicksonjanuary126218 күн бұрын
Jielewa bro safi sana sema watangazaji wetu baazi yao wanafiki anataka umbea
Kichwa cha habari kingine na Maongezi ni mengine jaman
@cessianthony26445 күн бұрын
Kisa chama...kachoka kuugulia maumivu...😂😂😂😂 abaki huko huko
@fredrickipembe818818 күн бұрын
Kiba sasa umekomaa safi sana dogo
@RashidiTwalibu12 күн бұрын
Oya dogo nakuku bali sana mungu akulinde na akupambanie sana
@habibukhatib26157 күн бұрын
Busara ndio nguvu ya majibu ya maswali yote hongera sana king 🤴 nakukubali sana
@NeemaValentina16 күн бұрын
Asante kwa kjitambua
@Broken_Beats__237 күн бұрын
Huyu mtoto wa Iringa anapaswa apewe uwaziri kabisa kulingana na tasnia yake❤
@SukaDmGuy16 күн бұрын
Bro Kiba nikipewa uongozi mbinguni una nafasi yako kwa interview uliyoifanya umetisha sana
@KondoNgoma18 күн бұрын
Utafika mbari sana
@malikebumoshiselemani44017 күн бұрын
Alikiba anaHEKIMA hata katika ongea yake maneno yake ni yenye busara pia hujibu swali kwa hekima na si Kwa madaa au kujionyesha waSanii wengine wahige mfano kwa ALIKIBA
@thobiassamwel40777 күн бұрын
Ukiona mtu hana msimamo kwenye timu anayoshabikia basi hata maisha yake hayana msimamo😮
@SanuraMnaziru2 күн бұрын
Mmmmmmh jaman karibu sana yanga
@masudiitembele703612 күн бұрын
mbona hamna sehemu alipo ongea kuhusu kuhamia yanga CHANNEL HII YA KISENGE ndio maana AYO anawacha mbali.
@sostenvictor47648 күн бұрын
Ni kwel media imezngua
@festokizinga-px2fn7 күн бұрын
Kichwa na content haviendani 😅
@yohanaeliazary69425 күн бұрын
Umeona mm nilikua nafatilia ilo neno wamejula mb za bule mbwa hawa
@gracekatawa1990Күн бұрын
😅😅😅😅ndo nashangaaaa hata mimi
@gastomponji2 күн бұрын
huo ndo usani bora kukubali anachofanya mwenzako❤❤❤❤
@rajabukamis941116 күн бұрын
Bro kiba kwa sasa upo vzr na umekuwa kimuziki
@UpendoJackson-pf4kq5 күн бұрын
Nimekupenda sanaa
@Pachaboy-k2b16 күн бұрын
Safi Sana' mtuwa watuupovzuli nakukubali Sana hunabaya mdogowangu
@IsackOppa3 күн бұрын
Kiba kiba kiba nmekuita mara 3 bro unajua sana.....big up bro! Ila kuhusu muandishi wa hii page mshenz kinoma unaandika heading tofaut na yaliyomo fala wew
@winfredmasheyo247718 күн бұрын
Chaaaamaaaaaaa
@ShabaniSelemani-k7n16 күн бұрын
Safi sana king kuludi yanga
@user-hw8bb9jo9j18 күн бұрын
Kwer kaka
@dicksonjanuary126218 күн бұрын
Duuuuuuh
@dicksonjanuary126218 күн бұрын
Duuuuh
@MwilikwaNgongo16 күн бұрын
Wewe hunataka hama yangatena kwenda kumkomowa diamond alkiba wewe hahuna akili sawa
@anithawidambe754318 күн бұрын
KIBA KAKA ULE WIMBO WA SIYO LEO LOO HATA KM NANI LAZIMA TUUCHEZE. NI WIMBO BORA NA MZURI SAAAAANA. TUTUNGIE MWINGINE SIMBA DAY KIBA NI MWAMBA HONGERA SAAANA MWAMBA
@NehemiaMagori10 күн бұрын
Dah kumbe shabik mandaz😅😅
@user-ci6em5kr8g18 күн бұрын
Kiba Big up
@ZachariaDottoz5 күн бұрын
nimesikiliza hadi mwisho sijaona alipo zungumzia mambo ya simba au yanga ila waandishi wa bongo khaa 😂😂😅
@MituniIssa13 күн бұрын
Nyie ni wasenge kwann mnahusisha yanga na viroja vyenu nikipande gani alikiba alichoizungumzia yanga?
@AsiaKidunu-nm2ik15 күн бұрын
Ndumila kuwili 😂😂😮Ogmore ndiyo hiyo
@aminihamisi355111 күн бұрын
Sijasikia akisema kurudi yanga
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg18 күн бұрын
Bado Haji kurudi alikotoka
@tariknassoraucho58143 күн бұрын
Aloandika Caption n mas...ge
@user-rq8go6cf8l14 күн бұрын
Yow
@technology.050813 күн бұрын
Unamjua simba mnyama
@Hellena-ds3bp17 күн бұрын
Broo haoo niwanafki wishing uwezavyo
@anithawidambe754318 күн бұрын
KIBA TUNAKUTEGEMEA SIMBA DAY. WEWENIMWAMBA
@glorysilayo10342 күн бұрын
Hata km mnataka viewers sio ushenz huo
@jeunajuatv8175 күн бұрын
Mnyama mnyama anaumwa anaupiga 😅😅
@eliadausen302514 күн бұрын
Poa kaka karibu ila kiba naomba namba yako
@alakomba683014 күн бұрын
Yaani kiba ujanja wote huo ulikuwa upande ule😢
@FeristaPaulo-v7d7 күн бұрын
Karibu sana nyumbani mwana mpotevu. Kule hapakuwa sehemu sahihi ugali na sukari ndio zao.
@user-pc5uw7qo1x18 күн бұрын
Wamesha kushauli sasa usimponde chibu maana utakosa wateja wa kusikiliza radio yenu
@yohanayohanaadamu648315 күн бұрын
Hamuna k2 hapo amefuata ela2 😂😂😂😂😂😂
@HusseinShuga-e3g15 күн бұрын
Acheni uongo wapi kasema amerud yanga?
@FerdinandCharles-ko7de13 күн бұрын
Ila media zingine ni zakisenge wap wameongelea yanga hiv mtakuja kukua lin
@FerdinandCharles-ko7de13 күн бұрын
Wajinga kumbe na ww umeona
@kaluaabdallah65066 күн бұрын
Anafosi yanga day lazima aimbe yeye kama alivyoimba Simba Ili mradi tu sifa ziwe upande wake katika timu zote mbili
@FabianSanga-d2i18 күн бұрын
Sawa
@dicksonjanuary126218 күн бұрын
Kb anajielewa sana
@lucylameck4589Күн бұрын
Kule ulikuwa umeenda kujaribu naona umerudi nyumbani kumenoga
@MirroAsinaly7 күн бұрын
Leo umeulizwa swali umejibu point mnah ulikuwa ni mtu wa mjungu tu
utoopolo wote ni washamba sana hata club yao wanaindesha kiuni kitapeli
@JoyceDaniel-g3e16 күн бұрын
Ujinga tu ulichoandika ni sawa na alichozungumz?
@BrightonElias-lh1ty12 күн бұрын
Mjinga ww ulieangalia👊
@remidusmwanandenje-yy5gs18 күн бұрын
Yanga bingwa adi 230😁
@user-kr2qr8vx1x12 күн бұрын
Umetisha kiba wewe kiwango ulicho fikia mwanangu ni kikubwa sana sana ujui kifupi umefika mbali sana kimaendelo na upendo misifa.ninacho kushauri kama mama Yako..kama ulivyo sema hapo ni nyumbani jitaidi usiwe na kinyongo na mtu yoyote baba samee yote hili mungu aachilie baraka kwako..pambana na kazi Yako mwanangu Mimi mwenyewe nakupenda mwanangu Kwa maneno ya hekima na busara Kwa kibu mungu akubariki na kukufungulia milango ktk kazi.
@user-kr2qr8vx1x12 күн бұрын
Usijari watu wanasema nini..jari kesho mungu atanipa nini..tutayashindia hayo yote.