ALIKIBA ATANGAZA RASMI KURUDI YANGA KISA CHAMA/NITAIMBA YANGA DAY/KWA USAJILI HUU YANGA BINGWA TENA

  Рет қаралды 182,604

Scope Media

Scope Media

20 күн бұрын

#alikamwe #azizki #msuva #yanga #yangasc #yangatv #hersisaid #live_ #mayele #yangaleo

Пікірлер: 123
@praizmwabukusi3452
@praizmwabukusi3452 13 күн бұрын
Apo kiba mm nimekukubar zaid bro, ww sio mnafiki bro kiba❤❤❤ Umeongea reality kumuhusu mond
@alfanimwakipesile19
@alfanimwakipesile19 12 күн бұрын
Kaba WEWE ni MTU nzuri sana HUNA chuki na wasanii wenzako HONGERA SANA kaka MWENYEZI MUNGU atakulia zaidi
@shikuhata
@shikuhata 12 күн бұрын
Moja ya interview yenye majibu ya kisomi na heshma yake. Hongera sana King
@stevenemwakasimba-pt8er
@stevenemwakasimba-pt8er 18 күн бұрын
Kiba umeanza kuonesha kukua sio mwanzo kila utakachohojiwa kuhusu chibu ulikua na majibu ya kitoto sasa umekua wale ni wadogo zako majibu ya busara kama hayo ndio fans wakutosha utapata maisha yanasonga safi
@Rumbakweka
@Rumbakweka 10 күн бұрын
Sabb n kuwa na media
@user-qu4wz1wo2f
@user-qu4wz1wo2f 16 күн бұрын
Simba nguvu moja❤
@mariamnchimbi7866
@mariamnchimbi7866 16 күн бұрын
Karibu Tena Yanga Bro, Ulituchanganya sana kwenda Simba.
@user-habarinamichezo
@user-habarinamichezo 7 күн бұрын
😂😂😂unachangnywa na mtu alokuw humpi mia yko Pole xna
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 17 күн бұрын
Safi kiba nakupendaga saaana una busara sana
@joycemmassi5046
@joycemmassi5046 18 күн бұрын
Utafika mbali sana Kiba karibu sana Yanga utapata follower wengi huku nyumbani kumenoga
@NelbatKasekwa
@NelbatKasekwa 18 күн бұрын
Alikiba wewe nimsani mkubwa na mkongwe na unabisara🎉🎉🎉
@EliusGamanywa
@EliusGamanywa 12 күн бұрын
Aya bana mwanabisara😂
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 4 күн бұрын
Uko vizuri sana bro
@EsterMbilo
@EsterMbilo 18 күн бұрын
king kiba salute kwako tusiwadiis value wasanii wetu
@NemesMasawe
@NemesMasawe 18 күн бұрын
Nice king kiba
@dicksonjanuary1262
@dicksonjanuary1262 18 күн бұрын
Jielewa bro safi sana sema watangazaji wetu baazi yao wanafiki anataka umbea
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o 18 күн бұрын
Mijtuuuu miongoooo keshooo motoniii mboniii cjackiaaa ariposemaaa narudiii yangaaa kisaaaa chama
@CatherineAmos-zw8dx
@CatherineAmos-zw8dx 18 күн бұрын
Kichwa cha habari kingine na Maongezi ni mengine jaman
@cessianthony2644
@cessianthony2644 5 күн бұрын
Kisa chama...kachoka kuugulia maumivu...😂😂😂😂 abaki huko huko
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 18 күн бұрын
Kiba sasa umekomaa safi sana dogo
@RashidiTwalibu
@RashidiTwalibu 12 күн бұрын
Oya dogo nakuku bali sana mungu akulinde na akupambanie sana
@habibukhatib2615
@habibukhatib2615 7 күн бұрын
Busara ndio nguvu ya majibu ya maswali yote hongera sana king 🤴 nakukubali sana
@NeemaValentina
@NeemaValentina 16 күн бұрын
Asante kwa kjitambua
@Broken_Beats__23
@Broken_Beats__23 7 күн бұрын
Huyu mtoto wa Iringa anapaswa apewe uwaziri kabisa kulingana na tasnia yake❤
@SukaDmGuy
@SukaDmGuy 16 күн бұрын
Bro Kiba nikipewa uongozi mbinguni una nafasi yako kwa interview uliyoifanya umetisha sana
@KondoNgoma
@KondoNgoma 18 күн бұрын
Utafika mbari sana
@malikebumoshiselemani440
@malikebumoshiselemani440 17 күн бұрын
Alikiba anaHEKIMA hata katika ongea yake maneno yake ni yenye busara pia hujibu swali kwa hekima na si Kwa madaa au kujionyesha waSanii wengine wahige mfano kwa ALIKIBA
@thobiassamwel4077
@thobiassamwel4077 7 күн бұрын
Ukiona mtu hana msimamo kwenye timu anayoshabikia basi hata maisha yake hayana msimamo😮
@SanuraMnaziru
@SanuraMnaziru 2 күн бұрын
Mmmmmmh jaman karibu sana yanga
@masudiitembele7036
@masudiitembele7036 12 күн бұрын
mbona hamna sehemu alipo ongea kuhusu kuhamia yanga CHANNEL HII YA KISENGE ndio maana AYO anawacha mbali.
@sostenvictor4764
@sostenvictor4764 8 күн бұрын
Ni kwel media imezngua
@festokizinga-px2fn
@festokizinga-px2fn 7 күн бұрын
Kichwa na content haviendani 😅
@yohanaeliazary6942
@yohanaeliazary6942 5 күн бұрын
Umeona mm nilikua nafatilia ilo neno wamejula mb za bule mbwa hawa
@gracekatawa1990
@gracekatawa1990 Күн бұрын
😅😅😅😅ndo nashangaaaa hata mimi
@gastomponji
@gastomponji 2 күн бұрын
huo ndo usani bora kukubali anachofanya mwenzako❤❤❤❤
@rajabukamis9411
@rajabukamis9411 16 күн бұрын
Bro kiba kwa sasa upo vzr na umekuwa kimuziki
@UpendoJackson-pf4kq
@UpendoJackson-pf4kq 5 күн бұрын
Nimekupenda sanaa
@Pachaboy-k2b
@Pachaboy-k2b 16 күн бұрын
Safi Sana' mtuwa watuupovzuli nakukubali Sana hunabaya mdogowangu
@IsackOppa
@IsackOppa 3 күн бұрын
Kiba kiba kiba nmekuita mara 3 bro unajua sana.....big up bro! Ila kuhusu muandishi wa hii page mshenz kinoma unaandika heading tofaut na yaliyomo fala wew
@winfredmasheyo2477
@winfredmasheyo2477 18 күн бұрын
Chaaaamaaaaaaa
@ShabaniSelemani-k7n
@ShabaniSelemani-k7n 16 күн бұрын
Safi sana king kuludi yanga
@user-hw8bb9jo9j
@user-hw8bb9jo9j 18 күн бұрын
Kwer kaka
@dicksonjanuary1262
@dicksonjanuary1262 18 күн бұрын
Duuuuuuh
@dicksonjanuary1262
@dicksonjanuary1262 18 күн бұрын
Duuuuh
@MwilikwaNgongo
@MwilikwaNgongo 16 күн бұрын
Wewe hunataka hama yangatena kwenda kumkomowa diamond alkiba wewe hahuna akili sawa
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 18 күн бұрын
KIBA KAKA ULE WIMBO WA SIYO LEO LOO HATA KM NANI LAZIMA TUUCHEZE. NI WIMBO BORA NA MZURI SAAAAANA. TUTUNGIE MWINGINE SIMBA DAY KIBA NI MWAMBA HONGERA SAAANA MWAMBA
@NehemiaMagori
@NehemiaMagori 10 күн бұрын
Dah kumbe shabik mandaz😅😅
@user-ci6em5kr8g
@user-ci6em5kr8g 18 күн бұрын
Kiba Big up
@ZachariaDottoz
@ZachariaDottoz 5 күн бұрын
nimesikiliza hadi mwisho sijaona alipo zungumzia mambo ya simba au yanga ila waandishi wa bongo khaa 😂😂😅
@MituniIssa
@MituniIssa 13 күн бұрын
Nyie ni wasenge kwann mnahusisha yanga na viroja vyenu nikipande gani alikiba alichoizungumzia yanga?
@AsiaKidunu-nm2ik
@AsiaKidunu-nm2ik 15 күн бұрын
Ndumila kuwili 😂😂😮Ogmore ndiyo hiyo
@aminihamisi3551
@aminihamisi3551 11 күн бұрын
Sijasikia akisema kurudi yanga
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 18 күн бұрын
Bado Haji kurudi alikotoka
@tariknassoraucho5814
@tariknassoraucho5814 3 күн бұрын
Aloandika Caption n mas...ge
@user-rq8go6cf8l
@user-rq8go6cf8l 14 күн бұрын
Yow
@technology.0508
@technology.0508 13 күн бұрын
Unamjua simba mnyama
@Hellena-ds3bp
@Hellena-ds3bp 17 күн бұрын
Broo haoo niwanafki wishing uwezavyo
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 18 күн бұрын
KIBA TUNAKUTEGEMEA SIMBA DAY. WEWENIMWAMBA
@glorysilayo1034
@glorysilayo1034 2 күн бұрын
Hata km mnataka viewers sio ushenz huo
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 5 күн бұрын
Mnyama mnyama anaumwa anaupiga 😅😅
@eliadausen3025
@eliadausen3025 14 күн бұрын
Poa kaka karibu ila kiba naomba namba yako
@alakomba6830
@alakomba6830 14 күн бұрын
Yaani kiba ujanja wote huo ulikuwa upande ule😢
@FeristaPaulo-v7d
@FeristaPaulo-v7d 7 күн бұрын
Karibu sana nyumbani mwana mpotevu. Kule hapakuwa sehemu sahihi ugali na sukari ndio zao.
@user-pc5uw7qo1x
@user-pc5uw7qo1x 18 күн бұрын
Wamesha kushauli sasa usimponde chibu maana utakosa wateja wa kusikiliza radio yenu
@yohanayohanaadamu6483
@yohanayohanaadamu6483 15 күн бұрын
Hamuna k2 hapo amefuata ela2 😂😂😂😂😂😂
@HusseinShuga-e3g
@HusseinShuga-e3g 15 күн бұрын
Acheni uongo wapi kasema amerud yanga?
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de 13 күн бұрын
Ila media zingine ni zakisenge wap wameongelea yanga hiv mtakuja kukua lin
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de 13 күн бұрын
Wajinga kumbe na ww umeona
@kaluaabdallah6506
@kaluaabdallah6506 6 күн бұрын
Anafosi yanga day lazima aimbe yeye kama alivyoimba Simba Ili mradi tu sifa ziwe upande wake katika timu zote mbili
@FabianSanga-d2i
@FabianSanga-d2i 18 күн бұрын
Sawa
@dicksonjanuary1262
@dicksonjanuary1262 18 күн бұрын
Kb anajielewa sana
@lucylameck4589
@lucylameck4589 Күн бұрын
Kule ulikuwa umeenda kujaribu naona umerudi nyumbani kumenoga
@MirroAsinaly
@MirroAsinaly 7 күн бұрын
Leo umeulizwa swali umejibu point mnah ulikuwa ni mtu wa mjungu tu
@salumchoma8731
@salumchoma8731 18 күн бұрын
Nikitema unashibaaa,bwana mdogoooo. Bwana mdogox2 K/njaro,napanda miye, bwana mdogooo, Bwana mdogooox2
@muthefuture
@muthefuture 2 күн бұрын
Siku akili zikikuludia kalibu tena Simba
@ancyblix
@ancyblix 7 күн бұрын
Kilichopo kwenye headline na content ya kwenye video haviendani kabisa channel ya hovyo hii
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 18 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@paulinakiria7918
@paulinakiria7918 9 күн бұрын
Ivi ameongelea wapi kuhusu kurudi yanga Fala nyinyi
@Wish_Tv
@Wish_Tv 14 күн бұрын
Atuwataki kaama chama wewe bakiki uko uko uwaimbia na jimbo lako la mnyama anampinzani akawa wa 3 uko 😅usitutie nuksi
@Kadeslersoap
@Kadeslersoap 15 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-gf9uw1zz3d
@user-gf9uw1zz3d 17 күн бұрын
Niandike Tanzania the best Kwan mm mwiz😂😂
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 15 күн бұрын
Waandishi bana mnafeli xana kwahiyo ili muziki wa bongo ukue ni lazima uchezwe na wasanii wa nje kiba hamtomuweza kamwe
@ChegeChigunda-v2g
@ChegeChigunda-v2g 12 күн бұрын
Msenge ww hauelewek xhabik gan choko Kama ww mchicha miba
@lightnesshassan5814
@lightnesshassan5814 17 күн бұрын
Nyie wanahabari mnakewewa kila siku kuhusu habari zenu mbovu mnazo riport Sasa angaliena Sana
@geraldkirenga7159
@geraldkirenga7159 16 күн бұрын
Nimependa unavyojibu maswali ya waandishi kwa kutulia, busara na umakini
@CastorOmmy
@CastorOmmy 12 күн бұрын
Mbona sjaskia anaposema ameridi yanga
@dansimpasa7440
@dansimpasa7440 11 күн бұрын
Hata Mimi sijasikia
@JacksonKaloli-du7vq
@JacksonKaloli-du7vq 18 күн бұрын
kiba sio poa kaka nikweli kuna kunsnchi saa3 usiku nchi nyingine kweupe
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le 14 күн бұрын
Ninavyomjua kiba anamsimamo xana hawez kurud utopolo
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 13 күн бұрын
Wewe wasema,kiba nimyanga yanga Toka makuzi yake Ila kwakua wewe upo ukolokoloni ndio unamsemea king
@TheRobertCK
@TheRobertCK 4 күн бұрын
Pumbav nyie ndo maana hamfiki mbali jinga kabisa
@robertchazya2351
@robertchazya2351 14 күн бұрын
Pumbav ndo maana hamuendelei 😠
@innosentmolel8057
@innosentmolel8057 16 күн бұрын
mtoa post bhana ulicho andika na mahojiano yako na king ni vitu viwili tofauti wapi ameongea kua anarudi yanga kisa mwamba walusaka
@aminaomary5567
@aminaomary5567 17 күн бұрын
Kila la eri Kiba kurudi yanga na Mondi tunamkatibisha kurud nyumban kwake Simba kama jina lake simba Dangote.
@SalaSaid-xv4wf
@SalaSaid-xv4wf 15 күн бұрын
Yes ❤❤
@HadijaAdam-ct6wf
@HadijaAdam-ct6wf 10 күн бұрын
Sijasikia mbona akisema kurud yanga😢
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 12 күн бұрын
Acheni uzwazwa
@AhmedAbdallah-cv6rn
@AhmedAbdallah-cv6rn 18 күн бұрын
Simba wabovu Sanaa 😂😂
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le 14 күн бұрын
Usirud yanga kiba cmba kumenoga baki huku huku
@user-mi7yx8ew1k
@user-mi7yx8ew1k 13 күн бұрын
Kumenogeshwa na nn
@AdamGeorge-i3m
@AdamGeorge-i3m 14 күн бұрын
@christinanyalusi6341
@christinanyalusi6341 2 күн бұрын
Shabik mandazi
@user-cs1im9pc2u
@user-cs1im9pc2u 18 күн бұрын
shida akina ashura chuchu akili zao hakina akili , mtu anaongelea kazi wanawaza kurudi yanga
@allysunday8614
@allysunday8614 17 күн бұрын
Yaani kichwa cha habari na kilichoongelewa havifanani....hamna weledi.....
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de 13 күн бұрын
😂😂 yan nimeikalili hi media nikiiona siiangalii maana ni waongo wakubwa wamenimalizia mb zang
@BrayMark-d3z
@BrayMark-d3z 12 күн бұрын
Hi nimupya
@lundimbekelu8866
@lundimbekelu8866 12 күн бұрын
Mamluki hao
@MashakaMakamba
@MashakaMakamba 12 күн бұрын
Ondoka kwani wewe nani unatoa mchango wako kwenye simba
@bundalahamza8902
@bundalahamza8902 14 күн бұрын
Ukuwahi kuwa Simba wewe
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 17 күн бұрын
Xavi mtupu
@patrickilambona5042
@patrickilambona5042 14 күн бұрын
Sijaona aliposema kurudi yanga mwaandishi kumanyoko zako
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de 13 күн бұрын
😂😂😂 yan yanaboa balaa nataman hata nilipwe fidia
@zahorhemed1045
@zahorhemed1045 17 күн бұрын
Kiki huna jemgine
@user-hs7um1rf8s
@user-hs7um1rf8s 8 күн бұрын
utoopolo wote ni washamba sana hata club yao wanaindesha kiuni kitapeli
@JoyceDaniel-g3e
@JoyceDaniel-g3e 16 күн бұрын
Ujinga tu ulichoandika ni sawa na alichozungumz?
@BrightonElias-lh1ty
@BrightonElias-lh1ty 12 күн бұрын
Mjinga ww ulieangalia👊
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 18 күн бұрын
Yanga bingwa adi 230😁
@user-kr2qr8vx1x
@user-kr2qr8vx1x 12 күн бұрын
Umetisha kiba wewe kiwango ulicho fikia mwanangu ni kikubwa sana sana ujui kifupi umefika mbali sana kimaendelo na upendo misifa.ninacho kushauri kama mama Yako..kama ulivyo sema hapo ni nyumbani jitaidi usiwe na kinyongo na mtu yoyote baba samee yote hili mungu aachilie baraka kwako..pambana na kazi Yako mwanangu Mimi mwenyewe nakupenda mwanangu Kwa maneno ya hekima na busara Kwa kibu mungu akubariki na kukufungulia milango ktk kazi.
@user-kr2qr8vx1x
@user-kr2qr8vx1x 12 күн бұрын
Usijari watu wanasema nini..jari kesho mungu atanipa nini..tutayashindia hayo yote.
@camilomassao8971
@camilomassao8971 2 күн бұрын
😮😮umesikia wapi
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 9 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 33 МЛН
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
MWIZI WA KUKU PART 1A (MZEE MAJUTO) Official Bongo Movie
34:01
SNAKE BOY | ep 29 | SEASON TWO
31:40
CLAM VEVO
Рет қаралды 186 М.
Football Players Jumping Records + Basketball ⚽️🏀
0:24
Vietnam Football
Рет қаралды 4 МЛН
But how??
0:16
OfficialGlobalMilitary
Рет қаралды 10 МЛН
KARATE JANGI VAQTIDA HALOK BOLDI YOKI XUSHINI YUQOTDI
0:23
XO'JA UZ
Рет қаралды 1,4 МЛН
Абдулманап про Хабиба! 🦅 #shorts
0:15
Artem Tarasov MMA
Рет қаралды 2 МЛН