Wallah baba nakukubali wewe ni msema kweli mwenye kuchukia na achukie mtumishi wa mungu itakuwaje ajichubue ao ndio welewale
@charlesyotham7977Күн бұрын
Huyu Baba anaongea kweli tupu mkijuwa kweli nayo kweli itakuweka huru
@shiracque85242 күн бұрын
Ubarikiwe mwalimu BABA mchungaji
@user-hb8iv7jz9c2 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu hananja.
@worth_monkeyКүн бұрын
mungu akuweke mchungaji umeongea fact sana asee wabongoo wanaburuzwaaa
@EVANSOUMA-k5h13 сағат бұрын
Mungu akuzidishie roho mtakatifu Baba mchungaji
@camillasiwa6506Күн бұрын
big up mchungaji...tuko pamoja sanaaaaa....waambie hao wajinga wanaoliwa sadaka zao
@godfreymhina62362 күн бұрын
Mchg kwakweli BWANA akubaliki sana amekuweka kwa kusudi huo ndio ukweli, Mwenye kuelewa ataelewa lakini huo unaoeleza ndio ukweli kwenye kizazi cha ukaidi.
@user-zp5qj3ym5x10 сағат бұрын
Mm ni muislamu ila uyu mzee namuelewa sana na pia napenda kumfuatilia kwenye vipindi vyake Mungu akueke mchunguji Ananja
@davidkawesa359413 сағат бұрын
Nabaki Roma Mungu anijalie kama Ibrahim
@MichaelDominick-xx1rzКүн бұрын
Nmekuelewa Sanaa mchungaji
@Yassinseleman3 күн бұрын
Nilikua na role model wa kisiasa wawili tz lowassa na maalim seiph sasa na baba hananja ni role model wangu kwenye kusema kweli nakupenda baba
@wilfredjohn4829Күн бұрын
Amen nimekuelewa Baba yangu Mungu akubariki 😂😂😂😂 dawa ya deni ni kulipa jaman kwakweli umeongea ukweli kabisa watumishi wa Mungu huubiri Neno la Mungu yohana 8:32 Mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru.....
@injilinjeyakutazakanisa3 күн бұрын
Barikiwa, nakuelewa Mchungaji. Nadhani Elimu pia azingatiwe, isiwe wito tu! nadhani tatizo lingine ni hili. Serekali izingatie haya
@mu_tv564 күн бұрын
Ningekua mkristo, kanisa la huyu mzee ndio ningelitumia kuabudu kwakwel, uyu ni mtu wa Mungu
@fideschacky3 күн бұрын
Hana kanisa huyu,anasali kkkt,ila yuko vizuri kwakweli
@upendogreutert1993 күн бұрын
@@fideschackyalikuwa Mchungaji wa KKKT Ila kwa sasa amestaafu anatoaga tu Ushauri sehemu mbalimbali
@sarahgaula22203 күн бұрын
😂
@user-pl3pc4wk9i2 күн бұрын
Kanisa siyo kigezo kikubwa ni nawewe ujue biblia karibu ujifunza biblia
@maalimhamad129718 сағат бұрын
Wewe pia kafiri kama yeye wewe dini gani unatamani uwe na kafiri kama huyo na anauzuri gani mtu anamkfuru Allah wewe unasema mtu mzuri jieleweni mjue dini zenu
@KahimanoMutwaКүн бұрын
This is my father now ❤
@ramadhaninyangasa7275Күн бұрын
Ni katika wachungaji wachache sana!! Wakweli
@user-sp5vr7uo4wКүн бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@user-ho7ci2fq1c21 сағат бұрын
Exactly Man of GooD
@agnesandrew274220 сағат бұрын
Barikiwa baba mchungaji ❤❤
@panduafricangiant49024 күн бұрын
Hakuna miujiza katika mafanikio lakini kuna bahati katika juhudi pale mtaji unapokutana na fursa iyo ndo miujiza katika dunia halisi ila hii ya kisubiri kukemea mapepo utasubiri mafanikio mpaka unazeeka
@Ayyub_Semtawa3 күн бұрын
Kijana una akili sana...,busara na hekima ya hali ya juu..Taifa lingekua na Vijana wengi wenye ukomavu wa uelewa huu..tungefika mbali sana Kiuchumi..ki hisia na kiimani
@davidkawesa359412 сағат бұрын
Hapo kampiga Mzee wa Upako Mwamposa Kiboko ya wachawi Na wote wenye tabia hizi
@jacquelinelukambuzi508540 минут бұрын
Umeongea vizuri sana mchungaji Mungu akutunze
@user-kq7kn7gh6l4 күн бұрын
Mimi ni mmoja wa watu ninao fuatilia mafundisho yako kiukweli unacho kiongea nikweli kabisa kwani baadhi ya makanisa yamegeuka hayafuati bibblia Bali wamejipangia taratibu tofauti na maagizo ya mwenyezi mungu , lakini Sasa Kila kitu kitawekwa wazima mwenye akiri na afahamu,maana hata wenzetu wa dini nyingine wanapata kutu SEMA kuwa huu ukristo sio dini ,lakini mungu atawatawanya manabii feki kwa njia saba
@abdulkadrimbona4454Күн бұрын
Kaka upo sahihi selekali ichukue kodi kwa biashara anazo fanya mwamposa
@saiditwalibu52449 сағат бұрын
Huyu Mzee ukiwa na akili huru utamuelewa vzr sana,
@VascoJohn-rp1ucКүн бұрын
Waooo mzee nimekubari interview hiii it is living one ❤
@fredybanda28613 күн бұрын
Exactly servant of God
@user-tg5vq3zf1fКүн бұрын
Ubarikiwe baba wa mungu
@josephkadeghe4720Күн бұрын
Kiboko ya wachawi, yeye mwenyewe ni mchawi
@shabbymakapane3 күн бұрын
🤣🤣🤣😭 👏👏👏 Haleluya Mchungaji HANANJA Sema Ukweli,
@shaloom-it4qs8 сағат бұрын
😂😂😂 eti watu wa imani nyingine wanakukamua usiondoke na chips zao loh! Huyu baba kiboko
@edmundnkarangu1344 күн бұрын
Heavy point WALIPE KODI
@user-mw5xs2wx8nКүн бұрын
Dah afazali umesema bb mkorogo wa mwafula ni nyoko😂
@SalumSevingiКүн бұрын
Mwenyz Mungu akulinde.
@bensonmgaya6290Күн бұрын
Fact man of GOD
@charlesnyanhanga43824 күн бұрын
Hakika mchungaji yesu mwenyewe alilipa kodi
@user-sh3uc6vw4mКүн бұрын
Kweli mzee sema
@thomasraiton7760Күн бұрын
Na Kuna watu waliomba awafanyie muujiza akagoma kabisa
@sep10pili202Күн бұрын
Mungu akuinui bro
@MathiasBura7 сағат бұрын
Sema mtumishi.
@georgemtewele76563 күн бұрын
Kama umesoma biblia toka mwanzo mpaka Ufunuo, hongera na Kama bado na huna mda komaa kiroho kwa kumsikiliza Hananja sugu wa imani isiyo goshiwa
@user-ec4br4pd3o11 сағат бұрын
❤❤❤mungu akubariki mchungaji
@rashidkassim783620 сағат бұрын
Well said hananja
@sonnyr18993 күн бұрын
Ningekuwa mkristo huyu ndio angekuwa Baba yangu wa kiroho ila hata hivyo atabaki kuwa mfanya kazi mzuri wa kuelimisha jami.
@user-il5pk2dr5n3 күн бұрын
Allah si muhitaji kwenu na atatukitoa sada yeye haifiki ni unyenyekevu wetu wanafsi chunga imani yako nakauli zako..
@maalimhamad129718 сағат бұрын
Nawewe kafiri kama yeye usijidanganye nafsiyako
@sonnyr189918 сағат бұрын
@@maalimhamad1297 Subhanallah unapata wapi uhalali wa kumuita mtu kafiri? Allah akusamehe
@belyseirakoze53713 күн бұрын
Uyu baba ni junior sana hongera ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@januaryjoseph4383Күн бұрын
🎉
@SamsonMasawa-w7l19 сағат бұрын
Amina
@lydiavegula764114 сағат бұрын
Damubyq Yesu ikulinde
@Kuminamoja19955 күн бұрын
Kweli kabisa Hananja 🎉🎉
@elvismabena76303 күн бұрын
Fact Sana kiongozi
@Pemba680Күн бұрын
Mm ni muislam ila uyu pasta anaongea ukweli sana
@MrNoah-gr7rq9 сағат бұрын
True😊
@VeronicaRugoyi7 сағат бұрын
😂😂wambie ukweli baba
@BrianBrian-m8x10 сағат бұрын
❤
@MathiasBura7 сағат бұрын
Mtumishi.
@patrickmwaulambo96504 сағат бұрын
Wanàuza maji,,,,, wapigwe kodi😅😅
@YusuphShabani-wk5bv7 сағат бұрын
amina wambie
@shabanijuma208515 сағат бұрын
😂😂😂😂Mungu akupe hidaya.Karibu ktk uislamu.
@LinosJohn-dp9xi2 күн бұрын
Hananjaa umesahau ndio maaana yesu alipindua meza za watu kwenye masinagogi yao
@mengiiblahim421520 сағат бұрын
We mchungaji mbingu inakuhusu
@georgemtewele76563 күн бұрын
Huyu mzee nikipata nafasi nampa church la kuchunga hapa mjini,, hana mda na ujinga
@MuniraSalim-h6q19 сағат бұрын
Nauliza kufufua waliokufa kwa jina la yesu kuombea vilema na vipofu wakatembea wakaona kuna ukwell hapo
@JaqlineKigwazo19 сағат бұрын
YESU HAKUWA KOMEDI WALA HAKUNA MAHALI KTK BIBLIA KUMEANDIKWA KOMEDI
@YassinIssa-d8j3 күн бұрын
Hananja upo sawa
@jubilethfestourio450Күн бұрын
Mungu akikuweka huru utakua huru kwelkweli nawewe uko huru mchungaji sema watu wagoner barikiwa
@chazyjacks6736 сағат бұрын
Mm ningekuwa Rais nafunga baadh ya kanisa
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur3 күн бұрын
Wafanyabiashara wa Tanzania uku wanakimbia kulipa kodi
@mataypanga52625 күн бұрын
Hata kwetu kuna kazi,ila hakuna pesa
@GeorgeCharlesKipeya-m3b8 сағат бұрын
Kodii sema kweli
@farijala14 күн бұрын
Huyu Mzee Huwa anaongea Uhalisiawanamna Mafundisho halisi ya Dini. Haya anayosea Ndani ya Uislamu ni Hivyo na ninaamini hata kwenye Ukristo ni Hivyo,Sema hawakosekanagi wanaotafuta Upenyo wa Kuelekea namna vichwa vyao vinavyotaka.
@rabaniAmri4 күн бұрын
Kweli upo sawakabisa
@MasterOil-qm6vw4 күн бұрын
Uko sahihi mzee hawa manabii wanatumia majini kuwadanganya wapumbavu wao
@user-wi8og3sv4j4 күн бұрын
Shamba darasa hawalimi mapori yote yesu alikuwa akifu disha ili yule aliefundishwa akafanye zaidi
@rehemakaijage1364Күн бұрын
Mchungaji, unapatikana wapi? Natamani Semina / Ibada zako, ILI nifurahi, nicheke, niongeze hekima zitokanazo na NENO LA MUNGU UNALOFUNDISHA.
@happytom5455Күн бұрын
Piga kodi hao😅😂😂😂
@eliahwerema581819 сағат бұрын
😂😂😂 huyu mchungaji ni 🔥🔥
@MasterOil-qm6vw4 күн бұрын
Hahahahaahaha umewachana wachawi mzee
@camillasiwa6506Күн бұрын
maaskofu mko wapi kukemea kama mchungaji huyu? KKKT, RC, TAG nk nk
@williammbuzimai57449 сағат бұрын
😅😅😅 kodiiii
@happynkya977016 сағат бұрын
Kuna baadhi ya wachungaji wamekuwa kama wasanii,
@AnaMauricioPatricioКүн бұрын
Amém 🙏🇲🇿
@JrFunga22 сағат бұрын
❤
@user-fj4kj8xc5x7 сағат бұрын
Mkweli ni mfano wa dhahabu
@kaundasutikaunda7769Күн бұрын
KWELI KABISA
@BenardLucumay3 күн бұрын
Nabii kiboko ya wachawi sasa apambane na WATEKAJI !
@user-wi8og3sv4j4 күн бұрын
Hatakuwa na akili mbovu ni umaskini mkubwa zaidi
@rasnchimbi3 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣eti makomedy na mazingaombwe
@MasterOil-qm6vw4 күн бұрын
Mbona mwaondoka na misuti na mbao mkuki moyoni
@user-wi8og3sv4j4 күн бұрын
Kama yona aliishi bure kwa tumbo la samaki bas sheli si rahisi pia?