Рет қаралды 3,417
Ni miaka 26 sasa tangu kutokea kwa ajili ya MV Bukoba ambayo ilipoteza maisha ya watu wengi, Mmoja kati ya manusura ni Godfrey Nyaisa ambaye kwa sasa ni Mtendaji Mkuu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) anaelezea siku hiyo ilivyokuwa!
"Nilikuwa nataka kuoga ghafla meli ikayumba!
Kwa urefu zaidi tumekuwekea kwenye KZfaq #CloudsMedia
#CloudsDigitalUpdates