Рет қаралды 2,838
Wakulima wa zao la Migomba Mkoani kagera katika Wilaya ya Bukoba, wamenufaika na mradi wa Banana Agronomy ambao umewaletea Mafanikio makubwa wakulima hao kwa kufuata njia sahihi za ulimaji bora, nakupeleka kupata mazao mengi katika mashamba yao na kiasi cha pesa wanachopata wakifanya mambo ya maendeleo katika jamii inayowazunguka. Karibu kutazama sehemu ya simulizi hii ya Wakulima waliofanikiwa kupitia kwa wataalamu wa TARI-MARUKU na mradi wa BANANA AGRONOMY.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
#NdiziChakulaAjiraNaBiashara