No video

ALIYETAKA KUMPINDUA NYERERE AJULIKANA:MIPANGO YA "URUSI"/VITA VYA UGANDA/UJASUSI NI SIRI NZITO.....

  Рет қаралды 36,991

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Ujasusi #ukraine #maelezo

Пікірлер: 44
@dar24media
@dar24media Жыл бұрын
USIKOSE KUFUATILIA MUENDELEZO WA KIPINDI HIKI,UTAKUJIA SIKU YA JUMA PILI YA TAREHE 26/02/2023......SAA TANO KAMILI ASUBUHI
@davidshebughe3422
@davidshebughe3422 Жыл бұрын
Sawa
@michaeljpm5597
@michaeljpm5597 Жыл бұрын
Kwenye app Gani kinapatikana?
@leahmwangi1198
@leahmwangi1198 Жыл бұрын
Nimepata mafunzo mzuri sana hizi maswala zinaelezea mwafrika maisha yake kila mahali afrika mashariki haswa kenya na tz
@yazidusaidi8843
@yazidusaidi8843 Жыл бұрын
Marvelous, sijakisoma kitabu hiki, ila kupitia interview hii, kwa kweli nitakitafuta nikisome, bravo! ameiweka vizuri dhana ya ujasusi.
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Dar24 mnajutahidi sn ktk mahojiano wew na Stanslaus Lambert mpo vizuri sana
@bensonjohn9633
@bensonjohn9633 Жыл бұрын
Huyu Jamaa ana akili sana,Hongera sana Yericko Nyerere. Sema Upo Taifa ambalo linaamini ili utumike lazima uwe CCM
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Жыл бұрын
Mpo vizur sana
@mphotshoke7760
@mphotshoke7760 Жыл бұрын
Nakubal sana mwanangu supa dupa✌️🤛🔥🔥🔥🔥
@jamirually893
@jamirually893 Жыл бұрын
Yani Africa ilibidi tumuunge mkono Putin maana katusaidia Sana warus ni binadam sio wamagharibi
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 Жыл бұрын
Hongera sana Jerico
@ameokichaka9456
@ameokichaka9456 Жыл бұрын
Daaaa aiseee
@elvissamwel6676
@elvissamwel6676 Жыл бұрын
Kaka nahitaji kitabu..Cha ujasusi wa kiuchumi na dola
@reygalnmahundi7754
@reygalnmahundi7754 Жыл бұрын
Super
@albertkassim3286
@albertkassim3286 Жыл бұрын
Nimesha jua kwann saanane alitoweka jamaa umemponza mwenzako weweee! Walio husika kuandika wote wamekimbia chama na mmoja hajulikan alipo, una bahat ya kuwa mtu mwenye damu moja na Mwalim, Ndicho kilicho kuokoa.
@deokibona2835
@deokibona2835 Жыл бұрын
Huyu hana uhusiano wowote na mwalimu. Na Wala sio mtu wa Kanda ya ziwa.
@jacobmazengo6302
@jacobmazengo6302 Жыл бұрын
Mbona mnachelewesha muendelezo sana
@alimsuleiman465
@alimsuleiman465 Жыл бұрын
Hiki kitabu kinapatikanaje nakihitaji
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 Жыл бұрын
Tuna ma Genius Tanzania lakini kinachoharibu ni ccm
@ritchiemuta1092
@ritchiemuta1092 Жыл бұрын
Mkuu wewe sio mtanzania wa kwanza kutumia mitandao ya kijamii miaka ya 1993 au 94 kulikuwa na Tanznet ambayo ilikuwa based US na wanafunzi wengi wa TZ tuilitumia kujua habari za nyumbani
@otmarmkali8883
@otmarmkali8883 Жыл бұрын
broo umepambana sana. mana kitabu kuandika kwake mpaka kitimie ni hatar
@NETIQIncorporation
@NETIQIncorporation Жыл бұрын
We muongo, siyo wa kwanza husidanganye watu. Mimi binafsi nimeanza kutumia mitandao 1997. Wapo wengi wa zamani siyo wewe
@allymoshi2053
@allymoshi2053 Жыл бұрын
Acha uongo kitambo hcho internet cafe zlkuwa kibao t watu wanapata habar
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 Жыл бұрын
Mtanzania wa kwanza kufanya nini! Acha matango
@issamakwaya-fo4qw
@issamakwaya-fo4qw Жыл бұрын
Mjinga huwa hajiamini bali mpumbavu ndio hujiamini sana lakini hajui kitu na anajiona anajua lakini hajui kitu. Kwa mjinga yeye hajui na kweli hajui na pia anajua kuwa hajui,ukimwelewesha anajua na tayari ujinga unakuwa umekwisha.Nature kila mtu ni mjinga na hakuna mtu sio mjinga,kwani hakuna mtu anaye juwa kila kitu.
@salimucvales7495
@salimucvales7495 Жыл бұрын
Naweza kupata wapi hicho kitabu
@blackjack3356
@blackjack3356 Жыл бұрын
Mbona mjamaliza
@augustinob.toke1012
@augustinob.toke1012 Жыл бұрын
Sorry hicho kitabu naweza kukipataje?
@eliassabbath2480
@eliassabbath2480 Жыл бұрын
Tatzo lenu hua mnaleta stori alafu mnasema mlaleta mwendelezo n hamlet au mkileta maletaaa kwa kuchelewa utazan mb tuna tumia zenu
@dar24media
@dar24media Жыл бұрын
usikose muendelezo wa kipindi hiki siku ya jumapili ya tarehe 26/02/2023, saaa tano kamili
@khalifaaliomar7989
@khalifaaliomar7989 Жыл бұрын
Na mm nahitaj icho kitabu wp nitakipata
@ibrahimrashid951
@ibrahimrashid951 Жыл бұрын
uwongo yeye alikuwa mjamaa duuuu
@mastaplan
@mastaplan Жыл бұрын
Mkuu hapo umetumia kauli TATA inabidi ukaombe radhi chuoni au hata kupitia mtandaoni bila ya hivyo ni kesi hii...(CHUO CHA MA-HOUSE GIRL)
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Ndo mjitahidi Kiwe chuo cha nyumba ya maarifa
@mastaplan
@mastaplan Жыл бұрын
Acha kujibu kwa mhemko mkuu
@chrisscymbian4747
@chrisscymbian4747 Жыл бұрын
Mtu kama uyu ndo siku anataka kua kiongoz uku kichwan kwake ana negative attitude km ivo
@fredsanga9461
@fredsanga9461 Жыл бұрын
Unauza wewe tu, na house of wisdom, so amazon na wallmart hawapo tena?
@jamirually893
@jamirually893 Жыл бұрын
Sehem ya pili Iko wap?
@dar24media
@dar24media Жыл бұрын
usikose muendelezo wa kipindi hiki siku ya jumapili ya tarehe 26/02/2023, saaa tano kamili
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Kichwa Cha Habari Akiendani Na Story Zenu Inamana Mnakula MB Za Bule Kwa Habari Za Uongo Akuna Kisa Mpango Na Vita Mnaongea Ujinga Mtupu
@ericklyatuu1301
@ericklyatuu1301 7 ай бұрын
Bado kipindi hakijaisha
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Tanikaty ilinga hiyo
@donnyshule7432
@donnyshule7432 Жыл бұрын
Hacha uongo wewe
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 13 МЛН
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 14 МЛН
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 14 МЛН
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 30 МЛН
Salama Na JK Ep 48| MSOGA UNO PART 1
28:27
YahStoneTown
Рет қаралды 552 М.
SIMULIZI YA SAUTI : REVENGE (KISASI)
3:21:26
SIMULIZI FUPI by Simulizi Mix
Рет қаралды 27 М.
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 13 МЛН