Kama unasikiliza wimbo huu nje ya Tanzania na Afrika like hapa tujuane❤
@ZachariaMhondo4 ай бұрын
SHALOM SHALOM....NIMEUPATA WIMBO MZURI SANA MUNGU AWATUNZE SANA NKO OMANI MUSCAT 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@dorcaseliah4 ай бұрын
Hongera sana winbo unaupako, Yesu aendelee kukutumia
@violetnasimiyu87184 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-bv6vx4le9w4 ай бұрын
Amen,umetufikia ata Sisi wa Burundi tunao ishi ulaya.Tunampenda sana Ambwene
@fredrickmuoki59824 ай бұрын
Niko hapa naurudiarudia kutoka kenya, Nairobi
@elizabethchaula24144 сағат бұрын
nazipenda sana nyimbo za ambwene mwasongwe nikiwa kwenye wakati mgumu huwa nafarijika 🙏🙏🙏
@user-zr5rg5ul3q4 ай бұрын
Kama Kuna msanii wa kiume Tanzania nampenda na kazi zake nazipenda basi huyu baba naomba Aishi maisha marefu Huwa ananigusa sana na nyimbo zake ❤❤❤❤❤❤❤ best all the time
@user-lx6vw2bd5u4 ай бұрын
Hunifikii mim ww
@patientkighoma37533 ай бұрын
Ni Mungu alikutuma kwangu n'a ujumbe wa wimbo huu. Nifungulie mbingu nikuone wangu Baba. Sitakaza macho kitazama mawe, nitatazama mbingu tu. Amen
@getrudecharles86893 ай бұрын
Amen,, Nimebarikiwa mno jamani na huu wimbo Jamani, Hakika Mungu unifungulie mbingu nikuone
@agynoel28464 ай бұрын
Naitwa Agnes naandika comment hii nikiwa ktk kipind kigumu, mwanangu wa miezi mitatu anapitia changamoto ya kukosa maziwa ya mama napia nilimzaa akiwa njiti wa miezi saba. Naomba Mungu amfungulie mbingu mwanangu maaana njia zote nimemaliza natazama mbingu tu.
@mhogomchungu78824 ай бұрын
Atakuwa sawa ..amina🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@Usertatu116834 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Ni Mwaminifu, njia zake hazichunguziki, na Anaposhindwa Mwanadamu Mungu huanzia hapo
@mtonyole15Officially4 ай бұрын
MUNGU ayafungwe maziwa ili mtoto apate kula chakula toka kwa mama kwa JINA LA YESU na mbingu zikafunguke kwaajili ya mtoto na mama
@furahakavishe64784 ай бұрын
Pole ni kipindi tu usijali
@arnoldkalemela50784 ай бұрын
Mungu akutendee mema dada
@MariaWaYesu4 ай бұрын
ASANTE YESU MWAMINIFU KWA KUNIFUNGULIA MBINGU🙏🙏🙏
@SalomeJohn-dp8tv4 ай бұрын
Naona utukufu wa MUNGU sitazami mawe ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
@eliaskatole37014 ай бұрын
Mungu nifungulie mbingu nikuoneee Huu ni wimbo wangu Asante brother Ambwene
@aminimgheni89684 ай бұрын
Ulioanza nao huduma wengi wakekata tamaa,wengi wamepotea,wengine hawana tena mafuta,wengine huduma zilikoma,wengine wamepoteza kibali,Mungu amekubariki hadi leo upo na bado ukitoa kazi inatupeleka mahali namna hii,inatufanya tumuone Mungu kwa ukubwa wake na ukuu wake...naomba muungane na mimi kwa kumbariki mtumishi huyu Mungu ampe mafuta zaidi kwa kizazi hikii kwa kusema Amen.
@hezronmukumbwa72754 ай бұрын
Amen.
@ShawnBeatz3 ай бұрын
Amen, nyimbo za ambwene ni nimbo za lucifer kwenye kiti cha enzi
@miriamsongora61174 ай бұрын
Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama Mbingu tu sitasikiliza maneno yao nitasikia ya Mbingu tu sitaangalia vidonda vyangu nitaangalia Mbingu tu AMEEN
@patrickpastory62164 ай бұрын
Hakika tunatakiwa kufikiria Mbingu tu katika maisha yetu ya kiroho na kimwili pia Kusikiliza Kutazama Kutembea Nk tufikirie Mbingu tu oooh halellujah ❤❤
@nkungujackson70924 ай бұрын
Kiukweli nyimbo zako hunitengeneza maisha yangu natamani niwe kama wewe japo YESU aliwauliza unaweza kunyea kikombe changu so kaka wewe ni zawadi kwa watanzania wote
@harold38634 ай бұрын
Mwalimu wa muda wote
@nkungujackson70924 ай бұрын
MUNGU ambariki ambwene mwasongwe
@patrickpastory62164 ай бұрын
Napenda sana uimbaji wako hautumii nguvu kubwa kumshawishi mtu asikilize au kutazama yaani mtu anakuja mwenyewe kwakua nyimbo zimejaa baraka tele zinatia moyo hasa kwenye safari hii ya kwenda Mbinguni. Mtumishi Ambwene unanibariki sana kwa nyimbo zako.
@CloudDiotreph-vd6kj4 ай бұрын
Oooh Yesu mtunze mtume wako huyu. Mungu akutunze
@Mwampambakelvin4 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia mtumishi hakika unajua kutufundisha kwa nyimbo zako nzuri
@user-kq3zx4nj1e4 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akutunze tunafurahia huduma zako ,zinatufariji sn,kwenye maisha yetu
@wanjikujoy-xm3ki4 ай бұрын
Only God knows how much I love Mr Mwasongwe's songs Nifundishe kuomba,misuli ya Imani....plus this one too it's Grace and it's really amazing#🇰🇪
@alfonceanton22734 ай бұрын
Best best gospel artist wa muda wote kwangu, ahsante kwa huduma yako ya uimbaji tunabalikiwa
@DianaKimario-xe7luАй бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU hii nyimbo inanitia nguvu katika kipindi hiki kigumu ninacho pitia
@aminimgheni89684 ай бұрын
Ninaona utukufu wa Mungu sioni mawe,sisikilizi maneno yao,natazama ya Mbingu tu....Nitatazama kwako vinatokaga kware,manaaa....magari ya moto yabebayo watu wakoo.....Ambwene tenaa,Mungu akubariki umekuwa baraka sanaa,sijui huwa unafanyaje mpaka Mungu kukupa maneno makubwa hivii yenye kutufanya shujaaa katikati ya tabuu,yenye kutufanya kupasua kicheko hata tukiwa gerezani,yenye kutufanya tuvimbe tukumtazamia Mungu...Mungu atupe wengi wa namna yako
@edsonjeconia32574 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuone.my favorite song from now
@barakaemmanuel82474 ай бұрын
Mbingu inafunguka kwa jina la Yesu kristo
@wahiaboranasari64624 ай бұрын
Sitaangalia mapito yangu...nitaangalia mbingu tu nikuone Yesu mwema
@ignasankoma53834 ай бұрын
Hallelujah, hii NI Ibada tosha, inatukumbusha pia kuwa karibu na mteyezi wetu, Ambaye atakuwa mtetezi Hadi mwisho wa dahari
@exaverymakoye60264 ай бұрын
Hakika Nyimbo nzuri sana Nikikumbuka Nimewahi pitia kipindi kigumu Niliibiwa Pikipikiangu nilikua naipenda sana Nikawa Nasikiliza Wimbo wako Nimeachilia Ulinitia Moyo sana Nikasahau Mungu akanifanyia Makubwa zaidi nika Nunua Nyingine na Fedha nikapata Nyingi sana Mungu akubaliki sana kaka kwa Nyimbo zako🙏 Amen
@khalebnathael4 ай бұрын
Nifungulie Mbingu nikuone,,sitasikiliza maneno yao nitasikiliza ya mbingu tu🙇🙏🙏
@MelkizedekiMboriyo-it8ht4 ай бұрын
Amen ❤
@nathanizebedayo65614 ай бұрын
Kila niwapo kwenye kazi zangu na karedio kangu basi Mwasongwe hunifanya niwe na furaha sana, lakini wewe Mungu waweza vunja jiwe Kwa ya Yai🙌🙌
@daudizacharia44534 ай бұрын
Daima huwa naimarishwa zaidi na huduma yako Mungu azidi kukutunza na kukufunulia nyimbo za kutufundisha ❤ Amen God Bless you
ONE of the great AMBWENE YOUR THE GREATEST the revalation never stop
@janethmollel4064 ай бұрын
Hakika ni ombi langu pia Mungu anifungulie MBINGU nimuone katika maisha yangu maana mambo ya Dunia yanachosha. Hakika Ambwene Mungu azidi kukutumia sanaaa hujawai kutoa kitu kisicho na mguso.😌😌😌😌😌😌😌😌😌😌
@majaysjrmtitu53004 ай бұрын
Asante sana Kaka Ambwene. Mungu akubariki sana. Ujumbe umetimia 100%
@user-hv1mg8xc2n4 ай бұрын
Amen❤❤❤
@user-so6fu3yb5z4 ай бұрын
Ndugu Ambwene nyimbo zako zinatuimalisha kiroho,uzidi barikiwa.
@ImpressiveFacts4 ай бұрын
Kaka ambwene imetinga wimbo ambao unanigusa 100%. Imefika wakati naona nipo peke yangu sina msaada zaidi ya Mungu tu😣😭
@user-hv1mg8xc2n4 ай бұрын
Amen❤❤
@GastoryMusoma2 ай бұрын
Hakika MUNGU wangu nakuomba umpe maisha marefu yenye baraka uyu kiumbe alieona si vema ukainua mawe yakusifu, Barikiwa sn Ambwene. ❤❤❤❤❤
@LeonFlorian-nt9js4 ай бұрын
Huku ndiko kutumika kwaa ajili ya Mungu yani nyimbo inaupako sana. barikiwa sana mtumishi na Sifa zibaki kwa MUNGU alieye juu sana kwa njia ya Bwana wetu YESU kristo
@matokeomwakibinga33444 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa wimbo huu hakika nyimbo zako zinanibariki mnoo, huu wimbo umejaa maneno ya kutia moyo sana Mungu akutunze sana
@ShadrackSanga-jj8pw4 ай бұрын
Sitaangalia vidonda vyangu nitaangalia mbingu tuu😢😢😢hoja nyingine yenye nguvu mbele za Mungu hii apa,,, Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU hakika wewe ni zawadi kutoka kwa Mungu juu yetu thanks very much🎉
@marcelineluundo30094 ай бұрын
Nifungulie Mbingu nikuone Mungu❤❤ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
@meshackcharles174 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuonee🙏🏾🙏🏾
@naamangidion4 ай бұрын
Nitasikiliza na kuangalia mbingu tuu ❤ Amen Amenii 🙏
@florahkimbage95714 ай бұрын
Ambwene hakika Mungu alikuleta makusudi ili utufariji kwa nyimbo zako,,,, hongera sana nyimbo zako zuri zinatufariji sana hujawahi kukosea🙏🙏🙏🙏
@farajangogo91254 ай бұрын
Wimbo mzurii sana unagusa maisha yangu kwa Sasa "Eee Mungu naomba nifungulie mbingu nikuonee"😢
@ndayishimiye-jeremiah4 ай бұрын
Nakupend sana dady
@user-jy1db7yo8j4 ай бұрын
"Haya ni maombi yangu. Mungu nifungulie mbingu na mimi nikuone." Mungu akutlinde na akutunze Mwalimu 🙌🏾
@SeverinJanuary-du3oz4 ай бұрын
Nyimbo zako zako huwa zinanitiaga nguvu sana na zinanijaza Imani kubwa sana ndani yangu
@HildaMatei-tb7sr4 ай бұрын
MUNGU aendelee kukutumia mtumishi wa MUNGU
@NormanMcguire-tn5lt4 ай бұрын
Mungu Akuinue Zaid na Zaid Nimebarikiiwa Sana Na Huu Wimbo Nifungulie Mbingu Nikuonee...!
Mungu akubariki mtumishi nabarikiwa Sana na nyimbo zako kila wakati na kila siku barikiwe mtumishi wa MUNGU
@victorhebroni32174 ай бұрын
Utabaki kuwa msanii Bora kwangu ❤❤❤❤ MUNGU akufanyie wepesi upate kila hitaji jema
@robertthadeo4 ай бұрын
🎉🎉🎉 AMEN AMEN, SIANGALII MAWE HATA KAMA NAPIGWA NAUMIA NITAANGALIA MBINGU TU
@nicolasnyandwi92764 ай бұрын
Asante ndugu. Wewe nyimbo zako zinanibariki saana. Mungu akubariki.
@jonisiamdulingwa69004 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuone👏👏👏Amina🙏🙏🙏
@saimonmakasi41484 ай бұрын
Ahsantee sana Kwa wimbo mzuri kaka Barikiwa sana huduma yako inagusa wengi sana Mungu azidi kukuinua
@raybensrsanga68964 ай бұрын
Kwa kifo na kufufuka kwake Yesu Kristo hakika mbingu zimefunģuka milele.
@joselinezephaniah13364 ай бұрын
Mungu aendelee kutusimamia kwakwel ...Silaha yangu itakua wewe 😢
@EvangileBashengezi-sf6hq4 ай бұрын
N'a fata nyimbo ...na DRC ...mungu amu bariki baba Ambwene ,..naku pendaga sana !!!!! Mungu aendekeye ku tukuka kila Léo ....tukaze Imani tu karibu Ku fika kwetu mbingu
@tusekilemwaisabila46034 ай бұрын
Nyimbo zako Ambwene zina kitu cha tofauti sana. Kwa wasomaji wa Biblia wanakuelewa sana. Mungu akubariki sana.
@user-cu3yy9vn9k4 ай бұрын
Amen mtumishi kwa ujumbe,Lakini wimbo umetugusa watu wote tunao Muamini Yesu na tuliosikiliza huu kuna hata wale ambao hawa somi neno nao wameguswa vilevile kama wengine,na ndio itakua sababu pia ya kufunguliwa kwetu tusione soma neno,lakn ukisoma kwa wanao soma neno tu haijakaa sawa kama mtumishi wa Mungu sorry lakni ,ubarikiwe.
@MadukaPoul4 ай бұрын
Very impressive song God help me to reach in your kingdom and help your servant too
@upendomwasamboma79674 ай бұрын
Hongera mtumishi wimbo unabariki moyo sana Mungu akutunze🙏💌
@user-ir9io2ex4u4 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@dapesastudiosalon68754 ай бұрын
wa kwanza hapa hongera mtusmishi
@user-yu8pv5vz1o4 ай бұрын
Hongera sana Kwa wimbo mzuri wenye kuvutia na wenye kufundisha
@user-gk9sg4mv2n3 ай бұрын
Mzee ambwene ni mu tshakuliwa wa mhngu, nyimbo zake inaleta salama sana na utulivu mu roho, mungu amu bariki sana ❤❤❤
@stevenhaule67864 ай бұрын
Kaka Ambwene Obadia Mwasongwe nakupenda sana kaka;maaskofu slogan Yao hawataki waumini tusiwapende sana watu mim nakataa alichoweka Mungu ndani Yako kwangu ni baraka kwanin nisikupende au kwann nisimpende?nakupenda kaka Obadia nakupenda sana bro
@jonathanmlinda25804 ай бұрын
Nifungulie Mbingu Nikuone, ubarikiwe sana Mtumishi
@prophetemadembo27434 ай бұрын
Asante mwalimu. Umeturushia kitu kimpya.
@WinfridaJoseph844 ай бұрын
Wimbo una ujumbe mkubwa sana ni ibada tosha🙏
@user-th3lb3kw7b4 ай бұрын
Eee MUNGU nifungulieee mbingu
@pilumsolah12344 ай бұрын
Nifungulie mbingu nikuone Yesu
@DidierAKILIMupimbidjumaDidier4 ай бұрын
Ni kweli kabisa mema ipo kwenye uwaminifu na utukufu barikiwa na bwana
@aime61864 ай бұрын
MUNGU AKUBALIKI SAANA na kulinde Kwa Kila jambo ❤ tumebarikiwa saana kweli ❤
@user-nb8cb8iy6y2 ай бұрын
Nifungulia mbingu nkuonia Baba katika maisha yangu
@FanuelDanford-jb6gc4 ай бұрын
Hakika bwana anakutumia kwa viwango vya juu sana,,,ee bwana nifungulie mbingu nikuone,,,
@elizabeththomas22394 ай бұрын
Asante Mungu kwa kutumia watumishi wako kututia moyo🙏🙏
@donartyaloyce15654 ай бұрын
Kaka huandiki tu ili mradi umeandika wimbo ila roho mtakatifu yu nawe katika kutunga na kuandika nyimbo zako, ni Mara nyingi imetokea nikiwa nasikiliza nyimbo zako Kuna hisia mseto napata hakika MUNGU anaongea na sisi kupitia wewe ubarikiwe sana na kila lenye kheri liwe nawe 🙏 Mimi ni mwenye dhambi ee baba nifungulie mbingu nikuone 🥺🙏
@josphatmogaka86684 ай бұрын
Amen. Mungu azidi kutubariki.
@annahilonga35504 ай бұрын
Amen man of God
@PromesseMuhindo-bx5to4 ай бұрын
Ubarikiwe na Mungu kwaku Titia moyo nakutuongeza nguvu zidi ya safari yakwenda mbinguni. 🙏🇨🇩
@jeromepriest29424 ай бұрын
Kaka WWE ni mwandishi Bora sana wa nyimbo endelea kubaki kwenye misingi yko ntaendelea kujifunza kwako👏👏👏
@yusuphmofati4 ай бұрын
Nifungulie Mbingu🙏🙌
@chilebenson78394 ай бұрын
Thank you Lord open doors for me My father in heaven 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🇿🇲🇿🇲
@henockmzilo64464 ай бұрын
My favorite gospel singer ❤
@joshuajustustz4 ай бұрын
Player song 🎉🎉 Baba nifungulie Mbingu
@samweljames4 ай бұрын
Nakupenda ❤Sana Ambwene Mungu azidi kukumiminia mafuta ya Baraka ❤
@oscarmwasongwe12604 ай бұрын
Barikiwa Mwana wa Mungu alie hai Nikisikiliza kipawa cha Mungu alicho weka ndani yako najikuta natokwa na machozi ushauli wangu kwako endelea kunyenyekea Mungu yuko pamoja na wewe
@nelumwakasege51554 ай бұрын
Sitakaza macho kutazama mawe nitatazama mbingu... Mungu akubariki mwalimu
@innocentmanyinyi20184 ай бұрын
AMINA kaka nyimbo zako tatizo huwa zinanitoa machozi kaka yaani hongera sana ulibarikiwa sauti na uimbaji