AMINI USIAMINI: HII NDIO HOTEL YA GHARAMA ZAIDI DUNIANI, MIL 55 KWA USIKU MMOJA, INA HADHI NYOTA 7..

  Рет қаралды 47,182

Global TV  Online

Global TV Online

2 жыл бұрын

AMINI USIAMINI: HII NDIO HOTEL YA GHARAMA ZAIDI DUNIANI, MIL 55 KWA USIKU MMOJA, INA HADHI NYOTA 7..
Bila shaka umesikia sana kuhusu hoteli zenye hadhi ya nyota tano katika majiji makubwa duniani kama London nchini Uingereza, Paris nchini Ufaransa, Las Vegas na New York nchini Marekani pamoja na maeneo mengine ya kifahari kama katika visiwa vya Bahamas, Hawaii na kwingineko.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 38
@seifmohamed836
@seifmohamed836 2 жыл бұрын
Mbona rahisi hivo mm nikajuwa Angalau bilion kwa siku nigeenda kulala hata miez 3 km nihivo nirahisi ina kunguni na mende hiyo
@gamma9590
@gamma9590 2 жыл бұрын
Milion 55 Ni hela Ndg?
@user-kk5nf3pu1g
@user-kk5nf3pu1g 2 ай бұрын
Shangaa nawew hana hela huyo ukiona ivyo🤣
@user-kk5nf3pu1g
@user-kk5nf3pu1g 2 ай бұрын
Masha Allah blessed
@shazilhashim6648
@shazilhashim6648 2 жыл бұрын
Maisha haya bhana😇
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Yn nn
@tradamus4158
@tradamus4158 2 ай бұрын
Sio kweli
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
Kuna hoteli Marekani Vegas malipo ni 150k USD sawa na millioni 300+ za kitanzania
@aisharamadhani9438
@aisharamadhani9438 2 жыл бұрын
Tabora nna nyumba 5 za kupangisha
@kalebumkandi6439
@kalebumkandi6439 2 жыл бұрын
Dah 👐👐
@DJrajabuMpare
@DJrajabuMpare Ай бұрын
Hatari sana🎉
@bedaurassa1367
@bedaurassa1367 2 жыл бұрын
hiyo helpad inatumika vipi kwa ajili ya mashindano ya magari?
@archbordygodfrey7770
@archbordygodfrey7770 2 жыл бұрын
Haikuti ile ya Zanzibar Amber luxury resort. $197,000 per 2 or 3 days. Zaidi ya milioni 400!
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Ah wap
@johanesbina1302
@johanesbina1302 2 жыл бұрын
We unaumwa 😂😂😂
@aishachambo8663
@aishachambo8663 2 жыл бұрын
Watu wana pesa jamani duh
@murijiSungura
@murijiSungura 25 күн бұрын
Naenda ukoo
@dallasmusic6465
@dallasmusic6465 Ай бұрын
Hela kdogo sana hyo 😂😂😂bora tilion kwa siku
@bakarymbega6320
@bakarymbega6320 2 жыл бұрын
No reseach nowright tospeak that is not the most expensive it is the most luxsorous hotel haiingii hata kwenye kumi bora duniani kwagharama ingawa kwa ubora ni ya kwanza rudi Google urekebishe chapisho lako
@roycerolls9641
@roycerolls9641 2 жыл бұрын
Nchi za kiarabu HUWA na vitu vya gharama kuliko nchi yoyot Kwanza iko kweny maji
@beatricelichoti5028
@beatricelichoti5028 2 жыл бұрын
Iwas there for 1month with my boss
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 2 жыл бұрын
Mh for whats my friend
@JoshuaLutindi
@JoshuaLutindi 2 ай бұрын
Duuu hili imeenda
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 2 ай бұрын
Umekosea kuandika badala ya elf tano umeandika milion 55 rekebsha
@MaxmaxAyoMaxmaxAyo-mt5yz
@MaxmaxAyoMaxmaxAyo-mt5yz Ай бұрын
Elfu 5 iyo cyo guest bubu
@abooaboo-rs4uw
@abooaboo-rs4uw 26 күн бұрын
Wacha wee.nitakuja happy na bilioni tango nilale kama ina kunguni silipi
@robertlyimo636
@robertlyimo636 2 жыл бұрын
Ina Almasi au
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 жыл бұрын
So pw
@ShabaniSuleiman-vd4mi
@ShabaniSuleiman-vd4mi 2 ай бұрын
So kwl hapa hapa tz ipo sandar ipo mafia usk 1 milioni100
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 2 жыл бұрын
Mwandishi unaichambua km ulikuwepo 😄
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 2 ай бұрын
Mwaka mpya wa mwaka Jana nililalal hapa mwez mzma
@bigtengwemela3153
@bigtengwemela3153 Ай бұрын
😂😂😂
@privamushi2512
@privamushi2512 Жыл бұрын
Hata mimi kuna siku nilipita apo kuomba tuku ya dalala 😂
@allythabit3236
@allythabit3236 2 жыл бұрын
Aduniya sijinu ll muumin waljannatul kafir
@ELIZABETH-uz6dv
@ELIZABETH-uz6dv 3 ай бұрын
Nataka niende apo 2027 nikae mwaka mzima.
@najimmaalim976
@najimmaalim976 10 ай бұрын
Wazungu hawataki kukubali ila Dubai ni nchi ambayo inauwezo mkubwa kuliko nchi nyingi za ulaya na so Dubai tu Emirate yote ipo saw
@CharlesSimkoma
@CharlesSimkoma 2 ай бұрын
Umewauliza wakakataa?
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 32 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 81 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 30 МЛН
TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU
19:08
Wasafi Media
Рет қаралды 9 МЛН
Top 10 things to do in Dubai 🇦🇪 in 2024 | 4K
9:17
Vinay Everywhere
Рет қаралды 1,2 М.
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
17:01
Global TV Online
Рет қаралды 811 М.