MILLARD AYO AFIKA KWENYE JUMBA LA BILIONEA MULOKOZI "SIO YA NDOTO ZANGU, ANAKUJA KUKAA MFANYAKAZI"

  Рет қаралды 457,839

Millard Ayo

Millard Ayo

4 ай бұрын

EPISODE ONE: Wengi waliniandikia wakitaka kuliona Jumba hili bila kupitishwa harakaharaka tofauti na video nyingi mitandaoni zilivyolionesha, nikwambie tu nimefika hapa na nimehakikisha napita kila kona...
Ni nyumba yenye hadhi ya Presidental ambayo wengi wanaweza kufikiri ndio nyumba ya ndoto zake lakini hapana, mwenyewe anasema hii nyumba ameijenga kwa ajili ya Mfanyakazi wake.
Hii ni episode ya kwanza tu ya kukuonesha jumba lenyewe, episode ya pili ni mahojiano maalum na Mulokozi kujua alikoanzia hadi alipofikia, fanya kubonyeza subscribe kwenye KZfaq ya millardayo kujionea yajayo yanayofurahisha.

Пікірлер: 1 600
@Marjeby
@Marjeby 4 ай бұрын
Millard we jamaa unajua sana kufanya presentation aiseee hii habari nimeiona kwenye channel kadhaa but the way unavyoipresent now nahisi sijaiona aiseee
@millardayoTZA
@millardayoTZA 4 ай бұрын
ASANTE SANA MARJEBY
@coleinvee3181
@coleinvee3181 4 ай бұрын
very clear kabisa👌
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 4 ай бұрын
Ngoja nikusaidie kuitaja ilikuwa global tv nikaavhana kuangalia nikasema mzee Millard akienda ntaichek l.Jamaa yuko serious sio wale wenzake
@mdachiog5211
@mdachiog5211 4 ай бұрын
Kabisa jamaa anajua balaaa
@shukurudenis8922
@shukurudenis8922 4 ай бұрын
Mwijaku yuko wapi hahha😂😂
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 ай бұрын
MashaAllah 🎉🎉🎉tufanye kazi jamani...hatuezi kuwa mabilionea wote,ila tunaweza kuwa na maisha bora
@hassanussein1817
@hassanussein1817 4 ай бұрын
Ma sha Allah, KWENYE vinywaji vya kulevya ....nyie vipi......
@ndiiyolazaro1125
@ndiiyolazaro1125 4 ай бұрын
Hakika
@sophyodago5062
@sophyodago5062 4 ай бұрын
True
@samiamazoea9348
@samiamazoea9348 4 ай бұрын
Mungu amjalie mme wangu na liziki tufike mbali🙏
@user-lc7lj5lh3d
@user-lc7lj5lh3d 4 ай бұрын
❤❤
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 4 ай бұрын
😂😂😂😂unachekesha
@ahz6907
@ahz6907 4 ай бұрын
Amen
@pilichuli4449
@pilichuli4449 4 ай бұрын
Sema akujalie wewe mwenyewe sio mme wako
@meshacksway866
@meshacksway866 4 ай бұрын
Lakini sio hapo
@user-jk8vs4eh8i
@user-jk8vs4eh8i 4 ай бұрын
Aliyegundua hii nyumba imejengwa kwa ajili ya biashara agonge like .coz hii nyumba inaweza pangishwa kwa ajili ya matumizi ya presidential na ikamuingizia pesa nyingi tu kwakuwa huyu ni tajiri mwenye kufikiria Sana ,matajiri huwa hawafanyi vitu kwa makusudi .all in all big up kaka umewainspire matajiri na wachacharikaji wengi
@erickmachua8829
@erickmachua8829 4 ай бұрын
Una Akili sana Mkuu 😅
@marianajohn5415
@marianajohn5415 4 ай бұрын
Kwakweli kwa hili nimejiona mjinga kabisa! Huyu kaka ana aakili jmn 🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@aziziatumanially424
@aziziatumanially424 4 ай бұрын
Unajidai ndio umefikiliiiiiiiaaaaa acha izo fikilia viwanda na wewe ujenge
@westcijosh
@westcijosh 4 ай бұрын
This is how the rich stay rich
@badmanno.1650
@badmanno.1650 4 ай бұрын
Hata mwenyewe kasema hivyo hivyo.. itakuwa hukusikia
@francismkini5963
@francismkini5963 4 ай бұрын
Much inspired by the way the housegirl is being treated in this family. This will give you more payback!
@AlineWamishi
@AlineWamishi 4 ай бұрын
Very true ,In most luxurious home they forget this aspect it was really beautiful to see that .
@castoriarogatus3675
@castoriarogatus3675 4 ай бұрын
Kila mpambanaji Mungu uumpa kadili ya juhudi zake hongera Bilioner umeweza umeweza umeweza tena
@mariamhamad7624
@mariamhamad7624 4 ай бұрын
Milady watu tunakuamini saana unajitofautisha saana na media online zingine salute BROO🙌
@millardayoTZA
@millardayoTZA 4 ай бұрын
ASANTE SANA MARIAM
@augustinofifi
@augustinofifi 4 ай бұрын
Na mimi nitjenga nyumba nzuri zaidi ya hii siku moja
@mauwashadrack8624
@mauwashadrack8624 4 ай бұрын
Amen and Amen 🙏🙏
@ReshimaAbdalla
@ReshimaAbdalla 4 ай бұрын
Inshallah
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 4 ай бұрын
In Shaa Allah
@user-un5bo6ks1q
@user-un5bo6ks1q 4 ай бұрын
Inshallaha ndugu yangu inawezekana kabisa ,usife moyo pambana na hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na wewe daima
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 4 ай бұрын
InshaaAllah
@MoringiElsa
@MoringiElsa 4 ай бұрын
Hongera sana usisahau kutoa sadaka kanisani
@deogratiuslwamboya4032
@deogratiuslwamboya4032 4 ай бұрын
Atukuzwe Mungu milele kwa ajili ya billionaire David Mulokozi. Amina🙏🙏🙏
@nururaymond5
@nururaymond5 2 ай бұрын
Wahaya Shikamoo
@giftwandi3918
@giftwandi3918 4 ай бұрын
This is Amazing 👏 🙌 😍 Millard Ayo you're the best Presenter,I salute You.
@emmaemmanuel2844
@emmaemmanuel2844 4 ай бұрын
Shukran Millard ayo na tajiri Kwa kutupa mda wote huo na hajikwez ni mnyenyekevo ishii sana tajiri 🙌
@mariamhamad7624
@mariamhamad7624 4 ай бұрын
Milady watu tunakuamini saana unajitofautisha saana na media online zingine salute BROO🙌 na Uko humble ndo maana hata wanaokupa mahojiano wanakuamini
@millardayoTZA
@millardayoTZA 4 ай бұрын
SHUKRANI MARIAM !! MUCHLOVE
@user-zr8dj5xj1q
@user-zr8dj5xj1q 4 ай бұрын
Kipindi nipo chuoni Augustine tulikuwa tunamwiya CR was taifa,tunakupenda na tunakukubali San bro❤
@OteshaTime_Services
@OteshaTime_Services 4 ай бұрын
Vijana tufanye kazi sana kuliko tulivyowahi kufanya maishani. Hatuna muda wa kupoteza kwenye jambo lolote ,wanawake wapo na wanaume wapo ( Starehe zipo ). Pia tumpe Mungu nafasi ya kwanza kabla ya jambo lolote. Hatujui huyu alipataje mali, tumemjua baada ya mafanikio yake. Tufanye kazi. Asante @Millard Ayo , kwa kuwa jicho letu kuona yanayojili duniani.
@ackshuba8679
@ackshuba8679 4 ай бұрын
Unataka kusema tuache kuomba namba za madem
@francisthomas3289
@francisthomas3289 4 ай бұрын
shida siyo kufanya shida ni kuimiliki pesa na namna ya kuisimamia
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 4 ай бұрын
​@@ackshuba8679😂😂😂😂😂
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 4 ай бұрын
​@@francisthomas3289tuna paswa kuwa na adabu na pesa ase maana bila hivyo haya tutayasikia Kama movie
@user-uc1fj9wg6n
@user-uc1fj9wg6n 4 ай бұрын
Hongera kaka ww unaishi🤝mvumilivu hula mbivu 👏👏👏
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 4 ай бұрын
Mulokozi anaonekan si tajir wa Mali tuu hata Moyo mzuri anao the way alivyo humble Mungu ampe zaid na zaid
@millardayoTZA
@millardayoTZA 4 ай бұрын
NI KWELI
@edinaleonidace5523
@edinaleonidace5523 4 ай бұрын
Kumbe umeliona?
@ndiiyolazaro1125
@ndiiyolazaro1125 4 ай бұрын
Hakika
@zuanshimchina2278
@zuanshimchina2278 4 ай бұрын
​@@millardayoTZAkaka vipi
@user-vu9ee7yg1j
@user-vu9ee7yg1j 4 ай бұрын
Mwenyezi mungu akujalie zaidi ya iyo bro✌️ appreciate 🤲🙏 frm 🇿🇦
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 3 ай бұрын
Milad na wewe mungu akupe sikumoja tutaona nyumba yako nzuri sana ..hongera kwa kazi nzuri❤❤❤
@kennyraphael9839
@kennyraphael9839 4 ай бұрын
Big up sana kwa kaka yetu Mulokozi!! You really inspired many young people to become successful just like you💯big up sana kwa Mtu mzima the Rude boi’ kaka Millard Ayo!! Ebwana unaweza sana✊🏾
@forgottengaze
@forgottengaze 4 ай бұрын
Millard ulivyosema "hapa ni wapi" , nkamkumbuka mwl wa matheeee. Hongera sana to this guy... good-hearted and very inspirational
@user-lw7sy2gy9d
@user-lw7sy2gy9d 4 ай бұрын
Alie ona Millard anageuza maji ya afya,. ili yaonekane vizuri weka like apa
@saidseleman3269
@saidseleman3269 4 ай бұрын
Maji yenyewe hayanywi kudadeki
@giressentumwa6906
@giressentumwa6906 3 ай бұрын
Roho mbaya hiyo. Yaani hilo tu ndo umeona kati ya yote yaliyo onyeshwa???
@daisynyerere5730
@daisynyerere5730 4 ай бұрын
Millard Ayo unaweza unaweza unaweza tena, yo the best presenter in Tanzania and Abroad, I do like your work🎉
@jacklineminja2022
@jacklineminja2022 4 ай бұрын
Tajiri Yesu akutunze Mr Mlokozi si rahis tajiri kujishusha jaman uzidi kufanikiwa very inspiring
@kanezajoella6663
@kanezajoella6663 4 ай бұрын
Wallah hakia MUNGU MUNGU amuweke huyu baba kwakuona tu chumba cha mfanya kazi wa ndani inaonyesha anaupendo na watu wote bila kuchaguwa ❤️❤️❤️❤️❤️
@muslimahbossnetworktz
@muslimahbossnetworktz 4 ай бұрын
Nawaza hivi na housegirl wa nyumba hio atakuwa msumbufu pia?😢
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 4 ай бұрын
Mungu amueke atakuwa na maadui Sasa
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 4 ай бұрын
​@@muslimahbossnetworktz😂😂😂😂😂
@user-ok9yn2ze9g
@user-ok9yn2ze9g 4 ай бұрын
​@@muslimahbossnetworktzsio rahisi hao huwa wanalipwa pesa ndefu mpaka kuacha kazi unaona hasara
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 4 ай бұрын
...​@@muslimahbossnetworktz...Huwezi kujua , anaweza kufikiria kumpindua mama mwenye nyumba..!..🤣🤣🤣
@user-yx6yb4dj9b
@user-yx6yb4dj9b 4 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu kaka mulokozi ni mtu mwenye moyo safi na unatupa hamasa vijana
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 3 ай бұрын
Hongera Sana billionaire Mwenangu Mabilinea Wenzangu tukutane hapa 😂😂😂
@sadikijani4307
@sadikijani4307 4 ай бұрын
Congratulations to Mr David aka Mulokozi.Ninamfahamu 2015 hivi alikuwa na hustle za kawaida sana Arusha.Ni mkristo pia na mpole kama alivyo! Akiona comment hii lazima atavuta hisia akiwa Arusha hicho kipindi cha kujitafuta.
@fredohhkrop
@fredohhkrop 4 ай бұрын
From kenya. This is so amazing. Great Content Millard🙏
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 ай бұрын
bless u karibu Tanzania
@millardayoTZA
@millardayoTZA 4 ай бұрын
PAMOJA SANA FRED
@muhii63
@muhii63 4 ай бұрын
Much respect kwako milard pamoja na cameraman wako mungu akuzidishie kipaji na akupe uvumilivu katika kazi zako
@user-kp5xd7wx5r
@user-kp5xd7wx5r 4 ай бұрын
Aiseeeeeeeh aiseeeeeh congratulation my brother milad unajua sanaaa uyo brother aiseee Kama nyumb za wasaniii Kama kris brown Yan mbelee tu kumb ata bongo wapo aiseeee izo furniture Ni balaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤😮😮😮😮
@fababindawood8363
@fababindawood8363 4 ай бұрын
Mpeni salam Yule chawa Mwinjaku anaetupigia kelele kajenga nyumba ya 1.3bilion mwambiye Kuna mwamba huku hatar Masha Allah
@razackndeze-pv5bm
@razackndeze-pv5bm 4 ай бұрын
To me, it looks like luxury resorts & future luxury air BnB, the owner he's a real visionary man. Congratulations & salut for this incredible investment. Thanks, Millard, for this amazing interview. God bless.
@user-tt3lx7ly2m
@user-tt3lx7ly2m 4 ай бұрын
Ma Shaa Allah
@Juke995
@Juke995 4 ай бұрын
He already mention that
@MALDINIMALYYA-nd6lt
@MALDINIMALYYA-nd6lt 4 ай бұрын
@ahz6907
@ahz6907 4 ай бұрын
Airbnb babati huko porini😂
@razackndeze-pv5bm
@razackndeze-pv5bm 4 ай бұрын
@@ahz6907 huko ndo sehemu za kupumzika haswa.
@upendosalimu2050
@upendosalimu2050 4 ай бұрын
Power of money pazia linafunguka kwa umeme aloo tusake ela
@abraham92268
@abraham92268 4 ай бұрын
Uyu bro looks humble and I liked the way alivyokuwa anajibu..more grace bro . Siyo kama mwijaku, gorofa moja kelele nyingi,,wapo watu wenye pesa kama mulokozi, very simple , and inspiring.
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 4 ай бұрын
Bismillah...Masha'allah ...mngu nijaalie. Na. Mimi siku Moja nipate kile ulichokikusudia Kwangu..❤❤.... tupambane. Vijana..uyu Kaka MNGU ampe afya njema na ulinzi wake. ☑️📌
@aishamsandawe3029
@aishamsandawe3029 4 ай бұрын
Vitu vya haramu ndiyo zenye pesa
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
@ZalhathamohdSaid-qn4jj 4 ай бұрын
​@@aishamsandawe3029 we ndo umesema
@aishamsandawe3029
@aishamsandawe3029 4 ай бұрын
Ndiyo huoni ni biashara ya pombe halafu unasema bismilah
@giressentumwa6906
@giressentumwa6906 3 ай бұрын
​@@aishamsandawe3029umesema hivo sababu unajuwa hauwe yamiliki😂😂😂😂😂
@mamt7489
@mamt7489 4 ай бұрын
Hili ni kasri sio nyumba Mungu amzidishie hii ni motisha itasafanya vijana wafanye kazi kwa bidii angalau kuwa sehemu nzuri ya kulala baada ya kazi
@songweairport7602
@songweairport7602 4 ай бұрын
KAZI NZURI MILARD.. TUNAOMBA SIKU MOJA UFANYE MAHOJIANO NA CAMERA MAN WAKO... JAMAA ANACHUA VIDEO KWA VIWANGO VYA JUU SANAAAAAA
@millardayoTZA
@millardayoTZA 4 ай бұрын
ASANTE SANA SONGWE !!
@rajabupetermoses7338
@rajabupetermoses7338 4 ай бұрын
Hii nimeipenda sana
@tafutampenzi1653
@tafutampenzi1653 4 ай бұрын
🔥🔥🔥
@chepkirui-vn1bu
@chepkirui-vn1bu 4 ай бұрын
​@@millardayoTZAHi Millard ayo
@chepkirui-vn1bu
@chepkirui-vn1bu 4 ай бұрын
​@@millardayoTZAKAZI nzuri🇰🇪
@user-cn7fh8if3o
@user-cn7fh8if3o 4 ай бұрын
Mungu awabariki watu wote wanaojituma kwa bidii na kumtegemea yeye,,hongera sana kaka mulokozi kwa kazi nzuri
@bharyasarbjit1187
@bharyasarbjit1187 4 ай бұрын
Mulokozi Hongera sana sana. Ujenge kila Region Hiyo ni Hardwork and Taste of your choice. W nerd Many Brothers like you.God bless you more and more so you Also Give charity in Billions.
@agnessinga8222
@agnessinga8222 4 ай бұрын
It's the David I know... Bravo bravo Bro! Glory to GOD.
@suzan4200
@suzan4200 4 ай бұрын
Jamaa yuko very humble aiseee Mungu ambariki...Nice job Millard❤
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 4 ай бұрын
Hongera kaka Milard Ayo, wewe ni mfano mzuri kwa vijana wote wanaopambana.Kazi nzuri.
@user-kw6zo8tt5g
@user-kw6zo8tt5g 4 ай бұрын
Kazi nzuri broo ayooo tusake pesa na pongez kwako broo mlokozi Mungu akuzidishie mara mia zaidi
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 4 ай бұрын
Hongera sana kaka mulokozi hujatuangusha kabisa,you have inspired many of us.
@sharifasaidy6399
@sharifasaidy6399 4 ай бұрын
Jmn kuna watu wanaishi nyie hongera mulokozi mungu akubarikii😢😢
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 4 ай бұрын
Hongera sana Millard kwa interview yenye tija kwetu sote. Sasa nisaidie nipate namba ya kaka mulokozi anisaidie jambo fulani ktk ushauri. Kaka Millard kwa kweli hakuna anaeweza kuifikia kazi yako you are the number One. More congratulations to you and my brother mulokozi
@olivernyange2349
@olivernyange2349 4 ай бұрын
Milard your humbleness will take you higher and higher may God humble you more
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 4 ай бұрын
Eeeh! Mwenyezi Mungu nikumbuke nami unapowapa wengine ufari mkuu namna hii
@SamweliMwita-ul2kh
@SamweliMwita-ul2kh 4 ай бұрын
Achana na ya duniani
@hamisaally968
@hamisaally968 4 ай бұрын
Kaka mulokozii kama utabahatika kupitia hizi comment naomba unisaidie milioni mbili tu nimalizie kukarabatii nyumba ya mama anguuu😢😢
@user-vd2lm9ng1g
@user-vd2lm9ng1g 4 ай бұрын
Mi ata milango ndio nmekwama
@user-xz9zg2yk6m
@user-xz9zg2yk6m 4 ай бұрын
We acha TU ndugu yangu wengine tualala nje Bora wewe una hi ho kianzio
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 4 ай бұрын
Acha uombaomba
@user-ux6hg1xb1e
@user-ux6hg1xb1e 4 ай бұрын
Hongera xana mulokozi
@hamisaally968
@hamisaally968 4 ай бұрын
@@letthedeadburythedead2148 Asantee ndugu
@CNM-hw1ns
@CNM-hw1ns 4 ай бұрын
❤ huyu jamaa anaishi kama maraika.vijana tutafute pesa
@jobleynewtonanyimike9161
@jobleynewtonanyimike9161 4 ай бұрын
Mr Mlokozi ! Hongera naendelea kutafakari ukuu wa Mungu kupitia kwako kwa uweza wa Mungu naamini najivika imani hio Mungu attendance kwa wkt songe mbele br
@explorewithbertin
@explorewithbertin 4 ай бұрын
Jumba zuri kweli. Exposure pia inasaidia
@Happy-tx7p
@Happy-tx7p 4 ай бұрын
Jmn nimependa sanaaaa kuna watu wanaish mwijaku atulie sasa hii ndio nyumb sasa alf amn makelele meng amn sifa nying neno la mwish tufanye kaz kwa bidii 🎉
@mamachris6811
@mamachris6811 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
@ramadhanimtozeni8030
@ramadhanimtozeni8030 4 ай бұрын
Brother Mulokozi, safi sana, nyumba nzuri yenye thamani kubwa, furniture zenye thamani ya hatari, vito vyenye thamani ya hatari, security ya hali ya juu, kikubwa zaidi ni kwamba you are very cool huna kelele na mtu. May God bless you, brother.
@magrethmwanga15
@magrethmwanga15 4 ай бұрын
He is so blessed, baraka zimepata mtumiaji.. Mungu unikumbuke na Mimi🙏
@jacksonpriva7664
@jacksonpriva7664 4 ай бұрын
MUNGU ambariki mulokozi, nimejifunza kitu ngoja tupambane inawezekana Amen
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 4 ай бұрын
Umejifunza nn
@bintabou828
@bintabou828 4 ай бұрын
Kuna watu wanaishi Jaman Mashaallah Mashaallah hongera kaka umetisha
@annievibes8794
@annievibes8794 4 ай бұрын
Wallah tena na kuna sisi tunasindikiza tuu😢
@uchebetz7284
@uchebetz7284 4 ай бұрын
😢😢😢😢
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 4 ай бұрын
Kuna sisi tumekuja kutembea😂😂😂😂
@salmabamba2751
@salmabamba2751 3 ай бұрын
Yaan hatare tz kama mbele
@nevaloya9460
@nevaloya9460 2 ай бұрын
kuna sis tunaojificha😅
@dottomarikatv780
@dottomarikatv780 3 ай бұрын
Hii nyumba nzuri mwambie anipatie kazi kwenye kiwanda chake
@haleemaoman8389
@haleemaoman8389 4 ай бұрын
Much respect Millard Ayo 🙏God bless you from UAE 🇰🇼
@furahamtweve4222
@furahamtweve4222 4 ай бұрын
Imenispire sana thanks kaka Millard unatupa sana moyo vijana wenzako be blessed
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 4 ай бұрын
Mungu akuwekee ufurahie maisha ya dunia ..mana amekubalik
@talents7934
@talents7934 4 ай бұрын
Ukiacha "TBC UKWELI NA UHAKIKA" sasa Tuna "MILLARD AYO UKWELI MTUPU"mimi Binafsi nikisikia kuna habari inayotrend mitandaoni kama nisipoiona Kwa MILLARD AYO Wala ata sihangaiki tena kupoteza Bando Langu MUCH RESPECT BRO MILLARD MIMI NI MMOJA WA VIJANA NINAEKUPENDA SANA 🙏🙏
@user-ci8zd6ij7c
@user-ci8zd6ij7c 4 ай бұрын
Daah, yaani kungekua hamna kufa watu wangekula maisha sana, hiyo tv tu mimi ningekua kwangu
@evansokemwa6587
@evansokemwa6587 4 ай бұрын
hahaha 😅 lasima watu wakufe na wache via ndunia
@mabrainTZA
@mabrainTZA 4 ай бұрын
Hakika milard unahitajika tunzo zaidi na zaidi dah mungu akulinde sana I love that ...💪💪
@victamacha5526
@victamacha5526 4 ай бұрын
Tajiri mungu akuzidhishiye tunataman kuwa kama wew
@abiudwamalwa8180
@abiudwamalwa8180 4 ай бұрын
Watching live from kenya Nrb kweli pesa sabuni ya roho
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 4 ай бұрын
Duh!!!🎉🎉🎉🎉 Nimependa sana alivyo humble hasa pale alipowaambia wale wadada sijui ni wadada wa kazi au veep kwamba "samahani tunataka tuje na huku" yaani katumia lugha nzuri sana.
@user-uw4pu9nm1u
@user-uw4pu9nm1u 4 ай бұрын
Millard ayo umetisha sanaa mtu wangu wa nguvu☑️☑️
@dn.n4983
@dn.n4983 4 ай бұрын
So nice hongera sana sana ujenzi si rahisi ubarikiwe wote
@user-dk4pt6lo7q
@user-dk4pt6lo7q 4 ай бұрын
Duuh kuna kuishi na kuishia👏👏👏👏👏 hongera sana kwake
@mamachris6811
@mamachris6811 4 ай бұрын
Kuishi na kukaa Kuna wanao ishi duniani na tupo tunao kaa duniani 😂😂😂😂
@saadashoje313
@saadashoje313 4 ай бұрын
😂😂
@ZAMB334
@ZAMB334 4 ай бұрын
Huu mwaka hee🤝🤝🤝🤝💐💐💐🥀🥀🥀🥀chukua maua yako tajiri
@Daniella249
@Daniella249 4 ай бұрын
Mungu nipe uvumilivu 🙏🙏🙏niepushe na tamaa najua nitafika tu
@marceljohnkimaty4986
@marceljohnkimaty4986 2 ай бұрын
Utafika wapi, labda mbinguni!
@Daniella249
@Daniella249 2 ай бұрын
@@marceljohnkimaty4986 sawa Mungu
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 4 ай бұрын
Sema Millard huwa tunapenda sana na kumiss interview unazozifanya wewe mwenyewe. Nimefurahia sana hii interview!🎉
@mathewben9983
@mathewben9983 4 ай бұрын
Daah kwel yote yatapita lakin tuwe realistic coz hata hilo neno lenyewe la MUNGU liko halisi,kuna watu wanaishi kile watu wa MUNGU tulistahili tuishi hapa dunian na huko tunakoamin tutaishi tena tuishi yaliyo juu sana ya viwango tunavyovifikiria,kimsing tupambane umasikini sio tafsiri ya IMANI ya kwel japo najua hatuwez kua wote matajiri kwa ajil ya kufanya maisha kua balanced.Waliofanikiwa yapasa tuwaappreciate tu kuanza kujudge njia walizopitia kupata utajiri ni kudumaza uwezo wetu wa asili tulowekewa na MUNGU katika kupambania viwango bora vya mafanikio yetu.
@badifundi6089
@badifundi6089 4 ай бұрын
Mwenyewe karudi kulichkua sai anakodisha 😂
@neemakessy7527
@neemakessy7527 4 ай бұрын
Kabisa
@user-hz7gb5sm9w
@user-hz7gb5sm9w 4 ай бұрын
Well said
@agnesngasa-ig5xw
@agnesngasa-ig5xw 4 ай бұрын
Ifike mahali nimshukur mungu kwa hatua nilonayo.. Na nitafika hutua hii InshaAllah.
@ZuwenaSinde-hj9qg
@ZuwenaSinde-hj9qg 4 ай бұрын
Sure,Wow is very amazing congratulations God bless you more
@maribaisack2097
@maribaisack2097 4 ай бұрын
Bro millard nafuatilia sana makala zako...NICE sana kaka....hongera snaa ....hii documentary ni ya ubora na viwango vya juu sana ....safi
@frankvianey2438
@frankvianey2438 4 ай бұрын
Aisee kaka Mulokozi,Mwenyezi Mungu amekubariki sana,jitahid sana kutoa sadaka kwa watu wenye mahitaj maalumu na yeye atakuzidishia zaid ya hapo
@user-eg2wk4xx3h
@user-eg2wk4xx3h 4 ай бұрын
Ibada ya Sadaka Kwa Wanyonge .hofu ya Mungu atupaye yote
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 4 ай бұрын
Kabisa Mungu kambariki mno
@vivianmahoo8611
@vivianmahoo8611 4 ай бұрын
Kwajinsi anavyoonekana ninauhakika ni mtoaji mzuri sana wa sadaka,
@star_wizard2792
@star_wizard2792 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 blazaa toa sadaka wewe Acha kupangia watu na maisha Yao toa Kwanza wewe😅😅😅
@izobinyoizobinyo
@izobinyoizobinyo 4 ай бұрын
Ukitoa wewe sadaka inatosha,acha kupangia watu matumizi pesa zao. Mungu anaweza kumbariki hivo kama hatoi sadaka?😂
@user-vn8rf6qy9q
@user-vn8rf6qy9q 4 ай бұрын
Alhamdulillah cyo tu kuangalia ila tumejifunza kitu kutoka hapo Allah atujalie umri mrefu wa kuweza kufanya ambavyo atatujaalia kuvifanya na kupata mafanikio.
@joysempiluka9846
@joysempiluka9846 4 ай бұрын
Ahsante Mulokozi una jina zuri wazazi walikupa una hela nahekima na ufahamu pia unajua unalofanya Mungu aendelee kukutetea tunataman kuchta hekima yako
@missdija4959
@missdija4959 4 ай бұрын
Nimeangalia investors wengi sana. I came to conclusion huyu Mulokozi ana rank top 10 Tanzania for the best mansion lakini at least top 30 in Africa 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@RiddoRiddo-jj1bx
@RiddoRiddo-jj1bx 4 ай бұрын
Kuna watu wan na mansion ww sem uyu majaa anajua style na decorations that all ukiwa unajua hv vitu vzr ata km unapesa kdg nyumb yakmitakua ya tofaut
@missdija4959
@missdija4959 8 күн бұрын
@@RiddoRiddo-jj1bxkama nani nikamuangalie?
@peninashungu6633
@peninashungu6633 4 ай бұрын
Wanaosemaga wahaya wanajidai naisi mmeona hasa maana alisi ya muhaya ❤ni lazima uwe na pesa kama mlokozi ❤ nimekufuraia kaka yangu big up ❤
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 4 ай бұрын
Namisifa kwani lazima aonyeshe mali zake wangapi wana utajiri kuliko yeye mbona hawaonyeshi mali zao wahaya sifa nyingi hata kama nanye ndi muhaya
@esthergesogwe4240
@esthergesogwe4240 4 ай бұрын
​@@fatmafatu1128ACHA wivu
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 4 ай бұрын
​@@fatmafatu1128Wivu katika ubora wake😂😂😂😂
@mcback4384
@mcback4384 4 ай бұрын
​@@fatmafatu1128katoa inspiration kuna watanzania sasa watajua haya maisha yapo bongo hii na hata wewe ukitaka utaishi
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 4 ай бұрын
​@@fatmafatu1128ulivyokua na akili kisoda video umeangalia ukamaliza na comment ukasoma😂😂😂😂😂 Useless
@mafikiritwinzi8856
@mafikiritwinzi8856 2 ай бұрын
Nimemwelewwa sana jamaa yuko vizuri sana. Mnyenyekevu, mcha Mungu, ana fikra huru, ana kila sifa ya uzarendo kwa nchi yake, nimeshindwa kumtofautisha na Luge. Big up sana bro. Naomba mawasiliano kuna mambo uweze kunisaidia
@user-nj8gu4yx9j
@user-nj8gu4yx9j 4 ай бұрын
Mungu akuzidishie akupe na afya njema wakwetu akika mungu amejibu maombi yako daaah nimebak mdomo waz kw ela zilizotumika apo kwenye ujenz
@Captain_film
@Captain_film 4 ай бұрын
Kazi nzurii kaka millard una andaa kipindi vizurii..muonekano msafii
@Truly_Afrikan
@Truly_Afrikan 4 ай бұрын
Your the best when comes to interviews, Millard one day you will come to interview me too in my multimillion mansion in Mwanza, one day and i,ll remind you of this comment
@patrickKitambo
@patrickKitambo 4 ай бұрын
It will happen in the might name of Jesus
@Truly_Afrikan
@Truly_Afrikan 4 ай бұрын
@@patrickKitambo amen 🙏 i appreciate
@lvanyDaniel_pw7kk
@lvanyDaniel_pw7kk 4 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu kaka Millard Uendelee kutupa habari za kweli na uhakika 🙏
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 4 ай бұрын
Tajiri yupo vizuri,angekuwa tajiri mwingine,ungesikia nawahi airport,tutaongea siku nyingine😂😂😂😂🎉
@peninashungu6633
@peninashungu6633 4 ай бұрын
So nice nimependa Sana mungu azidi kukulinda akupe Afya njema na family yako, nimependa tu unapenda watt wako so nice, mngekuwa wa baba wote kama huyu jamaa mkatunza tu watt wenu mngetupunguzia mzigo ma single mother na sie tu kafanya maendeleo kama tujenga ata nyumba ya viumba 3😢
@anneedward3673
@anneedward3673 4 ай бұрын
Ni kweli my dear ila nikwambie kitu hao watoto sio mzigo kwako ni baraka hizo mungu amekupa
@katarinachristopher8562
@katarinachristopher8562 4 ай бұрын
Jamaa is very humble na hii itamwinua zaidi
@user-yj5sz9tl2b
@user-yj5sz9tl2b 4 ай бұрын
much respect mulokozi halafu anaonekana hana majigambo na ni bilionea tunashukuru sana kutuwakilisha kwenye nchi za watu wajue tz pia wanaweza vipi diamond yuko wapi na vicheni vyake ni machinga
@einotilarashi6178
@einotilarashi6178 2 ай бұрын
😂😂😂et machinga jmn
@annakbunga8377
@annakbunga8377 4 ай бұрын
Mungu akikupa nafasi inatakiwa uitumie kweli kweli umeweza kaka yng uongo dhambi safi sn Tajili
@ephrahimkamenge321
@ephrahimkamenge321 4 ай бұрын
Safi sana hii interview inakutofautisha na wengine....hongera sana
@millardayoTZA
@millardayoTZA 4 ай бұрын
ASANTE SANA EPHRAHIM
@tzcruiseralteza2039
@tzcruiseralteza2039 4 ай бұрын
Mdada wa kazi🙌🙌 analala pazuri kuliko baadhi ya wasanii😅😅
@fredducaunt
@fredducaunt 4 ай бұрын
Ahh usanii gani kwanza 😂😂 Wapiga kelele tu mtandaoni😂🚮
@zeehomedecor-DIY
@zeehomedecor-DIY 4 ай бұрын
Nyieee shkamoo mulokozi. I'm more than inspired
@videralfred8889
@videralfred8889 2 ай бұрын
Safi sana kila mtu kapewa na mwenyezi mungu kwa kiasi Apendacho hongera kwa kuwekeza nyumbani TZ
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 4 ай бұрын
Jamani jamani jamani nakuomba kaka mirad ongea na boss najaribu bahati yangu tu mwambie naomba kazi kwake ata yakusafisha ayo mazingira, lakini asinilipe ata Mia anisaidie tu kunisomeshea mtoto wangu shule nzuri please, sioni tumaini lolote labda kwa kufanya ivi ntaokoa ubadae wao, sijasoma mm ila tamanio langu watoto wajekupindua meza ya umaskin huu. Wasije ishi kwenye ugumu huu,Fani yangu ni hotel najua unaweza kaka saidia connection please🙏🙏🙏
@-magicstory
@-magicstory 4 ай бұрын
Koment yako imenifanya nilie sana na umenikumbusha umuhmu wa mama dah akuna kama mama yani umejitolea kufanya kazi kwa muda usio julikana ilimladi mwanao asome😭😭dah MUNGU akupe maisha marefu wew na wamama wote wenye moyo kama wako na naamin ndoto yako itakamilika aimen🙏🙏❤
@SarahLibogomalove
@SarahLibogomalove 4 ай бұрын
​@@-magicstorynadhani mwenzetu no mbaba.....kuna wababa Mungu awajaalie kwakweli. Amen!!
@godfreywilliam9673
@godfreywilliam9673 4 ай бұрын
@millardayo musaindie huyu Dada aonane Tajiri Amenisikitisha sana😢
@dayana5513story
@dayana5513story 4 ай бұрын
😢😢😢 comment yako imenigusa Mungu akukumbuke
@dynamicpreschoolschool434
@dynamicpreschoolschool434 4 ай бұрын
Hon
@rehemayona2223
@rehemayona2223 4 ай бұрын
Aisee kuna watu wanaishii Bwana 🎉🎉
@gibbs1320
@gibbs1320 4 ай бұрын
Kwani wewe hauishi ?!
@bobjulieoneheartband
@bobjulieoneheartband 4 ай бұрын
Mimi sisemi kitu Basiii 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏Nashukuru MUNGU Brother David Mulokozi Uliwahi kuniambia ya miyoni kabisa kuhusu kipaji changu na ukanitia Moyo sanaaa MENGINEYO NAPAMBANA HUKU NIKISUBIRIA WAKATI WA MUNGU....... UBARIKIWE SANA MY FRIEND 💪🎸🎤🎹🎺
@damianmcba9525
@damianmcba9525 4 ай бұрын
Muonyesheni mwijaku,,,TV na meza tu milioni 100,,,,c mchezoo na uwasikii wala nn watu km hawa
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 4 ай бұрын
Awajaj Wala nn
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 4 ай бұрын
Dah mtu unaweza kumkufuru Mungu jmn SS wengine tunasindikiza wenzetu dunian 😭😭😭 nisamehe Mungu wangu 🙏
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 4 ай бұрын
Yaan huy baba sizan km Kuna star wa bongo anamfikia
@user-hs2jn9jb9v
@user-hs2jn9jb9v 4 ай бұрын
Yan weng n malimbuken lkn huyu kaka very silence 🤐
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 4 ай бұрын
Mwijaku aje aone pool tu kkkkkkkk maana kile kisima cha uzima 😂😂😂 maneno mengi
@tutumarzouk9803
@tutumarzouk9803 4 ай бұрын
kumbe millad sio journalist & presenter tuuu hadi ala za mzik unapga--salute sana
@presidentofafrica.5038
@presidentofafrica.5038 4 ай бұрын
AYO-is the best brand, so smart.. kazi zako zimetulia na unahoji watu wanaojitambua ndiyo maana kila kukicha unazidi kuwa juu.
Универ. 13 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:07:11
Комедии 2023
Рет қаралды 6 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 111 МЛН
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 108 МЛН
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 24 МЛН
Mtu yeyote anaweza own bunduki USA ata mtoto wa 16 years.
31:35
Huku Yues
Рет қаралды 493 М.
UTACHEKA NDARO NA STEVE WALIVO VAMIA MNADA BILA HELA
8:50
Ndaro Tz
Рет қаралды 179 М.
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
Универ. 13 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:07:11
Комедии 2023
Рет қаралды 6 МЛН