Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 257
@Neema922 ай бұрын
No wigi, no makucha ya bandia, no mkorogo. Huyu dada ni true definition ya mwanamke mzuri.
@user-ki1qn5ns3h2 ай бұрын
She is really und beautiful
@alexander190772 ай бұрын
I like her😊
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
huyu dada mzuri kwa kweli..she is very beautiful
@stellahlinusi82152 ай бұрын
arafu ata aringi
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
@@stellahlinusi8215 haswaa very natural
@rajabdibwa64152 ай бұрын
She has confidence and self composure!
@DerickNgowi-mf5pe2 ай бұрын
Ana masihara mengi na ana upendo sana ...si mchoyo na mkarim
@user-mw1sr4cn4i2 ай бұрын
Napenda vipindi vyako sanaaa from Burundi 🇧🇮 ♥️ nenda na kwa Wema basi
@rajuxcharity2 ай бұрын
Smart girl yani yupo natural hadi hakili umetisha sana💕🎉🎉🎉💝
@victoriarichard87612 ай бұрын
Siyo hakili 😢, toa H ni akili
@LovicThomas10 сағат бұрын
Kaka Leo umetisha Sana Yani kama washkaji show hii
@user-bi7wf4nz2d2 ай бұрын
Huyu demu anajielewa😂😂
@aminmohammed42492 ай бұрын
I like Jasinta❤ She is so natural
@edinakamba91242 ай бұрын
Kama unampenda like hapa
@SalamaNauthar2 ай бұрын
Mdada mzuri Mashaallah'❤️❤️❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@marleshjimmy19722 ай бұрын
She is beautiful and fan of wasafi 😅 specially……#komasava😻
@user-xh7xf2ki3r2 ай бұрын
Jasinta hongera nyumba yako nzuri
@Catherinehaule-iq7yy2 ай бұрын
Nimekupenda mdogo unapambana sana ❤❤❤❤❤
@latifahkarim97742 ай бұрын
Kwa ss wapambanaji hy ni mwanamke wa shoka sio slay queen kutafuta hela mwenyewe ni raha sana
@sharifahabsi50042 ай бұрын
Mashaallah 🎉
@RonnieMchatta-pr5bd2 ай бұрын
Uko vizurrí sana my dear
@Mimy_keys2 ай бұрын
We love u Jasinta 😊
@tumahai1572 ай бұрын
Wavugishije ukuri wa mwana wa we, umuhayakazi usa nawe wamubonye he
@benjaminwabenga90682 ай бұрын
She is intelligent, i really like her.
@brightermwailolo3409Ай бұрын
Nimeipenda sanaaaaa kwanza msafiii pili anajiamini Sana ❤❤
@ibrakanan2 ай бұрын
Jasinta is such a cool girl
@rahymaaa43572 ай бұрын
Yaan wewe Saleh Leo kapatikana😂😂😂😂
@InessKoku2 ай бұрын
Nijasinta lkn sauti ya flaviana matata kbs
@sumayaishengoma454315 күн бұрын
Nampenda sana huyu binti anaishi maisha halısı hana mambo mengi
@SuleimanKhdija2 ай бұрын
Ila swalehe kwanini umvishe viatu 😅😅leo patachimbika
@twix14042 ай бұрын
Me nilijua mmasali❤
@Lexerjoh2 ай бұрын
Napenda anavyo ongea 🥺
@joyceerick5483Ай бұрын
Akili nyingi sana...❤❤❤❤
@bagenihuduma15692 ай бұрын
Hongera kwake
@lilianwaflotina12882 ай бұрын
Nampenda bureeee❤
@happybryce12692 ай бұрын
Nampenda jasinta
@user-wd2bc7bf5x2 ай бұрын
😂😂😂😂umepewa na zawadi salehe hiyo ndo malipo lazima ufanye kaz ukome bna
@sabrinaraphael3474Ай бұрын
Beautiful
@aishaomary2302 ай бұрын
Salehe mbona kama mnaendana hiv😂
@agnessntiburella8816Ай бұрын
Nampenda sana huyu dada hana mambo mengi
@NaphySky-oq5sy2 ай бұрын
Nmependa mshikaji sana
@atomphoton50002 ай бұрын
@54:50 hapa anaposema Jumapili mtu akitaka mzigo yeye anaibuka gheto kama kawa, waliosoma kuba tumeshamuelewa sasa ndugu mtangazaji usituangushe gawa namba hiyo faster watu tucheze na vidole.
@user-wd2bc7bf5x2 ай бұрын
wew nae matko
@yolo52612 ай бұрын
Punguz umalaya 😂
@Mohaa43092 ай бұрын
Et aah kidogo nseme Diamond 😂❤
@evelynensanga33302 ай бұрын
Murembo jasinta❤❤❤
@HabibaAmani2 ай бұрын
Yuko vizur ❤
@user-lu8ny2gu7t2 ай бұрын
Nimekuwa nikikufatilia sana napenda unaishi maisha ya uhalisia
@shyfettymtunda46192 ай бұрын
Nampenda sana huyu binti.
@albertlema99512 ай бұрын
Hio peefume ndo yenyeww😊
@aminahamisi63822 ай бұрын
😢jasinta ummeonja kidogo haki ya mungu nakwambia ,waojua wanajua
@user-qo8vn8vt4u16 күн бұрын
Nampenda anavyo ongea tyu
@ManManiga2 ай бұрын
M nmempenda kimapenz
@chany99502 ай бұрын
Love you mrembo jmn 😘😘😘
@hollymore49042 ай бұрын
Sio vzur kuomba omba..... Hio perfume tu hajabless
@Tariq_Tryagain2 ай бұрын
S/O to u Saleh
@neemakitegile54862 ай бұрын
😂😂😂kwa kweri leo umepatikana kaka
@fiiteamme35382 ай бұрын
Next neenda Kwa rama esthetic nyumba yake ameitengeza vizuri sana alafu ukienda Kwa hizo nyumba tuonyeshe sana nyumba
@ngambikomsu642 ай бұрын
Ngoja wadudu wakuibukie waifate hiyo mkufu, utajua hujui
@vinny.moralesАй бұрын
Dada amenyooka kwa kweli❤
@VictorLyimo-so9xr2 ай бұрын
Hilo ziwa limeanguka 😊
@fathiyahmuzney73672 ай бұрын
Swalehe leo umepatikana no kula kaz kaz😂😂😂
@hawangunge81042 ай бұрын
She's very organized❤😊
@hellennehemia92692 ай бұрын
Yaan huyu ndo mt bhana..kingereza kakiweka shimoo🤓dada yuko poa sanA
@rahmasaloom2 ай бұрын
anongea sanaa😂
@evekipingu2 ай бұрын
❤❤❤
@_angelstormy2 ай бұрын
King Promise is from Ghana
@cobraff79432 ай бұрын
❤
@CalisternongiHaule-vk6ch2 ай бұрын
Huyu dem anajuaa,then sio mshamba.hana ushamba wa kingereza
@Mery-st4nu2 ай бұрын
Yani huyu dada Hana Maringo kama zamaradi nakupendeni sanaa nitakuja uniuzie shuka
@nancyg86642 ай бұрын
Zamaradi kaingiaje jaman🤣🤣
@SekelaJakson-ls7dd2 ай бұрын
Salehee uwende na kwa hamisaa😂
@user-wr1iu5re2c2 ай бұрын
Alooo mpemba mwezangu sh salehe wavaa.macheni kama 2pc aloo usirudi pemba twakuuwa
@GiftAbduly2 ай бұрын
Swalehe kaz unayo😂😂😂
@esthermachangu49702 ай бұрын
Jasinta mrembo sema kichwani km anavipunye
@elizabethmkini69482 ай бұрын
😅Jmn khaa
@kellynelove3808Ай бұрын
😂😂😂 jmn ww
@mwadawahussein24942 ай бұрын
Ukisikia twiga ndio huyu sasa❤❤❤❤
@fahadfaraj64742 ай бұрын
Sio kuku kuchi
@givenessdavid37432 ай бұрын
Dada yetu yupo poa sana
@user-xh7xf2ki3r2 ай бұрын
😂😂😂😂 Saleh kapatikana jamen
@lillyemmanuel95292 ай бұрын
OMG bigapu sanaaaa
@user-wq7zm9bo6l2 ай бұрын
Oooh tuliokulia sengerema like zangu mnipe hapa
@KaiaAugust2 ай бұрын
Dada naomba namba
@rehemayona22232 ай бұрын
Sauti zuli ❤️❤️😘
@RoseDaniel-od1oo2 ай бұрын
Selehe kingeee kilokuja na Meli 😂
@sleeprelaxation84312 ай бұрын
Anaongea kama flaviana matata
@AffectionateCroissant-yn6ic2 ай бұрын
Mtoto alivooinama nikaona mwana kaangalia tako kidogo nakubali😂😂😂
@user-oo5sj8hb5m2 ай бұрын
Yaan apo jikon nimeludia mala 2 kupaangalia palivyo doda yan mimi nnavyopenda kupika na kula mmh siwez kula migahawan kwakwel kwanza sito shiba
@missdija49592 ай бұрын
Yuko so real❤
@nancyg86642 ай бұрын
Anasura ya kinyarwanda
@hahmadhabibu20762 ай бұрын
Nimnyarwanda ila wale wameka tz sana
@nancyg86642 ай бұрын
@@hahmadhabibu2076 ni mhaya si unajua wale wanafanana na wanyarwanda.
@timoliiisaya38242 ай бұрын
@@hahmadhabibu2076acha shobo kujifanya unajua watu
@Theraldylaniscool2 ай бұрын
I heard her and her family speaking Kinyarwanda.
@mukizagideons1094Ай бұрын
Mnyarwanda wa Nyakabango Muleba
@beatricejoseph27842 ай бұрын
Nampenda huyu dada uwiii sijui niseme vp anisikie
@Zainab-qg6xv2 ай бұрын
Ongeza sauti 😂
@beatricejoseph27842 ай бұрын
@@Zainab-qg6xv 🤣🤣🤣
@universenurity7762 ай бұрын
Mtu unajifanya ulikua umelala unaamka na microphone kifuani 🤣🤣🤣🤣✋
@dublea41182 ай бұрын
Jamani😊
@ashminaabdulla89462 ай бұрын
Duh😅
@melki_official99482 ай бұрын
Hahahah iyi kali😅
@nancyg86642 ай бұрын
🤣🤣🤣
@jenny795172 ай бұрын
Mic hiyo .
@jasperyassin17082 ай бұрын
Ukivaa mawigi unapendeza san mno
@bintimkitosi61872 ай бұрын
Influencer sawa lakini model hapana pengine plus size.
@Juke9952 ай бұрын
Swarovski ni expensive somehow inatengemea uliponunulia lakini bora ukanunue diamond kama unapenda madini sababu swarovski ni chupa crystal glass
@ChristineJohn-hj1ts2 ай бұрын
Saleh et kuna watu wanahongwa bundle la wiki😢
@MohamedMkota2 ай бұрын
salehe leo ulambi kitu😅😅😅😅
@amidafatackyАй бұрын
Nime mpende ana uhalisia
@emmanuelkihiyo92362 ай бұрын
Funga mkanda mzee
@queenmilan20242 ай бұрын
zamaradi tuletee yule dada anayeishi Mwanza tajiri msichana mdogo anatusumbua Italy. ni msichana ana akili sana
@Juke9952 ай бұрын
Yupi huyo niko italy simfaham
@user-bq7rh3wm3f2 ай бұрын
Saleh Leo umepatikana kwa Modo. Kula hujapewa na Kazi umefanya
@khadjamhozya2 ай бұрын
Umeonae
@itNeza2 ай бұрын
Hawa ndo wanawake wakuowa, Hana mikorokocho Hana tatoo Hana Vitu bandia ( Jamani Wanaume tunafeli wapi kwani ? ). 😎
@faithwambui4072 ай бұрын
Kama mwanajeshii.vile ,chagua apa,weka kule tuondokee😅😅😅real gem