Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz #bingoonlinetz #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Пікірлер: 223
@jeremieidysuhya-ff7iy Жыл бұрын
Kkkkk Dc
@lisahhans295 Жыл бұрын
Kumbe bado anapanga jamani mmmmm .namaujanja yoote.anapangisha shenzi zake.😊😅
@lisahhans295 Жыл бұрын
Hahahhaaaa hakuna kituu ndani huyo ni fala etiii
@issarooney5190 Жыл бұрын
Hongera Mwijaku...endelelea kuenjoy life
@mercypeter162 Жыл бұрын
Wasaniii Na mambo yao Ni usanii siku ikitokea jambo tusishangae kuskia wamepanga. Mm wasanii siwaami mbwembwe zao.
@kassimhashi49 Жыл бұрын
Kabisa
@wardawarda-fp3qe Жыл бұрын
Kabisaa yaani
@winnawiliamwinnawiliam8859 Жыл бұрын
wakati wamepanga iyo nyumba
@IANA2030 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mercypeter162 Жыл бұрын
@@IANA2030 au ww unaonaje??? Maana mbwembe nyingi Na tatizo likiwakuta la maradhi. Ss Watanzania ambao hatuna majumba wala magari ndio tunawachangia wakatibiwe. Yaani kila kitu usanii. Hivi kuna ubaya gani msanii akiishi maisha halisi. Badala ya kufec.
@simonnembomadola7512 Жыл бұрын
Ni vizuri,Mwijaku anaispire vijan
@jameskitheka5791 Жыл бұрын
😂😂😂 mwijaku ni real hustler 💪 shout out kwako kutoka 🇰🇪
@raphaelenock8676 Жыл бұрын
Nakukubali sana bloo wangu mwijaku
@relaxationforever88 Жыл бұрын
Mboona mwija amekaa kama yy ndio mlinzi😮😅
@rosemarymunyi5035 Жыл бұрын
Congratulations ❤
@edinakyaruzi9226 Жыл бұрын
Nampenda sana unavyo mpenda mkeo bc ila bwebwe nyingi sana izo ninyumba za kupangisha kabisa hapo ni familia za watu3
@chifuthedoni8889 Жыл бұрын
Sio kwa mke wake wala kwa ndugu yake! Kaona aibu maana hata funguo za ndani hajapewa! Kaachiwa choo tu maskini wa Mungu! Sifa zitawaua wabongo! Hapo kaomba kuchukulia picha ndani ya nyumba kakataliwa!
@ikramalmas7039 Жыл бұрын
Hii nyumba mzee umepanga hiyo ya kupanga na hiyo ya pili anaishi mwenye nyumba kwa hiyo usitulishe matango pori
@nawechi4818 Жыл бұрын
Haswaaaaaaaaaaaa
@latiphamfoy4265 Жыл бұрын
Mwijaku mjanja kapata mke msomi anakula bata maisha safi
@DominiqueDrouin-fh5pw Жыл бұрын
nice one
@hasani565 Жыл бұрын
Nice house Mwijaku
@masoudabubakar9749 Жыл бұрын
Huyu lumbukeni,iko ck maisha ya kuigiza yataisha.
@floraundisa3688 Жыл бұрын
Watching your house tour 🇰🇪🇰🇪
@loner_wolf Жыл бұрын
Nikija kusikia nahuyu yumo sitoshangaa, hawa wanatamani maisha ambayo wanatakiwa wafanye kazi, sio uchawa .... Ok Mazingira ya nje na ndani wala hayafanani kbsa.....
@ManichManich-yj4sl Жыл бұрын
Mwijakuu💯💯💯💪💪👑👑
@uniquestories3609 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@maxcharles5436 Жыл бұрын
Mha wa kwanza mjinga
@seraphinemuthama511911 ай бұрын
Ni mxuri mwanamke kua na kazi jameni respect ndio hio
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Kumbe mwijaku ana maisha mazuri sana daah siyo poa
@mussakisope7207 Жыл бұрын
Bongo watu wanapenda sifa sana
@OmariYahaya-bm8no Жыл бұрын
Kupatwa kwa maisha😂
@mvumoextratv Жыл бұрын
Chance Tza💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥👍
@jayclassicke8163 Жыл бұрын
Kumbe umeona bro hii.... aminia mwamba insha'Allah waenda mbali
@Japhetitz10 ай бұрын
Vzr
@graceamuli989911 ай бұрын
Uyu anazidi ata wacongo 🇨🇩🇨🇩
@estatekisombola9251 Жыл бұрын
Kesho tutamuona kwa konde akililia kodi😂 wasani wa bongo shida
@greatest_of_africa Жыл бұрын
😂😂😂😂😂et ndan cku ingine
@furahamwaisemba6532 Жыл бұрын
Subiri upate pancha 🤣 Mnaanza kutusumbua michango,, Get well soon Mr. ZIMWI
@msafirimfilinge8222 Жыл бұрын
Mbona ndani hujampeleka
@BrysonMayunga-lc6mq11 ай бұрын
Na kama jamaa kapanga inamaana hata hivyo atakuwa na pesa kuweza kupanga hapo its not a joke congratulate me hata kama itakuwa kiki au uchawa jamaa atakuwa amejipanga vizuri sana jaribuni na nyie uchawa kama mtamfikia jamaa😂😂😂*djTop breezy
@alexmboya4926 Жыл бұрын
😂😂umetisha mkuuu dada wa kazi no kutoka ndan mbwa hawajamzoe😂😂
@elbarrey3305 Жыл бұрын
Sasa huyu kujimaliza kote huku anaish kwa mkewe.. Ivi ana japo kiwanja?
@estershekika8865 Жыл бұрын
Mbona nyumba yenyewe ndani imechakaa sana
@Noah-zt5zf Жыл бұрын
Af Yako Iko vipi Kwan mkuu?kujenga sio rahisi ukianza kujenga utajua au labda unapesa kumliko lakin sio rahisi
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Hongereni sasa mmyenyekeeni mwenyezi mungu maisha ya akhera ni bora zaidi
@auntiemylee3157 Жыл бұрын
Kaburi tajiri😊
@tembarooney7899 Жыл бұрын
Ukuta ndio nyumba hakuna
@kassidpandu866 Жыл бұрын
usijisifie ujinga ishi maisha yako halisi
@immanuelKibett10 ай бұрын
wanawake wote wa kenya wana akilii kumzidii mwijakuu.mtu ovyoo .daaaah😮😮😮
@john-ke5838 Жыл бұрын
Mnamambo makubwa huko Tzi🤗🤗🤗🇰🇪
@jayclassicke8163 Жыл бұрын
Sio kama huko kenya kwenu hata mtu akifanyiwa interview ha repost 🚮
@alexandermcqueen.7555 Жыл бұрын
@@jayclassicke8163kwasababu huku kenya ni mambo madogo sana ila wabongo nani asiewajua hamna jambo dogo nyie😂😂
@udizungwahimalaya5213 Жыл бұрын
We Acha 2 mm nishachoka kuishi
@kevinoguna3807 Жыл бұрын
Mwijaku we muongooooo😂😂😂😂
@thebenzclassic1905 Жыл бұрын
Beat yenu iko juu sana maneno hayaskikiki
@EliabApeli-un4th Жыл бұрын
Bure kabisa
@JumaHaruna-cr8rp Жыл бұрын
Ata home wapo kaka
@wiseman7456 Жыл бұрын
Kenya cpa ni kitu ya kawaida ila tz it's big deal 😂
@shaqdizo7678 Жыл бұрын
Wee mwenyewe umefanana na Rashidi 😂😂😂
@nordinebaraca4635 Жыл бұрын
Meza mil10😂😂😂😂
@Kobe_254 Жыл бұрын
Alivyokua anasifia mbwa na hiyo meza ya seremara wa kigoma.. nilijua tu huyu misifa za peni mbili, ulizia Babalevo utajua kweli kaka amepanga😂😂
@sumaliinaleng5430 Жыл бұрын
Sio covenant ni conventry
@vero57 Жыл бұрын
Pachafuu apo kwenye washing machine 😅😅
@awadhally1052 Жыл бұрын
😂🤣
@stanleymwangi5804 Жыл бұрын
Hahahaha huyu chizi.
@nixonjohnson4908 Жыл бұрын
Alphard ,,Crown,Duelis mmmmh haviendani na hiyo nyumba ..gari hizo sawa sio nyumba ,,, wadanganye wamedia sio wananchi
@zuenampandeni334711 ай бұрын
una laaana ya menina sikupendi mwijaku
@eastafricaqualitychickenfa9916 Жыл бұрын
Nyumba za kukodi izo msibabaishwe wa TZ izo mbwembwe tu
@princemulunda5047 Жыл бұрын
Muhogo sio kwake
@Am-vo5cu Жыл бұрын
Maneno tuu -uongo chungu nzima
@mkambaselemani-ej7np6 ай бұрын
Unahema misifa ndio maana hampati majigambo Sana!
@simonmdemu Жыл бұрын
Covenant financial consultant🎉
@abdallahdataguy Жыл бұрын
Mikaro's family 😂
@ulimwenguswed6394 Жыл бұрын
Mwijaku una pesa yoyote
@eastafricaqualitychickenfa9916 Жыл бұрын
Unaona sifa eti nilikuwa namgonga na kwa Mungu akifa kajibu ivo ivo
@zakayomasingoti923811 ай бұрын
Izo nyumba ni za zamani za wazee wataafu..wanazoanziaga maisha mbwa ww..mmepanga hamuendani na mazingira
@eppiemodest Жыл бұрын
Kiki tu. Ni nyumba ya Jamaa fulani anakaa nchi za nje. Siyo yake. Hiyo nyumba inalindwa na wamasai . Kawahonga wamasai afanye kiki. Huoni hakuna mkewe hapo wala mtoto wake. Soma alama za nyakati.
@mussajackson783 Жыл бұрын
Kapiga rangi ya bucha
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
NYUMBA KUUBWA,, WALINZI WAKO UNAWAFUGA KWENYE KINYAMKELA 😄
@shangwefisima3993 Жыл бұрын
Mzee wa kujisifu na uongo juuu daaah tutajuta
@EdwardKilasi-kp8fp Жыл бұрын
Maisha yenu halisi tunayajua mkishakufa
@hanifamziray277 Жыл бұрын
Kwahy sk unaachwa iitakuwa mbaya
@mussakimaro5588 Жыл бұрын
Hlf mkiumwa mnaanza kutuchangisha nyumba mzee hiyo ya zamani
@isackmbade3181 Жыл бұрын
Unadanganya hapo umepanga mzee
@abdulkidebe1707 Жыл бұрын
Ukiangalia vizuri tu unajua kabisa hapo kapanga maake kuna nyumba zaidi ya moja na fensi ni moja wakati jamaa anafika getini Ukiangalia kwa mbele kuna geti jingine