Dah,kweli Mungu,acha nisimame ktk Imani yangu maana bila Roho Mtakatifu apa hatari tupu.
@SalamaAkilimali-ly3bu6 ай бұрын
Huyu mjinga mkimfatilia mtaandika mambo ya ajabu na mtamkosea Mungu pumzi inampa kiburi huyu kibri chake kina mwisho njia yetu moja na kwake tutarejea M mungu tujalie mwisho mwema
@EsterShirima-vr7cv6 ай бұрын
Mhh mhh sjawahi ona kweli shetani anaweza ila kwasababu maisha ni fumbo mungu atashughulika nalo
@margarethsolomon98236 ай бұрын
Mungu wa zumaridi anaiogopa serkali, sasa yupi ni mkubwa serkali au mfalme zumaridi 😅😅😅🤷🏽♀️🤷🏽♀️🤷🏽♀️Hii imekaaje. Halafu anasingizia ana vita ya kichungaji. Mungu wa jua huyu, ndio chanzo chake. Pole sana
@user-sj3wf5vz7l7 ай бұрын
Mie sio kazi yangu kuhukumu. Mungu atashughulika naye kama ni mkweli au siyo kweli. Abarikiwe kama kweli.
@fridalyanguka17336 ай бұрын
Huyo Mungu aliyekutokea ndiye aliyekuumba hajakushangaa kukuona umevaa wigi na hiyo rangi ni ya asili Yako ulivyoumbwa.
@johanjoha52626 ай бұрын
Mbona hausemi gisi anajuwa kukukuna ,malaya wa shetano www ulaaniwe😊
@HaikaMtei3 ай бұрын
Mungu gani analala na mume kitandani alaf acha kutafsil maandiko kinyume shindwa kwa jina la yesu
@ChristinaOnditi-el3xo6 ай бұрын
Zumaridi sijui ni mshamba au hajui maana ya mfalme ,,anajiiita Mungu, sasa mungu Tena awe na mume, mbona matusi sana jamani,mungu wa kweli anatukanwa adharani
@elizabethkitundu19366 ай бұрын
Mungu tunaomba toba,tunaangamia kwakukosa maarifa!
@BishopEllie6 ай бұрын
Hatari sana, mtu anaposikiliza roho zidanganyazo. Mungu hawezi kukuambia chochote kinachopingana na NENO LAKE. Huu ni uchanga wa kiroho. Hii ni roho ya upotofu na cha ajabu ni kuwa WATU WENGI WANANUNUA HUU UONGO, na wengi wameelimika lakini wanashindwa kupambanua. Diana Bundala anahitaji DELIVERANCE ya hali ya juu, ili asipeleke wengi motoni pamoja naye. 😢
@nassibu-hy5ny6 ай бұрын
Anaehukumu ni mungu na cc binadam kama kweli ww mama una mungu ndan yko au kama una shetan bas mungu atakuhukumu
@michaelrweyemamu10686 ай бұрын
Ww na wanaokufuata mmeamua kweli kweli kwenda Jehanamu.
@kamanda0076 ай бұрын
Wamwache huyu dada, hajavunja sheria yeyote ya nchi, kujiita mungu au mfalme hayo ni mabo yake na hakuna sheria inazuia hilo,na Tanzania serikali haina dini, amini mawe au mijusi wote sawa tuu na hakuna kosa
@rukiaiddyyahaya95066 ай бұрын
Mfalme unachumishwa tembele😂😂😂
@magrethmathayo28006 ай бұрын
zumaridi Mimi naomba uniambie unapaka nini nipake
@user-nc5cl1wv4y6 ай бұрын
Mungu akusaidie hujui unachokifany
@reginamarwa86362 ай бұрын
Zumarudi jamani SI upinde unaonzunguka Mungu mkuu???kwani ni kitu Cha thamani Tena?
Kwa mirald ayo ulisema umejilea mwenyew ukasema baba alikukataa..hapa unasema umelelewa na baba na mama..we mama ni tapel
@user-bj5tm3ne8g7 ай бұрын
Amina Mfalme Zumaridi
@MawaddaKhamis-zh3kc7 ай бұрын
Tizama huyu pimbi
@HaikaMtei3 ай бұрын
H😂😂😂Hakuna kitu kama icho Mungu kaolewa na kazaa nje ya ndoa mimba ya Yesu ilitungwa kwa uwezo wa Roho Sasa ww mimba Yako ni ya binadam , Yesu Si wa Dunia hii wewe niwadunia hii Mungu wa Dunia DNA ya Yesu ni ya mbinguni wewe ya kwako ni yawapi Yesu alituokoa kwa kufa msalabani wewe ulimfia nani, nampenda Yesu milele kabla ya Yesu na baada ya Yesu hatatokea kwingine we nnani by the way
@jescarwegoshola17546 ай бұрын
Kwahiyo kweli baada ya mitume unasema Mungu alinyamaza,ndo amekuja kukutokea sasa wewe Diana.
@AmerdaKavishe-pu3cf5 ай бұрын
Maleno yako siyapingi kwani ukweli anao mungu na wewe kwani neno la mungu tumeyakuta yapo nayatakuepo ilimradi usimkufuru roho mtakatifu fanya kazi wewe sio mcawi wewe sio mwizi wewe unafanya uduma ya mungu neno naliendelee wanakao kuukum kwa maneno watakua wameukumiwa mimi nasapoti kazi ya mungu sijaona ulipo kosea kila mmoja anaitwa kwa wakati namajira yake
@AmerdaKavishe-pu3cf5 ай бұрын
Mimi nime mwelewa sumaridi ayupo kimwili bali nikiroo
@NeemaKipande-hr9rz5 ай бұрын
😅😅😅hahahahaaaa kwaiyo huyo roho ndio uyo zumaridi? Mh mama muogope mungu wako hata hofu ya mungu huna umeweka pesa mbele uo wako nougalme wa dunia nambinguni huendu wewe
@roselyimo36767 ай бұрын
Amen king of kings hujawahi sema uongo baba yetu wewe ni mkweli siku zote huna Kona Kona ❤❤❤
@rehemavickie65217 ай бұрын
Rose!!!!! Baba yako ni huyu
@roselyimo36767 ай бұрын
@@rehemavickie6521 ameelezea maana ya kuitwa baba kama umesikiliza clip vizuri
@Ndu-wa.uroony26 ай бұрын
@@rehemavickie6521Huyu mwanamke dawa yake ni kupigwa pumbu tu hadi atulize mijege.
@estermarwa24777 ай бұрын
Pole Diana bundala
@VeronicaBenard-kl5zu5 ай бұрын
Huyu mama sijawahi kumkubali hata cku moja,mfalme ni mmja tu naye ni Mungu huyu anayejita mfalme ni mavi tu
@margarethsolomon98236 ай бұрын
Wewe Mama unatumia majini na mapepo ndio yanaendesha hiyo imani yako, huna lolote. Hembu uwalete akina Kanumba na wengine wengi waliokufa tuwaone kama ulivyosema utawafufua na tutawashuhudia. Wako wapi?
Huyo ni shetani tu hana lolote huyo Mtumishi gani anajichubua, anavaa misuruali, mwongo mwongo tuuuuuu.... Huyu ni mtumishi wa shetani kabiiiisaaaa
@emanuelsichone80276 ай бұрын
Kuna vichaa dunia duh
@rozingwanji55566 ай бұрын
Shindwa pepo 8:54
@FelisterMunissy5 ай бұрын
Fremason
@estermarwa24777 ай бұрын
Sasa kweli diana darasa la tatu hayo yote uliyakaririje
@joycepaul52606 ай бұрын
Mungu Huwa hasahau, yeye vitu vyote ni vya kwake hivyo kumbukumbu zote alizonazo hazifutiki Wala hazisahauliki.
@akberyuda59506 ай бұрын
ILA MAKE UP KUMBE ZINABADILISHA SANA
@mrimimarwa64857 ай бұрын
Acha uongoo
@FelisterMunissy5 ай бұрын
Kwenda muongo mkubwa usimtaje mungu kwenye uchawi wako shetani ww
@abdallahlugendo32215 ай бұрын
Huna mume chukuwa nafasi hii kutafuta mume
@ashaali71547 ай бұрын
Huna lolote wewe ni mtu mbaya sana unaetumia watu kwa manufaa yako binafsi. Ujue Mungu anakuona na iko siku utaona nguvu yake chezea binaadam lakini Mungu atakuhukumu na kufuru yako hiyo.
@MawaddaKhamis-zh3kc7 ай бұрын
Kweli kabisa huyu anajikuta ana kiburi lkn akumbuke ata firauni alijikuta mwamba lkn leo hii kabaki historia
@roselyimo36767 ай бұрын
Yaani angekuwa ni wakuuawa hata Leo hii asingekuwepo duniani kwa matukio ambayo ameshayapitia. Yote ni kwasababu Mungu anamlinda mwanayr kuliko kawaida
@justinruben19677 ай бұрын
Kama haujui chochote Kuhusu Mfalme Zumaridi kama kaa kimya, ila kama unamjua it's okay fine
@joycepaul52606 ай бұрын
Na kamwe mnamnenea mabaya lkn hayawezi kumpata maana Mungu aliyeko ndani yake anamlinda. Hivyo Zumaridi ni Mungu mzima mzima.
@margarethsolomon98236 ай бұрын
@@joycepaul5260Akisema atawatoa akina Kanumba na wengine wengi waliokufa, hilo limeishia wapi nyie wajinga mnao aminishwa mambo na kugeuzwa ufahamu wenu? Wako wapi akina Kanumba, Amina chifupa nk
@NeemaKipande-hr9rz5 ай бұрын
Mpinga kristo wewe
@user-qy4gb1kn4z5 ай бұрын
kwanza anapoongea kama cha ngodoa eti hata vizee vinajuta wewe unatumikia shetani unapotosha watu kuwapeleka kuzimu
@ZachariaNgesse-el1ge6 ай бұрын
Du Mungu tuhurumie watoto wako! Mtumishi wa kweli amejengwa juu ya misingi ya mitume na manabii, imeandikwa siku za mwisho mioyo ya watoto itawageuka wazazi wao, na wazazi itawgeuka watoto wao, ila Mungu kwa huruma zake ataigeuza mioyo hiyo yote igeukiane kwa wazazi na watoto pia iwarudie wazazi wao ktk loho, ivi sasa nikwa nn watu tuna ujasiri wa kuwakataa wazazi wetu wa kiloho?? Leo huyu mama anamkataa baba yake wa kiloho ambae ni askofu mkuu wa makanisaya UFUNUO TANZANIA AMBAE NI PAUL BENDERA, leo anasema ametokewa na Mungu kwenye ndoto, eti akapewa jina zumaridi akati alibatizwa na Bendera na kupewa hilo jina, ila kwa kweli??? BENDERA akiyaskia hayo anashangaa xn
@rehemavickie65217 ай бұрын
Hovyo! Tubu mapema
@joycepaul52606 ай бұрын
Mtakubali tu siku yenu yaja.
@estermarwa24777 ай бұрын
Hivi kumbe weupe gerezani unaisha,halafu miungu wapo wengi pia wewe ni mtumishi WA mungu wa kuzimu,UKo sahihi kujiita hivyo
@joycepaul52606 ай бұрын
Usemayo huyajui ila elewa kuwa Mfalme Zumaridi ni Mungu aliyakuumba wewe na mm pia a ndiye aliyekuwa akitawala enzi zote Sasa Yuko ndani ya Zumaridi, hivyo ipo cku utatubu na kulikiri jina la Zumaridi.
@nyankondoichweka90796 ай бұрын
Vita ni kubwa. TB Joshua ni mmojawapo aliyetumia jina la Yesu. Sasa taarifa zimetoka juu ya siri ovu za mtu huyo.
@NeemaKipande-hr9rz5 ай бұрын
Yaani unaonekana kabisa kuwa nimuongo na kama ninguvu za giza atawewe ndio unazozisbufu kwaiyo wewe c mungu wamtaja mungu yupi tena?lakini tuyaache ayo mungu wspo wengi