Hakia mungu wapumbavu wanatengenezewa pepo ya zumalid emungu eemungu
@BMGOnlineTV9 ай бұрын
Usihukumu
@rockcitynative9985 Жыл бұрын
Mwanza wapo matajiri wengi wakimzidi Mfalme Zumaridi pesa kwa mbali sana lakini hakuna hata tajiri mmoja mwenye ngome kubwa na nzuri kama hii ya Mfalme Zumaridi.
@ZizuMi-uh1rn Жыл бұрын
Kwamiujiza ya uyo mama mi nisingeweza kuingia umo ndani
@AmerdaKavishe-pu3cfАй бұрын
Uliona nini na wewe mpaka uwe na mashaka nipe siri yaunabii
@yohanajoshua7881Ай бұрын
Wewe zumalidi ni muongo, iyoo ni Roho ya ibilisii, Wapi kwenye Biblia wamemruhusu mwanamke kuhubiri, jamani tokeni kwa uyoo Mtaangamia nyotee, someni jamani Biblia 1 timotheo 2:12 Harafu someni tena 1Wakolinto 14:34-40, hilo nineno je wapi mungu akabadilika, Mungu ni Yule Yule leoa jana hata milele, Katika jina la YESU Kristo, zumalidi sio Roho wa Mungu, Hakika Mungu ajipingi kwenye neno lake
@BMGOnlineTVАй бұрын
Barikiwa
@noellamabumbwa8901Ай бұрын
Mukutane na Yesu Kristo
@BMGOnlineTVАй бұрын
Siku ya kiama ama?
@AmerdaKavishe-pu3cfАй бұрын
Serikali ito wanyanganya kweli nakudai palikua pametengwa sehem yaikulu badae pia utaleta shida na viongozi wadini kidogo wakupoteze kama sio mungu kua ndani yako
@BMGOnlineTVАй бұрын
Hahaha kwamba Ikulu
@festokivuyo71218 күн бұрын
Hii pesa kasitoa wapi hii dunia ni atari sana
@BMGOnlineTV8 күн бұрын
Itakuwa ni michango na nguvu za wajenzi wa kanisa lake
@SiwemaMohammed-dr1vk Жыл бұрын
Amina
@user-th3qr7fj8d Жыл бұрын
Majanga ayo
@ombendaud5938Ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifi yaani elimu sahihi
@BMGOnlineTVАй бұрын
Waombeeni sana
@goodytairo267226 күн бұрын
Picha linaanza tokea lini mwanamke akaitwa mfalme
@BMGOnlineTV26 күн бұрын
Inabidi wakueleze vizuri
@neemasele7896 Жыл бұрын
Mungu akuogezee
@user-ub2wt7dh1i10 ай бұрын
Amakweli hii ni ngome ya mfalme
@BMGOnlineTV9 ай бұрын
Kabisa
@emmanueljackson5445Ай бұрын
Iyo ni muungu sio MUNGU apo ni tofaut....kama ni muungu sawa lakn sio MUNGU.....Tena uyo naona zambi yake imetengwa peke Ake Kwa wino wa karimu ya chumba....ni swala la muda na nyakati....binadsmu ni kumbe kidg na dhaifu Sana Kwa MUNGU wa mbinguni
@BMGOnlineTVАй бұрын
Barikiwa
@EstelJoseph10 ай бұрын
Huyu zumalid atakuja kuwambia hyo nipepo mazali kashajiita mungu atakuja kuwageuza midukule awahfath kwenye ngome yake tena wezumalidi ukome kujiitamung wakat kila mwezi unaingia kwenye siku zako mbwa weee
@BMGOnlineTV9 ай бұрын
Tumuombee
@leahmwenisongole-yp7id6 ай бұрын
Kuna mfalme zaidi ya Mungu
@BMGOnlineTV6 ай бұрын
mungu baba chini ya jua?
@Asma-ff3bj6 ай бұрын
Acheni kufuru nyie watu hakuna mfalme zaidi ya mungu