No video

ANNA WA JUA KALI ASIMULIA ALIVYOBADILI DINI MARA TATU “MAJINI, DUA”

  Рет қаралды 67,496

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Hii ni Exclusive Interview na Goldliver Goldian maarufu kama Anna wa Juakali ambapo amepata nafasi ya kufunguka juu ya yeye kubadili dini mara zaidi ya tatu.

Пікірлер: 374
@maendeleoleo2594
@maendeleoleo2594 2 жыл бұрын
Hongera dada kwa kuchagua fungu lililo jema Mungu akusimamie🙏🙏
@estherngowi8102
@estherngowi8102 2 жыл бұрын
Hongera dada G karibu kwa Yesu ni kutamu balaa.
@richardkonzo5717
@richardkonzo5717 2 жыл бұрын
Ni mwandamu, kumjua Mungu ni process. Leo anaweza akadhani ameijua kweli, lakini bado Mungu anampitisha kote huko ili baadaye aje kuwa mtu mzuri zaidi. Bado yupo Safarini na bado hajafika bado. Roho mtakatifu ataendelea kumuongoza hadi ataijua kweli.
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Uko sahihi ndugu
@user-mq6lu2po3y
@user-mq6lu2po3y 2 жыл бұрын
Alhamdudilah kwa neema ya Iman , alhamdudilah kwa neema ya Quran , alhamdudilah kwa neema ya uislam
@mwanasitimpole8746
@mwanasitimpole8746 2 жыл бұрын
Alhamdulilah
@tumajuma6917
@tumajuma6917 Жыл бұрын
Alhamdulillah
@vailethkinabo7961
@vailethkinabo7961 2 жыл бұрын
Hongera dada kaza buti Mungu ni mwamini sanaaa
@tanjaniyoman3160
@tanjaniyoman3160 2 жыл бұрын
Innalillhi wainna ilaihi raajiun...huu ndio mwisho wa dunia ..tuliambiwa watazuka manabiii wengi wauongo...Allaah atuepushe nao..
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 2 жыл бұрын
AMINA INSHALLAH
@mealisuleiman4020
@mealisuleiman4020 2 жыл бұрын
Amiin ishaallah
@georgesikazwe5914
@georgesikazwe5914 2 жыл бұрын
Sabbu kawa mkristo ndo mana mnamna.mbaya acheni ushamba na.udini ninyi akiwa muislam.nd hakuna waongo..udini tu umewajaa.mnataka.dunia nzima tuwe waislam..fateni yenu
@georgesikazwe5914
@georgesikazwe5914 2 жыл бұрын
Masheih nd wakweli sio?
@rehemaally2647
@rehemaally2647 2 жыл бұрын
Amiin yaarabbal al'amiin
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 2 жыл бұрын
Allah Anamuongoza Anayemtaka
@georgesikazwe5914
@georgesikazwe5914 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@lizyjonath2226
@lizyjonath2226 2 жыл бұрын
Hongera sana dada Godliver Mungu anakupenda sana
@zainabmaulidi9846
@zainabmaulidi9846 2 жыл бұрын
Innalilah wainailih rajiun 😢😢😢
@irenemukami5735
@irenemukami5735 Жыл бұрын
Mungu akuwezeshe zaidi ,,,Kuna mema kujiunga na yesu kristo
@joycekaje8755
@joycekaje8755 2 жыл бұрын
Hallelujah, Glory to Jesus, hongera sana dada
@murtoneniman9791
@murtoneniman9791 2 жыл бұрын
Hongera Sana Dada Godliva kwa kufanya uchaguzi ulio bora kuliko yote kwa kumchagua kristo na kuachana na dini...Mimi ni mshabiki wako na umezidi kunifurahisha.
@saummohamedm435
@saummohamedm435 2 жыл бұрын
Mbwa
@murtoneniman9791
@murtoneniman9791 2 жыл бұрын
@@saummohamedm435 Saum Mohamedm Yesu anakupenda Sana, alafu ametufundisha upendo na kuheshimu mawazo ya wengine, ata wewe hujachelewa mpe maisha yako utaacha kutukana watu bila sababu
@mwatimaabdallahaji2452
@mwatimaabdallahaji2452 2 жыл бұрын
MTUME wa mwisho ni MUHAMMAD (S.A.W)hawa wanaojiita mitume babaisha bwege tu na watuambie wamepewa utume na nani.na hauwez kuckia sauti ya MUNGU live hujafikia icho cheo.ALLAH atuongoze njia iliyonyooka insha Allah
@junioursylvester2780
@junioursylvester2780 2 жыл бұрын
Acha uongo
@edwinelias8554
@edwinelias8554 2 жыл бұрын
Huyu dada godliver nampenda anajua kuigiza sana ananofanya nifatilie jua kali
@pudensianalyimo228
@pudensianalyimo228 2 жыл бұрын
Keep it up Godliva, umechagua fungu lililo jema.
@fatimambaruku1833
@fatimambaruku1833 Жыл бұрын
Allah akuongoze kipenz niliona interiw yako juu maisha uliyoishi ktk uislam kiukweli ulikosa fursa ya kuutambua uislam usinge toka tena milele dini ya kweli na ya kimaumbile Ila akipenda Mola mlez utarud na utatwawafu humu na kuzoa radhi za mola wako inshaallah
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 2 жыл бұрын
Eti mtume jamanini hii dunia sasa yaelekeya wapi jamanini kuna nabii karne hii allah atuongoze katika hili jamanini kwani mukisema mchungaji ama Padri kinaharibika kitu🙄 ati nabii daah allah atupe mwisho mwema 🙏
@saumuhamisimwandekwa5064
@saumuhamisimwandekwa5064 2 жыл бұрын
Nashanga pia mm eti nabii Astaghafirullah
@careeninnocent738
@careeninnocent738 2 жыл бұрын
Mwisho mwema hupati mpaka mkiri YESU
@salamabinti4185
@salamabinti4185 2 жыл бұрын
Allah akuongoze nilikua nakupend ila kwahilo samahan kwakwel
@jellynesssemu9406
@jellynesssemu9406 2 жыл бұрын
Ww usipompenda bado Mungu anampenda
@careeninnocent738
@careeninnocent738 2 жыл бұрын
Kwani unampunguzia nini au unamuongezea nini ndio kwanza anashinda tuzo
@miriammwemzundu7536
@miriammwemzundu7536 Жыл бұрын
Sasa ww Mungu kwani hata ukimchukia
@bertharaymond2317
@bertharaymond2317 2 жыл бұрын
Mungu Baba Mungu Mwana Mungu Roho Mtakatifu ndiye ngao yetu
@oii6zlaboshelby17
@oii6zlaboshelby17 2 жыл бұрын
Its good but siku utakayotolewa roho tu utaanza kuona ukweli , wa Muungu baba, na muungo roho. Endelea hivohivo ,
@rehemaally2647
@rehemaally2647 2 жыл бұрын
@@oii6zlaboshelby17 😂😂😂😂😂😂😂😂 nilitaka nimchambe
@neemaayubu1786
@neemaayubu1786 2 жыл бұрын
Mimi sioni hata haja yakubishana,,, sisi sote tutarudi mavumbini,, nakila mmoja kwa imani yake,, hapo ndipo kila mmoja atajua Mungu wa kweli ni yupi.
@mizzainallahwainailalhiraj8576
@mizzainallahwainailalhiraj8576 2 жыл бұрын
Duh umekula hasara Ana 😭
@joycemhana2018
@joycemhana2018 10 ай бұрын
Mmmmmmmmhhhhhh
@tauhidahussein3091
@tauhidahussein3091 2 жыл бұрын
Daah innalilahi wainna ilaihi rajion daaaah..msiba mzito huu... Allah atujaalie mwisho mwema
@mwanasitimpole8746
@mwanasitimpole8746 2 жыл бұрын
Amiiin
@salmarwanda6578
@salmarwanda6578 2 жыл бұрын
Mungu atakusamee sisemi mengi
@maryambaby8509
@maryambaby8509 2 жыл бұрын
INNA LILLAH WAINNA I LAYHI RAJIUUN
@bahatizuberi9265
@bahatizuberi9265 2 жыл бұрын
Haya maneno si huwa yanasemwa mtu akifariki?
@maryambaby8509
@maryambaby8509 2 жыл бұрын
@@bahatizuberi9265 simaanishi hivyo ulivofikiria ila huu ni msiba kwa sababu yeye alikua mkristo akaingia uislam.na uislam ni dini ya kweli bila ya yeye kujielewa anasema hakuuona utukufu wa allah. kaamua kurudi ukristo ni sawa na msiba kwetu waislam mtu kudhalilisha uislam dini ya kweli. Nimeona hivyo kama nimekosea kuandika vile SAMAHANI kwa wote
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 жыл бұрын
@@maryambaby8509 yohana4:26 YESU asema Mimi ndimi njia ya kweli na uzima hakuna aendae kwa baba Ila kwanjia ya Mimi,,,,endelea kukaa kwenye iyo dini yako,,,,wenzako mamia wanabatizwa Kila siku
@maryambaby8509
@maryambaby8509 2 жыл бұрын
@@josephwilliam5813 sawa ila usilo lijua nisawa na usiku wa kiza . Sawa ila sina tatizo na mtu kila mtu na imani yake nawapenda kwaajili ya allah 🤲🤲♥️
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 жыл бұрын
@@maryambaby8509 nakupenda imestupasa kupendana Kama ilivyo MUNGU alitupenda Toka mwanzo
@annetmbwambo9369
@annetmbwambo9369 2 жыл бұрын
Pole Dada bado hujamjua mungu hao ni manabii wa uongo kasomo mwanzo ujifunze zaidi
@salmaabubakar6442
@salmaabubakar6442 2 жыл бұрын
Innallillah waina ilaih rajiun😢Allah atujalie mwisho mwema🤲
@mamiyfeiy
@mamiyfeiy 2 жыл бұрын
AMIIIN YAARABIH
@witnesshaule3958
@witnesshaule3958 2 жыл бұрын
Hiki.nini na nyinyi waislamu jmn au mnamchulia mwenzenu
@fatmaabubakar7478
@fatmaabubakar7478 2 жыл бұрын
Amin
@furahaiddi533
@furahaiddi533 2 жыл бұрын
Muslim people you guys should respect other people opinion musifikiri nyie tu ndo mna abudu Mungu wa kweli
@vonniemarry2680
@vonniemarry2680 2 жыл бұрын
@@furahaiddi533 These people bana sijui wanajiona kina nani
@user-mq6lu2po3y
@user-mq6lu2po3y 2 жыл бұрын
Yesu sio mungu , yesu anasema katika bibilia" na uzima wa milele ni huu wakujue wewe Mungu pekee wa kweli na yesu Kristo uliyemtuma" so Kuna mungu wa kweli mbali na Kristo mbali yesu siku ya kiama ata wakana nyinyi
@alexvenas2699
@alexvenas2699 2 жыл бұрын
Soma Tito 2:13-14
@rabeccastanleys660
@rabeccastanleys660 2 жыл бұрын
Kama kitu haukijui usikijaji tuachiwe sisi na tumachoamini maana kwetu Cha tufaa Sana
@humairaothmn8465
@humairaothmn8465 2 жыл бұрын
Ninachokiona hapa ni promo ya uyo nabii wake anayemsema..hamna lol ote...na dini za siku hizi ni biashara...na kubadili kwake mara tatu ndo utajua kwanni yesu hakuwa na mwanafunzi mwanamke..
@hawalufingo9983
@hawalufingo9983 2 жыл бұрын
YESU NI MUNGU
@oii6zlaboshelby17
@oii6zlaboshelby17 2 жыл бұрын
Ivi nyny wakiristo mshawahi kusikia kitabu cha Qur ani kina toleo, la kwanza, la pili au kufanyiwa marekebisho yyte, na kama hamjawahi kusikia hamjiulizi kwa nini? Pia hamjiulizi kwa nini Biblia imebadilishwa , badilishwa na ina matoleo ivi hanjiulizi kwa nn? Na pia hamjiulizi ivi Binaadamu anajua zaidi ndo akabadilisha . Mungu aliekileta kitabu hajui ? Kaeni mlitafakari hili mumepewa akili msipachikizwe pumba huko makamisani
@zawadisingano5659
@zawadisingano5659 2 жыл бұрын
Doooh Alhamdulillah kwaneema ya uislam
@gloryfidelis102
@gloryfidelis102 2 ай бұрын
Nakupenda dada zamaaa wewe ni mtumishi mkuuu
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 2 жыл бұрын
SubhanAllh
@aminakhamis2276
@aminakhamis2276 Жыл бұрын
الحمد لله namshukuru الله kwaneema ya usilam الله anijaalie mwisho mwema nikiwa ktk dini yauislam .
@winniekicholo
@winniekicholo Жыл бұрын
Amen na MUNGU azidi kukuinua na kukutuza kwa mataifa, hakuna kitu kizuri kama kuomgozwa na holy spirit
@athaum05
@athaum05 2 жыл бұрын
Moja ya alama za unafiki ni mtu kutokuwa na msimamo kwenye maamuzi yake!
@mwanaishakhamis8069
@mwanaishakhamis8069 2 жыл бұрын
Huyo yuwenda Kwa maslahi yake binafsi mwenyewe
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
😁😁😁 kweli
@shopalareen4303
@shopalareen4303 2 жыл бұрын
Swadkta mnafiki uyo
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
Tena mnafki haswa mtizame mimacho yake 🤪🤣🤣
@mwanaishakhamis8069
@mwanaishakhamis8069 2 жыл бұрын
@@aminakipande5645 Yale mato yake ni ubaranganya 😂😂🇰🇪
@SAMISAI.
@SAMISAI. 2 жыл бұрын
Kwanza kanyoa mnyoo gani huyo mtumishi😂🤣🤣🤣🤣
@user-mq6lu2po3y
@user-mq6lu2po3y 2 жыл бұрын
Mungu kampa kibali 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamani watu hawako sirious kbs
@halimaabubakari1506
@halimaabubakari1506 2 жыл бұрын
Kumbe ule ukichaaa wa jua Kali nikweli eh
@julianajchambala6954
@julianajchambala6954 2 жыл бұрын
Hongera Sana Dada yangu
@robikachembeho5284
@robikachembeho5284 2 жыл бұрын
Barikiwa sana sana dada umechagua fungu jema
@MaryMswadiko
@MaryMswadiko Ай бұрын
Unajua nawashangaa sana munao juona mko wakamilifu kuliko wengine hongera dada umechagua fungu jema pia biblia inasema nifulaha kubwa mwenye dhambi mmoja akitubu dada songa mbele
@annamwaipopo9485
@annamwaipopo9485 2 жыл бұрын
Mungu akubariki dada 🥰
@veronicamhanga2548
@veronicamhanga2548 2 жыл бұрын
Mungu akubariki, hilo ni fungu jema,
@zuwenatabu9176
@zuwenatabu9176 11 ай бұрын
Namshkuru mungu kwa kuzaliwa muislam
@SAMISAI.
@SAMISAI. 2 жыл бұрын
Kwa hiyo yesu hawaoni maskini wanao imba aleluya na wanakufa maskini anawaona hao tu😂🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼
@prospermwaluvanda2996
@prospermwaluvanda2996 2 жыл бұрын
Mungu yupo kazini halali wala hasinzii.
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 жыл бұрын
Pole sn dada kumbe ata kwenyemaisha yako yakawaida huna misimamo wow ndomana lamata alikupanga jua kali. Kwaiyo ukipata tena bwana wakislam utabadili tena sindoivo pole wee
@upendojoseph469
@upendojoseph469 2 жыл бұрын
Amina nimebarikiwa
@mk-ed5py
@mk-ed5py 2 жыл бұрын
Eti nilimuombea akapata tunzo ata usinge muombea angepata tu jambo likipangwa na Mungu liwe linakua,iyo ni biashara unatafuta wateja
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 2 жыл бұрын
Kumpokea BWANA YESE NDIO JAMBO KUUUU
@vj8313
@vj8313 2 жыл бұрын
Andika vizuri jina la YESU pliz unajua huyo ni mfalme wa wafalme
@zainabunechesa8659
@zainabunechesa8659 2 жыл бұрын
Inalillah wa Inalillah Rajiuni Annah 😭😭😭
@jellynesssemu9406
@jellynesssemu9406 2 жыл бұрын
Kwann waislam mnachulia Annah . Kwan dini yenu ndo ya kweli? Acha kuwa na roho ya hivyo
@careeninnocent738
@careeninnocent738 2 жыл бұрын
Waislamu wanaroho mbaya mno na niwachawi balaa
@SalmaAbdul-zz7dy
@SalmaAbdul-zz7dy 6 ай бұрын
​@@careeninnocent738wachawi ni. Nyinyi na umeanza kwenu nyinyi kasome matendo ya mitume 3:16 Na sumbawanga Kuna wachawi kibao na makafiri
@jellynesssemu9406
@jellynesssemu9406 2 жыл бұрын
Amen. Nimejikuta natokwa machozi 😭😭
@rosejuma3033
@rosejuma3033 2 жыл бұрын
Sio mwenyw at mm 😭😭
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@ilovejesus666
@ilovejesus666 2 жыл бұрын
Utatu upi wakati mungu ni mmoja
@shamillahbianca6999
@shamillahbianca6999 2 жыл бұрын
Baba,mwana, na roho mtakatifu
@careeninnocent738
@careeninnocent738 2 жыл бұрын
Amen Amen Bwana atukuzwe
@reniceyohana77
@reniceyohana77 2 жыл бұрын
Hongera sana
@helencyprian8745
@helencyprian8745 2 жыл бұрын
Mungu atusaidie, nabii sasa mmmm!
@faridadondo2103
@faridadondo2103 2 жыл бұрын
Duuh aisee binadam anaongea na mungu live adanganye wasio jua napia hakuna dini utabadili mara 3
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
ANA ONGEA NA SHETANI.
@careeninnocent738
@careeninnocent738 2 жыл бұрын
Wewe usiojua ila waliokoka wanajua na wanaisikia sauti ya Mungu
@SalmaAbdul-zz7dy
@SalmaAbdul-zz7dy 6 ай бұрын
​@@careeninnocent738wanafiki wakubwa nyie sauti ya mungu mkaisikie nyie wakaa uchi na wacheza ndombolo Kila jumapili
@tinatomavika8250
@tinatomavika8250 2 жыл бұрын
Nilikuwa nampenda sana huyu Ila hapa nimepunguza upendo Anasema hajawah muona Mungu kote huko ila alipo ndo kuna Mungu hahaha jaman jaman Mungu atusaidie
@ruihassan3389
@ruihassan3389 2 жыл бұрын
ukimchunguz kama anajiamin sana utasem uwez alio nao kajipa yeye
@hazrathassan1134
@hazrathassan1134 2 жыл бұрын
Subhanallah, mhhhh Allh akuongoze mayra
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 2 жыл бұрын
Amina inshallah
@careeninnocent738
@careeninnocent738 2 жыл бұрын
Hallelujah halleluyah halleluyah
@genarahaswile2990
@genarahaswile2990 2 жыл бұрын
Mungu atusimamie tusiamini haya
@noorynmohammedy6063
@noorynmohammedy6063 2 жыл бұрын
Subuhanna Allah eti Mtume kwel makafiri ni watu walio potea unaujua unabii na utume ww
@abdirazak1503
@abdirazak1503 Жыл бұрын
Hata alipo islimu ulitamkq nini ikiulizwa hajuwi uislamu ni imaniya hali ya juu sana bora kufa kuliko kuacha uislamu kuji ita nabi ni kuwa sasa ni kujidhulumu hawana hat sifa ya u nabi
@ashantimoleta7798
@ashantimoleta7798 2 жыл бұрын
Glory to God glory to God?
@user-pt5xf6gc9u
@user-pt5xf6gc9u 11 ай бұрын
❤❤❤❤
@rahmaoman5122
@rahmaoman5122 2 жыл бұрын
Nabii gani tena jamani? Ilihali manabii wote wapo kwa mwenyezi mungu? Nyie wakaa uchi ndomaana uislam unawashinda hamtaueza pasina kukuchagua mwenyezi mungu mwenyewe hiyo ni Ne'ema kubwa sana yakua muislam nyie ni kondoo muliopotea nabii mwenyewe ni machinga 🤣🤣🤣🤣
@aminakhamis2276
@aminakhamis2276 Жыл бұрын
اينللح وانا اليه لراجعون huo ni msiba mkubwa الله atufanyie wepec sis na watoto wetu
@gloryfidelis102
@gloryfidelis102 2 ай бұрын
Ucjali songa mbele Godriver Ongozwa na Roho tu.
@eddyjuniortz2234
@eddyjuniortz2234 2 жыл бұрын
Naomba namba ya huyu Dada Mtumishi na mwigizaji au Namba ya Nabii Olivia
@careeninnocent738
@careeninnocent738 2 жыл бұрын
Amen Amen
@swahiliandculture6599
@swahiliandculture6599 2 жыл бұрын
Wow songa mbele dada
@abuialmarjibi979
@abuialmarjibi979 2 жыл бұрын
Mwisho wa dunia watazuka manabii wa uongo na ndio sasa Allah atupe mwisho mwema
@rachelmliwa9830
@rachelmliwa9830 2 жыл бұрын
allah which
@arafaomari1832
@arafaomari1832 2 жыл бұрын
Kwakweli
@SalmaAbdul-zz7dy
@SalmaAbdul-zz7dy 6 ай бұрын
​@@rachelmliwa9830Allah alieumba mbingu na ardhi,aliekua hakuzaa Wala hakuzaliwa,aliyekua hajawahi kufa Wala kusulubiwa na ndie mungu wa haki wa viumbe vyote
@saumuyahaya8789
@saumuyahaya8789 Жыл бұрын
Amakweli mmepotea ndugu zangu kwenu mitume bado inaendelea poleni. Mmepotea njooni kwenye uislamu ndio dini ya haki
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 2 жыл бұрын
Uokoke Sasa acha wenge unapo Neno la Mungu linasema ukimkana Yesu mbele za watu nae atakukana mbele za baba yake wa Mbingun tulia Dada acha kucheza na Yesu
@raiye5621
@raiye5621 2 жыл бұрын
Ndo mnavo jidanganya mbinguni kuna babu yenu 😅😅😅😅😅 mpo kwenye hasara kubwa.
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
@@raiye5621 yaani hawa huwa wanajichanganya kweli yaani mara yesu Mungu mara mwana wa Mung hatawaeleweki, apoapo wanasema yesu kazaliwa 25 dc sasa kama kazaliwa huoni kuwa huyo nibinaadamu kama wewe ulivo zaliwa na mamayako nayeye anamamake na wakati kazaliwa siitakuwa kuna alie Muumba mpaka akamleta duniani. Haya swali lakujiuliza aliokuwa hajazaliwa hiidunia ilikuwa inaendeshwa nanani
@rukiaabdallah1132
@rukiaabdallah1132 2 жыл бұрын
@@raiye5621 Umenifanyaaa nichekeeee jaman
@LailaLaila-kg2qd
@LailaLaila-kg2qd Жыл бұрын
Dunia
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 жыл бұрын
😭😭😭
@maimunaabdalla7146
@maimunaabdalla7146 2 жыл бұрын
Huyo anna mwisho atakua kichaa wa ukweli,kubadilisha dini mara uislamu mara ukristo mwisho ni ukichaa tu,Anna acha mchezea MUNGU
@ruihassan3389
@ruihassan3389 2 жыл бұрын
hahaha ajui
@arafaomari1832
@arafaomari1832 2 жыл бұрын
Wewe umeongea hata ongea yake inamashaka
@tausihasheem5169
@tausihasheem5169 Жыл бұрын
Nina ndùgu yangu anabadil badil dini kma Ana now amekuwa chizi yaan dah😪
@jobmaclean5382
@jobmaclean5382 2 жыл бұрын
One love
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 2 жыл бұрын
Innalillah wainna ilah rajiuun SubhannaAllah maskin wee 😭
@salomecaroly5534
@salomecaroly5534 2 жыл бұрын
Mnakuaga na wazimu muda mwingine jililie wewe na nafsi yako
@rahmaoman5122
@rahmaoman5122 2 жыл бұрын
Innalilahi wainailahi rajiun 😢 huo nizaidi ya msiba tena ni upungufu wa imani alhamdullillah kwa Ne'ema ya uislam dini ilio ya haki uislam ndio dini pekee hizi zingine ni biashara tu kamazingine
@nasseralhabsi4121
@nasseralhabsi4121 2 жыл бұрын
@@rahmaoman5122 hujielew peopo mkubwa weyee
@finah791
@finah791 2 жыл бұрын
@@rahmaoman5122 mbinguni una uhakika wa kwenda???
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@nasseralhabsi4121 PEPO NI WEWE ZUTIY UNAE JIVISHA KABILA ZA WATU USHALANIKA WEWE
@0ttii
@0ttii 2 жыл бұрын
Mmmmmmmmmmh.haya.mm.nitabakiatu.hukuhuku.kkkt.kwangu.kwamchungaji.wangu eliona.kimaro.mungu.Amtuzee.popote.Alipo.tunamwambia.tu.kua.tunampenda.sasa.👏👏
@evainnocent9520
@evainnocent9520 2 жыл бұрын
Ongera sana songa mbele usisikilize maneno ya watu kamwe. Endelea mbele umechagua fungu jema mno
@priscanyakunga490
@priscanyakunga490 2 жыл бұрын
Anna haijalishi wanasema nini juu ya wokovu wako songa mbele
@aflahabdula4084
@aflahabdula4084 2 жыл бұрын
Nyie kweli fetu mnaakili timamu hebu jiengezeni basi na nyie pia muwe kama true acheni zenu tulizanisheni vichwa musome sio mufuate mkumbo tu
@roqayaro9439
@roqayaro9439 Жыл бұрын
MAENDELEO UNAMPOTEZA MWEZIO ALIPOINGIA KTK UISLAM ALIKUWA SAHIHI SASA KALUDI KWA YESU KAPOTEA BAADA KUMUAMINI ALLAH ANAMUAMINI MTUME YESU MMH NDUNGU ZANGU WAKILISTO MNAPOTEA ATA MTOE SADAKA KSAIDIE MAYATIMA KAMA UMUAKINI ALLAH KAZI BULE MTALIPWA HAPAHAPA DUNIANI AKHELA HAMNA KITU MOTONI
@sweetluc2660
@sweetluc2660 2 жыл бұрын
Jitahidi kusimama na Mungu Dada
@Emmamusiccmb
@Emmamusiccmb 2 жыл бұрын
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO MPYA UITWAO Sitaki mapenzi KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🎤🎤🎤🎼🎼🎼🎼🎼🎼*
@octavinaalphonce6898
@octavinaalphonce6898 Жыл бұрын
Sema umepewa nafasi fulani ndio maana Ila Mungu ni yule yule popote unaweza kuzama kwa wokovu
@tausiathumani9408
@tausiathumani9408 2 жыл бұрын
Inalilah wainalilaah laajun
@aminatatu5692
@aminatatu5692 2 жыл бұрын
Msiba ya allah tupemwisho mwema kuliko kutoka kwenye diniyangu Bora ucukuweroyangu yarabi
@yazu3007
@yazu3007 2 жыл бұрын
Huyu mnafiki 2 kwanza nabii tangu lini upuzi mwazo mwisho matapeli hawa
@rubeaomary8548
@rubeaomary8548 2 жыл бұрын
pole dada angu allh akuongoze ktk njia ya haki njia ilionyooka nao ni uislam tu poleee dada
@rebeccamuhimba6484
@rebeccamuhimba6484 Жыл бұрын
Namba za simu jamni
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 жыл бұрын
Hongera my dear wangu 🙏
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
UNAMPA HONGERA MALAYA MKAA UCHI
@fatmakhamis2666
@fatmakhamis2666 2 жыл бұрын
Nabii hivi huu unabii uko simple simple mpaka wanawake manabii
@aflahabdula4084
@aflahabdula4084 2 жыл бұрын
Anajifetuwa akili
@sameraakhf5605
@sameraakhf5605 11 ай бұрын
Hawana sera wataishia kwenda uchi faamasiyara kujihifadhi kimwili
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 жыл бұрын
Laanatullah
@careeninnocent738
@careeninnocent738 2 жыл бұрын
KWA YESU KUNARAHA DADA KARUBU KWA YESU
@sportskijiwe781
@sportskijiwe781 2 жыл бұрын
Hivi neno nabii mnalichukuliaje daah
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 2 жыл бұрын
Mhm mtihan. Haya mungu ndo AJUAYEEE.KIAMA KIKO KARBU.dalili tunazionaaa.NABII NI NANI?
@husnamayala6219
@husnamayala6219 Жыл бұрын
Hakuna nabii mwanamke acheni unafiki😭😭😭😭
@joycemhana2018
@joycemhana2018 10 ай бұрын
Mmmmhhhhhhh
@zuhurabakari9025
@zuhurabakari9025 2 жыл бұрын
Tamaa za nafsi yake
@OmanOman-ky2oo
@OmanOman-ky2oo 2 жыл бұрын
Kwa nn watu tunaona dini nisehemu ya majaribu
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
Wanamchezea mungu
@husnamayala6219
@husnamayala6219 Жыл бұрын
Umekula hasar ww unabili dini kam chupi
@abdillahhassan8228
@abdillahhassan8228 2 жыл бұрын
Siku zote uislamu hauuhitaji watu bali watu watauhitaji uislamu
@hasinahilal5902
@hasinahilal5902 2 жыл бұрын
Lahaula wala quwa
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 44 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
TRUE STORY: SIMULIZI FUPI YA SAUTI
1:41:02
Simulizi Mix
Рет қаралды 262 М.