ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE

  Рет қаралды 15,985

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

24 күн бұрын

ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 51
@user-jt4lo1og8w
@user-jt4lo1og8w 22 күн бұрын
Tumekuelewa mchungaji,tumekuelewa❤❤❤❤❤❤
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 22 күн бұрын
Mpina hata iweje yupo juu
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf 22 күн бұрын
Mimi sihauri kumchukua mpina Kwa sababu tumejifunza Kwa Mzee WA monduli tutafute watu ambao sii mamluki
@eliassumila8173
@eliassumila8173 22 күн бұрын
Tunakusikiliza,Tunakuamini sana Lz
@chezariboy
@chezariboy 21 күн бұрын
Big up, mwanamapinduzi
@AthumanDauda
@AthumanDauda 21 күн бұрын
Ccm yasasa imerudi kule ktk zama za upigaji magufur alisema ccm aina watu waadilifu ispokua inamajiz TU ngoja niatumbue amkeni watanzania wanyonge
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq 22 күн бұрын
Ukitaka kuwa mkweli ondoka ccm maana hao ni majambazi wameshikwa mikono na police pamoja natume ila 2025 afe beki afe kipa
@user-bj9ej7tt1k
@user-bj9ej7tt1k 21 күн бұрын
Namimi.msukuma.arinikera.sana.aririniumiza.sana.kumshaburia.mpina.mtetezi.wetu.wawanyonge.tuko.pamoja.nae.usku.namchana
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 21 күн бұрын
Kesi ya Mpina imewashangaza wengi. Wamemugeuzia Mpina yeye ndiye akawa mshitakiwa. Bashe yumo kweye chama cha mafisadi kilichoteka Bunge. Hata Rais Magufuli aliposhika uongozi walifikiri atakukuwa kama wawo. Alipigana na ufisadi peke yake. Viongozi wetu wanajuwa wanaongoza watu woga na wajinga. Wanatuongoza wanavyotaka wawo, na sio wananchi.
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 22 күн бұрын
Kumchukua mpina ni ujinga,chadema izalishe watu wake,iache kuchukuachukua mamluki,ili kuepuka ya kina lowassa
@EdwardKwiyanga
@EdwardKwiyanga 22 күн бұрын
Ni kwel kbx msukuma anausalit ukweli alikuwa akihubir
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 21 күн бұрын
Msukuma kwasasa hamna kitu na hamna kitu kabisa yule, nilianza kumdharau ktk sakata la bandari afu anadhani sisi hatujui kinachoendelea, tutampuuza na tutaendelea kumdharau.
@Wiittole
@Wiittole 22 күн бұрын
Tafadhalini sana chadema msije muingiza mpina ktk chama chenu.ccm wanajua hawatakiwi ktk nchi hii kutokana na ufisadi waliofanyia watz kwa muda wote.hivyo ukikaribia uchaguzi lzm watengeneza mamluki waje kuvuruga upinzani,na huu ni mkakati tu kumtoa mpina lao ni moja.
@user-jj7qv7kh2s
@user-jj7qv7kh2s 21 күн бұрын
Acha chuki wewe mpina hata yeye ni adui wa ccm.
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 6 күн бұрын
Tanzaniaaaaaaaa my mother country,kwa nini lakini yanakuwa haya.Lakini mtu mwenye haki atastawi kama mtende(Mpina).
@kijadogan6711
@kijadogan6711 17 күн бұрын
Mpina endelea kukaza msuli na Mungu akutangulie
@user-di9yb2pb7w
@user-di9yb2pb7w 22 күн бұрын
Duh
@user-jb3tr9id6z
@user-jb3tr9id6z 20 күн бұрын
Mwana mapinduzi uko sawa kabisa hupepesagi macho kwenye ukweli
@eliasnshashi3196
@eliasnshashi3196 17 күн бұрын
Mpina yupo sawa hata alipokuwepo hayati magufuli msimamo wake kutetea masilahi ya watanganyika maskini kila hoja zake zipo makini
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 22 күн бұрын
Mpina kama msigwa tu alivyotolewa uwaziri ndokabadilika chadema tutashinda bila kuchukua mamuluki
@MukameMachel
@MukameMachel 20 күн бұрын
Askofu Yuko SAWA kabisa, hiyo adhabu kwa mpina hakustahili kabisa
@islamsultan8563
@islamsultan8563 18 күн бұрын
Tanzania 😢
@AlfredMwakabana
@AlfredMwakabana 22 күн бұрын
Hivi tulia anakili kichwani mpina mwacha unachafuka mimi ni mwana mbeya unitia aibu mbona nakwani sana mamaangu mimi niko uyole
@JosephMagige-lf9ns
@JosephMagige-lf9ns 21 күн бұрын
Pamoja mchungaji
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 22 күн бұрын
Inamaana ndugumwandishi kumwita kwenye chama inamana kure kunauraji watasema sisi wezi Sasa mpina urikura Nini? Mpaka umelopoka msihangaike maombi yawananchi nimakubwa ameamua walopoke nabaado hirotela
@JeremiaholendikaMakeseni
@JeremiaholendikaMakeseni 21 күн бұрын
Musukuma ni mafiki tu anatea tumbo yake tuu
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 21 күн бұрын
Yani Tanganyika tuna viongozi wezi, wezi, wezi kupindukia na hadi wanamob waandishi wa habari mfano yule mwenyekiti wao ili atetee kilichofanywa na bashe na yule spika wake.
@Nasibuhelemani
@Nasibuhelemani 21 күн бұрын
Mchungaji uko sawa tulia ubunge aspire tena
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh 21 күн бұрын
Pina karibu mpina cdm
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 20 күн бұрын
Bunge la mchongo spka wa mchongo
@raykas9976
@raykas9976 20 күн бұрын
Msukuma na kibajaji nilikuwa nawaheshimu sana na kuwapenda km wabunge watetezi wa haki za wananchi lkn kwa swala la Mpina nimeona ni wachumia tumbo hawana lolote.
@TemuCalvinWilbard
@TemuCalvinWilbard 22 күн бұрын
Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 21 күн бұрын
Umesema kweli kiongozi
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 17 күн бұрын
Vibaraka wa ccm walitumika kumpinga Mpina! Msukuma na wote waliyompinga Mpina ni Machawa wa ccm!
@rithaurassa
@rithaurassa Күн бұрын
Msukuma ikifa leo utaenda kuiona mbingu kwelii. msukuma hutendei bunge la T.z hak.huna hof. Ya MUNGU KABIDAAAA.
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter 21 күн бұрын
Sukari siyo kisesa ni ya tanzania makuma hawa na spika wao
@judicalosika7642
@judicalosika7642 17 күн бұрын
Hivi, unawezaje kuandika neno gumu hivyo!!!😳😳
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 17 күн бұрын
Mch.hao mafisadi usingetoa ushauri wa kuwasaidia ccm majizi!
@user-mo3ik6go6r
@user-mo3ik6go6r 20 күн бұрын
Hakuna mbunge wa ccm niliyo namuhamin rasaba mwezangu msukuma rakini
@AthumanDauda
@AthumanDauda 21 күн бұрын
Msukuma anajiras nampina pia rusinde nichawa kiufp ccm imerud kuli k
@HamzaHeri
@HamzaHeri 22 күн бұрын
HUYO MCHUKUWENI HARAKA SANA MBUMBU WALA HATUMUHITAJI
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter 21 күн бұрын
Tupeni mpina
@HeriMohamedi-re7xu
@HeriMohamedi-re7xu 22 күн бұрын
Ktk wabunge wapumbavu ni yule msukumu Yuko Kama matako yaliyongangania mkundu
@nyembobea7285
@nyembobea7285 22 күн бұрын
Umechanganyikiwa mchungaji chizi mchukue huyo kitatange wako
@muharamijuma1569
@muharamijuma1569 22 күн бұрын
HUYO TAPERI HANA JIPYA KAVAA BAZEE AÒNEKANE
@JosephMagige-lf9ns
@JosephMagige-lf9ns 21 күн бұрын
Wew ndiye tp
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 17 күн бұрын
Acha matusi,kwani huyo mchungaji amekutaperi nini wewe taperi?!
@JeremiaholendikaMakeseni
@JeremiaholendikaMakeseni 21 күн бұрын
Musiwape wajinga elimu
@TemuCalvinWilbard
@TemuCalvinWilbard 22 күн бұрын
Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 23 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 134 МЛН
Celebrations in Kenya as Court drives last nail on Ruto
9:33
Rogers Kakasungura
Рет қаралды 6 М.