Рет қаралды 36,569
ASKOFU BENDELA AFUNGUKA MAZITO "KUMPOTEZA KIMARO NI KUPOTEZA MAMILIONI" AMUOMBEA MSAMAHA
Askofu wa kanisa la Ufunuo lililopo Kimara jijini Dar es salaamu Askofu Paul Bendera amemuombea Msamaha Mchungaji DKT Eliona Kimaro wa kanisa la KKKT Kijitonyama ili apunguziwe Muda wa adhabu yake.
Katika Maongezi yake Askofu Bendera amesema kuwa Kumpoteza Mtu mwenye elimu Kama Kimaro kwenye ulimwengu wa Utumishi wa Mungu ni sawa na Kupoteza Mamilioni ya watu.
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com