Рет қаралды 403
Ni msimamizi wa Kitume Jimbo Katoliki la Bukoba, Mhashamu Method Kilaini wakati wa homilia yake katika adhimisho la Misa takatifu ya Kumbukumbu ya Baba wa taifa hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika kanisa kuu la Bukoba mjini Bukoba, Misa iliyohudhuriwa na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na viongozi mbali mbali wa Serikali.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja