No video

NONGWA ZA MSIMU (EP 02) | Mashabiki wacharuana ishu ya wachezaji kuuza mechi na kiwango cha Feitoto

  Рет қаралды 34,875

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Azam TV

Пікірлер: 78
@malietamaliet
@malietamaliet Ай бұрын
miraji nakuelewa sana we ni shabik ata kama ujawai maybe kusomea uchambuzi ila kuna wachambuzi unawazidi wengi hapa bongo chukua maua🎉🎉 yako
@huseinbusaba5064
@huseinbusaba5064 Ай бұрын
🤝🤝🤝🤝
@kazembeally1619
@kazembeally1619 Ай бұрын
Mpira ni namba kama utazikataa namba bas mtakuwa mnapiga kelele.position ya namba kumi kazidiwa namba 8 bado ajawai kifikiwa namba ya mudathiri.
@ZakariaSimon-gp1gr
@ZakariaSimon-gp1gr Ай бұрын
Wanauza mech wachezaji tena
@johnurio9151
@johnurio9151 Ай бұрын
Miraji huwa nakukubali sana ila Kuna kipindi unashindwa kuwa mkweli, mechi ya Yanga na Simba ni wazi Simba walizidiwa
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 Ай бұрын
Achana nao, nyakati zimebadilikia ila wao wanaishi nyakati zilizopita.
@user-bj6lx9ss6n
@user-bj6lx9ss6n Ай бұрын
Daaah Mashabiki wayanga Mbona Wapombalisana na soccer Wanaongeasana Kimapenzi ya team yao.
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu Ай бұрын
Shida ya mashabiki wa yanga huwa si waelewa kisoka.
@MoshiMrisho-e6m
@MoshiMrisho-e6m Ай бұрын
😂😂mashabiki wa yanga 😂😂daah akiliamnakabisa pole alafu mpira amjui kabisa
@josiacharles2778
@josiacharles2778 Ай бұрын
Swali la yanga kajibu vizuri miraji kuliko wenye yanga yao.😂
@husseinmassawa7186
@husseinmassawa7186 Ай бұрын
Kwa anayejua ball, ata madrid asa hivi akija akiambiwa achague kati ya fei na ki ataenda kwa ki tu😅
@osimtawa5392
@osimtawa5392 Ай бұрын
Mzeee said 😅😅😅😅😅😅
@MoiseMishenyimateranya
@MoiseMishenyimateranya Ай бұрын
Mada nizuri Saana kabisa fei Toto nimuzuri
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 Ай бұрын
Huyo baba mtangazaji anafurahisha sana anavouliza maswali
@saidjuma-j3r
@saidjuma-j3r Ай бұрын
Feisal mtu jamaniii Oooh😂😂😂😂😂😂
@l.marley_2542
@l.marley_2542 Ай бұрын
Naipenda sana Yanga ila tshabalala Bora kuliko kibabage
@PaulMuasya-z8c
@PaulMuasya-z8c Ай бұрын
Timu nzuri hii
@sajigwelunogelominga2446
@sajigwelunogelominga2446 Ай бұрын
Mzee Chembela kaongea ukweli mtupu,huyo Gody na wenzeke wanaleta ushabiki
@Kabeya410
@Kabeya410 Ай бұрын
Mgosi alikamatwa na pesa kutaka kuhonga mtibwa na alifungiwa
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 Ай бұрын
Kipindi kizuri sana hichi. Siku moja nitakuja nina mambo mengi sana ya kuongea.
@emasonindowo5321
@emasonindowo5321 Ай бұрын
Huu ni uongoo mbona Kuna mwaka yanga alichukua point nne kwetu simba na nyuma mwiko ajachukua ubingwa😂😂😂
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 Ай бұрын
Nakusikilizaga sana Miraji ila leo umepuyanga mzee. Rushwa ngumu sana kwa mpira wa sasa. Mchawi wa Simba ni Simba wenyewe
@hassansalum2572
@hassansalum2572 Ай бұрын
Rushwa ipo popote wewe mpira wa bongo asa mechi hizi kubwa Rushwa tupu
@ChenchiKing
@ChenchiKing Ай бұрын
Hii Team Uwaga Nahikubali Kinoma Yanii🎉❤🎉🇹🇿
@ToshNester
@ToshNester Ай бұрын
Hiki kipindi kizuri sana.
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf Ай бұрын
Feitoto akienda yanga anacheza pia Simba anacheza Azam anacheza kila tim hapa mpeni 🥀🥀yake acheni chuki utoporooooo
@abelimaganga417
@abelimaganga417 Ай бұрын
Kweli nimeamin utopolo wenye akili ni wawili angalia Apo wote mzeee chembela pekee ndo anaelewa mpira hao wengne ni vilaza kabsa
@asmaSheha
@asmaSheha Ай бұрын
Angalau ss utopolo wenye akili wawili nyie makolo nyote nimambumbumbu
@abelimaganga417
@abelimaganga417 Ай бұрын
@@asmaSheha unaujua mpira wew au unabwabwaja tu kama umewekewa msumari wa Moto kwenye tako
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 Ай бұрын
Acha matusi​@@abelimaganga417
@sakinasakina1286
@sakinasakina1286 Ай бұрын
god bwege tuu kaona simba
@ramadhanrashidmthailand9553
@ramadhanrashidmthailand9553 Ай бұрын
Huyo gody anaonekana hajui kabisa mpira anachojua yeye ni yangatu maana hata kwenye ukweli anabisha
@user-ui4vt9vl6h
@user-ui4vt9vl6h Ай бұрын
Mm yanga ila uy God mpl aujui
@chiddmullo3241
@chiddmullo3241 Ай бұрын
Oya milaji salut Sanaa kaka
@CikeTanzania
@CikeTanzania Ай бұрын
Siunaona kabisa mchezaji anasema mwenyewe aliambiwa asifunge ili asajiliwe.
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 Ай бұрын
Ni kuzidiwa tu kimchezo hakuna rushwa yeyote kwanza ushindi kwa mchezaji ni raha. ila kushawishi kumpa pesa ili ahame mchezaji ili ahamie tim nyingine inawezekana,
@user-xz2vl8up5e
@user-xz2vl8up5e Ай бұрын
noma sana
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 Ай бұрын
Huyo wa Azam bwege kweli
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p Ай бұрын
Fei anacheza mana alikua anakueka nnje azizik
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu Ай бұрын
Inamana akuna shabikiyeyote wa yanga ambae anaweza akamkubali FEI.
@bakanga1410
@bakanga1410 Ай бұрын
ww dodi mwendesha kipindi na waongozwaji wote isipokuwa miraji na dosi ni wanafiki na wapuuz sana hakuna mwanamichezo hapo wala mpira hawajui
@IddiHassan-mr3sb
@IddiHassan-mr3sb Ай бұрын
Asiwazingue kwani wskubwa wa wanafumgwa je jela mishahara yao kiasi gani
@WilfredSaidi-st3tn
@WilfredSaidi-st3tn Ай бұрын
2nataka part3 dodi🎉🎉
@jumaiddy441
@jumaiddy441 Ай бұрын
Huyu utopolo mbona kiherehere sana haitwa kanyanyuka hamuoni mwenzake miraji japo kashika mic lakini katulia tuli
@jumaiddy441
@jumaiddy441 Ай бұрын
Hawa wapuuzi hata chama walisema hana namba yanga leo imekua sherehe na lazima atacheza
@abelimaganga417
@abelimaganga417 Ай бұрын
Apo anayejua mpira ni miraji tu wengne wanapiga kelele tu mpeni miraj Mike Apo awafundishe mpira
@bone102
@bone102 Ай бұрын
Yanga wengi wanaonyesha hawajui mpira
@abelimaganga417
@abelimaganga417 Ай бұрын
@@bone102 kabsa hawajui kazi kubisha tu
@user-ee8tm4du8h
@user-ee8tm4du8h Ай бұрын
Uyo anaongelea uxhabiki
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 Ай бұрын
Nani anaeongelea ushabiki zaidi ya huyo godi yanga
@user-ui4vt9vl6h
@user-ui4vt9vl6h Ай бұрын
Mm yanga ila god mpla ajui kbs daah
@hassankumba6938
@hassankumba6938 Ай бұрын
Rushes si lazima iwe fedha. Unaweza kuwa Zawadi au taktıma ya namna moja au nyingine.
@enoshmhemakapaya
@enoshmhemakapaya Ай бұрын
Aiseeee yanga hakuna akili jamn yaan mnabisha hadi kwa fei dubbhh yanga chuki zimewajaaaa
@HassanRamadhanPashua
@HassanRamadhanPashua Ай бұрын
Fei ni kiraka watu hawaelewi Azizi sio kiraka
@mussahamad404
@mussahamad404 Ай бұрын
Fei anadharauliw kwasababu hana passport ya nje
@HassanRamadhanPashua
@HassanRamadhanPashua Ай бұрын
@@mussahamad404 passport ya nnje ni ipi hio
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf Ай бұрын
Alosema hakuna rushwa kumbuka kweli,na yawezekana huyo ndiye mhusika mkubwa anaficha makucha, Jibu rushwa ipo na mpaka kwa marefa,hiyo imeisha sema sasa mdhibiti hiyo tabia chafu
@user-hi6hf2wt1u
@user-hi6hf2wt1u Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kimeumana
@ElizabethLukosya-lv2vf
@ElizabethLukosya-lv2vf Ай бұрын
Milaji upo sahihi enjinia anasehemu zake nabaka sehemu yake,siyo enjinia enjinia enjinia wapi wewewewe,wengine kama hamuwezi kujibu kaa kimyaaaaa! halafu huyo enjinia amemaliza kesi ya wachezaji bado wazee 🤣🤣 mwambie awalipe!mnadaiwa unasema enjinia enjinia 🤣
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Ай бұрын
Unawatee Kwa sababu ww niyanga
@kaizerabilahi5958
@kaizerabilahi5958 Ай бұрын
Uto muna mkataa fei kisa hayupo kwenu ila angekuwepo mungemsifia tu
@malietamaliet
@malietamaliet Ай бұрын
😂😂😂😂tungoje kidg tutasikia uyo mama Azam wamempa nyumba kisa kumuongelea fei tungoje miez 2 tu
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p Ай бұрын
Xavi mtupu
@DanielChaula
@DanielChaula Ай бұрын
😂😂😂
@BibeLunangela
@BibeLunangela Ай бұрын
Hakuna rushwa niku zidiwa
@leeobite2507
@leeobite2507 Ай бұрын
CJamuona mikoi kisugu hApo
@bone102
@bone102 Ай бұрын
Yanga wabadilike aisee yaani wakiona mchezaji katoka kwao lazima wamshushe viwango Mayele walimponda sana na matusi juu ila cha ajabu leo Mayele ndio topscorer ligi bora kuliko ligi ya Tz Yanga weng hawajui mpira wao ni kuisifia timu yao ndo maana timu yao ikiboronga wanavamia had nyumba za viongozi huu ni ujinga
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 Ай бұрын
Hakuna mtu anadhushwa kiwango, kwa Mikson, Chama na Sakho walishushwa viwango walipoenda nje?
@drallan6879
@drallan6879 Ай бұрын
waulizeni yanga kuhusu rushwa;huko majaliws penati ilitolewa njee ya kumi na nane
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu Ай бұрын
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 Ай бұрын
Exactly brooo❤❤❤
@KhalfanSeleman
@KhalfanSeleman Ай бұрын
Polisi wanalipwa shilingi ngapi waambie trafki wote hawategemei mshahara
@allymtunge5530
@allymtunge5530 Ай бұрын
Utopolo akilizao bhna Pascal msindo ana cheza yanga ana mtoa kibabage zimbwe anacheza, kibu d anacheza yule max amtoi kibu
@bone102
@bone102 Ай бұрын
Yanga weng hawajui mpira wanapenda kusifia Timu badala ya kuongea mpira ushabiki maandaz sana
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 Ай бұрын
​@@bone102sawa nyie mna wachezaji wengi wazuri
@saidabdul832
@saidabdul832 Ай бұрын
Eti huyu ni mwalimu kajaaa chuki
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu Ай бұрын
Rushwa hipo kilaseemu chukulia mfano wa YANGA na IHEFU kabla ya wao kuchangia mzamini nabaada ya wao kuchangia mzamini ndo utapata majibu nasio IHEFUTU chukuamechizote za timu kabla awajachangia uzamini nabaada yakuchangia uzamini mechizao zilikuweje nabaada yawao kuchangia uzamini mechizao zinakuweje utapata majibu yakwamba rushwa hipo ao ahipo.
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 5 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 91 МЛН
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
Mwananchi Digital
Рет қаралды 3,5 М.
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН