Rais alivyompandisha cheo Kanali Charles Mbuge kuwa Brigedia Jenerali

  Рет қаралды 785,918

Azam TV

Azam TV

5 жыл бұрын

Katika moja ya matukio yasiyotarajiwa, Rais John Magufuli amempandisha cheo Kanali Charles Nguge na kuwa Brigedia Jenerali baada ya kuridhishwa na utekelezaji wake wa majukumu ya kazi za ujenzi aliyompatia.
Tazama ilivyokuwa

Пікірлер: 182
@hesbonmusili9855
@hesbonmusili9855 2 жыл бұрын
Bibilia inasema utatolewa kwenye mavumbi na kwenda kula na matajiri...hongera sana
@njerithiongo7901
@njerithiongo7901 2 жыл бұрын
As a Kenyan,I really proud of you Rais ; ulikua mwafrika halisi. Rip Sir
@abdultaddy2729
@abdultaddy2729 2 жыл бұрын
Thanks for such kinda thoughts i love you bro
@user-nd7ky2yt8g
@user-nd7ky2yt8g 4 ай бұрын
Mzee ulikuw vzur sana
@salumramadhani5566
@salumramadhani5566 3 жыл бұрын
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi, kila jambo na wakati wake..
@lucassabida5471
@lucassabida5471 4 жыл бұрын
Huwa nampenda sanaa rais wetu, ana apreciate effortnza watu. Big up JPM for your appreciation to others effort. Mungu akubariki sanaaa
@luganoshaban3948
@luganoshaban3948 5 жыл бұрын
Commandant wangu wa ruvu...he deserves it!
@ayubuakim783
@ayubuakim783 5 жыл бұрын
hakuna haja ya kwa waganga we chapa kazi tu mungu atakuona maana mungu hamtupi mja wake,
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 3 жыл бұрын
Maguful R.I.P lakin bado kwenye mioyo yetu wazalendo tunakukumbuka daima
@hussmuya5246
@hussmuya5246 5 жыл бұрын
Hongera sana anko tunafurahi sana .Na hii ni kwa bidii na uaminifu wako tunakujua toka tulipokua wote kinondoni Jack bar hongera sana tunazidi kukuombea kwa Mungu uwe na afya njema wewe pamoja na familia yako .ameen
@almendhiryable
@almendhiryable 4 жыл бұрын
Safi sana Muheshimiwa Rais..... Mimi ACT Ila kwa jinsi upendo na uzalendo wa Rais nimempa asilimia 💯 na kura yangu nitaiweka kwako .
@million.onlinetv659
@million.onlinetv659 5 жыл бұрын
Yeah ndo huyooo jombaaa..dah..malipo ni hapa hapaa duniani..hilo lilikuwa jembe la RUVU JKT..832..
@costakosa.simbakwaninihivy4235
@costakosa.simbakwaninihivy4235 4 жыл бұрын
hongera
@esromkanubho4738
@esromkanubho4738 5 жыл бұрын
Jamaa ata Ruvu JKT alitulaza macho Hatariii
@yakoboigoko6645
@yakoboigoko6645 4 жыл бұрын
Kwel tunae lais nampenda sana lais wetu waawamu ya 5 Mungu amlinde sana
@medardkajuna1159
@medardkajuna1159 5 жыл бұрын
Dah..natamani ningekuwa mimi.hakika najisikia faraja sana nnapoona jeshi kama hivi😥.hongera sana lieutenant colonel kwa kazi nzuri hadi kuwa brigadier.
@charlesotwalo9335
@charlesotwalo9335 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda siku zote Rais wetu jpm hakika kabisa una hofu ya Mungu DAIMA Aksante sana
@venancemwamfise7510
@venancemwamfise7510 5 жыл бұрын
Nakukumbuka sana CO wangu Wa pale 832 KJ. Papaa Mbughe
@patrickchibuga2911
@patrickchibuga2911 5 жыл бұрын
Huyu Afande ni kiongoz mzur sana namkumbuka sana KJ 832 RUVU 2015
@victorungani2810
@victorungani2810 5 жыл бұрын
Operation Magufuli 832KJ ruvu...2016
@onesmomkanga7664
@onesmomkanga7664 5 жыл бұрын
Victor Ungani aaah nmekubal mzee victor hyu jamaaa atarii...anastahili hana mchezo!!
@salumnkamia706
@salumnkamia706 5 жыл бұрын
Fire 2016
@hamoudsalum9064
@hamoudsalum9064 5 жыл бұрын
Safi sanaa rais wetu Hakuna kuchelewesha mda mtu akifanya vizur unampandisha cheo hapo hapo Nakukubali rais wnguu #magufuli
@rahaburichadi8012
@rahaburichadi8012 2 жыл бұрын
Xxzakibogo
@aluinaalex9504
@aluinaalex9504 5 жыл бұрын
hongera sana siku zote Mungu huwa hamtupi mja wake pia bila kusahau vijana wa kujitolea op kikwete na op magufuli mlioshiri Mungu yupo pamonya nanyi
@kekemagori4732
@kekemagori4732 5 жыл бұрын
Hapo ujakosea kabisa jpm hats cc tuliopitia kwKe tunamjua mbuge
@elizabethmziray3868
@elizabethmziray3868 5 жыл бұрын
Kama mkono Wa MUNGU Uko juu Yako Lazima tutoboze life Daah l like to solder from my bottom of my heart
@mdashomwamba679
@mdashomwamba679 5 жыл бұрын
Ruvu jkt 832 alikuwa CO yuko peace sana Mbuge
@Secondborn_
@Secondborn_ 4 ай бұрын
Hatari sana op miaka 50 ya jkt ndo tulikuwa wa kwanza kuapa kwake
@goldgod9963
@goldgod9963 5 жыл бұрын
Nan anamkubali JPM kama mimi anatumiaaa akili nyingi xanaa
@unitytzdar9553
@unitytzdar9553 5 жыл бұрын
MTU MWENYE AKILI AKIKAA MAHALI, LAZIMA KUWE NA MABADILIKO. JPM ANAONGOZA NCHI KWA KUTUMIA AKILI, NA HIYO ILITAKIWA SANA
@lukandotv8101
@lukandotv8101 2 жыл бұрын
Msikilize vzr alafu sema akili iko wap km siyo upendeleo!
@clausemsemwa3704
@clausemsemwa3704 5 жыл бұрын
Jw toka kitimtim cha kagera limebaki kua jeshi bora....na askari wake wana nidhamu mpaka raha
@emmanuelonjiro3565
@emmanuelonjiro3565 3 жыл бұрын
Mungu akutangulie sana mjomba jpm
@focustryphone5435
@focustryphone5435 5 жыл бұрын
daaaa Jembe la 832Kj Kanal Mbuge daaaa namkubal sana Hongeraa
@yasinkulendea1860
@yasinkulendea1860 4 жыл бұрын
Hongera mzee wangu mungu akubariki katika utendaji wako wa kazi appreciate magufuli appreciate Charles mbuge
@maximenella8957
@maximenella8957 3 жыл бұрын
RIP😭😭😭😭 Dr président MAGUFULI
@OmarOmar-gq5tk
@OmarOmar-gq5tk Жыл бұрын
Dah! Jamaa alikua anapenda kuchapa Kaz magu sio sifa❤
@moimashole992
@moimashole992 5 жыл бұрын
Sillo imebak zamu yako mkuu nawe onesha kwa mkuu kua jeshi la poris kua munaweza
@hamadiiddi3861
@hamadiiddi3861 2 жыл бұрын
Namkubal sn mbuge kanifungia manzunzo rwamkoma 822 butiama
@clausemsemwa3704
@clausemsemwa3704 5 жыл бұрын
Safi watu wachapa kazi wapande vyeo..........wengine watambue hawahitaji waganga
@lufitetv7120
@lufitetv7120 5 жыл бұрын
Hakika niko happy sana,,,,kuona nchi yangu iko na amani,,,mungu ibariki tanzania,,,,mbariki Raisi wetu DR.JOHN POMBE MAGUFURI ninakutakia maisha marefu raisi wetu,,,ili nizidi kuyaona matunda...
@makiadiongala5345
@makiadiongala5345 5 жыл бұрын
Ni mwaka jana tu ulituaga mkuu ukaamxhwa ukaenda makao makuu ya jkt leo ukoo juuu kileleenii
@augustinewilliam709
@augustinewilliam709 2 жыл бұрын
Rest in piece father we always loves u
@emmanuelmweruka815
@emmanuelmweruka815 5 жыл бұрын
832KJ 2014,, CO wangu huyo aisee hongera zake, kwa kweli anastahili, ni jembe Sana
@sagreymduda6569
@sagreymduda6569 3 жыл бұрын
I jus cried every time i see the speech of my Father JPM
@salumkigoya5891
@salumkigoya5891 3 жыл бұрын
U cry but am very pained coz I was loose that position 4 no reason
@jessicarasigu2220
@jessicarasigu2220 2 жыл бұрын
Hakika MAGUFULI alikuwa mtetezi wa Africa wala siyo TANZANIA peke yake,nani Kama JPM tena jamani, MUNGU atuchagulie mwengine Kama MAGU 😭😭😭😭😭😭😭😭 Pumzika kwa Amani Raisi wetu kipenzi cha Watanzania
@jisamjoseph4558
@jisamjoseph4558 2 жыл бұрын
😭😭so painful
@abdultaddy2729
@abdultaddy2729 2 жыл бұрын
I love y'll
@saidiyusufu1203
@saidiyusufu1203 5 жыл бұрын
CO 832KJ RUVU nambaako ninayo takupigia kukupongeza
@oxyrio1224
@oxyrio1224 3 жыл бұрын
Tofauti ni gaani kati ya JKt N jwtz
@inderjitlall4972
@inderjitlall4972 4 жыл бұрын
To all dislikers SHAME on you!!!
@editchakoma1113
@editchakoma1113 Жыл бұрын
All African nations are proud of your work Sir, RIP- Magufuli
@emmanuelmwandu.3126
@emmanuelmwandu.3126 2 ай бұрын
Good job
@michaelassam5789
@michaelassam5789 2 жыл бұрын
Kipindi hicho, nchi inaenda bila tozo 😢
@dalaliamanidar3004
@dalaliamanidar3004 3 жыл бұрын
R.I.P JPM Mbuge lazima amkumbuke JPM daima kwa aliyomfanyia
@nassoromzenga866
@nassoromzenga866 5 жыл бұрын
Nimependa salute yako
@rashidimussa5143
@rashidimussa5143 4 жыл бұрын
saluti hatar san hiyo
@famysalum2740
@famysalum2740 5 жыл бұрын
azam mpo vizuri picha zenu ingekuwa tbc tungeona ukungu to
@chozachoza3318
@chozachoza3318 5 жыл бұрын
Ruvu 832 kj , Co yupo vizuri
@petercosta1317
@petercosta1317 3 жыл бұрын
rais magufuli mungu akuweke mahali pazuri
@richardtungaraza7509
@richardtungaraza7509 2 жыл бұрын
Sio mungu ,andika na tumia MUNGU au Mungu ukianza na herufi kubwa kumpa utofauti na miungu mingine
@osybethmbangule7652
@osybethmbangule7652 5 жыл бұрын
Anastahili
@yohanessomiyon8047
@yohanessomiyon8047 5 жыл бұрын
OP JPM 201.... Big up sana kamanda wanguu
@isacknzella4662
@isacknzella4662 5 жыл бұрын
832 conk 2014
@marysabena306
@marysabena306 5 жыл бұрын
Hongera sanaa Mbuge
@ramanhoibrahim3383
@ramanhoibrahim3383 5 жыл бұрын
Mie mwendo tu utasema mwendo kasi la express kivukoni-kimara
@sudymgeni701
@sudymgeni701 2 жыл бұрын
Magu jamani duuu mungu aiweke roho yako peponi ameni
@user-nt6fb2ky3t
@user-nt6fb2ky3t 4 ай бұрын
Tutazid kukuenz rais wetu kipenz magufur😢🙏🙏🙏
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 5 ай бұрын
"AROOO huyu kuanzia reo umvishe vyeo begani"... Tangu 9 december tisa kenda sitini na moja hakuna commandr in chief alietoa hii oda wazi wazi kwenye kipaza sauti.... CHUMA was the Best of them All....GOAT....Tutakukumbuka sanaa Ngosha...the best thing ever happend to us...
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 жыл бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli... Nchi imepata pigo kubwa...kwa kifo Cha JPM... Pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu kwa mema ya kuijenga nchi vizazi vingi vitamkumbuka.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@kondegangmjexh7563
@kondegangmjexh7563 4 жыл бұрын
this is our presedent that needed in our country
@reyjosee9390
@reyjosee9390 5 жыл бұрын
hadi nimesisimka na huo nwendo wa haraka
@papayatnzania1005
@papayatnzania1005 5 жыл бұрын
Nalipenda sana jeshi langu pendwa JWTZ halijawahi kusindwa JPM baba nakuomba sana wape tenda zote za ujenzi hasa hasa hii wizara ya ujenzi iwe chini ya jeshi letu pendwa JWTZ
@eliyahango4278
@eliyahango4278 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭JPM Nchi inaangamia huku baba kwann uliondoka kabla hujaifikisha TZ kaanani
@dairahally5471
@dairahally5471 2 жыл бұрын
This is real president rip jembeeee
@iddikimia4951
@iddikimia4951 2 жыл бұрын
Rest in Peace father
@sangjr8219
@sangjr8219 5 жыл бұрын
Jamani Azam tv mbona kimya. Hivi ni lini mtaanza kutuonesha /kurusha taarifa ya habari LIVE?
@zagadat1129
@zagadat1129 4 ай бұрын
Mungu ana sababu katika kila hatua yako
@khadijaomary2427
@khadijaomary2427 5 жыл бұрын
Duuu hatari mbuge umekuwa Brig Gen!!!! waliokuwa wanakupiga vita kama alivyosema mh Rais sasa kimyaaaaaaaaaaa
@mbutomustapha7063
@mbutomustapha7063 5 жыл бұрын
Khadija Omary Kwani na huko kuna majungu?
@hashimabdallah673
@hashimabdallah673 4 жыл бұрын
,yaani hapa mh JPM nakufurahia.kwa maamuzi yako ya moja kwa mojq
@edwardnambo1857
@edwardnambo1857 4 жыл бұрын
Nakumbuka alitulaza usiku kujenga jukwaa la uwanja wa Mabatini
@richardburengengwa6998
@richardburengengwa6998 3 жыл бұрын
Mzee ilikuwa inaonekana kama wew hatuwezi kuwa nawewe milele muache Mungu aitwe Mungu.
@mrchairtv1704
@mrchairtv1704 3 жыл бұрын
I like the leadership of H.E President John Pombe Magufuli
@josephatsebastian9848
@josephatsebastian9848 4 ай бұрын
We will live in our heart.... forever..❤❤ RIP our 2nd father of the nation...
@rayaluizcameron2594
@rayaluizcameron2594 3 жыл бұрын
R I P Mr president😭😭😭 ulionyesha upendo kwa wote tutakukumbuka daima
@delekalxon7221
@delekalxon7221 5 жыл бұрын
Brigadier kaweka unaaa sio poa hahah
@rayaluizcameron2594
@rayaluizcameron2594 3 жыл бұрын
Who watch it mar 26 2021 at the funeral of our late president😍😍😍
@allymahiyo2464
@allymahiyo2464 5 ай бұрын
Mwamba cheo alikiokota kabisa yani kweli kuna watu wana upepo.
@wankabanestory532
@wankabanestory532 5 жыл бұрын
hogera sana rais wetu rais wa watu wanyonge
@fedrickmaganga2693
@fedrickmaganga2693 2 жыл бұрын
Dar, hakika
@mahamudmhawi2731
@mahamudmhawi2731 5 жыл бұрын
Anastahili saaana huyu jamaaa kiukweli nilikuwa nae ruvu jkt ni mtu wa kazi saaana
@onesmomkanga7664
@onesmomkanga7664 5 жыл бұрын
Mahamud Mhawi 👏👏👏👏he deserves
@makiadiongala5345
@makiadiongala5345 5 жыл бұрын
Hanaga makuu shimbwela tuu
@manubei3574
@manubei3574 4 жыл бұрын
Namjua huyu Bwana, alikuwa CO wetu JKT Ruvu 2014. Ni mtu wa kauli njema anayetoa motisha pale unapomfurahisha. Hivi vyeo nilimwona ana umahiri wa kuviteka. (nachomekea: kiasi flani nilisi hapatani na Maja Msila)
@sesopando5985
@sesopando5985 2 жыл бұрын
😁😁
@qasammawa5310
@qasammawa5310 2 жыл бұрын
Puzka kwa aman mzee wetu
@iddikimia4951
@iddikimia4951 2 жыл бұрын
Good salute
@dominiclokuremusic5178
@dominiclokuremusic5178 2 жыл бұрын
ninapo kumbuka raisi magufuli amekufa nalia sana mtu rhoo safi dunia msima
@ChidyMbinga
@ChidyMbinga 4 ай бұрын
Tulioangalia 2024 tukutane apaa😢😢
@hamzakibli6779
@hamzakibli6779 2 жыл бұрын
Huy ndy tunaitaj kuw S D F WET
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 2 жыл бұрын
Dah hapa tulikuwa na Rais
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 5 жыл бұрын
Safii magu upo vyemaaa
@eliphaziamon8794
@eliphaziamon8794 5 жыл бұрын
Jeshi la Tanzania nilakuigwa mfano ,Africa nzima,,,kwa ni dhamu na uzalenda nawapa100%
@godfreymbwambo4460
@godfreymbwambo4460 5 жыл бұрын
AWAMU HII WATU WANAPANDISHWA VYEO WANAOSTAHILI, LAKINI JK ALIKUWA ANATOA VYEO KWA KUJUANA!!! BIDII YA MTU INAONEKANA!!
@goldgod9963
@goldgod9963 5 жыл бұрын
Kweli kabisaaaa naoendaaa JPM
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 2 жыл бұрын
Alikuwa anawatia moyo majeshi sana....
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 5 жыл бұрын
Hahahaaa,,,,,yajayo yanafurahisha!!!!
@teachingtruthmissionafrica9998
@teachingtruthmissionafrica9998 5 жыл бұрын
Raisi huyu ana mapungufu mengi tu kama mwanadamu mwingine yeyote lakini anapaswa kuungwa mkono sana na kuombewa watu wasitazame madhaifu yake waangalie na mema pia ....
@nduwimanaelyse1982
@nduwimanaelyse1982 2 жыл бұрын
Inchi ilikuwa na muelekeo ilasasahivi nacokiona kwahuyu mama wapi kabisa
@augustinewilliam8281
@augustinewilliam8281 3 жыл бұрын
Nani lisikia arooooooohh ya Rais wetu JPM
@kaesarka3243
@kaesarka3243 7 ай бұрын
Raïs mupendwa😢😢😢😢
@inderjitlall4972
@inderjitlall4972 4 жыл бұрын
Respect to Sir President Sir JPM
@jefrineliaselias691
@jefrineliaselias691 2 жыл бұрын
Tupate wapi tena Mtu kama huyu😭😭
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 2 жыл бұрын
Rest in peace JPM Leo brigedia wako amekua mkuu wa Mkoa
@florianmtunzi9899
@florianmtunzi9899 2 жыл бұрын
Dah
@florianmtunzi9899
@florianmtunzi9899 2 жыл бұрын
Dah basi2
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 жыл бұрын
Tutampata wapi mwingine kama huyu? Jibu "Mungu ana hazina ya kutosha" tuwe na subira.
@osybethmbangule7652
@osybethmbangule7652 5 жыл бұрын
Namkumbuka alikuwa na Cheo cha major pale RuVu hakika anastahili
@esromkanubho4738
@esromkanubho4738 5 жыл бұрын
Jamaa alitulaza macho JKT Ruvu
@million.onlinetv659
@million.onlinetv659 5 жыл бұрын
Yeah ndo huyooo jombaaa..dar..malipo ni hapa hapaa duniani..hilo lilikuwa jembe la RUVU JKT..832..
@onesmomkanga7664
@onesmomkanga7664 5 жыл бұрын
Lkn anastahili...hyu msira alikuwa anabana lkn mbuge akijaa aah anaelewaa kazi kazii...mm namkubal mbuge!!
@emmanuelmweruka815
@emmanuelmweruka815 5 жыл бұрын
Msira alikuwa balaaa, hacheki na kurutiiiii,, daaaah Acha kabisa
@Official_Sunday_Mjeda
@Official_Sunday_Mjeda 4 ай бұрын
Kwan mumgu alikuchukua
@bilioneamwegole5138
@bilioneamwegole5138 2 жыл бұрын
Mummh umi alikuwepo ila sijui alikuwaje
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 4 жыл бұрын
KWELI MAGUFURI WW RAIS SITAIKI NA NIKWELI RAIS TULIE KUWA TUNAKUITAJIA UWE KAMA WW NAKUPENDA SANA MHESHIMIWA JPK
MJUE MEJA JENERALI MBUGE  | AWATAKA VIJANA JKT KUJIPANGA
4:22
JEMEDARI TV
Рет қаралды 72 М.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 119 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 67 МЛН
Schoolboy - Часть 2
00:12
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 9 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 591 М.
Rais Magufuli amwaga ajira JWTZ
1:55
Daily News Digital
Рет қаралды 52 М.
Mpambe wa Rais alivyowasilisha bahasha ya siri bungeni
9:39
Daily News Digital
Рет қаралды 784 М.
AZAM TWO - KIAPO CHA MNADHIMU MKUU WA JESHI (IKULU)
13:38
Azam TV
Рет қаралды 148 М.
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 119 МЛН