Rais Magufuli aliposikia sababu za wafanyabiashara wanavyosafirisha madini "kiujanja" kutokana na msusuru wa malipo. Sikiliza mlolongo huo na namna Rais anavyosikiliza.
Пікірлер: 38
@eliasthomas1547Ай бұрын
Mungu azidi kumpumzisha jpm.
@beatuskazimily4575 жыл бұрын
Hongera xn umefunguka
@harunimfaume62805 жыл бұрын
huu jamaa yuko sahihii sana alio yaongea hajakosea kabisaa
@stevenpaskali95905 жыл бұрын
nikweli kaka hongera sana
@danielyfidelis71025 жыл бұрын
huyu jamaa anajua njia nyingi
@akidasalim97985 жыл бұрын
Mh hongera baba
@wilemakunga10162 жыл бұрын
Allah akulaze mahali pema peponi
@notburgamaskini7324 Жыл бұрын
Apumzishwe kwa amani Mungu amlipe kwa mema haya na mengi ya haki aliyotutendea
@fraviansweetberty88193 жыл бұрын
Mara ih atukusikii ata saut Jpm wetuuu dunian ama tunapta
@chumilahazard27135 жыл бұрын
nikwel kabisa muinjilist
@FatnaAlly-go7yt8 күн бұрын
Mashallah
@jerrywilhelm5 жыл бұрын
Nimekuelewa mwinji
@OchoaHomeDecor_3 ай бұрын
Dah Mzee Magu RIP 😢 🙏
@mawazoaliselemani89092 жыл бұрын
WATU wana uchungu na TAIFA
@salumabdallah55295 жыл бұрын
saf sana
@yudamsafiri74274 жыл бұрын
Bila chenga kabisa
@mohamedyeslam51942 ай бұрын
Jamaa ako Sawa Kwa maelezo, magufui mchaguwe huyo jamaa
@hamidmkwizu63792 жыл бұрын
Mungu aku
@wilemakunga10162 жыл бұрын
Dah jpm tutakukumbuk
@wycliffenyamweya.w6 ай бұрын
Ndugu mnenaji mwema tu Hadi kaongezwa muda size yake tu,heko🎉jamani naye rais aliyekuwa na maslahi ya nchi yake rohoni make apumzike Kwa amani🙏
@abuumashua4971 Жыл бұрын
Nikweli asa ayo ndio usika tunamkumbuka sana aliekuwa rais wetu rais wawanynge rais mwenye ofu ya mungu wamemziki kwaaliokuwa anatufanyia watanzania amepambana namafisadi ametutia ujasiri watanzania wote eeeeh ulazwe pema peponi arp josefu pombe makufuli
@abdillahkinande1057Ай бұрын
😅 😊
@farajikilindila89072 жыл бұрын
Ni raisi mwenyewe msimamo Sana na mfuatiliaji hatu kwa hatu toka akiwa waziri wa ujenzi kwakwel atutopata raisi mwenyewe msimamo km huyu tena
@apboy894412 күн бұрын
My former president r.i.p 🙏🙏
@eliaslazaro28092 жыл бұрын
Mwinjilist Solomon nyang'hwale nakuona mtumishi.
@kassimloav24022 жыл бұрын
Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli
@emmanuelsanga342 жыл бұрын
Wazalendo was kweli
@kassimloav24022 жыл бұрын
Uongoz Wa maguli hakuna kiongozi anayesema vijisent au helaya chai maliuma unasema hela ya chai vijisent ni aibu
@feisal6592 Жыл бұрын
Suluhisho ni machine tu
@patrickmarwa50244 ай бұрын
Hili swala la dhahabu hata wabunge wa upinzani awaongei hili swala ni kupewa bahasha tu.
@fidelislugusi5361 Жыл бұрын
R.i.p Jpm
@petromtakati29752 жыл бұрын
King Solomon 💯💯💯💯
@nehemiazakeo27462 жыл бұрын
Huo ndo uongozi ulivyo kuwa bora na ilikuwa hivyo kipindi hicho. yani ukiwa kiongozi bora yani hata watumishi wako huwa waminifu na kusema ukweli na kuwa na ujasili katika kazi yake kwa sababu anachokuwa akikisema kinakuwa na ukweli ndaniyake nakutekelezeka kwa halaka hivyo selikali na wana nchi wake hufulahiya matunda ya utendaji wao kwa uaminifu muzuli na kuiamini selikali na raiya kuamini selikali yake: Sijui? hii leo je, hayo yanayo semwa na huyo mubunge yana tekelezwa au ndo imebakia kama histolia? kama hivi zamani vile?
@CANAANTZ_TV2 ай бұрын
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoshambulia maisha yako 2=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp 2=
@mosesmzakwe7774 Жыл бұрын
HIVI HUYUU JAMAAA ALIKUWA MWINJILISTI KWELI ALIKUWA AMEVAA KIVULI CHA UINJILISTI? HAKIKA ALIKUWA MTUMISHI MWEMA.
@davykisabo875Ай бұрын
Hahaha sahihi jamaa ni mwinjilisiti sahihi Mimi jirani ukitaka hata namba yake nikupe umsalimie
@kassimloav24022 жыл бұрын
Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli
@amanifataki17142 жыл бұрын
Magu tinao wengi ila wamebanwa na matajiri wa nchi hii ila tukimuomba mungu kwa pamoja hanaga roho mbaya.