Bado sijaamini haupo tena Rais ni husuni sana😭😭😭😭😭🇰🇪poleni watanzania wote
@bensonmgaya56933 жыл бұрын
JPM OYEEEE MIAKA 35 IKULU Nani kaona askofu gwajima kawashiwa maiki weka like hapa
@francischuwa2593 жыл бұрын
Yaap Bishop Gwajima !!! Genuine appreciation to the Hon. President Jpm!! of the United Republic of Tanzania for his today's ia
@masongaofficial3 жыл бұрын
That's why I sang Tanzania yangu mp3 kzfaq.info/get/bejne/sNuArdVmvL6rZXU.html
@issakawaya83153 жыл бұрын
Sijamuelewa
@koffilove27963 жыл бұрын
@@francischuwa259 ¹¹
@emanuelfissoo20153 жыл бұрын
Nimeona mzee
@pambaquick81773 жыл бұрын
Ishu ni kwamba...anaongea tuuu halafu hakosei, daah 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌hiki ni kipaji sio ujanja tu.
@eliarichard92183 жыл бұрын
Nice
@patriciacarlo72363 жыл бұрын
Nimempenda gwaji boy, kwenye ujinga anafanya ujinga sehemu serious anakuwa serious
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
😜😜😜😜😜 super sticker😜🔐
@jaffersandi80483 жыл бұрын
Nikupe no zake yupo vizuri bwn
@kareemnduma22783 жыл бұрын
@patricia Carlo Mambo vipi kwema my dear
@nicksonndanzi5733 жыл бұрын
Moja ya quality za good speakers
@celinamgundoi84202 жыл бұрын
Dah! Jaman utazania upo baba yetu magufuli hakika tutakukumbuka daima, ulitupenda kwa dhati na ukajitoa kwa moyo wako wote ulitua moyo juu ya corona na ukatukumbusha tuzidi kumlilia mungu na kwel mungu alitusikia lakn kwa sasa 😷😷😱😱😭😭😭😭😭, mungu akupumzishe kwa amani baba yetu magufuli Amen
@sengeremaxleo92953 жыл бұрын
Very very prophetic words,,,,, gwaji boy is the best
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
Gwaji boy!!!
@mosesdeogratius64823 жыл бұрын
Na hao mbwa ni akina nan?
@alenally19943 жыл бұрын
@@mcheshcomedy5809 DUU AISEE !!.!
@alenally19943 жыл бұрын
@@mosesdeogratius6482 Hatar
@tpdancersvevo92033 жыл бұрын
333
@roseatieno66913 жыл бұрын
I never new Gwajima was such a clever and intelligent man . Kongole Askofu .
Me nlisemaga hyu mwamba ni chuma watu wakaanzaa kumtolea maneno ya dharau,ila hyu jamaa hata nchi anaweza ongoza
@seleseleli70643 жыл бұрын
Kwa kipi apo sasa mavio
@johnassilvester16003 жыл бұрын
Sure men
@dornita66603 жыл бұрын
Si uongo
@hashimsleman13713 жыл бұрын
Haaaaaaa ndugu kwaku ita watu mmbwaa kwakweli 2025 agombee uraisi
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
@@hashimsleman1371 Mara ngapi akina tundulisu wanatukana matusi mbona wamegombea uraisi alafu hajaita mtu mmbwa kasema ukitaka kufika mbali usimjibu kila mmbwa unayejutana nae barabarani watakuchelewesha pia huo ndiyo ukweli kwenye Maisha siyo lazima kila mtu umridhishe au akupende haiwezekani!!!!!.
@alfredaloyce68353 жыл бұрын
Hoo aliesikia gwajima akisema kwenye majimbo mengine hatukuitaji kupiga ila kulitaja jina la raisi
@mashramadhani19893 жыл бұрын
Waziri Gwajima oyee
@saidmasoli13673 жыл бұрын
Vp
@joharyjumakazala38132 жыл бұрын
Tujuane wa 2021 Aug nimependa sana gwajima alivotoa speech yake mbele ya ya hayati magufuli
@marynghumbu84373 жыл бұрын
Hongera Askofu Gwajima.
@thomasdunde16983 жыл бұрын
It's great presentation done by Gwajima
@cydrahope52513 жыл бұрын
Kweli kabisa tumechagua ccm kwasababu yako jpm
@yasintakahamba13203 жыл бұрын
Rais wetu wa badae karibu Tanzania mpya ya mafanikio👏👏👏👏
@paulondiek13453 жыл бұрын
God bless Dr John Magufuli and my entire Africa as a whole much love from USA
@christianolyehe61493 жыл бұрын
Kwahoja2 gwajima apo ndopenyewe
@rahmaramadhan97733 жыл бұрын
Mambo yako motoooooooo iwe na maendeleo hivyo hivyo hongera Sana gwajima hatujakosea kukuchagua piga kazi babaaaaa
@anicyaedward56053 жыл бұрын
Ngwajima namuelewqga sana congratulations it’s yr relevances examples
@esterdaudi96143 жыл бұрын
Gwajima auchoshi kukuangalia big up piga kazi babaa😂😂😂
@apolnarytv10743 жыл бұрын
Kawe hamjakosea 🔥🔥🔥🔥
@martinchiteji57723 жыл бұрын
Gwajima bwana ,we achatu,kuwapeleka watu mbinguni 100%, kwenye policts you seem to be among the best politicians for the coming generation.good start.congrats bishop
@emmapaul17663 жыл бұрын
Ujinga mzigo alimshinda nani huyo mfilaji wa waumini wake na kura za wizi ccm chali
@farajakasikile88463 жыл бұрын
@@emmapaul1766 sikia kijana ulijuwa aje ni yeye ulimsaidia siku iyoo pili uyo alie sema kuusu haache kuwapeleka watu mbinguni wewe ndie Mungu una msimamisha kazi yake ya uduma unapata laana bila kujuwa kijana
@emmapaul17663 жыл бұрын
@@farajakasikile8846 katafte clip inayomuhusu utamuona vizuri kuhusu laana siwez kuwa na laana wenye laana ni wez wa kura ambao mungu atawaadhibu muda sio mrefu
@bonnyngowo75673 жыл бұрын
What about phoney votes that enabled him ?
@janekikoti21793 жыл бұрын
@@emmapaul1766 Acha kutapa tapa mlishabamizwa chini mkubali tu acheni matusi na uongo Mungu atawapiga tena Gwajima hoyeee mpaka kieleweke
@mangapineema76523 жыл бұрын
GWAJIMA ni 🔥 🔥 🔥 🔥
@kapembamahaanga31292 жыл бұрын
Heshima no 🔥🔥🔥
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@thierry33182 жыл бұрын
I am Burundian but I was a big fan of J.P. Magufuri when he was alive👊👊👊
@francismngumi51253 жыл бұрын
Daah nimesikiliza zaid ya mara tatu
@coffeemuya6183 жыл бұрын
Gwajima hatar sana
@jeremiahmasunzu34373 жыл бұрын
Huyu jamaa anaweza kujipima ktk Miguu ya Uraisi huko Mbeleni ni Kichwa
@presseg.63623 жыл бұрын
Kwa kweli kazi yako inaongea kila jimbo, ndo maana wabunge wengi wameshinda Wa Ccm, mungu azidi kukulinda Rais wetu Magufuli
@hassanovajunior69723 жыл бұрын
GWAJIBOY you're somehow genius all the best for your new journey to serving people of KAWE without any bias👏👏👏😁😁😁
@happyjuma67183 жыл бұрын
Bunge la 12 litakuwa la kihistoria wallahi
@hamislipangine96493 жыл бұрын
Hahahahahaha..... Safi Sana Gwaji boy.Nimekuelewa moto umeshawaka.
@rehemasaid7963 жыл бұрын
GWAJIMA JIFUNZE KUWASHA MIKE OK! HAKELUYA
@ilovejesus93033 жыл бұрын
Kawasha dude
@fatumahassan82123 жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa rais na watumishi wa wote....najivuniya kuwa mtanzania rais WANGU MAGUFULI ...BUNGE LA 12LITAKUWA LA KIHISTORY, CONGRATULATIONS GWAJIMA
@jumamkokota85643 жыл бұрын
😃😃😃😃 wagogo wamepanua masikio aaaaah
@sofiasuleiman84743 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@dimaika_3 жыл бұрын
Acha matusi kijana haya maisha tu
@ashuuuaisha91223 жыл бұрын
Mtani wetu huyo tunajuana wenyewe mgogo na msukuma ndio mtani wetu wa jadii😂😂😂nimefurahi tu
@selector7283 жыл бұрын
Wagogoooo😝😝😝😝
@emanueldaud23603 жыл бұрын
Mungu mkubwa tanzania itafikaa mbali xaana mungu msaidie rais wetu azidi kuwa njemaa
@peternoga3 жыл бұрын
AMINA
@bisekoc.k.jenjela79363 жыл бұрын
Hiyo ndiyo faida kuwalea vizuri watu wa jamii yako, watajitolea kwa moyo wote pia watijenga nchi yao na kuilinda.
@abdullatiframadhani50593 жыл бұрын
Hii ndio Tanzania yetu tunayojivunia ya raha, amani,upendo... Najivunia kuwa Mtanzania
@philipoisongalimo22063 жыл бұрын
WAAOOOO! Bunge la 12 limenoga
@eliabutitus61823 жыл бұрын
Upuuz tu
@presseg.63623 жыл бұрын
@@eliabutitus6182 ulivyoona wewe
@emmanuelnzaligo62623 жыл бұрын
TUNAJIVUNIA Dr JOHN POMBE MAGUFURI.
@presseg.63623 жыл бұрын
Kabisa
@hoseamgema91073 жыл бұрын
gwajima ni mashine. . big up sana comred . .
@KA-yz2ld3 жыл бұрын
Mzee Magu amejitahidi kiukweli, M/Mungu azidi kumpa nguvu 🙏🏽
@MS.independent89343 жыл бұрын
Gwajima 🙌🙌🙌🙌🇹🇿
@richardmsat53123 жыл бұрын
Ametisha
@madamloveness72743 жыл бұрын
Gwajima atanifanya nilipende hili walahi😂😂😂😂😂😂😂
@madolaclassic8693 жыл бұрын
Mungu wa ajabu asa makonda chali kwa kumfanya mwenzie mbaya leo mwenzie juu
@tumaininerei59483 жыл бұрын
Kwakuwa wakwamisha maendeleo hawapo tena bungeni na kwakuwa bunge ni la kijani tunasubiri kwa hamu tuone Tanzania iwe kama ULAYA.
@damianmakala29133 жыл бұрын
Huyo ndio Gwaji boy ! Mchungaji
@ramahamis57933 жыл бұрын
Gwajima hongera sana umemfanya raisi wetu j p m kufurahi SANA
@jonasyohana32583 жыл бұрын
Gwaji boy
@syriacussylivester45943 жыл бұрын
Mungu ni mwema,Raisi barkiwaaa,Askofu barka kwwko na pia nchi mzma kwa ujumlaaaaa .
@hidayaswai31193 жыл бұрын
Tutaomba mno Mungu mpaka kieleweke. Dunia lzm ielewe Tanzania ni nchi ya pili ya ahadi kutoka Israel chini ya Raisi John Pombe Magufuli. Nakupenda raisi wangu,naipenda Tanzania mno. Magufuli umenifanya niwe real CCM
@manyaraspringwater88073 жыл бұрын
Nakubali sana
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
Mwenyewe najikuta Sina chama tokea enzi za mkapa lakn Magu Kama ananivutia hivi.
@isejemedia67603 жыл бұрын
Hiyo ndiyo gwajima,,namuelewa sana,,
@davidandrew95752 жыл бұрын
Nitakupenda milele magufuli japo haupo
@salminasalim56303 жыл бұрын
MH Gwajima juu juu zaidi tunakupenda mbunge wetu hata Bungeni unaongea mambo ya maana yenye kubeba ujumbe mzito wenye mafundisho ndani yake InShaaAllah MMungu akulinde uwezekutusaidia
@jokivaleofficialmusic10453 жыл бұрын
Kabisa kabisa hata mimi nakuunga mkono ndugu!!!
@alexandermapela2373 жыл бұрын
Hakika,,Umekuwa muwazi kueleza uhalisia unaouthibitisha juu ya Mp Gwajima,,hakika Nimependa sana appreciation zako juu yake,,its real!!! It's a good start,kawe mtanufaika hakika.
@shamimhayat76373 жыл бұрын
Gwanjima safi anza kazi
@neemamasimba29813 жыл бұрын
Tumeanza kuona vionjo jamani , mbwa akibweka usimtupie mawe we songa mbele jamani nimecheka mpaka
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
@@neemamasimba2981 umecheka mpk KARIAKOO 😜
@derickmoshi64093 жыл бұрын
Miladi Ayo shukran Sana taarifa yenu hua ni shuri Sana, hamnaga maneno tunasikiliza na kijionea wenyewe. Kazi nzuri
@jocety44263 жыл бұрын
True, Big up 💪💪@Millad. Nawapata vzr Sana frm👉🇴🇲
@christinamngara82773 жыл бұрын
intelligent people kama Gwajima niwachache sana
@eliasmrema25123 жыл бұрын
Perfect.
@emmapaul17663 жыл бұрын
Labda intelligent kwa ccm
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
@@emmapaul1766 kweli siyo ccm tu wanasiasa wote Hapa nchini wachache ni intelligent hata uko chadema act cuf n.k
@amosnaqbarxanaabddallah27303 жыл бұрын
Nakkbar mchungaji wangu fanya Kaz yako uliyotumwa na selikali,,hapa kazi tu!!!
@selector7283 жыл бұрын
Nakukubali siyo nakukubari
@bobwhite92523 жыл бұрын
Ila gwajiboy anajua kuongea aisee..
@pericykiko61983 жыл бұрын
Hadi vinanoga
@gracesiwale70663 жыл бұрын
Watu walikuwa awamuelew kwenye kampeni sasa waanze kumuelewa
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
@@gracesiwale7066 nam nimemuelewa Leo!!!😜
@gracesiwale70663 жыл бұрын
@@mcheshcomedy5809 ok
@georgeigogo92593 жыл бұрын
Nimsomi
@evalynechacha91913 жыл бұрын
Alisifiwa pia katika uhai wake😍😘😘
@zakarialuhemeja4443 жыл бұрын
Gwajima maneno yako yana upako aisee. Mbavu zimeuma kwa sababu ya kicheko
@hbdina2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Dr.John Pombe Magufuli ❤️❤️❤️❤️
@mutindamusyoki96223 жыл бұрын
Asante Sana rais magufuli MUNGU akupe maisha marefu,,, hongera Sana,,,,ninacho kuomba mkuu ukimaliza zamu yako Tanzania nakukaribisha uje kenya tunaitaji kiongozi Kama wewe
@saidhassan10963 жыл бұрын
nasubir mbunge wangu wa kawe awe waziri...
@pericykiko61983 жыл бұрын
Mbunge wetu
@nsiamassawe30753 жыл бұрын
Akipata uwaziri nitakutafuta
@martinanappa96273 жыл бұрын
Hiyo ipo njiani
@samsonimarwa86223 жыл бұрын
Nilitegemea mchungaji ngwajima atanza hata kwa kuombea walio jichanganya kumbe anaita watu kuwa wabwek siasa imeisha inatakiwa maendeleo
@tumainichannele19983 жыл бұрын
@@samsonimarwa8622 kweli kabisa unaakili mwana!
@fancytulula95373 жыл бұрын
God Will take him far.... One day, he will be Tanzania President, he will make it, he works hard, he deserves it🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🙌🙌
@temkezatv43813 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
@tipherndacute30823 жыл бұрын
Gwajim umetoa hotuba nzr Leo hongera kwako bba
@heavenlymusicproduction43603 жыл бұрын
Gwajima una kipaji mkuu hongera wanaokusema vibaya Achana nao ni (mbwa wakibweka we achana nao la nongeza mwendo hahahahaaaha i like it)
@fatumahassan82123 жыл бұрын
Litakuwa bunge la kihistory hakuna mapepo mwaka huu bungeni
@celestinemahande51683 жыл бұрын
Tulikuwa tumechelewa sana kupata watu kama kinagwajima
@edithmakwakwa94893 жыл бұрын
Hongera Sana pastor Josephat Gwajima
@emmanuelbonifase11143 жыл бұрын
Change has come for magufuli naiona tz mpyaa inakujaa
@bobwhite92523 жыл бұрын
Nmemuona beberu anasikiliza kwa umakin wa hal ya juu
@ziadasadiki81963 жыл бұрын
☝️☝️☝️😂😂😂❤
@timothmwakakusyu45633 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@franklaurent40423 жыл бұрын
katulia huyo
@deusdeodavid53603 жыл бұрын
Beberu sio mzungu tu bro
@deusdeodavid53603 жыл бұрын
Unapo sema "kula" badala ya "kura" kwa hao wageni wanao sikiliza kwa vifaa vya kutafsiri lugha sijui vinakua vinasemaje huko.
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Njooni uku, Bungeni kumenoga.
@kareemnduma22783 жыл бұрын
Nakuja me chumba kipp
@citybenedictor5723 жыл бұрын
HahahahahHa haya
@iviejustified81093 жыл бұрын
Umeongea vizuri Gwajima.... Kila mtu ana uhuru wake na Magufuli kiukweli inaonesha njia
@stevenmasato57873 жыл бұрын
Gwaji boy yuko fit duh. alafu anajua kupangilia speech mpka raha. hongera sana
@michaelsiweya65003 жыл бұрын
Wala haujakosea aisee...Mimi mwenyewe nilitamani aendelee tu kuongea
@adrianovalence43143 жыл бұрын
Nimetulia zangu napitia comments za waumini wa boy gwaji
@liliambokile24733 жыл бұрын
Km mm🤣🤣kumbe tupo weng
@augustinomwamasinga22003 жыл бұрын
Naamin kwamba hakuna mbunge atakaemzid Gwajima kutoa hoja na kuongea vzr
@anicyaedward56053 жыл бұрын
I love his examples
@ernestshija81863 жыл бұрын
Mambo yameanza kunoga.
@masongaofficial3 жыл бұрын
Go back and listen to Tanzania yangu mp3 kzfaq.info/get/bejne/sNuArdVmvL6rZXU.html And you will understand
@wardajoseph69093 жыл бұрын
Sana tu hili ndio mbunge lkn lile lililopita la kina halima na zitto na mbowe huwa najiuliza walikuwa watoto wadogo fujo tu
@sengeremaxleo92953 жыл бұрын
Achukue yeyoteee but asiwe joseph msukuma
@PAMBAZUKATVONLINE3 жыл бұрын
Namupenda sanaNgwajima na Magufuri
@kalumbugideon41593 жыл бұрын
Hongera Sana Kiongozi wetu Rais wetu wa Tanzania yetu John Pombe Joseph Magufuli miaka 5 Mingine wewe ndiye utatuvusha Sana.....
@godfreyswai98283 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu anapoondoka ktk uwepo wa mungu, ujue mwisho wa dunia umekaribia, asikofu mzima unaeaita waumini mmbwa? Ama kweli siasa ni shetanani,( mwache mskufuli afanye kazi ,tunampenda,dini ns siasa haviendani ,chagua moja moto au baridi,
@lucyheigre19743 жыл бұрын
Kwa kweli Gwajima atanifanya nilipende bunge la 12,sasa kazi nimeielewa😅😅
@emanuelmwanga43 жыл бұрын
Shida siyo hiyo anaweza kuwa na kipaji cha kuongea ila asiwe na kipaji cha utendaji
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
@@emanuelmwanga4 hicho anacho magu
@emanuelmwanga43 жыл бұрын
@@bernardoleonard7331 unaelewa nachomaanisha au uropokaji
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
@@emanuelmwanga4 kipaji Cha utendaji Magufuli anacho kuliko hata kuongea n mtu wa vitendo zaidi kuhusu gwajima ndyo kwanza kapata nafasi kwa mara ya kwanza kwahyo tutapata nafasi hivi karibuni yakuona Kama anakipaji Cha utendaji kwasababu kipaji Cha kuongea tumeshakiona hata kwenye kampeni.
@eliarichard92183 жыл бұрын
@@emanuelmwanga4 kama siyo mtendaji utajiri aliyo nao ameupataje na vitabu anavyo je vitabu unawezaje kuviandika kama siyo mtendaji wa kazi
@KS-iw7qv3 жыл бұрын
Bi Kidude angekuwa keshagoma na kutoka nje.... PIGENI KAZI... Singapore ipo mbali kwa kuwa wengi ndani ya bunge ni chama tawala.... ila mkituzingua 2025 sio mbali Tutakuzingueni mjuee😡🇹🇿✔
@emmapaul17663 жыл бұрын
Filwaji LA mshind feki
@michaelkn26393 жыл бұрын
Mungu akupe neema baba uwe raïsi wa tanzania
@michaelsiweya65003 жыл бұрын
Yaaani Ongea ongea ya Gwajima utadhani yupo bungeni kwa miaka mingi...Daaa ! Ametuchangamsha sana
@fabianchitojo74063 жыл бұрын
Et wagogo tunanini vile ahahahahaa unazingua mtani Gwajima
@iweningogoofficial37333 жыл бұрын
Mungu wangu nisamehe wewe unae mbali niliona gwajima tunampoteza kumbe unamaaana nisamehe my dady nimeelewa
@manifongotravellar47453 жыл бұрын
Gwajima hoyeeee
@eliarichard92183 жыл бұрын
Barikiwa amekusikia na anakupenda sana Mungu wako.
@ziadasadiki81963 жыл бұрын
🤣🤣🤣Gwajimaaaa Raha Sanaaaa TANZANIA Oyeeee ❤❤👍
@christinamngara82773 жыл бұрын
Gwajima oyeee
@mirajimbegu83513 жыл бұрын
Mbona anaongea kibeberu si aongee kiswahili
@augustinomakoye23963 жыл бұрын
Hongera Sana mhe, gwajima
@celestinshayo72953 жыл бұрын
Huyu haaminiki. 2015 alitimua baadhi ya waumini wake wallioonekana kuunga mkono chama tawala. Ndiye aliwauzia UKAWA Lowasa aliyekuwa ametapikwa na chama tawala. Dkt Slaa alipotofautiana nao na kujivua zake uanachama huyuhuyu gwaji alitumika kumdhalilisha kuwa alitupiwa virago na mkewe alipofika nyumbani.Askofu mzima asiyekuwa na maadili kutangaza maisha binafsi ya kifamilia ya mtu hadharani tena madhabahuni! Kwa sababu tu za siasa. Mimi simtambui kama askofu huyu wanaomuita kwa jina hilo hawaelewi uzito wa wadhifa huo.
@alexlingwendu67803 жыл бұрын
Walipanua Masikio.hahahaha.
@africanhappyadventure69513 жыл бұрын
Kazi Imekutana na mwenyeweee Mcchungaji umepe kijiti cha kuwa mwanasiasa siunataka shidaaa wewee..Ngoja tusubiri Hiyo Feb
@jokeableking70393 жыл бұрын
Wale wa kawe sasa mpo kwa gegedu na misumari ya gwajiboy ?????
@odethasimsokwe89073 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@hqmodernfurniture62463 жыл бұрын
Wale wa kawee kwa sas mpoo kwa gegedu na misumari ya gwajiboy....?
@tatukachingwe74513 жыл бұрын
Gwaji boyyyyyyyyyy, ubarikiwe muheshimiwa
@jeniphermelayeki87353 жыл бұрын
Hahahahahahaha
@berthamakortha83873 жыл бұрын
Asante sana. Gwajima. Ukweri mtupu usemao
@hamisindelema63963 жыл бұрын
mtu alishakuw mtumishi anaongea zaid ya masaa 10 ashindwe kuzungumz dkk 5 za bungeni?
@abasijuma50553 жыл бұрын
Kawe mmepata mbunge ......
@mwitachacha48473 жыл бұрын
Ngwajima Ni shoga
@venitarugemalila39713 жыл бұрын
Mh:Gwajima upo vzr kwa nukuu nimezipenda
@rajaburajabu10403 жыл бұрын
Mwendo wa Makofi tu hapo bungeni 😂😂😂😂😂
@janekikoti21793 жыл бұрын
Sasa ulitaka wapige magoti?Acha ujinga
@salomemgaya12443 жыл бұрын
😄 🤣 😂 😆 chezea mtu anae jiita mpinzani ww ,hadi makofi bungeni kupigwa anapinga ni marufuku 😄 🤣 😂 . Yaani hiyo kwao ni mada ya kulumbana,khaaaaaa
@wazirikhamisi48283 жыл бұрын
Sasa chamaana alicho ongea kipi
@alphatluambano12543 жыл бұрын
Hakuna Wa kupinga
@chambasclinton74563 жыл бұрын
😂😂😂😂
@marympemba18293 жыл бұрын
Futures ya gwajima ni kubwa sana ktk nchi hiyo. Yaani anajielewa anajua ana kisema na kufanya. Gwajima oyeeee💯🇹🇿🔥🔥🔥🔥
@derickmoshi64093 жыл бұрын
Yaaan gwaj umenifurahisha Mungu awaongoze wabunge wote Tanzania nzima mamoja na Rais wetu
@fatumahassan82123 жыл бұрын
Nikiwa ktk majukumu yng oman nimefurahi sana siku ya leo
@asharamadhani85483 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/g7uVp5thttCXlHk.html Hahaha
@stanleymathias78773 жыл бұрын
Akili kubwa inapaswa kuwa kwenye baraza la mawaziri la Tanzania maana uwezo wake ni mkubwa sana kwakweli hongera....
@julianamasunga7003 жыл бұрын
Ngwaji boy kawe inakuitaji sanaaa
@gracesiwale70663 жыл бұрын
Kweli tuna muitaji
@evelynebwire76843 жыл бұрын
Sipati picha moto wa Gwajima na King Msukuma
@eliarichard92183 жыл бұрын
Nice hapo mmoja anatumia hirizi mwengine Mungu wa kweli.