BACHU AANZISHA MSIKITI WA FITNA LAMU VISIWANI

  Рет қаралды 8,065

RAMIYA WETU TV

RAMIYA WETU TV

26 күн бұрын

Mtoaji mada ustadh muhsin bute Mtetezi wa Vijana wa kitwariqa

Пікірлер: 224
@abbakariathumani9141
@abbakariathumani9141 21 күн бұрын
Mohammadi bachu Mungu ampe nguvu kubwa katika. Daawa
@salehrashid-fx9rq
@salehrashid-fx9rq 12 күн бұрын
Allwah amlinde sheikh Muhammad na wanafiki kama hawa wasiojielewa.
@hakeemprince6868
@hakeemprince6868 23 күн бұрын
Waislamu ni ndugu ummah mmoja ni kama mwili mmoja kwahivyo tupendane tuhurumiane tuwe sote pamoja
@ABDULLAOALI
@ABDULLAOALI 23 күн бұрын
Eti msikiti wa kitwarika! Subhana Allah, Allah anasema! انالمساجدلله فللاتدع مع الله احدا Masheikh Muogopeni Allah hii dunia ni njia tu tunaenda mbele ya Allah yatawekwa wazi yote kwa Allah!
@abuualiyalbahsany8740
@abuualiyalbahsany8740 22 күн бұрын
Shukran kwa ukumbusho Lakini unapoandika aya za Quran hakiki vzr uwandishi wa maneno ya Allah. Allah akubariki
@AbdulMohamed-ox6id
@AbdulMohamed-ox6id 22 күн бұрын
Watu wa Shanga maisha yao wanaishi kwa udugu na amani, lakini s asa fitna ishaingia, inshaAllAH mungu atawastiri ndugu zetu wa shanga A
@HilalAlhabsi786
@HilalAlhabsi786 22 күн бұрын
عربى - التفسير الميسر : وأن المساجد لعبادة الله وحده، فلا تعبدوا فيها غيره، وأخلصوا له الدعاء والعبادة فيها؛ فإن المساجد لم تُبْنَ إلا ليُعبَدَ اللهُ وحده فيها، دون من سواه، وفي هذا وجوب تنزيه المساجد من كل ما يشوب الإخلاص لله، ومتابعة رسوله محمد صلى الله عليه وسلم.
@HilalAlhabsi786
@HilalAlhabsi786 22 күн бұрын
Hio aya inaanza kusema. MSIKITI NI WA ALLAH SW WALA USIOMBE MUNGU MWENGINE PAMOJA NA ALLAH SW. AU ULIFKIRI INAKQTAZWA KUOMBA MTU HAPO?. MAWAHABI VILAZA 😂😂😂
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b 19 күн бұрын
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh haomuwe munaangalia uwongowao
@mohammedyusuf8031
@mohammedyusuf8031 23 күн бұрын
InshaAllah kupitia huo mskiti Allah ataleta nuru ya sunna na hizo shirki zenu zitaondoka
@ShamsaMohammad-v1b
@ShamsaMohammad-v1b 23 күн бұрын
Kabisaaa
@RamyGichero
@RamyGichero 22 күн бұрын
Hamna hekma ya eneza Imani yenu mnavuruga jamii na kuleta chuki mawahabi
@HappyBlackKitten-nt2lp
@HappyBlackKitten-nt2lp 22 күн бұрын
Bacho songa mbele
@AbdulwahidAli-md6re
@AbdulwahidAli-md6re 21 күн бұрын
Hiyo Aya waitumia kumkufurisha muislam mwenzio na Hali iyo Aya yawazungumzia wanafiki huoni kuwa umeitumia mahala sipo mm naona kuna mambo mumeyaficha kwenye vifua vyenu na Allah amekwisha sema katika aya zake " Na yakakusanywa yaliomo vifuani". Ikumbukeni sana hii siku msije mkajuta
@AmirathumaniSori
@AmirathumaniSori 12 күн бұрын
Jama😅 mashekhe wengn ni mutihan 2 mbele ya mungu mutakuja kuzalilika san
@ShabaniKibwana-z7d
@ShabaniKibwana-z7d 19 күн бұрын
Subhanallah
@NurudinYazid
@NurudinYazid 22 күн бұрын
Mashaa Allah kwa nasaha nzur yaa ustadhy zid ya fitna zinazo endelea kwa ulimwengu wa sas
@thamani5842
@thamani5842 23 күн бұрын
Jazakalkahu lkheir Sheikh
@MohamediNdwata
@MohamediNdwata 11 күн бұрын
Unajenga unabomoa shikamana na waislam katika njia ya Allah
@WakaliFashionTz
@WakaliFashionTz 19 күн бұрын
Hii inaonyesha dawa imewaingia vzr sana
@husseinibrahim5470
@husseinibrahim5470 21 күн бұрын
Bachu anaelimu mbembelezi afunze sunna ya RasulAllah
@AllyAme-h9e
@AllyAme-h9e 3 күн бұрын
Mashekhe mitihani hii
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b 19 күн бұрын
Shekhe bachu hawawatuwamaneno utawaweza kwasababu aya walahadidhî hawajui
@user-lp3gi5wd4e
@user-lp3gi5wd4e 21 күн бұрын
Kazi mnayo! Kama mlikua mnaswali eid moja siku moja mjue sasa mtaswali eid siku mbili tofauti.
@JumaSalimin
@JumaSalimin 22 күн бұрын
Pole sana sheikh wangu, wenye msikiti wao hawataki dawa nihio tu kuepusha shari. Kujenga msikiti mwengine MASHALLAH.
@MAPETEE
@MAPETEE 23 күн бұрын
Bachu ni mfitinishaji sanaa
@MohammedSaid-tf5qc
@MohammedSaid-tf5qc 22 күн бұрын
Nyinyi watu wakenya mnamlea huyo huku Tanzania huyo kazuiliwa kusema walakutoa mawaidha yake ya kufitinisha watu mzuilieni huto
@hajikhatib9560
@hajikhatib9560 22 күн бұрын
Bidakweli
@hajikhatib9560
@hajikhatib9560 22 күн бұрын
​nenda ww kazuwiye
@hajikhatib9560
@hajikhatib9560 22 күн бұрын
Hayoni yakwenu
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 17 күн бұрын
Kama wewe ulivokua fitna
@farishfarish258
@farishfarish258 18 күн бұрын
Bachu Allah akulipe khery
@swahabahusein23
@swahabahusein23 23 күн бұрын
Masha Allah wazushi mko na shida sana
@SeifSimba-qq8rk
@SeifSimba-qq8rk 12 күн бұрын
Em shekh toa kufru sita zinazofanywa katika miskiti ya masalafi
@SuolFat
@SuolFat 22 күн бұрын
Hongera sheikhe umesema ukweli
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 22 күн бұрын
Haahaa cheki hili jinga
@saidjuma4547
@saidjuma4547 20 күн бұрын
shekh Muhammad bachu usirudi nyuma hawa watu wa twarika hawawezi izima nguvu ya Allah
@shuaibabdullahi7544
@shuaibabdullahi7544 8 күн бұрын
Huyu shaikh ni mkuweli
@MohammedSalim-lz3bv
@MohammedSalim-lz3bv 18 күн бұрын
Ustadh huna hoja ya msingi, mlikuwa msimzuwie kutowa dawa, sasa Acha dawa ije kwa njia nyengine, huwezi kuzuwia maneno ya Mungu....
@FahadMasoud-io4mb
@FahadMasoud-io4mb 23 күн бұрын
Yaani masheikh wote hawajui wao ndio wajuzi,ukijikweza mungu atakushusha
@ExcitedChefHat-ef5jt
@ExcitedChefHat-ef5jt 21 күн бұрын
Wewe ustadh nenda kalale tafadhali , fundisha ilmu ya matwari na kupiga zumari msikitini maulidi na hitima na kupiga ramli na . Wacha chuki zako mbovu za kikafiri kwa mwalimu wetu na shekhe wetu Muhammad Nassor bachu Allah amuhifadh.
@abdallahassan2080
@abdallahassan2080 16 күн бұрын
Si ajabu ukisema ni mwanafunzi wake sababu mwafanana
@mikekhalifaali7510
@mikekhalifaali7510 22 күн бұрын
Bi Idhin Allah msikiti wa Sunna utajengwa na watu wa Maulid mtadhalilika hapa duniani na kesho akhera
@WakaliFashionTz
@WakaliFashionTz 19 күн бұрын
Masheikh wa kisuf akili ndo tatizo mnamisimamo ya kitetea matamanio ya nafsi zao
@OsmanAli-zb3tu
@OsmanAli-zb3tu 23 күн бұрын
Hata mtumepiaalimbuwa agawanya watu haikuanza kwa sheikh muhammad bachu Allah amuhifadhi
@husseinibrahim5470
@husseinibrahim5470 21 күн бұрын
Bado hamuwezi tafautisha kati ya chumvi na sukari hata kwa macho au kuonja. Haki na batil kawmwe havifanani. M Bachu Allah akuhifadhi.
@IsmailGavara-y3t
@IsmailGavara-y3t 22 күн бұрын
Pigeni kelele tu mkiti utanengwa huu ni utangulizi tu zitajengwa misikiti zaki sunni kweli kweli inshallah
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 23 күн бұрын
Mimi nitatoka ushahidi mbele ya Allah yakua Watu wakiwahabi niwatu wafitna...nishawahi kuwaona mawahabi wawasaliti waislam wenzao kwaserikali ili waislam Hao wafungwe ..mawahabi niwatu wafitna Shetani Amewaingia kwanafci zao kufitinisha waislam.....
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 17 күн бұрын
Kumbe ishu ilikua nin au umeichukua habari jujuu kama mafadiqi hebu niambie tatizo la wao kupelekana mahakamani kufungwa
@drmahwa8166
@drmahwa8166 14 күн бұрын
Muogope Allaah achana na unafiqi.bidah ni mrango wa moto​@@saidimkwinzu9106
@hajikomora703
@hajikomora703 23 күн бұрын
Swali. Je ni ipi hukmu y mwnye kuswali kwenye huo msikiti w Ustadh. Bachu?
@AbuuKhalid-h1i
@AbuuKhalid-h1i 20 күн бұрын
Ndugu anglia unacho kihadharisha utaenda kulipwa kwa kuzuia kuenea haki chuki zutakuingiza katika ghadhab za Allah kuwa makin ndugu yangu.
@MAPETEE
@MAPETEE 22 күн бұрын
Watu bachu wot ni wapuuzi sanaa
@AllyAme-h9e
@AllyAme-h9e 3 күн бұрын
Jamani cc tunao comment ni kharamu kumuita muislamu mwenzako kafiri tujirekebisheni jamani sote lengo letu JANNA
@MAPETEE
@MAPETEE 22 күн бұрын
Bora uwitwe madjid faraun bachu
@user-iu3me2sm2h
@user-iu3me2sm2h 23 күн бұрын
Kwani jmani msikiti ni kanisa,?
@IsmailIbrahim-go3dy
@IsmailIbrahim-go3dy 20 күн бұрын
Na je walio mfukuza sheikh Mohammed bachu wame Jenga ule wa kwao na kumfukuza sheikh asifanye da'awah ni msikiti aina gani brother, Tena eti huyu sheikh ni mtu wa Sunnah subhana Allah
@Dr-ubaida965
@Dr-ubaida965 21 күн бұрын
Mashaallah
@nelson-cd7fr
@nelson-cd7fr 23 күн бұрын
Jamani muogopeni Allah acha kugawa waislamu
@AshrafBunu
@AshrafBunu 24 күн бұрын
Please tusitafute view kwa kutumia dini msikiti niwamungu uwe niwamwatwari au uwe siwanwatwari please view zitafutwe kwa njia nyingine
@ramiyawetutv
@ramiyawetutv 24 күн бұрын
Sikiliza video upate ufahamu
@warshysaid8564
@warshysaid8564 22 күн бұрын
​@@ramiyawetutvkitu gan chenye faida hapo Ata kisikilizwe
@user-ib7kx9dc5m
@user-ib7kx9dc5m 22 күн бұрын
Kweli huyo ni mfitinishaji ana wagawa waisilam Kwa msilahi ya wakatorck mpuuzi sana
@saidjuma4547
@saidjuma4547 20 күн бұрын
hujasema kweli ww mtowa posti hii umefeli unatafuta kujibiwa ili upate kiki
@OfficialAbdulrashedalhilaly
@OfficialAbdulrashedalhilaly 21 күн бұрын
ALHAMDULILLAAAH WATU WATWARIKA HAWAFAI KUWA HATA WAFANYA USAFI MSIKITINI UKIPATA UWEZO WA KUMTOA MTWARIQA KTK UIMAMU NI KHERI KUBWA IMEFANYA WEWE SABABU HAO NI WAPOTOSHAJI SIO WAONGOZAJI HONGERA SH BACHU LAMU SASA YAENDA PATA MSIKITI YA SUNNA ALHAMDULILLAAAH RABIL ALAMIIN
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 23 күн бұрын
Ata bado kazi kumuandama kijana ambae ameamuamua kusema kwanza leteni ushahidi wapi wanyama walipeana tarifa ndipo mje na fitina
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 23 күн бұрын
😅😅 yeah kwanza wajibu majib 1- wapi wanyama waliongea 2- wapi kuimba ktk micbaa
@MohammedSalim-lz3bv
@MohammedSalim-lz3bv 18 күн бұрын
Kazi kuabudu makaburi, lazima muambie ukweli...
@abdulkhalfan8586
@abdulkhalfan8586 23 күн бұрын
MASHAALLAH
@abedkarume9088
@abedkarume9088 23 күн бұрын
Mashekh nanyie kama wasanii siku hizo tangu muwe mitandao hamna makongamano ya pamoja kuchanuwana na kukosoan nyingi kwa waislam muje na lengo moja
@AbdillahSOthman
@AbdillahSOthman 16 күн бұрын
Mtu akimaliza kuujenga msikiti huo sio mskiti wake bali ni Nyumba ya Allah. Na waislam hupaswa kuutumia kwa ibada. Sasa mwenye chuki na hasad za kuwa alijenga fulani kwa kuwa yeye ana msimamo fulani hao watajipoteza. Kauli ni kumuabudu mola mpka mauti mmoja wenu yamkute huku ibada hakuziacha.
@TheMousser
@TheMousser 22 күн бұрын
masajid za sunna hazina bid'a
@farishfarish258
@farishfarish258 18 күн бұрын
We xhekh ni mchochezi huna elimu unamponda bachu yupo kwenye haki
@TheMousser
@TheMousser 22 күн бұрын
ilikua sawa matwarika kusoma kwa mashia
@ShamsaMohammad-v1b
@ShamsaMohammad-v1b 23 күн бұрын
Munadhihirisha aibu zenu jisitirini madheikh wa shanga
@saidjuma4547
@saidjuma4547 20 күн бұрын
watu wa twarika kazi munayo munazuia dini ya Allah isitangazwe
@user-ib7kx9dc5m
@user-ib7kx9dc5m 22 күн бұрын
Hao mawa habi hupita na kusema watu wasi some vitabu vilivyo andikwa Tanga na lamu haya nime yasikia Kwa masikio yangu baada ya swala ya magharibi tuna hupita vijijini wakijuwa ufaham wao ni mdago huku wakigawa nyama baxawadi mbali
@AliAwadh-qc8wk
@AliAwadh-qc8wk 23 күн бұрын
Nyote waislamu kaeni muelewane
@salfatinvestments909
@salfatinvestments909 23 күн бұрын
acheni dhihaka na maneno ya Allah (Quran) chuki za kibinafsi zisipelekee uchochezi wa kuwafitini watu kwa kiwango hiki, tumcheni Allah (S.W). Kwa wenye akili wataelewa fitna ilipo, Allah atuongoze kwenye haki na kuifwata sunnah ya mtume wake (S.A.W)
@AnwarAli-vs9mp
@AnwarAli-vs9mp 22 күн бұрын
Lol kila kizazi kina uzushi😅😅😅😅😅
@SharrifCharo-mi1bn
@SharrifCharo-mi1bn 20 күн бұрын
Watu maulidi wanakazi
@mohamedswalehe4442
@mohamedswalehe4442 18 күн бұрын
Bachu hajielewi kama anajielewa angepambana barabara namjadala na Sheikh Said
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 22 күн бұрын
Vip wengelimruhusu akafanya hiyo dawaa msikitini je muhammad angejenga huo msikiti mwengine lkn wameyanzaa wao kuwagawa waislam kwa kuwazuia kuinga ktk msikiti acha watu wajengee mwengine ambao watafanya harakat zao za dawa
@user-qv9ep6wq1t
@user-qv9ep6wq1t 20 күн бұрын
Mawahabi wamekua kama wakiristo kwamba kila mtaa wenye msikiti kuwe na kanisa sasa wao moja ya mikakati yao ni kila penye msikiti wa Ahlu sunna kuwe na masjidu dhiraar
@JabuUssi
@JabuUssi 22 күн бұрын
Inaonekana Bado huna ilmu
@ShamsaMohammad-v1b
@ShamsaMohammad-v1b 23 күн бұрын
Kwann muikataa ushirikiano
@sulehassanshall6140
@sulehassanshall6140 23 күн бұрын
Bachu nimtu wafitna Atadhaliloka nafitna zake
@user-xb6tr5vq4b
@user-xb6tr5vq4b 19 күн бұрын
Na ulichokifundisha hakieleweki ilatu nichuki apo ndoo umeeleweka
@BilaliIloko
@BilaliIloko 21 күн бұрын
Hahaaa watu wa bidaaa mnna kazi sana,hamna hojja mtaenndelea hivyoo hivyoo hhuku dawwa ikiendelea kupamba
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 22 күн бұрын
Tukaneni sana lakini mjue sku moja mtaulizwa kuhusu hizo kauli zenu
@RamyGichero
@RamyGichero 22 күн бұрын
Mawahabi maubwa tuu
@drmahwa8166
@drmahwa8166 14 күн бұрын
Umejitengenezea dhambi kubwa kwa kauli yako.huo ni UKAFIRI unakunyemelea
@TheMousser
@TheMousser 22 күн бұрын
msikiti suna kisimani hauvunjwi hilo lifahamu
@abdishivo6764
@abdishivo6764 20 күн бұрын
we sheikh acha fitina na choyo sjui hata waongea nini hapo
@HassanTifai
@HassanTifai 22 күн бұрын
Ukweli wa buchu unauma Sasa wanamtengenezea Ajali We wa shekh wa
@JumaKhamis-cw8ec
@JumaKhamis-cw8ec 23 күн бұрын
Wacha ujinga uwo sasa ulitaka aanzishe kanisa au vipi???
@HalimaSalym-jl2ui
@HalimaSalym-jl2ui 23 күн бұрын
Mungu Mmoja Dini Moja Mtume Mmoja Kitabu kimoja Kwanini madhehebi?
@user-oe8nv2tw7w
@user-oe8nv2tw7w 23 күн бұрын
Nenda dar es salaam hapo kariakoo kuna misikiti yenu masufi ipo karibu zaidi kuliko hivo masjid mtoro, qiblaten,idrisa ,makonde, na masjid madina yote hii imekaribiana sasa sijui unalaumu kitu gani??
@user-qm4qd8yk2x
@user-qm4qd8yk2x 23 күн бұрын
ahssnta hapahapa Mombasa misikiti ya masufi imekaribiana angalia masjid baluhi mbaruku jundani mahuru kwanza waibomoe iwe Moja ili ipatikane umoja wa waislam kama wanavyo dai wampe bachu na fasi atoe darsa katika misiki waliiojenga wao waone kama atajenga karibu na wao wala hawawezi wanamuogopa atabadilisha wafuwasi wao atawatoa kwenye shirk
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 17 күн бұрын
Nyinyi wa Kenya subirini kidoogo baada ya miaka kadhaa mutakuja kumfahamu huyo Muhammed Bachu ni nani maana hamujamjua bado. Fitna na migogoro ndio kazi anayolipwa kwayo hiyokamahamujuwi.
@imamually1926
@imamually1926 21 күн бұрын
Kwani sheikh haki na batir vinakaa pamoja siku zote? Watu wengi huswali ktk miskiti yenu kwa shida ikiwa hakuna mskiti wa kisunna karibu ndio twaswali ktk misikiti ya kibidaa
@BilaliIloko
@BilaliIloko 21 күн бұрын
Wee kaendelee kusomma maulidi,suala la elimu achia wenginne,
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 23 күн бұрын
Huyu mlinganizi kumbe ni mtu wa bidaah pole sana kaka kumbe ulitakaje sasa watu wamezuiliwa msikiti wajenge wao msikiti wa fitna sasa ulitaka watu wafanyeje ww
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 22 күн бұрын
Umepanik baba na msikiti utajengwa
@abulfuluss8739
@abulfuluss8739 22 күн бұрын
Hichi kijamaa kichali kweli wallahi hhahhahha
@TheMousser
@TheMousser 22 күн бұрын
kwa hio bachu anajenga mskiti wa makafiri, ndio mtume alivyo tufundisha
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 17 күн бұрын
Kichwa cha habari tu kinaonesha upumbavu wenu na akili ndogo kuna msikiti wa fitna dunian??? Kichwani hauko sawa
@FahadMasoud-io4mb
@FahadMasoud-io4mb 23 күн бұрын
Hana adabu wao ndio watu wa sunna wengine hawana sunna,anadanganya watu wasiojielewa
@hassanmohamedabdalla4108
@hassanmohamedabdalla4108 23 күн бұрын
Bachu anajenga misikiti ya kuinuwa Tawhidi Juu nakuondoa ushirikina na wasio kuekewa neno la tawhidi
@ShamsaMohammad-v1b
@ShamsaMohammad-v1b 23 күн бұрын
Mulimdhania vibaya yy angejenga akaenda sio mkaazi wahapo kwenu
@salehrashid-fx9rq
@salehrashid-fx9rq 12 күн бұрын
Ukiongea ongea kama mwanamme, usilegeze sauti
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 23 күн бұрын
Leohukuanza na Aya maana umegundua umetafsr kwa uelewa wako b Ndio maasuf mlivyooo , Wavivu kusoma!
@user-qm4qd8yk2x
@user-qm4qd8yk2x 23 күн бұрын
kweli kabisa masufi ni wavivu wakusoma hata Iko clip ya Sufi mwenzao shekh mziwanda kutoka tz akiwasisitiza masufi wenzake wasome dini wapunguze kuimba nahatakama watasema wamesoma lakini hawawezi fanana na watu wa Sunnah ASLI mia kubwa ya usomi wao ni mashairi marefu. Dua nyingi ambazo hazikuthibiti kaswida nyingi trics/Hila nyingi katika SoMo la nahwi. visa vingi vya urongo kama vile makarama kutishatisha watu na majini kuwafata matajiri mbalimbali husun WA Jami ya ki Asia eti kuwaombea biashara zao na kula sanaaaa bas. hakuna tawheed. hakuna Sunnah hakuna kuhifadhi Kur an. huu utafiti wangu nasema aslimia kubwa tena kubwa sana sikusema wote WALLAHU A ALAM
@IsmailGavara-y3t
@IsmailGavara-y3t 22 күн бұрын
Masufi ni makafiri tu kama makafiri wengine sio jipya
@hassanabdalla9688
@hassanabdalla9688 23 күн бұрын
Masjdid thwirar.msikiti wa madhara.ipo eleweni Quraan.
@IsmailKhamis-m6t
@IsmailKhamis-m6t 23 күн бұрын
Waislamu muna shida gani
@abdulhamidhaji5056
@abdulhamidhaji5056 22 күн бұрын
Kutafuta kiki tu si jingine
@abdallahhamad8808
@abdallahhamad8808 22 күн бұрын
Nd maana yake kulekeza spika kule kule ili muwache kupotosha w2
@bafaaabuu
@bafaaabuu 23 күн бұрын
Acheni fitina nyie duh hii hatari sana Allah anawaona
@BizimanaYahya-y4o
@BizimanaYahya-y4o 24 күн бұрын
Wewe unasema yakwako hausemi yawana zuoni
@SeifSimba-qq8rk
@SeifSimba-qq8rk 12 күн бұрын
Nyinyi ndio mwawagawanya watu kwasababu hanpendi haki isitumie aya kupotoa watu
@SharrifCharo-mi1bn
@SharrifCharo-mi1bn 20 күн бұрын
Unaogopa waumini hawato ingia kwa misikitu ya maulidi
MAJIBU KWA KIBARAKA WA QASSIM MAFUTA JADIDA HASSAN WAZIRI || Muhammad Bachu
1:06:29
SHEIKH SAID ATOA SOMO JIJINI DSM, MTOTO WA BACHU USIPOELEWA HAPA BASI
19:54
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 33 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 78 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 191 МЛН
KICHAPO  CHA MZIWANDA KWA MASHIA WAKIWEPO LIVE
15:15
RAMIYA WETU TV
Рет қаралды 1 М.
TABLIGH TUSOMENI KWANZA NDO TUTOKE KUTANGAZA QURANI   SHEIKH MUHARRAM MZIWANDA
2:57
Masjid Riyadhwa - Kwa Mnyimaki
Рет қаралды 6 М.
Uwanja wa chemka leo hoja za majini na Shetani za letwa kwa wingi kumechemka sana
1:31:35
MUHAMMAD BACHU AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA MSIKITI WA FITNA  LAMU VISIWANI || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE
59:26
Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya
Рет қаралды 6 М.
MAALIM SIASA AMWAGIKA MCHOZI AKIMUELEZEA HAJJAT BI.AKIBA
30:23
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 128 М.
Крокодил получил по-заслугам! 😱
0:32
КиноСклад
Рет қаралды 18 МЛН
A young mother couldn't calm down her baby at the lesson #shorts
0:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 12 МЛН
My wife said she wants to show me her true skills
0:27
昕昕一家人
Рет қаралды 62 МЛН