Mtoaji mada ustadh muhsin bute Mtetezi wa Vijana wa kitwariqa
Пікірлер: 224
@abbakariathumani914121 күн бұрын
Mohammadi bachu Mungu ampe nguvu kubwa katika. Daawa
@salehrashid-fx9rq12 күн бұрын
Allwah amlinde sheikh Muhammad na wanafiki kama hawa wasiojielewa.
@hakeemprince686823 күн бұрын
Waislamu ni ndugu ummah mmoja ni kama mwili mmoja kwahivyo tupendane tuhurumiane tuwe sote pamoja
@ABDULLAOALI23 күн бұрын
Eti msikiti wa kitwarika! Subhana Allah, Allah anasema! انالمساجدلله فللاتدع مع الله احدا Masheikh Muogopeni Allah hii dunia ni njia tu tunaenda mbele ya Allah yatawekwa wazi yote kwa Allah!
@abuualiyalbahsany874022 күн бұрын
Shukran kwa ukumbusho Lakini unapoandika aya za Quran hakiki vzr uwandishi wa maneno ya Allah. Allah akubariki
@AbdulMohamed-ox6id22 күн бұрын
Watu wa Shanga maisha yao wanaishi kwa udugu na amani, lakini s asa fitna ishaingia, inshaAllAH mungu atawastiri ndugu zetu wa shanga A
@HilalAlhabsi78622 күн бұрын
عربى - التفسير الميسر : وأن المساجد لعبادة الله وحده، فلا تعبدوا فيها غيره، وأخلصوا له الدعاء والعبادة فيها؛ فإن المساجد لم تُبْنَ إلا ليُعبَدَ اللهُ وحده فيها، دون من سواه، وفي هذا وجوب تنزيه المساجد من كل ما يشوب الإخلاص لله، ومتابعة رسوله محمد صلى الله عليه وسلم.
@HilalAlhabsi78622 күн бұрын
Hio aya inaanza kusema. MSIKITI NI WA ALLAH SW WALA USIOMBE MUNGU MWENGINE PAMOJA NA ALLAH SW. AU ULIFKIRI INAKQTAZWA KUOMBA MTU HAPO?. MAWAHABI VILAZA 😂😂😂
InshaAllah kupitia huo mskiti Allah ataleta nuru ya sunna na hizo shirki zenu zitaondoka
@ShamsaMohammad-v1b23 күн бұрын
Kabisaaa
@RamyGichero22 күн бұрын
Hamna hekma ya eneza Imani yenu mnavuruga jamii na kuleta chuki mawahabi
@HappyBlackKitten-nt2lp22 күн бұрын
Bacho songa mbele
@AbdulwahidAli-md6re21 күн бұрын
Hiyo Aya waitumia kumkufurisha muislam mwenzio na Hali iyo Aya yawazungumzia wanafiki huoni kuwa umeitumia mahala sipo mm naona kuna mambo mumeyaficha kwenye vifua vyenu na Allah amekwisha sema katika aya zake " Na yakakusanywa yaliomo vifuani". Ikumbukeni sana hii siku msije mkajuta
@AmirathumaniSori12 күн бұрын
Jama😅 mashekhe wengn ni mutihan 2 mbele ya mungu mutakuja kuzalilika san
@ShabaniKibwana-z7d19 күн бұрын
Subhanallah
@NurudinYazid22 күн бұрын
Mashaa Allah kwa nasaha nzur yaa ustadhy zid ya fitna zinazo endelea kwa ulimwengu wa sas
@thamani584223 күн бұрын
Jazakalkahu lkheir Sheikh
@MohamediNdwata11 күн бұрын
Unajenga unabomoa shikamana na waislam katika njia ya Allah
@WakaliFashionTz19 күн бұрын
Hii inaonyesha dawa imewaingia vzr sana
@husseinibrahim547021 күн бұрын
Bachu anaelimu mbembelezi afunze sunna ya RasulAllah
@AllyAme-h9e3 күн бұрын
Mashekhe mitihani hii
@user-xb6tr5vq4b19 күн бұрын
Shekhe bachu hawawatuwamaneno utawaweza kwasababu aya walahadidhî hawajui
@user-lp3gi5wd4e21 күн бұрын
Kazi mnayo! Kama mlikua mnaswali eid moja siku moja mjue sasa mtaswali eid siku mbili tofauti.
@JumaSalimin22 күн бұрын
Pole sana sheikh wangu, wenye msikiti wao hawataki dawa nihio tu kuepusha shari. Kujenga msikiti mwengine MASHALLAH.
@MAPETEE23 күн бұрын
Bachu ni mfitinishaji sanaa
@MohammedSaid-tf5qc22 күн бұрын
Nyinyi watu wakenya mnamlea huyo huku Tanzania huyo kazuiliwa kusema walakutoa mawaidha yake ya kufitinisha watu mzuilieni huto
@hajikhatib956022 күн бұрын
Bidakweli
@hajikhatib956022 күн бұрын
nenda ww kazuwiye
@hajikhatib956022 күн бұрын
Hayoni yakwenu
@saidimkwinzu910617 күн бұрын
Kama wewe ulivokua fitna
@farishfarish25818 күн бұрын
Bachu Allah akulipe khery
@swahabahusein2323 күн бұрын
Masha Allah wazushi mko na shida sana
@SeifSimba-qq8rk12 күн бұрын
Em shekh toa kufru sita zinazofanywa katika miskiti ya masalafi
@SuolFat22 күн бұрын
Hongera sheikhe umesema ukweli
@YahyaYahya-vp2pp22 күн бұрын
Haahaa cheki hili jinga
@saidjuma454720 күн бұрын
shekh Muhammad bachu usirudi nyuma hawa watu wa twarika hawawezi izima nguvu ya Allah
@shuaibabdullahi75448 күн бұрын
Huyu shaikh ni mkuweli
@MohammedSalim-lz3bv18 күн бұрын
Ustadh huna hoja ya msingi, mlikuwa msimzuwie kutowa dawa, sasa Acha dawa ije kwa njia nyengine, huwezi kuzuwia maneno ya Mungu....
@FahadMasoud-io4mb23 күн бұрын
Yaani masheikh wote hawajui wao ndio wajuzi,ukijikweza mungu atakushusha
@ExcitedChefHat-ef5jt21 күн бұрын
Wewe ustadh nenda kalale tafadhali , fundisha ilmu ya matwari na kupiga zumari msikitini maulidi na hitima na kupiga ramli na . Wacha chuki zako mbovu za kikafiri kwa mwalimu wetu na shekhe wetu Muhammad Nassor bachu Allah amuhifadh.
@abdallahassan208016 күн бұрын
Si ajabu ukisema ni mwanafunzi wake sababu mwafanana
@mikekhalifaali751022 күн бұрын
Bi Idhin Allah msikiti wa Sunna utajengwa na watu wa Maulid mtadhalilika hapa duniani na kesho akhera
@WakaliFashionTz19 күн бұрын
Masheikh wa kisuf akili ndo tatizo mnamisimamo ya kitetea matamanio ya nafsi zao
@OsmanAli-zb3tu23 күн бұрын
Hata mtumepiaalimbuwa agawanya watu haikuanza kwa sheikh muhammad bachu Allah amuhifadhi
@husseinibrahim547021 күн бұрын
Bado hamuwezi tafautisha kati ya chumvi na sukari hata kwa macho au kuonja. Haki na batil kawmwe havifanani. M Bachu Allah akuhifadhi.
@IsmailGavara-y3t22 күн бұрын
Pigeni kelele tu mkiti utanengwa huu ni utangulizi tu zitajengwa misikiti zaki sunni kweli kweli inshallah
@sulehassanshall614023 күн бұрын
Mimi nitatoka ushahidi mbele ya Allah yakua Watu wakiwahabi niwatu wafitna...nishawahi kuwaona mawahabi wawasaliti waislam wenzao kwaserikali ili waislam Hao wafungwe ..mawahabi niwatu wafitna Shetani Amewaingia kwanafci zao kufitinisha waislam.....
@saidimkwinzu910617 күн бұрын
Kumbe ishu ilikua nin au umeichukua habari jujuu kama mafadiqi hebu niambie tatizo la wao kupelekana mahakamani kufungwa
@drmahwa816614 күн бұрын
Muogope Allaah achana na unafiqi.bidah ni mrango wa moto@@saidimkwinzu9106
@hajikomora70323 күн бұрын
Swali. Je ni ipi hukmu y mwnye kuswali kwenye huo msikiti w Ustadh. Bachu?
@AbuuKhalid-h1i20 күн бұрын
Ndugu anglia unacho kihadharisha utaenda kulipwa kwa kuzuia kuenea haki chuki zutakuingiza katika ghadhab za Allah kuwa makin ndugu yangu.
@MAPETEE22 күн бұрын
Watu bachu wot ni wapuuzi sanaa
@AllyAme-h9e3 күн бұрын
Jamani cc tunao comment ni kharamu kumuita muislamu mwenzako kafiri tujirekebisheni jamani sote lengo letu JANNA
@MAPETEE22 күн бұрын
Bora uwitwe madjid faraun bachu
@user-iu3me2sm2h23 күн бұрын
Kwani jmani msikiti ni kanisa,?
@IsmailIbrahim-go3dy20 күн бұрын
Na je walio mfukuza sheikh Mohammed bachu wame Jenga ule wa kwao na kumfukuza sheikh asifanye da'awah ni msikiti aina gani brother, Tena eti huyu sheikh ni mtu wa Sunnah subhana Allah
@Dr-ubaida96521 күн бұрын
Mashaallah
@nelson-cd7fr23 күн бұрын
Jamani muogopeni Allah acha kugawa waislamu
@AshrafBunu24 күн бұрын
Please tusitafute view kwa kutumia dini msikiti niwamungu uwe niwamwatwari au uwe siwanwatwari please view zitafutwe kwa njia nyingine
@ramiyawetutv24 күн бұрын
Sikiliza video upate ufahamu
@warshysaid856422 күн бұрын
@@ramiyawetutvkitu gan chenye faida hapo Ata kisikilizwe
@user-ib7kx9dc5m22 күн бұрын
Kweli huyo ni mfitinishaji ana wagawa waisilam Kwa msilahi ya wakatorck mpuuzi sana
@saidjuma454720 күн бұрын
hujasema kweli ww mtowa posti hii umefeli unatafuta kujibiwa ili upate kiki
@OfficialAbdulrashedalhilaly21 күн бұрын
ALHAMDULILLAAAH WATU WATWARIKA HAWAFAI KUWA HATA WAFANYA USAFI MSIKITINI UKIPATA UWEZO WA KUMTOA MTWARIQA KTK UIMAMU NI KHERI KUBWA IMEFANYA WEWE SABABU HAO NI WAPOTOSHAJI SIO WAONGOZAJI HONGERA SH BACHU LAMU SASA YAENDA PATA MSIKITI YA SUNNA ALHAMDULILLAAAH RABIL ALAMIIN
@Khatib-xp6fp23 күн бұрын
Ata bado kazi kumuandama kijana ambae ameamuamua kusema kwanza leteni ushahidi wapi wanyama walipeana tarifa ndipo mje na fitina
@twaibumikidadi737723 күн бұрын
😅😅 yeah kwanza wajibu majib 1- wapi wanyama waliongea 2- wapi kuimba ktk micbaa
@MohammedSalim-lz3bv18 күн бұрын
Kazi kuabudu makaburi, lazima muambie ukweli...
@abdulkhalfan858623 күн бұрын
MASHAALLAH
@abedkarume908823 күн бұрын
Mashekh nanyie kama wasanii siku hizo tangu muwe mitandao hamna makongamano ya pamoja kuchanuwana na kukosoan nyingi kwa waislam muje na lengo moja
@AbdillahSOthman16 күн бұрын
Mtu akimaliza kuujenga msikiti huo sio mskiti wake bali ni Nyumba ya Allah. Na waislam hupaswa kuutumia kwa ibada. Sasa mwenye chuki na hasad za kuwa alijenga fulani kwa kuwa yeye ana msimamo fulani hao watajipoteza. Kauli ni kumuabudu mola mpka mauti mmoja wenu yamkute huku ibada hakuziacha.
@TheMousser22 күн бұрын
masajid za sunna hazina bid'a
@farishfarish25818 күн бұрын
We xhekh ni mchochezi huna elimu unamponda bachu yupo kwenye haki
@TheMousser22 күн бұрын
ilikua sawa matwarika kusoma kwa mashia
@ShamsaMohammad-v1b23 күн бұрын
Munadhihirisha aibu zenu jisitirini madheikh wa shanga
@saidjuma454720 күн бұрын
watu wa twarika kazi munayo munazuia dini ya Allah isitangazwe
@user-ib7kx9dc5m22 күн бұрын
Hao mawa habi hupita na kusema watu wasi some vitabu vilivyo andikwa Tanga na lamu haya nime yasikia Kwa masikio yangu baada ya swala ya magharibi tuna hupita vijijini wakijuwa ufaham wao ni mdago huku wakigawa nyama baxawadi mbali
@AliAwadh-qc8wk23 күн бұрын
Nyote waislamu kaeni muelewane
@salfatinvestments90923 күн бұрын
acheni dhihaka na maneno ya Allah (Quran) chuki za kibinafsi zisipelekee uchochezi wa kuwafitini watu kwa kiwango hiki, tumcheni Allah (S.W). Kwa wenye akili wataelewa fitna ilipo, Allah atuongoze kwenye haki na kuifwata sunnah ya mtume wake (S.A.W)
@AnwarAli-vs9mp22 күн бұрын
Lol kila kizazi kina uzushi😅😅😅😅😅
@SharrifCharo-mi1bn20 күн бұрын
Watu maulidi wanakazi
@mohamedswalehe444218 күн бұрын
Bachu hajielewi kama anajielewa angepambana barabara namjadala na Sheikh Said
@YahyaYahya-vp2pp22 күн бұрын
Vip wengelimruhusu akafanya hiyo dawaa msikitini je muhammad angejenga huo msikiti mwengine lkn wameyanzaa wao kuwagawa waislam kwa kuwazuia kuinga ktk msikiti acha watu wajengee mwengine ambao watafanya harakat zao za dawa
@user-qv9ep6wq1t20 күн бұрын
Mawahabi wamekua kama wakiristo kwamba kila mtaa wenye msikiti kuwe na kanisa sasa wao moja ya mikakati yao ni kila penye msikiti wa Ahlu sunna kuwe na masjidu dhiraar
@JabuUssi22 күн бұрын
Inaonekana Bado huna ilmu
@ShamsaMohammad-v1b23 күн бұрын
Kwann muikataa ushirikiano
@sulehassanshall614023 күн бұрын
Bachu nimtu wafitna Atadhaliloka nafitna zake
@user-xb6tr5vq4b19 күн бұрын
Na ulichokifundisha hakieleweki ilatu nichuki apo ndoo umeeleweka
@BilaliIloko21 күн бұрын
Hahaaa watu wa bidaaa mnna kazi sana,hamna hojja mtaenndelea hivyoo hivyoo hhuku dawwa ikiendelea kupamba
@yunusramadhan254622 күн бұрын
Tukaneni sana lakini mjue sku moja mtaulizwa kuhusu hizo kauli zenu
@RamyGichero22 күн бұрын
Mawahabi maubwa tuu
@drmahwa816614 күн бұрын
Umejitengenezea dhambi kubwa kwa kauli yako.huo ni UKAFIRI unakunyemelea
@TheMousser22 күн бұрын
msikiti suna kisimani hauvunjwi hilo lifahamu
@abdishivo676420 күн бұрын
we sheikh acha fitina na choyo sjui hata waongea nini hapo
@HassanTifai22 күн бұрын
Ukweli wa buchu unauma Sasa wanamtengenezea Ajali We wa shekh wa
@JumaKhamis-cw8ec23 күн бұрын
Wacha ujinga uwo sasa ulitaka aanzishe kanisa au vipi???
@HalimaSalym-jl2ui23 күн бұрын
Mungu Mmoja Dini Moja Mtume Mmoja Kitabu kimoja Kwanini madhehebi?
@user-oe8nv2tw7w23 күн бұрын
Nenda dar es salaam hapo kariakoo kuna misikiti yenu masufi ipo karibu zaidi kuliko hivo masjid mtoro, qiblaten,idrisa ,makonde, na masjid madina yote hii imekaribiana sasa sijui unalaumu kitu gani??
@user-qm4qd8yk2x23 күн бұрын
ahssnta hapahapa Mombasa misikiti ya masufi imekaribiana angalia masjid baluhi mbaruku jundani mahuru kwanza waibomoe iwe Moja ili ipatikane umoja wa waislam kama wanavyo dai wampe bachu na fasi atoe darsa katika misiki waliiojenga wao waone kama atajenga karibu na wao wala hawawezi wanamuogopa atabadilisha wafuwasi wao atawatoa kwenye shirk
@HamadaZubeirTahir17 күн бұрын
Nyinyi wa Kenya subirini kidoogo baada ya miaka kadhaa mutakuja kumfahamu huyo Muhammed Bachu ni nani maana hamujamjua bado. Fitna na migogoro ndio kazi anayolipwa kwayo hiyokamahamujuwi.
@imamually192621 күн бұрын
Kwani sheikh haki na batir vinakaa pamoja siku zote? Watu wengi huswali ktk miskiti yenu kwa shida ikiwa hakuna mskiti wa kisunna karibu ndio twaswali ktk misikiti ya kibidaa
@BilaliIloko21 күн бұрын
Wee kaendelee kusomma maulidi,suala la elimu achia wenginne,
@user-yj5on8cz3e23 күн бұрын
Huyu mlinganizi kumbe ni mtu wa bidaah pole sana kaka kumbe ulitakaje sasa watu wamezuiliwa msikiti wajenge wao msikiti wa fitna sasa ulitaka watu wafanyeje ww
@YahyaYahya-vp2pp22 күн бұрын
Umepanik baba na msikiti utajengwa
@abulfuluss873922 күн бұрын
Hichi kijamaa kichali kweli wallahi hhahhahha
@TheMousser22 күн бұрын
kwa hio bachu anajenga mskiti wa makafiri, ndio mtume alivyo tufundisha
@saidimkwinzu910617 күн бұрын
Kichwa cha habari tu kinaonesha upumbavu wenu na akili ndogo kuna msikiti wa fitna dunian??? Kichwani hauko sawa
@FahadMasoud-io4mb23 күн бұрын
Hana adabu wao ndio watu wa sunna wengine hawana sunna,anadanganya watu wasiojielewa
@hassanmohamedabdalla410823 күн бұрын
Bachu anajenga misikiti ya kuinuwa Tawhidi Juu nakuondoa ushirikina na wasio kuekewa neno la tawhidi
Leohukuanza na Aya maana umegundua umetafsr kwa uelewa wako b Ndio maasuf mlivyooo , Wavivu kusoma!
@user-qm4qd8yk2x23 күн бұрын
kweli kabisa masufi ni wavivu wakusoma hata Iko clip ya Sufi mwenzao shekh mziwanda kutoka tz akiwasisitiza masufi wenzake wasome dini wapunguze kuimba nahatakama watasema wamesoma lakini hawawezi fanana na watu wa Sunnah ASLI mia kubwa ya usomi wao ni mashairi marefu. Dua nyingi ambazo hazikuthibiti kaswida nyingi trics/Hila nyingi katika SoMo la nahwi. visa vingi vya urongo kama vile makarama kutishatisha watu na majini kuwafata matajiri mbalimbali husun WA Jami ya ki Asia eti kuwaombea biashara zao na kula sanaaaa bas. hakuna tawheed. hakuna Sunnah hakuna kuhifadhi Kur an. huu utafiti wangu nasema aslimia kubwa tena kubwa sana sikusema wote WALLAHU A ALAM
@IsmailGavara-y3t22 күн бұрын
Masufi ni makafiri tu kama makafiri wengine sio jipya
@hassanabdalla968823 күн бұрын
Masjdid thwirar.msikiti wa madhara.ipo eleweni Quraan.
@IsmailKhamis-m6t23 күн бұрын
Waislamu muna shida gani
@abdulhamidhaji505622 күн бұрын
Kutafuta kiki tu si jingine
@abdallahhamad880822 күн бұрын
Nd maana yake kulekeza spika kule kule ili muwache kupotosha w2
@bafaaabuu23 күн бұрын
Acheni fitina nyie duh hii hatari sana Allah anawaona
@BizimanaYahya-y4o24 күн бұрын
Wewe unasema yakwako hausemi yawana zuoni
@SeifSimba-qq8rk12 күн бұрын
Nyinyi ndio mwawagawanya watu kwasababu hanpendi haki isitumie aya kupotoa watu
@SharrifCharo-mi1bn20 күн бұрын
Unaogopa waumini hawato ingia kwa misikitu ya maulidi