MUHAMMAD BACHU AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA MSIKITI WA FITNA LAMU VISIWANI || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE
Пікірлер: 268
@user-pi3vj5sn3l24 күн бұрын
Mohamed bachu na wenyeji wake wamefanya jambo zuri
@nassirzamzam931224 күн бұрын
Waislamu wameona haki ndio wakawa mawahabi, Mawahabi hawataki tena shirki zenu.
@RashidJuma-uh8sv24 күн бұрын
Malipo ya Kila mja ajuae ni Allah sisi tusubirie rehma za Alla tu bila Hivyo tupo kwenye mazito Allahu aturemu sote waislam allamma aamiin
@almashally880225 күн бұрын
ماشاءاللہ بارك الله فیك
@bagalucha24 күн бұрын
Hasbünallah WAN imal wakil,Allah ni ndie mjuzi wa yote,Haifai kuzua na kuhusudu,Allah hayapendi haya,tuziogope nyumba za Allah,Kwa visingizio,tusivyokua na elimu navyo.
@answarmohamed456424 күн бұрын
Hayo yarudi kwenu mawahhabi Nyinyi ndio wenye husda kutamani kupora na kuibia mskiti ya watu,acheni husda mawahhabi na mumche Allah
@user-pi3vj5sn3l24 күн бұрын
Kama lamu kulijengwa makanisa wachukia kujengwa msikiti
@soffiscarlett970224 күн бұрын
Ya haqi yatabainika n yabatwil yatapotea In Sha Allah. Ila hii yenu sheikh naikataa Mmejaa fitna Mmejaa uongo Mmejaa upotovu Pka wenzenu wakitaka kujenga msikiti mnapinga Hii yenu ndio mnaita dini ? Watu wanaswali na matwari msikitini,ala za muziki ndani ya msikiti Mfungo sita mnaenda kupigia maiti magoti mkiomba msaada Mkiomba cjui awape barka Mkiomba awape barka Allah awasamehe lkn yenu hapana Kujengea makaburi Kueka adi mabati ili asipatikane n jua😂😂😂bdo mnajiita hii ndio dini Kupamba makaburi
@shuaibabdullahi75448 күн бұрын
Asante sana sheikh kuweka wazi kinacho dhihiri kuwa makini sana na hawa watu
@hassanWanjiku24 күн бұрын
Subhanallah yaaani imefika hapo baada ya kua alipokwenda lamu waomba nafasi ya duruus wakanyimwa baadae unasema msikiti wa Allah subhannahu wa taala ni wa fitna mwogope Allah bana upotoshaji wenu ndo unasababisha kuwe hivi zueni polepole ila mjue kila mnalosema yako kwa rekodi za malaika n mjue kuchafua masheikh wetu watasafisha n naswaha zako baki nayo usimpe bachu
@abuhassan955224 күн бұрын
LAMU YAMEJENGWA MAKINISA NCHUNGU MZIMA HAKUNA ALIESEMA HAKUNA ALIEPINGA LEO KWAJENGWA MSIKITI WA TAWHID NDIO KERO SUBHANALLAH ALLAH ATUONGOZE
@abuarifhassan631624 күн бұрын
Dini si moja kisheria ya kinchi sasa wanakatazwa vp ama tukijenga msikiti kericho tukatazwe tutaona vp lkn hii fitna baina yetu ndio inayopaswa kuongelewa..
@soffiscarlett970224 күн бұрын
@@abuarifhassan6316Kujengwa msikiti ndio mnaona fitna ? astaghfirullah
@muktarkassim664724 күн бұрын
Twaangalia Imani zetu SI Imani za watu wengine ....tujiangalie sisi vipi kwanza tutakuwa kitu kimoja
@taurehassan739924 күн бұрын
@@abuhassan9552 tauhd 3 z bid'aa?na kuwakufurisha wailm wnzenu wkt nyny ndo washirikina wa tawhd 3
@abuidifundi201623 күн бұрын
AFADHALI KANISA KULIKO MSIKITI WA MAWAHABI
@GOP-Abdallah24 күн бұрын
kawaida ya haqqi ikiingia mahali hukubalika kwa uwepesi,sio masala ya agenda wala nn,hii ayah moja tu ni jawabu tosha kwako وقل جاء الحق وزهق الباطل إن الباطل كان زهوقا
@answarmohamed456424 күн бұрын
@@GOP-Abdallah mbona haqqi hiyo yenye kukubalika haraka imegonga mwamba mambrui lamu na Mombasa?😅😅😅mwatumia Aya za Allah na vichwa vyenu
@shamsushaffikassim-fe4ul24 күн бұрын
Chuki tu na USHOGA na ukhabithi khabithi mkubwaaaa weweee
@Muislamu24 күн бұрын
Alakh mzungumzaji muogope Allah mimi ni msufi lakin naona kuingilia niya za watu na kufananisha mskiti ni kama masjid dhwiraar... Tumuogope Allah wallahi ..kuna hesabu mbele ya Allah ..
@answarmohamed456424 күн бұрын
@@Muislamu hiyo kumuogopa Allah yaenda kwa kila MTU pia yakurudia wewe mwenyewe,eti kuingilia Nia za watu wakati Nia zimewekwa wazi,kilichofananishwa ni nai ya kujenga msikiti kama masjid dhwirar ilikuwa ni kufarakanisha waislamu basi na hiyo ndio Nia ya bachu alioidhihirisha mwenyewe kupitia post zake na maneno yake
@RashidJuma-uh8sv24 күн бұрын
Acha misikiti ijengwe watu wamuabudu Allah muogope mungu😅
@soffiscarlett970224 күн бұрын
Kabisa yani
@Hunger38824 күн бұрын
inshaa Allah masjid sunnah yatakuwa meengi ulimwengu huu kwa kupambana na shirki na mambo ya bid aa
@jimjam-xg7rv23 күн бұрын
Mimi Sisomi maulid hila nili wafwatilya kwa umakini sana nikagundua wao uzna kwa kusoma quran na kumswaliya mtume Mohammad (S.A W) na kusomesha ama kuelezea hitoriya yake tu.
@osmanmanbile932720 күн бұрын
الحمد لله mm ni dariqa ahlu sunah mawahabii wanagawaa waislnmu
@sheikhyusufdiwan248924 күн бұрын
جزاك الله خيرا
@GOP-Abdallah24 күн бұрын
@@sheikhyusufdiwan2489 shekhe yusufu hawa si walikuruka baada kushindwa mjadala?😂
@abdurashidinasorodini24 күн бұрын
nimpambe huyu sheikhe mdiho
@ABUUBAAZNYUNGU23 күн бұрын
Hahahhahaa!
@iddimutua42022 күн бұрын
@@sheikhyusufdiwan2489 MashaAllah Yusuf Diwani ndugu yake Shafii Basalim mtu wakupiga vita watu wasunna na kuwaacha Mashia InshaAllah Allah akufungue macho na moyo ilimu ulio nayo isikushtaki kesho mbele ya Allah.
@MBAROUKSAADHUSSEIN17 күн бұрын
We kila kwenye fitna lazima turbo uonekane ila kwenye hakki wala haukomment
@abubakarbakari937225 күн бұрын
Masha allah shukran sana sheikh bachu amewagawanya waislamu allah atuongoze
@shariffomar858024 күн бұрын
Mwaskia wivu kwa kuwa watu wataacha kufanya bid'aa zenu
@shariffomar858024 күн бұрын
Tatizo simisikiti kuwa mingi, Tunacho taka ni sunnah itawale kila mahali
@Captainome24 күн бұрын
Chuki na husda zimekumbata kama mlivyo familia mzima hukuanza ww wameanza wakubwa zenu kina watoto wa sharifu Muhammad waliskia uchungu sana sana walipoikosa ardhi iliyoa jengwa masjid TAWHID MAMBRUI.PWIRUUUUU.mumezoea watu wazeeke kwenye ushirikina kumekucha ANKALI TUTAJENGA MISKITI MINGI IN SHAA ALLAH NA BDO.
@answarmohamed456424 күн бұрын
Nani ywaujua huo mskiti bsi,watu hutoka ulimwengu mzima wakija mambrui na wakishukia Riyadh,😂😂😂,na ama kuita waislamu washirikina hamkuanza nyinyi,hiyo ni mienendo walioanzisha makhawarij nyinyi mwayaendeleza
@hamzakimaro376424 күн бұрын
KUFENI KWA CHUKI ZENU,SUNNAH INAZIDI KUNG'AA.....
@twaibumikidadi737724 күн бұрын
Kwa taaifa yenu! Watu sasa wanaelewa Sunna ni nini!?? Mtaswali kipekeeenu ktk misikiti yenu !
@AllyAhmad-zg2yp24 күн бұрын
Mkitaka wafanye nn baada ya kuwakataza wasitoe daawa. Kufeni kwa chuki zenu متوا بغيظكم
@nasraswaleh122422 күн бұрын
Assalam Aleykum. Kila mmoja ana fungu lake kwa Mwenyezi Mungu, not in your place kumhukumu kwa Yale aliyofanya ama iwe sababu ya kuukata Msikiti na kuwaambia watu Msikiti ni wa ukafiri wala kumwingilia yeye Muhammad Bachu, hata pia Ali Abubakar kwa yote wafanyayo. Sasa walingania watu kwa Ucha Mungu ama kuwapotosha watu waingie kwa madhambi. Jazakallahu Khayr.
@Captainome24 күн бұрын
Nakupa homework (kamuulize Muntamani alitakakutoa pesa ngani ili mawahabi wasiupate ardhi iliojengwa Masjid TAWHID.LAKINI ALLAH kwa rehma zake mwenye ardhi mzee wetu ISLAM ALLAH AMPE AFYA NJEMAA AKAWAPA MAWAHABI ARDHI WAJENGE KWA PESA NGAPI.😂😂😂😂😂😂😂
@answarmohamed456424 күн бұрын
@@Captainome na kila mwaka mamilioni ya watu kutoka sehemu mbalimbali za ardhi washuka Riyadh, alhamdulillah 😅😅
@khamiisathmaan436224 күн бұрын
Na mbona waliteka madrasa Nuri mawahabi
@khamiisathmaan436224 күн бұрын
Mnapenda kujitakasa kana kwamba mlibashiriwa pepo
@jimjam-xg7rv23 күн бұрын
MASHA ALLAH 💚
@bilaligona547819 күн бұрын
🎉
@misbahukhalifa321622 күн бұрын
Sufi ni Ahlul Twariqah sawwiyya hatutukani watu khaswa ndugu zetu waislamu. Lakini tizama comments za mawahabi matukano na kejeli. Mungu atuongoze na atupe husnil khatima Aamiin. Na shukran ustadh Muhsin ambae ataelewa ataelewa na ambae hataki kuwelewa inshaAllah kheri. جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الأستاذ محسن. تقبل الله طاعتكم وصالح أعمالكم و كل عام وانتم بألف خير وصحة وعافية وستر يارب العالمين. اللهم آمين يارب العالمين.
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh23 күн бұрын
MOLA atulinde na sharii ya mawahabi
@abduljabbaarswaleh116025 күн бұрын
شكرا أستاذ محسن ❤❤❤
@iddimohamed25424 күн бұрын
Wenyeji ndio walimpa ruhusa ama ni yeye mwenyewe acha kupotosha watu ww...
@jamalishoo380223 күн бұрын
Maa shaa Allah
@eshasaid325821 күн бұрын
Mashaallah shukrani allah ustadhi muhsin❤❤❤❤ huyo mohamed bachu atmpiga mtume s.a.w mpaka lini qiyama 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@OsmanAli-zb3tu23 күн бұрын
Hata mtume pia aliambiwa agawanya watu haikuanza kwa sheikh muhammad bachu hafidhwahullah
@hadibjumbe24 күн бұрын
Dawa imefika. maashallah.
@feiawadhahmed134224 күн бұрын
Daaah kweli sasa kujengwa mskiti pia balaa hehehe haya ruhusuni makanisa basi
@soffiscarlett970224 күн бұрын
Alafu wanajiita masheikh , Wana elmu wao
@abdulqadirmasuo155024 күн бұрын
MANENO MENGI NA MSIKITI WAENDELEA KUJENGWA. INGEKUWA VIZURI KAMA UNGEMTAFUTA ALIETOA ARDHI ABADILI NIA YAKE. LAKINI UMEKAA WAREKODI VIDEO JISAA ZIMA BILA YA FAIDA YOYOTE NA MSIKITI WASIMAMA. AMA LABDA WATAFUTA UMAARUFU KUPITIA MOHAMED BACHU?
@hassanmohamedabdalla410824 күн бұрын
مسجد التوحيد
@kasimubangu187517 күн бұрын
Umekosa kazi ww sheikh vitu vingine hata havikuhusu ungekaa tu kimya kwasababu wewe nayeye mko tofauti yeye katika misimamo
@abutirmidhi21 күн бұрын
حسبنا الله ونعم الوكيل
@AshrafBunu24 күн бұрын
Hawa wataka view
@answarmohamed456424 күн бұрын
@@AshrafBunu shukran kwa kuwapa😅
@abdinoornyanga211724 күн бұрын
Mashallah,lakn msitumie mimbari kubondana,twawaonyeshani mfano upo wasokuwa na ilmu ya dini au hata wasokuwa waislamu??
@mohagurey221418 күн бұрын
Dhulumu utakalo, chafulia utakalo, zuia sunnah utakalo, tetea bid'a na ushirikina na upotovu utakalo, paka matope watu wa Sunnah utakalo lakini maisha ya mja ni 63 au hapo vile mtume s.a.w ametuambia na wewe utaenda mbele ya hakimu wa haki na bila shaka utahesabiwa vilivyo. عش ماشئت فإنك ميت،واعمل ما شئت فإنك مَجْزِيٌّ به
@user-xs8tv5hh4q24 күн бұрын
Sasa ww umekereka? Kuekwa msingi wa msikiti wa sunnah? Kwani waislamu kwa ujumla watafaidika kwa kiasi kikubwa sana.
@mohagurey221424 күн бұрын
Sunnah itatambaa biidhnillahi, usufi na bid'a na ushirikina utaisha katika jamii inshallahu taala. Mezeni wembe موتوبغيظكم
@abdallahassan208024 күн бұрын
Asli yako ni bidaa na usufi na ushirikina hii ni kama babu yako alikua muislam
@mohdkhatib22323 күн бұрын
Hata mtume saw aliambiwa anapotosha na anafitinisha. Tatizo masufi ni wapumbavu kama alivyosema imaam Shafy
@GOP-Abdallah24 күн бұрын
Ujasiri gani huo ulionao kuzitolea hukmu miskiti ya Allah kwenye ardhi hii?ikiwa mtume mwenyewe hakujua malengo ya mskiti wa dhiraar mpaka alipotereemshiwa wahi?lakini wewe watoa hukmu moja kwa moja Chuki zako na za babako kwa watu wa sunnah zitawapelekea pabaya kaka
@answarmohamed456424 күн бұрын
@@GOP-Abdallah huyo Baba ya MTU marehemu hizo chuki zake unzitoa wapi,wamlaumu MTU ywahukumu kisha we mwenyewe ndio wa Kwanza mwenye maradhi hayo!bachu ameyaweka wazi mwenyewe wale wanafik waliyaficha Bachu ameyatangaza!!!kila kitu kiko wazi na post zake tumeziona!!!mwenye chuki ni wewe na bachu
@khalfaanjeilaan392223 күн бұрын
Mbona hamuzungumzii kuhusu misikiti ya kishia lamu na makanisa?
@soffiscarlett970224 күн бұрын
Kutokua n elmu ,fitna ,ujahil ,n chuki ndio zinawepeleka huku ... Makanisa yte yanajengwa lamu hakuna anaeingilia kati hili suala,hakuna anaelamika Kujengwa msikiti ndio imekua mmeinua maskio yenu? Ivi inamaana mnasupport sana ukristo kuliko dini ya kiislamu ? ALLAH AWAONGOZE AKUPUNGUZIE UNAFKI SHEIKH
@shuaibabdullahi75448 күн бұрын
Sheikh ana ongea ukuweli kabisa
@soffiscarlett97027 күн бұрын
@@shuaibabdullahi7544 Ukwely Gani huo? Udhalim tuh Hana lolote
@taurehassan739925 күн бұрын
Inshaallah makusudio Yao hayatakuwa kw uwezo wa Allah
@AllyAhmad-zg2yp24 күн бұрын
😂😂😂 mumejuta kuwakataza watu misikiti ya Allah, na pia wamesemwa vibaya ktk kuran wale wanaokataza misikiti ya Allah lisitajwe jina lake humo 😂😂😂😂😂
@GOP-Abdallah24 күн бұрын
una chuki na mawahabi lakini msomaji kwa mwanzo wa clip ni wahabi,hivi nyie watu wa bidaa hamna msomaji mzuri wa qurani?ama nyote mmezoea kuimba tu?
@answarmohamed456424 күн бұрын
Ushamskia huyo anaezungumza akiswalisha?ama wataka awe kama bachu akiingia kiblani ajirekodi halafu aandike ma Sha Allah sikia sauti mzuri iyo😂😂😂watu na ikhlaas zao
@GOP-Abdallah24 күн бұрын
nimemskia tu akiimba😂
@GOP-Abdallah24 күн бұрын
@answarmohamed4564 ati watu na ikhlasi zao😂mbona al ihsaan media mwajieka mkiswalisha?😂
@answarmohamed456424 күн бұрын
@@GOP-Abdallah basi hiyo ni shida yako si yake 😅🤣
@answarmohamed456424 күн бұрын
@@GOP-Abdallah hao wajua yalio kwenye mioyo Yao wenyewe hawatudhihirishii kama bachu kutuambia sikiza sauti mzuri 😅😅,usioambia watu wazingatie maneno ya Allah watuambia tuzingatie sauti mzuri, 😅🤣🤣 Riyaa za wazi
@user-pi3vj5sn3l24 күн бұрын
Sheikh hauna stori
@babuumohd429024 күн бұрын
Kiufupu mashekhe wengi sasa hivi wameacha kuioigania Qur'an na sunna kurudi katika heshima yake wanafatana wenyewe kwa wenyewe wakilumbana hivi mnafkiri kwa style hii tutachukua ilmu kutoka kwenu wakati nyinyi wenyewe haiwanifaishi na chochote mumekua kama makundi ya kiyahudi na manaswara
@Nuru_ya_sunnah.official15 күн бұрын
watu wa sunnah lazima tuwe na miaikiti yetu hatuwezi kuswali misikiti yenu masufi kwa sababu baadhi ya misikiti yenu ina makaburi jambo hilo ni kinyume na itikadi yetu masunni
@iddimutua42024 күн бұрын
😅😅😅 Wallahi vituko vya hawa twarika jamaa za matwalaga balaa sana, Shafii Basalim alivyo jitokeza na kumtukana sana mwanachuoni Sheikh ISLAM IBNI TAYMIA walikua kimya sana kama hawapo wala hawamsikii alafu leo Shiekh M.Bachu kawa sababu ya kujengwa msikitini wamejitokeza na Aya kubwa kubwa ili kupinga sunna isijengwe na kuendelea Wallahi balaa sana.
Acha urongo Wahhabi mmoja ww,matwariqa twawaheshimu watu wote!!UST said shirazi aliefanya mjadala na bachu alimtolea video shafii basalim zaidi ya video tatu akimkanya shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,UST fakhruddin Ibn Muhsin Jamalulleyl pia alimtolea UST Shafii basalim asimtukane Ibnu Taymiyyah,Sisi ni watu wenye inswaaf na wenye kusimama kwa haqqi,mwenye shafii basalim amekataa haskii
@answarmohamed456424 күн бұрын
Haya njoo kwenu sasa mawahhabi Yule bachu hakumtukana barzanji,hakumtuna Habib jufri,kuna sheikh yeyote wa mawahhabi aliejitokeza na kumkanya?hamna inswaaf na urongo juu pia mwasema
@iddimutua42024 күн бұрын
@@answarmohamed4564 Please nitumie video moja alio mtukana Barzanji au huo jufri alie ridhi kilemba cha Mtume mpaka sasa anacho tuma ushaidi wa Bachu kumtukana mwanawazuoni.
@iddimutua42024 күн бұрын
@@MuhidiniNassor Tuma ushaidi wa Bachu kumtukana Barzanji tuma sio kuongea bila ushaidi tumeni ushaidi.
@johariabdalla331925 күн бұрын
Acheni husda,roho mbaya,na choyo.Sheikh Muhammad Bachu anawapotosha watu kwa kipi?hemu elezea hayo anayopotosha,huu ubaya hausaidii,na ndo mnazidi kumpandisha Darja,watu kumfwatilia zaid,maana M Mungu ndo ashataka kumpandisha mja wake.sasa hata mukijaribu kumchafua ni bure,acheni hizi husda,ubaya na choyo
@HamdiHamdiAbdi25 күн бұрын
Imeuma 😅
@abuarifhassan631624 күн бұрын
Lkn johari ina haja gani kua na miskiti kumi eneo moja wakati waswaliji hakuna kwann wasijenge madaris kubwa ya kiislam bure watu wasome
@soffiscarlett970224 күн бұрын
@@abuarifhassan6316tatizo hujui kinachoendelea Msikiti unajengwa kijijini ofcz N msikiti uliopo hapo n mmoja Msikiti huo wenzenu wamekatazwa kuingia ndani I think Kuna kitu hujaelewa Ndiposa wakiamua wajenge msikiti wao Mlikua mnataka waswali nyumbani ?
@KomoraMohamed21 күн бұрын
Ni firauni fitna zke bachu
@user-om7ov3ji3r24 күн бұрын
Iyo nichuki yenu maghurafi msingi unaporwa bl maghurafi mnaogopa sasaivi watu hawataki tena maulidi kwani ndani ya msikiti wanaletwa wageni sindohaohao maamumawenu iyo ndo dalili ya kwamba watu wamechoshwa nayinyi maghurafi wakata viuno
@nassirzamzam931224 күн бұрын
Kwa hivo msikiti wa maka na wamadina ni misikiti ya fitna.
@andallaathman385624 күн бұрын
Sasa imekuaje msikiti WA kifitna why misikiti ni ya ALLAH
@mohagurey221424 күн бұрын
Mashia wanajenga misiki kila pembe Lamu na masufi hamneni lolote lakini msikiti ya sunnah ikipatikana mnapinga kila namna...may Allah curse those against the spread of the haq
@RajabAbdallaah24 күн бұрын
Ina maana makhuraafi mmezoea kukata viuno hadi mmekuwa mazuzu mnaporwa miskiti na mawahabi
@soffiscarlett970224 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@MBAROUKSAADHUSSEIN17 күн бұрын
Shekhe kama hauna kazi bora kaa kimya na ukae nyumban na ulie watoto uko nyumban acha vitna shekhe wangu. mbona kwenye Miskiti yetu kuna viotezo, vya nn kama sio ya aya unaoisoma na mahatibu wanaumwa kila siku na kukataa mawaidha!
@abdallahassan208024 күн бұрын
Swadaqta
@noorululaatv897325 күн бұрын
Bachu ni Tahira
@user-md5tr1kg5s24 күн бұрын
Kama umeandika manen hayo ili kufurahisha watu bas tambua kaburin utakua mwenyew ukiulizwa juu ya manen hayo allah akulipe unayostahiqi
@mohammedmasudi-dz6hb24 күн бұрын
HUELEWIKI WEWE
@osmanmanbile932720 күн бұрын
,صدقت استاد mawahabii wa poraa liko wazi😂😂😂
@user-dp8xb3vj6g24 күн бұрын
ACHA UPUMBAVU UWO WEWEE : INABIDI UNATAKA KUSEMA KWAMBA WATU WALIO KINYUME NA UWO UPUMBAVU WENU WAKIJENGA MSIKITI NDO UNA UFANANANISHA NA UWO AMBAO ALLAH AMEUZUNGUMZA KTK QUR AN ? ACHA UPUMBAVU NA UJINGA UWOO.
@SalimHsn-Omar22 күн бұрын
Acheni uchawi/ushirikina na bi-daah za maulidi Acheni kuwapoteza watu na imaani za mizimu uislamu wa Matambiko na uganga wa kishirikina na majini
@twaibumikidadi737724 күн бұрын
ukıona hivi ujue kuwa Hii ni dalili ya 1- UOGA 2- Ni upungufu wa TAWHEED Tutaıtangaza sunna kwa hali na maliiii Watqariqa mmeiharibu dni kwa mda sanaaa ! Ata AbdulWahab alipigwa vita sana !
@answarmohamed456424 күн бұрын
Uoga?yaani wewe kwa akili zako waislamu kugawanywa na watu kutoa tahadhari ni uoga 😂😂😂halafu wamaanisha kutaingia Tawheed,wamaanisha kule lamu mpaka Saa hii hamna waislamu wote ni washirikina?yaani nyinyi mawahhabi hamjielewi hii dini hamuwezi kutumia,acheni ukhawarij kukufurisha waislamu
@muktarkassim664724 күн бұрын
Ww unaijuwa historia Abdulwahab....ama unaifahamu historia ya masuudi walioko huko walitoka wapi
@MuhidiniNassor24 күн бұрын
Ulikua umalize TATU
@ShabanNyange24 күн бұрын
Tawheed ya kupora miskiti???
@iddimohamed25424 күн бұрын
Uyu ni hasidi Hana lolote nyoooo...atakae fanya mema analifanyia na atakae fanya maovu analifanyia mwenyewe...
@ahmedabry29324 күн бұрын
Kwani shida kubwa ni nini kwetu waislamu?? Kweli tunashindwa kukaa sehemu moja tukaelewana na kuepusha mambo kama haya ya kusimama kwenye mitandao kusemana vibaya.. Cha ajabu ni kuwa hakuna mtu anaejua nini kilichopo katika moyo wa mtu mwengine.. Kila mmoja anajiona yupo sawa na kujitukuza wakati Allah anasema msizitukuze nafsi zenu yeye ndie anaejua nani mchamungu.. Ah sawa endeleeni
@nassirzamzam931224 күн бұрын
A/a ee sheikh ogopa mwenyezimgu usitafsiri aya za mwenyezimgu in your own opinion, sasa wewe alkaaba na msikiti wa madina unaendeshwa na dhehebu gani ambao misikiti hiyo miwili mitakatifu ulimwenguni una endeshwa na wahabi.
@seifserenge334024 күн бұрын
Nyinyi mashekhe munawaelekeza na kuwapeleka wapi waislam!! Kaeni muzungumze kwa busara leo kila shekh ana KZfaq yake apambane na mwezake, kweli tutafika wapi
@JumaOmar-ku6cr24 күн бұрын
Haruna geni kwa haya hata Mtume wakati wake aliambiwa anawagawanya watu nyinyi mabidaa atawatesa sana bachoo ila haki itasimama tu
@HamdiHamdiAbdi24 күн бұрын
Inakuuma
@answarmohamed456424 күн бұрын
Usilie basi😂
@AbdillahSOthman24 күн бұрын
Unajua kuwa hata Rasuulullah alipokuwa analingania dini alikuwa anasimangwa na kudharaulia mpk kupigwa mawe akawa anaambia analeta dini ngeni sio ya baba zake. Lkn hakuchoka kulingania na ndo mpk sasa tunaisoma. Bayana ikikufikia usije ukasema sikujua au sikuambiwa. Kufuata au kuacha kufuata ni wewe na nafsi yako. Allah atuongoze
@answarmohamed456424 күн бұрын
@@AbdillahSOthman yaani wamfananisha bachu na mtumi Swallallahu Alayhi wasallam,mawahhabi hamna mipaka,halafu kwani lamu hamna dini miaka yote?hamna la zaidi hata mkajaribu kuteteana ispokuwa ni kutaka kuleta mgongano Bana ya waislamu
@bukhariznz18 күн бұрын
HEBU TUSOMESHE JAMII TUSICHUNGUZANE!!
@famaufarmajo966524 күн бұрын
Sasa Nyinyi Mulofunga msikiti Huko Sio Kugawanya waumini Hatakama hao Mawahabi Niwanafik Lakini mtume hakuwafungia wala hakuwafukuza Nyinyi pia mwafarikisha umma nanisifa ya unafiq
@answarmohamed456424 күн бұрын
hakufukuzwa mwanzo hiyo ni tabia ya mawahhabi kufkuza watu miskitini...wenye kusimamia msikiti na mikakati yao na mipangilio yao walikataa ASIZUNGUMZE,lakini hakufukuzwa huchi kusema urongo?
@soffiscarlett970224 күн бұрын
@@answarmohamed4564ww ndio unasema uongo Hujui lolote yaliojiri watu wametolewa msikitini N wakitaka kujenga wao bdo mnayumba yumba Hivi hamujiskii aibu ? Ni laana ya mungu imewafuata ndio mana mnapiga makelele yasiokua n maana
@user-jd5on2fb7s15 күн бұрын
Jielewe wewe acha kukera watu kwa kuwasema vibaya mashekh wetu koma wewe
@amadeomarsaide502323 күн бұрын
Siku zote hakki ni mchujo. ليميز الله الخبيث من الطيب...
@Ustnaaman00125 күн бұрын
Mashallah shukran sana habib mpe vidonge vyakeee
@taurehassan739925 күн бұрын
Lakini asidi hafaulu htkm lengo lake litatimia,
@mohagurey221424 күн бұрын
Kama kueneza sunnah ndio mbaya basi mkae na bid'a zenu
@dullahbatuf922324 күн бұрын
Lengo lako nn hasa cjui shekh km umeumia kujengw miskit ya sunna au vip povu Shia wajenga population yao inakua kimya wa sunna shida kalale uko
@noorululaatv897325 күн бұрын
Mawahabi wote ni matahira
@shariffomar858024 күн бұрын
Fanya heshima punda Wacha kutukana watu
@shamsushaffikassim-fe4ul24 күн бұрын
Wala hujui yaliojiri hukoo Fala mkubwaaa
@masoud74424 күн бұрын
Huu msikiti uliowazuia masheikh wasiigie wakatoa daawa.. vipi hauwagawi waislamu?
@answarmohamed456424 күн бұрын
@@masoud744 kwa ivyo kila MTU akidai yy ni sheikh akija aiktaka kupishwa apishwe?😅😅😅
@user-gy7bx8fn4u24 күн бұрын
Shekhe sema ukweli acheni chuki sema shekhe kakataliwa kwa sababu pale wanakula maulidi.
@shamsushaffikassim-fe4ul24 күн бұрын
Miskiti mingapi basi wewe wataja mzukaaa ni msikiti (Au) miskiti hata hujui unachosema mzukaaa na kibaraka wa mabwana zako wa kikhurafi
@AnaSalafi-f9d22 күн бұрын
😂
@Hamis-ks1sy24 күн бұрын
Kwahiyo mwataka misitlkiti yote iwe ya kusoma barzanji na.hamtaki kabisa msikiti wa sunna? Kweli nyie vichaa in shaa Allah haqqi itasimama2
@abdurahmanabdallah240324 күн бұрын
MASHALLAH shukran ust muhsin kwa kutuilimisha uovu wa mawahabi
@salafy356623 күн бұрын
Kwanzia hio vdeo time 12:00 huyo abu aamir al-khazrajy ndo ww wamuonea bachu wivu ndo maana wakaa kwenye vdeo kumchafulia.
@soffiscarlett970224 күн бұрын
Ety sheikh imekuuma. Eeeh😂😂😂😂
@salimobeid147023 күн бұрын
Wanakosea sana hawa ndugu wahabiy hii si kuwaleta waislam bali ni kuwagawa waislam wasipojitafakari watakufa vibaya
@shariffomar858024 күн бұрын
Fitna yake iko wapi Wacheni chuki, wamuonea mwenzako wivu Sunnah itaingia kila pembe ya dunia
@yusufathman247824 күн бұрын
Huna jipya
@abdurazakdaud936424 күн бұрын
Duuh kumbe ww pimbi watumia lisa lizima kuongea porojo kuna makanisa huku mbn hujawahi ongea
@abuarifhassan631624 күн бұрын
Chambilecho misikiti tunayo mingi kwann msijenge islamic institute ili vijana wakiislam wajifunze ujuzi wa kikazi na mambo mengineo ama mujenge madaris kubwa ya kisasa wanafunzi wasome bila malipo..
@soffiscarlett970224 күн бұрын
Unaongea tuh hujui unachoongea . Hivi unajua huo msikiti unajengwa wapi ?
@soffiscarlett970224 күн бұрын
Miskiti ipo mingi kwenu huko
@Ustnaaman00125 күн бұрын
Mashallah hii haina comeback 😂
@GOP-Abdallah24 күн бұрын
sisi comeback zetu ni kuwapokonya miskiti tu 😂
@IAM_GAUCHO15 күн бұрын
Mm pia nishawahi kwenda hapo msikiti wa pwani wa kiwahabi,,,, sheikh umesema kweli 2007 nilikuwa nasoma riadha
@yussufismail24 күн бұрын
Hunaleta vigezo Zako chuki tuuu
@shamsushaffikassim-fe4ul24 күн бұрын
Kuna Siri ambayo twaeza kuitaja ya huyu muhsin Ali bute kwa ushahidi lakini Wacha tunyamaze WEWE LETENI UKHABITHI WENU TU WA KUTIWA MAJI NA MABWAN ZENU Mbwaa weweee