Рет қаралды 8,837
Simba imemalizana na kitasa kutoka nchini Ivory Coast Chambou Karaboue kama mbadala wa beki mkongomani Henock Inonga alietimkia nchini Morocco kujiunga na Mabingwa wa mwaka 2023 FAR Rabat
Simba walipoona hivo ndipo walipoamua kumvuta fundi Chambou Karaboue ambae ndie mshindi wa tuzo ya beki bora wa mwaka 2024 nchini Ivory Coast na Mshindi wa kombe la Coupe nationale nchini Ivory Coast
Dullah anatupa undani wa nyota huyu
Kuungwa kwenye group la Simba PRO tutafute kwa namba 0626629644 ili uweze kupewa utaratibu wa jinsi ya kujiunga