🎉🎉🎉🎉🎉 hivi hivi Ili Azam wasituchukulie poa kurubuni wachezaji wetu,aah hii nimeipenda fantastic kubwa kuliko.
@halimasawa6117 күн бұрын
MashaAllah dube yuko n furaha wallah❤me nilikua nikithamn dube acheze yanga Alhmdhulillah ndoto yangu imekamilika Allah atujalie maisha marefu n baraka tuzidi kuona mafanikio ya team yetu pendwa
@Evance-op4jw7 күн бұрын
hapa nimeami tunaenda kwenye mafanikio zaidi hongera uongoz Asante Mungu kwa unayo tujalia asante rais wetu injinia erres said asant wadhamini wetu asante wanachama wote nz wafadhili na bodi yoote ya Yanga
@dallovision7 күн бұрын
Hongera sana kazi kubwa inafanyika mnastahili kuwa ktk club kubwa
@ahmedalsaadi71087 күн бұрын
Uhakika wa kumfunga kolo tushapata bado ligi ianze tu😅😅
@zuhuranasoro89237 күн бұрын
Na huyu jamaa sasa alivo na hasira nao😅
@salmaamani70213 күн бұрын
😂😂😂
@SalumKinyogori7 күн бұрын
Kalibu sana mtoto wa mfalme katika Tim ya kifalme
@SaraJinalangu6 күн бұрын
😅😅😅😅Sio kalibu Kalibu - karibu Rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr😢😢😢kiswahili ni lugha yetu mama
@AmanaAmos-hv3yz7 күн бұрын
Nishafurai sasa nipo bze nashangaa ayo matoy mezani,,.. welcome team ya wananchi
@moiseszacariasmoisesmoises7 күн бұрын
jamani mashabiki wenzangu wa yanga,ayupo mtu yeyote yule ambae anaweza kunishawishi kuepukana na timu hii❤ mimi ni laiya wa 🇲🇿 cabo delgado.
@Izzoh20217 күн бұрын
Hii wale waandishi wa mchongo wameshindwa kuinasa hohohoho na hii ndio maana halisi ya team kubwa kula mswaki ikibidi hohoho
@malietamalieta96587 күн бұрын
Aziz ki fridge ake bovu msirudie kumwambia kitu na huyu mwamba ni hatari Sema Azam sijui wanachezaga mpira Kwa lengo Gani msimlete baleke tafadhali 🙌🙌💚💛
@daudimolleltutafungatu54867 күн бұрын
Da kweli ase baleke hatumtaki huyo ila ongereni sana chama langu la yanga Kwa kumnasa mwamba huyo
@user-zo8ws7dy7g7 күн бұрын
Boss- unamjua Baleke? Ni poacher yule jamaa. Akiwa na Dube basi mabao yatakuwa mengi
@malietamalieta96587 күн бұрын
@@user-zo8ws7dy7g namjua ila venye ashawai pita Kwa makolo Bora tu wamuache abaki msonda dube na clement ama wamlete ata sowah
@giddychanga7 күн бұрын
Baleke na Dube ni watu wawil tofauti na hatar sana Mmoja mikimbio yake ni ndani ya box na mwingine hatar sana akitokea pemben
@SuhuurFarxaan6 күн бұрын
Kweli Ata mm simtaki
@BiasharaZetuPoint7 күн бұрын
Nyie Dube anafuraha😍😍💚💛💚💛
@user-zo8ws7dy7g7 күн бұрын
Aisee- kumbe kuna mambo mengi yanafanyika kabla ya kupostiwa. Hongereni
@catherineamiri98547 күн бұрын
Wananchi hamlali jmn si saa nane hii😂😂😂
@augustinomkongwa54447 күн бұрын
Hii idara ya habari imepikwa ikapikika na imeiva mnatisha advert zenu siyo za nchi hii 👏👏👏!!!!
@User255tv7 күн бұрын
Kwa miaka 4 mfululizo kijana hakuwa na furaha huko Azam. Hatimaye katimiza ndoto yake ya kuichezea timu anayoipenda. Karibu sana Jangwani PMD.
@Le_petery7 күн бұрын
You guys are working too hard out there. Shout out 💚💛 keep going..
@ayeshakhan16367 күн бұрын
My team on fire
@PatrickKimaro-do3lj7 күн бұрын
ila mnajua kucheza na akili zetu hizo ndo gari anakabidhiwa dube
@Manywele.Maluja7 күн бұрын
Mungu akukinge na majeraha mwambaaaa
@mhinajerome59647 күн бұрын
Hapo next level big up kazi inapigwa kiweredi sana
@ip_header7 күн бұрын
Hongera sana vijana mnaweka content za kisasa. Keep it up 🎉🎉🎉
@athumanishabani11437 күн бұрын
Level za juu sana hiz !!!
@Baba-JJ7 күн бұрын
Kwaheri EPL maana sijui kama msimu ujao tutaangalia EPL badala ya YANGA. 😂😂
@michaeljpm55977 күн бұрын
Mm nilisha achaga kitambo
@erickkantona47916 күн бұрын
@@michaeljpm5597yaan ww ndo mm kabisa na vile man utd inazngua nfo cion radha kabisa na epl😅
@GraceMbulu-rp8ko7 күн бұрын
Muuaji anae tabasam karibu ❤❤❤
@user-wp5kv9sf5o7 күн бұрын
Irayanga itaja niuwamm imefanya hadi nimehana namkewangu irove yonga
@SalumKinyogori7 күн бұрын
Kalibu sana yanga dubeeeeee 🎉
@titomtokoma8037 күн бұрын
Kweli nimeamini timu kubwa hufanya mamno makubwa kiweledi zaidi nimeanza kuona dalili ya TREBLE msimu huu 💚💛💚💛💚💛
@mussaissa67966 күн бұрын
YAANI KAMA NAKUAMINIA VILE
@Sumaiyafisoo7 күн бұрын
Kila la kheri dube😂😂😂😂
@user-ox3ij7ki3t7 күн бұрын
Mmh huyu mwamba aliwaweza azam pale walipo halika tim zinazo mtaka zipeleke ofa mezani makolo wakapeleka na wale wasudani yanga tukakaa kimya ka vle hatujasikia alf mwamba akagomea ofa zao akasema hizo hela yuko tayar kulipa lakini awe huru daah prince alikuwa anaipenda sana yanga mwamba kabsa saiv wacheza wazur wanataman kichezea yanga wala hatutumii nguvu kubwa kuwashawishi
@PanchoValentino-wh7wt7 күн бұрын
Mmetisha saaaana aiseee💛💚⭐⚽💯🦵
@hildaelkana71327 күн бұрын
Tmu inapenda sifa hii😅
@monicalucas37387 күн бұрын
Karibu mwana wa mfalme ktk club ya wafalme🥂👏👏
@user-qt7yd2ws9u7 күн бұрын
Murch love yanga Africa 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛
@DanielShedrack-e5v6 күн бұрын
Kila la heri Dube. Nakuombea usipatwe na majeraha ya hovyooo Ili tufanikiwe kufika final ya champion 🏆 league.. pamoja na www 🏆🏆💛💛💚💚
@trice_yanga7 күн бұрын
dube ana furaha sana😂😂
@Jeyb07.7 күн бұрын
Dube anafurahi sana kutia saini yanga hivyo vitu hajawahi kufanya
@chemstry4097 күн бұрын
Tumuombe Mungu atupe uzima maana yajayo yanafurahisha....😂😂😂😂😂
@rogersiddy7 күн бұрын
Haswaaaaa Kuna mtu atakula Kono la nyani japo limesajili timu nzima😂😂😂😂😂😂🙌
@amaniomar17557 күн бұрын
Hapa ni Mungu tuuh 🎉🎉🎉
@fatmaally72527 күн бұрын
Amiiin inshallah
@fatmaally72527 күн бұрын
Aseeee yanga bwana tamu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@arafatymakamenyange26657 күн бұрын
dube yanga alikuwa anaitaka kama ushafatilia clip zake tofauti tofauti akihojiwa
@amaniomar17557 күн бұрын
Yanga wanasign wachezaji wanayoitaka ndio maana hawasumbuki kupata sign zao
@yasrikomba78747 күн бұрын
Kalibu yimu ya makombe dube ❤
@user-mp6zd2ui7r7 күн бұрын
Dubereeeeee
@Cuteeeee4777 күн бұрын
Afu kazuri dube kapole 💚💚💛🔰
@FirdausyAbubakary-bl2wo6 күн бұрын
Handsome boy in the house❤❤❤❤ Welcome young Boy to the Home of Champions🧡💛🧡💛🧡🧡💛💛💫💫💫💫💫
@bensonchota34617 күн бұрын
Hivyo vitoycar kwenye picha zinaonekana magari makubwa kwelikweli😂😂😂 mambo ya technology hayo👏👏👏
@kolosii43517 күн бұрын
Dube HB sana. Halafu kanenepa ghafla. Ila nimefurahii mwenzenu.🎉🎉😂😂😂
@musamakuhana22007 күн бұрын
Daima mbele 💛💛💛💛💚💚💚💚
@frankndaturu59106 күн бұрын
Aseee karibu brother hii ni timu ya wananchi 💚💛💚💛
@JOHNAroyce7 күн бұрын
wataama makolo sijui? 😅😅😅😅😅😅
@MoBecca-l2g7 күн бұрын
Dubeeeeee
@ahmedalsaadi71087 күн бұрын
Oyooo
@user-zf1kh1ct5i7 күн бұрын
Priva abiud shayo,,, anasema timu ya azam wanaiwaza azam tv na ukiwa azam haitw champions league maneno ya abdulaziz
Ukisikia BEHIND SCENES,ndo hizi! Yaani mchezaji environment tu! Morali tayari! Raha ni pale kwamba hivi vitu vinafanyika JANGWANI!!!! NA YANGA INA PROFFESIONALS IN ALL AREAS!..Love FROM Cambridge UK
@kabujeasukile54626 күн бұрын
Vijana kweli Munapiga sana kazi nimependa ubunifu wenu💛💚💛💚💛💚
@Shadia5447 күн бұрын
Kwa hiyo makolo wakiteseka jeee😂😂😂😂😂
@Sumaiyafisoo7 күн бұрын
Yangaa 🎉🎉🎉
@amaniomar17557 күн бұрын
Mwamba kwelikweli 🎉🎉🎉 #mwnawamfalme katua rasmi
@zakiakondo28496 күн бұрын
Prince anaona raha anaenjoy kafurahi kabisa 💚💚💚💛💛💛
@meddymachozy18157 күн бұрын
Welcome dube
@user-fc7zp2nd4m7 күн бұрын
💚💛💚💛💚💛💚 yanga mitano tena
@ThomasWebiro-rs5yr7 күн бұрын
Nlisema sikusema endelea
@user-ql6hg7fy9p6 күн бұрын
Usajili bora kwa wakati sahihi, ikawe heri kwake, Mungu amweke mbali na majeraha ili aweze toa kila bora zaidi, kwa kila hatua Mungu awe pamoja naye.
@marymoshi5727 күн бұрын
Dube yupo excited sana na feel kabisa yani anavyo ipenda yanga🎉
@DjFae.b2556 күн бұрын
Kunawatu awata ludisha team kipindi Cha pili uwanjani minipo kalibu San yangasc 💚💛 dube 🔥🔥
@HamicKauno2557 күн бұрын
Hivi ligi inaanza lini mbona NAOGOPA maafa yanayoenda kutokea msimu ujao wakina Deborah lazima wafarakane Uwanjan 💚💛💚💛💪
@fatmaally72527 күн бұрын
Kwani kwa jirani kuna Debo uko baaaah
@jumakhatib8923 күн бұрын
ALHAMDULILLAH ALHAMDULILLAH ALLAH KARIM tumepata striker yanga
@Carolina-sm5zt7 күн бұрын
Karibu Jangwani Safi sana Cha la wenyewe 🎉🎉🎉
@MSHAURIALLY6 күн бұрын
Raha ya yanga ni kuwa mtu anaweza akaja kama mchezaj ila akaondoka na kipaji Cha uigizaji 😂😂 💚💛
@puridangote27016 күн бұрын
Hii imekaa poa sana em kunywa soda bili nalipia mm😂😂😂😂
@IbrahimMussa-c3t6 күн бұрын
Karibu mwana wa king 💛💚🔥🔥
@Mr.kigoma6 күн бұрын
Lakn kwa zaidi ya 99.5 naamin aziz hatakuwepo nae msimu ujao kwan naamin hakuna team kwa hapa tz ambayo inaweza kuwa na mcheza wa aina ya k aziz, chama, pacome hiyo ni ngumu ngoja tuone😂😂😂😂😂💚💛
@Jumachilowe7 күн бұрын
hii taasis iko pw xn dah yng raha
@SadKazimbaya7 күн бұрын
Yani kweli mnajitia ujinga sana hivi mnaangaika kwenda kukodi vitu ili tu DUBE afike sehemu nzuri mnaacha kutengeneza kwenu kuwe pqnzuri nyinyi bqdo mnaangaika na kukodi sehemu.
@EliaMkumbo-wn7bm7 күн бұрын
Mwana wa mfalme mpemelele dube karibu timu ya wananchi karibu saana mwamba utupe raha wananchi ukisikia dubeeeeee tayari nyavu
@barakahmichaels16317 күн бұрын
🔥🔥🔥
@saliieking72796 күн бұрын
Siamini macho yangu tumemsajili dube YANGA TAIFA KUBWA
@sonicaghendewa98866 күн бұрын
Dube yuko na smile sio poa😂😂😂
@aishabakari80407 күн бұрын
Nampendaga huyu kaka jamani 🥺💚
@ErickBrichard7 күн бұрын
Aisha ulale na wewe
@barikilangoy47377 күн бұрын
Amekusikia
@nicholousmtemi39027 күн бұрын
@@barikilangoy4737 hahahaha
@FrankMahuna-xb7lt7 күн бұрын
Tafta no yake
@salmamlokela19877 күн бұрын
Mmmmh ushaaanza na wewe
@sulleymanjimmy22146 күн бұрын
Dube na Kiswahili 🙌🙌👏👏👏👏🔥🔥
@AdamSteven-z6n7 күн бұрын
Nilikua sijuagi kwanini dube alikua anapenda kuifunga yanga kumbe alikua anaipenda alitaka asajiliwe kwenye raha
DUBE KARIBU SANA,KWA WANANCHI WENZIO,TUMEKUELEWA UNAMEPENZI MAKUBWA KABISA NA CLUB YAKO YA YANGA AFRICAN'S,TIMU AMBAYO INAWAKILISHA VIJANA WOTE WA KIAFRIKA,BILA KUJALI MIPAKA YETU,AFRIKA NI MOJA.KARIBU UIPAMBANIE CLUB YAKO PENDWA,HAPA NCHINI,AFRIKA NA NJE YA AFRIKA!!! WELCOME HOME YOUNG AFRICAN,PRINCE DUBE,NGYABONGA KAKULU MFUETU!!! YANGA IMARA!! DAIMA MBELE!! NYUMA MWIKO.MAPAMBANO YANAENDELEA.VITA MBELE!!!
@kigura_jr7 күн бұрын
Kwahyo hyo midoli ya magari ndoile migari mikubwa tuliyoiona kwenye utambulisho, ila Yanga 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@rukaka_jr45146 күн бұрын
Hapa bila shaka jemedar karidhika kwa utambulisho huu 😂😂😂
@chollejr_6 күн бұрын
Nliwaza izi gari vp kumbe matoy😂😂😂
@JuliusTemu6 күн бұрын
Kama una stress Angalia match za yanga
@rukiakyaka18276 күн бұрын
Alhamndulilah namshukuru M/Mungu
@user-hk4hk4gd5x6 күн бұрын
Masha Allah
@SixmundPonera-ft8ts6 күн бұрын
Dube ni kama anajilaumu kuchelewa kujiunga na club hii kubwa kabisa young African
@CharlesNdaki-mb5kt7 күн бұрын
Hiv vigali ndo vinatusumbuwa
@sadathboutique62537 күн бұрын
Kijana ana mwili wa kazi,jirani zetu wanasajiri watoto kutoka nje😅