The best colored flag in that building ♥️♥️♥️♥️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@laika39912 жыл бұрын
The flag is looking so beautiful on The Burj. 🇹🇿🇹🇿 🇹🇿
@sophiamfikwa73402 жыл бұрын
Thank you
@jesitinakiwale86762 жыл бұрын
My beautiful country Tanzanian l miss you😍👑👑👑
@ip_header2 жыл бұрын
Maendeleo yanagharama zake, lazima nchi iwe na mahusiano mazuri na nchi nyingine, pia itangazwe. Matokeo yake sio lazima yaonekane ndani na muda mfupi
@josphinedarani62032 жыл бұрын
Napenda saana tazania ni nchi ambayo hua haina shida na mtu ❤❤💯
@nicromezb2 жыл бұрын
🇹🇿❤️ kazi iendelee
@Mcsceo2 жыл бұрын
I think brother fredrick bundala umeshasifiwa sana mpaka umeishazoea,Ukweli ni kwamba wewe sio wa kawaida Mkubwa uko ulimwengu wako kwenye hii sekta Natamani ningekuwa na uwezo wa kukupatia TUZO sijui ningekupatia nini mku keep on insipiring new and old generation ur true Icon 🙌...
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Wenye nia njema ndio tumewabambikizia chuki Kwa siasa wale maadui tunaowaona wazi wazi ndio tunawakumbatia hatari sana mpaka jana tumeona jinsi wanavotunyanyasa na kutubagua hata kupanda treni tu kukimbia vita Allah atatupa lenye kheri
@vanessarobyn45842 жыл бұрын
Yaani tena mimi nimesema putin apige tena apige kweli kweli sitaki kujua watoto wala nini Khai yaani bila ata aibu wanatubagua watu weusi. Nlchukia sana yaani😠
@kekiplus1andonly2 жыл бұрын
Aaaaaaaaaw mashaAllah, Tanzania yangu
@azamajid95302 жыл бұрын
Alhamdulilah nashukuru mungu ñilikuwepo
@sophiamfikwa73402 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤲🤲
@lucykristensen71452 жыл бұрын
Hongera nchi yanguTanzania. Asante Mama yetu, Rais wetu Sami kwa kazi mzuri sana. Tunakuunga mkono nantunakupenda sana. Tanzania Oyee. Mama Samia juu kabisa. Mwenyezi Mungu akupe maisha kwako. 2025 kura yangu kwako.
@shiksshiks84942 жыл бұрын
Aww this is btfl nchi jirani😍😍
@sheilamjune12332 жыл бұрын
God is Good ❤❤❤👏👏👏🙏🇰🇪🇰🇪🇦🇪
@andulilemwakihabha20482 жыл бұрын
God bless Tanzania 🇹🇿🙏🏾
@zaydelabay97762 жыл бұрын
Best best sijaona rangi nzuri km ya nchi yangu. Watupe free visa tu sasa. Best president and I'm super proud of her
@mzalendomzalendo25672 жыл бұрын
Ushuzi mtupu
@zawadichipilipili6491 Жыл бұрын
T
@charzcharles46342 жыл бұрын
# hapa tumepigwa hela hawa jamaa hawatangazi bure, bora hyo hela mgeboresha hata tanesco tuepukane na shida za umeme
@rubenprince89902 жыл бұрын
Munapenda vya bure njooni ulaya muone huku ulaya hakuna cha bure tatizo la nchi maskini Munapenda sana vitu vya bure
@rubenprince89902 жыл бұрын
@@TUnech7 tembeeni muone dunia inavyoongozwa mimi miaka 20 niliyoish nchi za wazungu nimejifunza meng sana wazungu hakuna wanachotowa bure hao wazungu munaowaona wanakuja huko ketembea hizo hela wamezipata kwa tabu mno huku ulaya kazi ngumu sana
@denisdenis13892 жыл бұрын
@@rubenprince8990 Nimekuelewa sana mkuu
@rubenprince89902 жыл бұрын
@@denisdenis1389 saluti kwenye ukweli lazima usemwe kamanda wangu
@parfaitkale25032 жыл бұрын
Congratulations Tanzania 🇹🇿
@sophiamfikwa73402 жыл бұрын
Thank u,your wellcm Tanzania my peaceful and beautiful country 🇹🇿🇹🇿
@naslee10102 жыл бұрын
Mama hongera kwa kucheza pass ndefu mungu ibariki Tanzania
@hussenmishamo19632 жыл бұрын
Kila rakher mwenyez mungu atuongoze mwisho mwema 🙏
@mwanatz59802 жыл бұрын
🇹🇿😍😍😍 Hongera Mama Samia
@tanzania25592 жыл бұрын
Tanzania yangu 🙏🏾🙏🏾🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@salhamrisho81382 жыл бұрын
Tuliinjoi jamanini asikwambiye mtu watanzania tuliiteka dubai kama yakwetu maana tulikuwa na mbwembwe saaana mpka kigoma cha udugwai kilikuwepo hatari 💃🥰
@sheriibrahim67532 жыл бұрын
Tumefurah sana watanzania Huku
@thamani58422 жыл бұрын
Ma Sha ALLAH
@halimamimarich37992 жыл бұрын
GOD BLESS TANZIANIA.....ALFU BRO MBN UTULETI HABR YA UKRN
@fatmakombo75842 жыл бұрын
Mama itangaze Tanzania matajiri waje waekeze tupate ajira
@safiirulislaam92902 жыл бұрын
Tanzania chungeni sana hawa warabu Mutapoteza nchi yenu au mutweka ramani rasilimali zenu kama bandari na airport Hawa warabu kuna nchi nyingi wana lalamikia
@salumabdallah29902 жыл бұрын
ni bora wao kuliko nyinyi
@shifaaal-baity45032 жыл бұрын
Sio warabu wote ni UAE pekee ndio wana kiu cha kumiliki mabandari vile hawana mali asili ila petrol ikiwaishia watarudi jangwa ..Somalia walifukuzwa hao UAE
@moneytv5242 жыл бұрын
Sasa tumia izo rasilimali zako uone utafika wapi ,ww lazima uzitowe t huna wataalam rasilimali za kzi gan
@MsAggie52 жыл бұрын
@@moneytv524 siamini unayosema, rasilimali za kazi gani? Kwani zitaoza? Si uziache wape elimu watoto wake waje kuzi shughulikia wao. Uzitoe Kwageni zikiisha wanao watabaki na nini? Matope
@mwanagwakyala32132 жыл бұрын
@@moneytv524 usizungumzie wataalamu wakati Sheria ndio zinawabana Sana watu wa kawaida wanaobuni vitu na kusema vikapimwe viwango ulaya na inaishia hvyo hvyo
@zahiribrahim74182 жыл бұрын
May God Almighty Allah Inshallah bless Tanzanians all over the World go go go hakuna kurudi nyuma Mama Mh. Rais Samia Suluhu Hongera mama 😍🎀🌺🌺🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@umsalim65152 жыл бұрын
Wacheni kumwita mama mtalii, hata alipokuwa Magufuli, safari zote za kiserikali alikuwa akienda yeye au Majaaliwa, Magufuli alikuwa hasafiri sababu ugonjwa wake wa moyo
@zayanaalmarjibi42542 жыл бұрын
Sababu alikuwa hajui kizungu, mbona Tanzania nzima alikuwa akitembea
@umsalim65152 жыл бұрын
@@zayanaalmarjibi4254 TZ alikuwa akitembea kwa gari, mwenye ugonjwa wa moyo , ndege ikipaa angani oxygen level inapungua , inakuwa tabu kwa wagonjwa wa moyo. Kutokujua kizungu sio hoja , marais wengi wanatembea na mkalimani
@umsalim65152 жыл бұрын
Na msirukwe roho , siku hiyo Tanzania wamefanyiwa bure kuwekwa bendera kwenye Bur Khalifa
@edlumala94282 жыл бұрын
Big up Her excellency Samia Suluhu Hassan.
@athumanially9062 жыл бұрын
Fanya kazii mama achana na manenoo,fanya kaz mama ,welevu wanajua unachokifanyaaa
@jongwemomumo87292 жыл бұрын
Milion 400 na point kwa saa inapotea kwa promo wakat ingetumika kujenga health centre moja. Uganda walifanya mwaka jana kwa kulipia tangazo ktk jengo hilo 😇😇😇😇😇
@charlesngwembele45412 жыл бұрын
Bishara matangazo hiyo mia NNE itazaa mabilion ila kwa kuwa wivu unakutesa
@leokamil62842 жыл бұрын
Jongwe wenye akili wanasema unawivu kwa kuwa wenye akili wanaona ni sawa .Hivi kinatangazwa nini nani asiyeijua Tanzania katika karne hii ya Tiktok Whatsap Facebook Twitter ni ubadhirifu wa fedha tu .Waache waponde raha hapo wamebebana watu kibao fursa kwenda kutembea Dubai first cluss Emirates nafikiri kwa mtu mmoja ni nauli ya mtu mmoja Economy Class kwenda na kurudi mara 3 apo wameenda watu wangapi?.Enzi ya Jamaa mmoja walikuwa wanasafiri watu thalathini na kuendelea na wanakaa five star Hotels .Hiyo ndio Afrika viongozi wetu,kuna kipindi Raisi wa Niger aliwahi kufikia kwenye Hoteli kubwa wanayofikia maraisi wa nchi zenye uwezo ilibidi waandishi wazungu wakeshe kumngoja wampe maswali moja ya swali aliulizwa Mr President tunajua nchi yako ni maskini kwa nini hizo fedha nyingi ulizotumia kufikiria Hoteli hii usingesaidia nchi yako .Hakuwa na jibu aibu kwa viongozi wa Afrika wao ndio umaskini wetu.
@hassansalumu2102 жыл бұрын
Ukitaka kutengeneza hela ,lazima upoteze(sacrifice) hela.... marketing strategies , Advertisment...usikazw sana fuvu mzee
@salma-fc4xc2 жыл бұрын
@@leokamil6284 nakuunga mkono tuta mkumbuka sana hayati John hakuwa na izi mambo na tulifika uchumi wa kati
@leokamil62842 жыл бұрын
@@hassansalumu210 Siwezi kukujibu kwa kweli
@ibbyikh17889 ай бұрын
Very nice to see Tanzania flag there, Swali nani amelipia garama za Tangazo hilo?
@johnmichaellukindo212 жыл бұрын
Milioni200 kwa serikali ya tanzania pesa ndogooooo sanaaaaas
@hajjiomary23832 жыл бұрын
Naam
@khayraatabdool22862 жыл бұрын
Maa Shaa Allah Alhamdu lillah
@mustafasaid98872 жыл бұрын
Mashaallah
@shemelaruhinda61132 жыл бұрын
Asante mama yetu Kipenzi unatuwakilisha vema lakini tunakuomba utupatie hati za kusafiria na sisi tuweze kwenda kutafuta kazi nje ya nchi.
@mrsdeborahurio2 жыл бұрын
Mungu tusaidie!
@meddy42 жыл бұрын
Nice
@magangajames46442 жыл бұрын
👏👏👏
@halimamohammed41082 жыл бұрын
Alihamdulilah
@kwisa48992 жыл бұрын
😂😂😂mshapigwa tayari kwa ujinga wenu
@sheryphamwenevalley61242 жыл бұрын
🤣🤣🤣 mchana kweupe🙌🏽 umeme majanga
@hajjiomary23832 жыл бұрын
Sio kweli
@kwisa48992 жыл бұрын
@@hajjiomary2383 si ndio maana ya lile neno ujinga hakuna kitu cha bure uko
@vanessalaizer43632 жыл бұрын
@@hajjiomary2383 na wewe si unajikuta mwarabu na ilo jina ndomana
@khadijahassan54152 жыл бұрын
Proud of you my president
@LaizerMlay5 ай бұрын
Thanks for any buidiling to flag 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@rehema20182 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿
@hamisimuna1252 жыл бұрын
Kulipendeza sana
@reganclarence46572 жыл бұрын
Wow dat iz good
@Babyzay1782 жыл бұрын
Kaka Sky 💜 🇹🇿👏
@UFC_HIGHLIGHT1232 жыл бұрын
Milioni 200 kwa cr7 ni pesa ya kuku tu kaka 😂😂😂😂sis ni pesa ya mishahara ya walimu zaidi ya 2000 kwa mwezi
@tanialucas45792 жыл бұрын
Kazi iendelee
@daudimichael73382 жыл бұрын
Tunasogea taratibu, OIC naiona kwa mbaliiii...kazi iendelee!!
@marthamgaya13042 жыл бұрын
Mashallah
@viviankangara74922 жыл бұрын
Dah Tz bhna asilimia kubwa tunadanganywa na vitu vidogo mno kama watoto yani dah
@baimarrajahbuayan62372 жыл бұрын
🇹🇿 Kwanza ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
@judithmakuto36122 жыл бұрын
Karibu Mama Samoa,Tuko huku
@blandinamyinga94892 жыл бұрын
nothing is free so guys chill
@rehemashabhay89462 жыл бұрын
Umeme wa shida.
@yasodishonest97922 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤❤❤
@sunshinesunshine74782 жыл бұрын
Iam Tansanian 💜💜💜💜
@lufitetv71202 жыл бұрын
salut for my country flag
@denismasele41302 жыл бұрын
Mhhhhhh kwann uanze kutuelezea mambo ya mikataba ss hatujakuulzaa
@jaswabe_tz2 жыл бұрын
Mama tumia ela kwani kodi tunatoa za nn
@benjaminchakwe98152 жыл бұрын
Mmmmmh Kwa nini Tanzania apo kunajambo ndege kubeba mchanga
@judithkirenga997710 ай бұрын
We need educated people in our country
@lucky92852 жыл бұрын
Jamani mambo mengine ni kutokujua,ni kawaida sana bendera kuwekwa kwenye jengo ilo pindi raisi wa nchi anapokuja Dubai,mwezi uliopita Mseveni alikuwa hapa na kilitokea hicho pia,siku ya kusherehekea Uhuru wa nchi mbalimbali pia bendera uwekwa pale mfano Uhuru wa Pakistani, India Kenya nk.Maonyesho ya Expo yanayoendelea maraisi wengi sana walialikwa na wakifika bendera za nchi zao uwekwa pale.
@binhussain34452 жыл бұрын
Hussain Mwinyi alienda hebu tuonyeshe wapi Bendera ya Zanzibar iliwekwa kwenye hilo jengo
@fasterwalker14642 жыл бұрын
@@binhussain3445 kwan Zanzibar inabendera ganii unafikiri Zanzibar ipo Kenya au Malawi Acha Ushamba Zanzibar ni Tanzania visiwan Tanganyika ni Tanzania Bara Kwapamoja ni Tanzania hilo neno Tan zan ia (Tanganyika) (Zanzibar) Fatilia nia ni yann na hatuna bendera mbili ss wa Bara na wa visiwan bendera yetu ni Moja tu ambayo ni hiyo ya rangi 4
@lucky92852 жыл бұрын
@@binhussain3445 Ata Raisi wa Dubai Sheikh Makhtoom akienda nchi nyingine anakuwa hana nguvu ya Uraisi (Kama Mwinyi)Lakini Raisi wao wa Muungano (Sheikh Khalifa )ndiye anayebeba nchi
@pembemussa28042 жыл бұрын
Mama anaupiga mwiingi mno, kikubwa a tufungulie milango vijana wake tusepe kwa wingi majuu.. 2022 ni mwaka wetu wa mabadiliko. #Kaziiendleee
@guybob49742 жыл бұрын
Kwa iyo Taifa nzima la Tanzania na watu wake wote mnachukuwa mda kufuata Mambo yaliyofanywa na mtu mmoja tu cristiano Ronaldo na wala Ronaldo mwenyewe hajapaniki?😃 Kweli haibu nikujitakia mwenyewe 😃 pole Tanzania
@leokamil62842 жыл бұрын
Kweli aibu sana hapo ndio utajua kuna watu lakini kichwani empty 🙌😆
@selemannaoda20272 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@moneytv5242 жыл бұрын
@@leokamil6284 na ww kicha maji
@leokamil62842 жыл бұрын
@@moneytv524 Asante but iam not useless as you are!
@talibsaid80812 жыл бұрын
Lakini nani mwenye uhakika kama Tanzania imelipa hizo hela inawazekana ilikuwa ni goodwill, mkumbuke kuwa Tanzania ilialikwa huko dubai, hii ndo maana nchi za kiafrika haiendelei manake ss tunafikiria pesa tu kwani tunasahau kuwa pesa huzaa pesa.
@rubenprince89902 жыл бұрын
Huku ulaya nchi ambayo nimeiyona mara nyingi kwenye TV ikitangaza utalii wake ni afrika ya kusini na amerika, Australia ufaransa uswizi,Norway,uingereza,ujerumani,swideni, Denmark,ajentina, nishaona nchi nyingi sana zikitangaza utalii wa nchi zao kama serekali imelipa pesa kutangaza utalii imefanya vizur sana tena sana tu tatizo la TZ hawajuw chochote kile wanachojuwa ni kuhusu misaada tu lakin ile misaada sio misaada kama waafrika tunavyojuwa misaada ni jina tu lakudanganyia raia wenye akili za kimaskini pesazm za misaada ni pesa za mkopo tena mkopo wenye gharama sana ili siku moja mujitowe kwenye hali ya kukopa kopa munatakiwa mukusanye kopa kila kona muna takiwa mutangaze nchi yenu ijulikane kimataifa munatakiwa mukamate na kuwafunga wala rushwa na watowa rushwa mukifanya ivyo mutaanza kuendelea huku ulaya wazungu wameendelea kwa sababu wanadhibiti mali ukikamatwa unachukuwa rushwa au unatowa rushwa imekula kwako
@nightwishisthegreatestband63552 жыл бұрын
@@rubenprince8990 hatujali kuhusu ulaya yako na magaidi wake
@gladnesssidiu49222 жыл бұрын
Hii nchi kuna namna
@jmtv17362 жыл бұрын
RIP MAGUFULI 😭, daaah Hii nchi ipo siku tutapigwa mnada na wananchi tutafurahia 😥
@asiaamohd40772 жыл бұрын
🤣🤣🤣 pole
@musakaphu45812 жыл бұрын
Masomo muhimu Saana aisee jifikirie Saana ,,, Hayati Nyerere alishawai kusema Lazma uliwe kidogo ndo UL sasa bila investment Nchi itapiga hatua vipi please work on your education due to understanding skills
@nightwishisthegreatestband63552 жыл бұрын
@@musakaphu4581 wewe unaona kuuza bandari kwa wachina ni sawa. Unabaki kushangilia vitu vya kijinga huku waarabu wanawanyanyasa waafrika wanaoenda kufanya kazi kwao
@musakaphu45812 жыл бұрын
@@nightwishisthegreatestband6355 sidhani kama unajiskiza umeandika nn Kwanza hujaelewa chenye nimeandika hapo Ndiomana unachanganya mafile sasa kuuza bandari Kwa China na watu wanaonyanyashwa na waarabu inaingilia wapi Ila sema nimeona kidooogo unaweza fikiria waeza nitafuta Kwa kukusaidia kiasi sio kwamba nimetetea hapana najua kabisa we have got poor leadership in entire African continent but hukuelewa chenye nimemaanisha
@hajjiomary23832 жыл бұрын
@@musakaphu4581 sio kweli africa uwezi ishi bila watu weupe iyo ndoto brother labda magu alikuwa anakusaidia wewe
@leylahleylah45992 жыл бұрын
Tufurahi lakini pia mjue limelipiwa hilo jengo..huku dubai wapo kibiashara zaidi
@JtanyMedia2 жыл бұрын
Kondole
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@vanessalaizer43632 жыл бұрын
Mmh mmh mmh! Nchi inaanza kuuzwa kwa waarabu taratibu, ndo nshasema ivooo. Waafrika huwa hatufikirii kabisa adi iwe too late
@wazambulitv57352 жыл бұрын
DUBAI😃👇: Jengo refu zaidi Duniani lilianza likiwaka "Kaa Nyumbani" ambayo Ni maneno ya Kiswahili ayo kwaajili ya pambano dhidi ya Covid, kuwaasa watu wakae zaidi Majumbani, #SwahiliNation🇹🇿 *WAZAMBULITV IN DUBAI* Alafu baadae bendera ya taifa ikafata #Tanzania🇹🇿
@kiatu2 жыл бұрын
Value for money?
@wizyjunior57712 жыл бұрын
Bado JPM ataonekana ni mwamba tu Samia Hapana kwan Waziri wa mambo ya njee ana kazi gan jaman ama balozi wa Tz huko Dubai kazi yake n nn jaman hizo pesa za matangazo x angejenga hata zahati ya kijiji tu
@zombazezu2 жыл бұрын
Ni jitihada nzuri na ni kitu kikubwa. Hapa kuna watu wengi wa Dunia
@sheriibrahim67532 жыл бұрын
Tanzania yetu inapawishwa benders yetu inaungaa Dubai. Kazii ienderee
@omarifadhili6512 жыл бұрын
Mama mtalii hajawahi kufika Dubai naona wanyonge tutanyooshwa
@hannansdeliciousfood42612 жыл бұрын
Hhahaa Dubai kashakwenda saana tu.....
@Adeen.12 жыл бұрын
Ni mwendo wa kuwekana tu asa ka zamaradi kamuweka mumewe sie nani tusiweke bendera yetu
@samwelmaduhu12332 жыл бұрын
Izo pesa za kutangaza bendera c bora mngenipa mimi nikaongezea kwenye mtaji wangu wa nyanya
@shifaaal-baity45032 жыл бұрын
Hayo ni mapokezi ya mgeni rais samia sio serekali ya Tanzania italipa
@berthatz10 ай бұрын
Na hapa ndiyo Walifanya toast ya kugawa bandari…Mungu awalaani hawa viongozi wahaini.🤬
@venancemalima11812 жыл бұрын
Sawa lakini baadaye itakuaje huko.
@science_fact932 жыл бұрын
Kwani kuna mtu ambae haijui Tz Jamani jpm aliitangaza Kwa misimamo migumu na bila ghalama yoyote
@a.8562 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@fridagustaphmwenda665810 ай бұрын
Tanzania tuko juu zaidi
@gaddafi_og19662 жыл бұрын
🥶🥶
@hassanjongo43092 жыл бұрын
Like
@mwanagwakyala32132 жыл бұрын
Hatukatai kulitangaza taifa,lakini huku bdo tunalia na tozo na mengine mengi yanayofanana na hyo ,ifanyeni nchi ifurahiwe na wote japo Kwa vitu vidogo vidogo vitakavyosuuza nafsi zetu ,
@leokamil62842 жыл бұрын
Taifa linatangazwa karne hii kweli?mbona kila msimu unavitimbwi vyake sasa tupo kwenye series ya kutangaza nchi .Tanzania inajulikana karne hii ya Facebook whatsap Twitter Tiktok hivi kweli ni ya kutangaza ati tuna mlima Kilimanjaro na mbuga za wanyama. Wakati miaka nenda rudi watalii wanakuja Tanzania! Na tunamaonyesho kila miaka yamesimama sasa juu ya Corona ya International Board of Turism hufanyika Ulaya hadi Marekani na wadhamini ni Wizara ya Utalii na Makampuni yale yote yanayooenda hulipia na kwenda huko kutangaza biashara ya utalii. Sasa huu utalii unaotangazwa sasa tena hii ni kutimba fedha au Raisi mzima kufanya filamu wakati kuna Waziri wa Utalii na watendaji kibao hii ni kihoja cha ajabu katika nchi hii .
@@moneytv524 Magu tulimkosoa Kwa mabaya yake na tulimsifia Kwa mazuri yake na Kwa bahati nzuri tuliyaona mazuri mengi Sana akiwa hai, Rudi uangalie comments za watu enzi zake utaons
@mwanagwakyala32132 жыл бұрын
@@leokamil6284 acha tu
@bajagihaji89232 жыл бұрын
Tangaza nchi tupo nyuma
@mfalmekaitaba24252 жыл бұрын
Rwanda wameinvest sana kwenye kutangaza nchi yao kimataifa yaani waliingia mkataba na Arsenal ili watangaze utalii wa nchi yao na wanaingiza pato kubwa,sasa sisi kuweka Tangazo la dkk 3 kwenye jengo hilo binafsi sijaona kama ni big deal, tunatakiwa kuingia mikataba na makampuni makubwa ya matangazo au Team kubwa za michezo hili tutangaze vizuri Taifa letu na Tamaduni zetu.
@hamisikambona87632 жыл бұрын
MAKOLO cjui wameiona hii
@philipocharles85072 жыл бұрын
Yetu macho tu
@peterirungu29042 жыл бұрын
Kenya ilikua uko last week
@amzyahmed3132 жыл бұрын
Matangazo ya bendera za nchi hazilipiwi. Ni ishara ya Urafiki.
@vanessalaizer43632 жыл бұрын
Yeah right😏
@lampadshigonko30062 жыл бұрын
nchi ishauzwa huko
@lilianambokile77952 жыл бұрын
Kwaiy nass kuitangaza hiyo bendera tumetumia milioni 157 duuu! Niatali lkn salam
@hajjiomary23832 жыл бұрын
Kawaida tu brother
@bizzoforreal85022 жыл бұрын
Hii ya kibabe sana
@kabhusimbengawandenga64322 жыл бұрын
Safari za ulaya kibao mwaka hauja isha utafikilii mtalii