Mbona hesabu katika hii makala haipo sawa kabisa ,Mwalimu wa Mathematic anahitajika huku
@raphaelkessy73602 ай бұрын
We Dada mnara na jengo ni vitu viwili tofauti la sivyo esabu na minara ya TTCL
@Markhomestz9 ай бұрын
Mdada anasimulia vizuri ila kachoma vitu vingi sanaa😂😂😂😂
@princek0479 ай бұрын
😂😂😂😂 tembea huku kwetu Kenya upatane na GTC yenye iko Westland na utajua britam sio njengo refu Kenya. Wachana na Google madam tembea uhakikishe
@mohdabdalla70703 ай бұрын
Mh Yan nyi wakenya Kila ktu kpo kwenu tu mna shida gani?
@willymwaipaja67839 ай бұрын
Majengo marefu ni mazuri kupendeza macho, ila tujue kuwa hayo hayo yanaweza yakatumika kuleta maafa makubwa kwenye dunia hii ya matetemeko. Adui yetu anajua hivyo, na anatutazamisha kwa fahari na maendeleo kiasi kwamba hatuwazii hatari yake. Ni mtazamo wangu, japo ni reality.
@shafarh.9 ай бұрын
Alafu Tanzania wanafananisha dar salaam na Nairobi
@Samwelsamwelmera8 ай бұрын
Watanzania tunaongopewa sana iweje namba 10 africa alafu namba 2 tx hironamba moja likowap
@kazkaz19439 ай бұрын
Endeleen na habar za kina giggy money na babalevo iz habar hamziwez mtaonekana tu matapeli😂
@selemanmaganga-le4zg9 ай бұрын
Sasahivi Millard Ayo taarifa zake azinaga usahihi ilimladi kapost tu hazina mvuto tena!.
@abdirahmanabby7619 ай бұрын
@1:43 ETI MSIKITI MKUU NCHINI MISRI IPO ALGERIA? NIKAMA KUSEMA MSIKITI MKUU WA DAR IPO NAIROBI 😮😅😅😅
@berusarga28978 ай бұрын
Leo nimeharibu mb zangu pumbavu
@kingfuture71478 ай бұрын
Namba mbili kwa uref zaidi Tanzania. na namba mbili kwa urefu zaidi dar es salaam 🤣🤣🤣🤣🤣
@Dunia1297 ай бұрын
lililoko misri nchini Algeria nan ameskia hii😂😂😂
@abdallahkisuda48599 ай бұрын
huyu muangaaji ni muongo sana! millard media imekua sasa ajiri mhariri!
@stellahwilfred57629 ай бұрын
La pili ndiyo la kwanza khaaa cjaelewa
@madrassatqadriyapalma8 ай бұрын
Tembeyeni muone sababu Tanzania akuna jengo lefu kushinda Mozambique. Uoo ni uongo tembeyeni
@adamkapolo88179 ай бұрын
Fanya tafiti vizuri sky kwapa
@alipetrelis71099 ай бұрын
Jengo namba 10 Africa , alafu namba2 tz😂😂😂
@mikelokamba12029 ай бұрын
Mwanamke huyu mwehu kumbe yani jengo namba 10 africa ndio namba 2 tanzania
@BONGOINMOTION9 ай бұрын
La pili lipo misri or Algeria?
@ayubusanga49979 ай бұрын
Vp like la ubungo kak 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@zombazezu9 ай бұрын
Eti urefu mita 15 😀😀😀
@Pharadge9 ай бұрын
Angalau TZ hatujaachwa
@DM_159 ай бұрын
Jengo namba moja na nambambili sijaelewq vizur yoteyapo taifamoja au😂
@hamisichande42319 ай бұрын
Namb moja n rozar rotana ambalo bado halijaingia kwny orodga hii
@totodavis19499 ай бұрын
Huyu hajielewi britam Kenya sio refu na hata maelezo Yako sio kweli mengi uwongo
@MuliKennedy9 ай бұрын
Gtc hiko na 208ft
@stivertz70149 ай бұрын
Hasa hilo jengo la Tanzania si wangeweka linaloongoza ambalo lipo pale Njia ya kwenda Mwenge PSPF tower
@IMANWILLIAM-bl2ui9 ай бұрын
kabisa
@abdulmruke22469 ай бұрын
Hapana lile halifikii hata yale majengo yote ya posta
@kanankirannko61744 ай бұрын
Hapa waje engineer waliojenga hayo majengo kila MTU aesme la nchini kwake lina mita za mraba ngapi ndo tutaenea humu,
@dicksonmatulile15239 ай бұрын
Mita 15!!
@hassaniddrismwamba9 ай бұрын
Kenya kuna mijengo mirefu kuliko hio britam
@maxwellsanga36629 ай бұрын
Tembea Kenya dada😂 britam sio jengo kubwa kenya
@walternyabicha90577 ай бұрын
Wanaangalia hadi spire
@gregorybakuza57966 күн бұрын
Hiyo mita 15 ni jengo au kitambaa!?
@mosepaul38869 ай бұрын
Yan humu ndani mmechoma atarii
@babasandra6389 ай бұрын
Kwan mwana habari ni Samia suluhu
@sofiaabdirahman78389 ай бұрын
Jengo ndefu kenya ni Times towers. Acheni hizo
@jibrilmohammed36989 ай бұрын
Nigeria iko wap umekosea saaana
@SakinaSadiki-tw2qt8 ай бұрын
Hahahahahaha daaah nimecheka sana jengo namba kumi Lina urefu wa mita 15 namba mbili kwa ukubwa Tanzania lakini ilo namba moja kwenye majengo marefu alijawekwa
@dadamuebrania15399 ай бұрын
Aliyeelewa kuhusu hilo jengo la Tanzania anieleweshe😮
@steveomaryKabogo7 ай бұрын
Tanzania yangap kwaukubwa was jeshi
@djsunextv8 ай бұрын
Sijakubaliana na nyingi kabisaa GTC Towers ina urefu zaidi ya Britam towers
@parabinamu559 ай бұрын
Naona Millard Ayo ulikuwa unatupima kama tupo makini habari itolewayo au tunatizamaga tyu ili tumalze mabando yetu 😂😂😂
@kenedykimulika22249 ай бұрын
msikiti upo algiers mara nchini misri mara upo Algeria
@easternyerembe72719 ай бұрын
Hata kitega buchumi ni jengo refu sana dar, 😂
@kassimayoubmohd63139 ай бұрын
😂😂😂😂 Jengo namba 10 kwa urefu Africa lkn ni namba 2 kwa Tz😂😂😂sasa hilo namba 1 kw tz linashika namb ngp kw Africa???😂😂😂
@frankkatima6079 ай бұрын
Hahahahaa!!! Ndo wandishi wetu sasa tutafanyeje ngoja tuibiwe MB zetu
@allutacontinua7199 ай бұрын
so funny 😂😂😂😂😂
@diamondplatnumz.148kviews59 ай бұрын
😀😀😀😀🤣🤣🤣
@Alfredmusa249 ай бұрын
Hawajielewi hawajitambui
@iamlenox19 ай бұрын
Wamezingua 😂😂
@kingfuture71478 ай бұрын
Habari za kikuma tu
@keteargaszpubg26728 ай бұрын
Hizi ni stori za jaba😂
@vitrahbongz94209 ай бұрын
Hapo kweny tower la kibongo hapaelewek vizur 😂😅 -Mita 15 😂 -Nr 2 nchini 😂
@user-kc4il6yb7u9 ай бұрын
Hilo la namba Moja la mwenge hawaja update taarifa likaingizwa Kwa kuwa jengo halinamdamrefu ,mupo hapo
@djkikombe8 ай бұрын
Sasa kwann lijulikane namba mbili wasingesema kuwa ninamba mbili wangeachatu mpaka lingeingizwa kwelist ndo waseme kuwa ninamba mbili
@shafiikhamis23369 ай бұрын
Msikiti mkuu uliopo miasri, aljers algeria Nd nin sasa
@kandydgitaltz9 ай бұрын
@kandydgitaltz9 ай бұрын
Wakiwa wanaandaa makala wajaribu kuwasiliana na wahusika basi
@shabaniduduma88859 ай бұрын
😅😅😅
@Reece-qk9ji8 ай бұрын
Tembea Nairobi ujue britam sio refund tena
@amazi67969 ай бұрын
Mita 15???
@shabaniduduma88859 ай бұрын
Hovyoooo
@t1910j6 ай бұрын
TRA tower la Tanzania lina urefu wa mita 15?😳 huyu dada hayupo makini 🤷🏾♂️
@brianmasiga97488 ай бұрын
Wewe hujui kitu unasema😂😂😂
@EsauNaboth-yn2fl9 ай бұрын
Tanzania na majengo marefu wap na wap 😂
@MuhidinMangu9 ай бұрын
Mmepigwa
@michaelfrenkline34299 ай бұрын
Mmetuokota. Sasa ni namba mbili Tanzania inakuaje namba Kumi afrika. Iyo namba moja Tanzania je
@IsraelKisaila9 ай бұрын
😂😂😂😂😂Dunia ngumu hii
@GeofreyKalo-ot3we9 ай бұрын
Tumepigwa hapo namba moja hawajaweka
@hamisichande42319 ай бұрын
Namb moja n rozar rotana,bdo halijaingia kwny hz orodha
@engribertinnocent75369 ай бұрын
Linakuwaje jengo refu na unasema lina mita 15??
@officialstar_walker9 ай бұрын
Sasa kama hilo ni namba mbili tanzania kwanini msingelieka namba moja tulijue ,alaf kutuambia hilo mita 15 ni uongo
@EzzyEddy-il3ce9 ай бұрын
Sasa sindo nashangaa linashikilia nafasi ya pili kwa urefu Tanzania na nafasi ya pili kwa majengo marefu Dareslaam asa jengo namba Moja Tanzania na Dareslaam si ndo ulitaje Hilo kuliko kututajia namba mbili
@officialstar_walker9 ай бұрын
@@EzzyEddy-il3ce kabisa yani kwanza apo mambo mengi kaongea ya uongo
@hamisichande42319 ай бұрын
Ypo sahih dada,namb moja linaitw rozar rotana ambalo bdo wakt orodh hii inatok lilikuw bdo halijaingia kwny orodha
@abdalahfundi79369 ай бұрын
Huyu dada anaitwa nan
@fireworks5749 ай бұрын
Dada, simulia ulale
@saudaramadhan58559 ай бұрын
Mnatupotezea bando
@muddybreezy45959 ай бұрын
Jengo la Tz lina mita 15?😅
@GeorgeEbake9 ай бұрын
Ivi mnajua mnara ulioko congo wa Mitac 212 au mnabuni tu
@masoudabdoul84479 ай бұрын
Mita 15😂
@IMANWILLIAM-bl2ui9 ай бұрын
Jengo lefu Tanzania si lile pspf tower pale mwenge?
@abdulmruke22469 ай бұрын
Hapana lile ni la tano ni kwa vile liko peke yake Ndo maana unaona vile
@user-ec5we1gr4f7 ай бұрын
We ni fala tu
@leuyaxt53829 ай бұрын
Djamaa el Djazaïr msikiti mkuu nchini misri uliopo Algiers, Algeria. Yoo ni nini unaongea au Algeria sio nchi😂😂😂
@kingbeetimoo9 ай бұрын
GTC iko wapi,from 254
@elinamilyatuu73378 ай бұрын
Westland ama nn
@kingbeetimoo8 ай бұрын
@@elinamilyatuu7337 yes chiromo
@rogasianshayo37409 ай бұрын
Mnatubeba ujinga
@josemedia66618 ай бұрын
sasa kama linashika namba 10 na wakati huo ni jengo namba 2 tz mh cjaelewa hapo 😂😂😂😂
@mwakyusamwakyusa6869 ай бұрын
Haka kadada kujinga sana
@Abdallahmosha358 ай бұрын
Msameheni ameteleza
@ygggggg97627 ай бұрын
Ameanguka kabisa huyu hata haja teleza 😂😂😂😂
@williamkirema62549 ай бұрын
Fanya uchunguzi vizuri wewe
@user-uy6fg1ze7q9 ай бұрын
Nikwakuwa lile la mwenge liko mbali lingewekwa posta lingezidi kupendezesha mji na aliyeshauri jengo lile kujengwa mwenge hakuwa na akili sawa sawa muwe mnaangalia hata ushauri
@abdulmruke22469 ай бұрын
Ila lile jengo linamuonekano nzuri tena sana kuliko hata lile la bandari pale posta
@Runkiller19 ай бұрын
Kwanini hilo lililo shika namba ya kwanza Tanzania lisiwe la 10 Africa 😂😂😂😂
@stanleyjohn13619 ай бұрын
Hilo la bandari ni uwongo
@johnmlay47599 ай бұрын
hizo ni research zinafanyika sio ati mtu anakurupuka
@fahadfaraj64749 ай бұрын
Unabisha simulia wewe basi
@johnmlay47599 ай бұрын
@@fahadfaraj6474 si ndio, mtu anabisha bila fact
@fahadfaraj64749 ай бұрын
@@johnmlay4759 kashashiba chapati zake na njegere kaweka kibando chake cha mia tano anatafuta wakumtolea hasira zake za maisha
@MiriamAbdallah9 ай бұрын
Atuletee yaliyo ya kweli kama kaona haya ni oungo
@JacksonDominicko-st2qy9 ай бұрын
bwana ww 😂😂😂 MITA 15
@frankshindano46209 ай бұрын
😂
@raulianraphael68539 ай бұрын
Hamjaedit makala yenu kabla ya ku upload ghorofa 35 na mita 15 Hamna hata aibu kula mabando yetu kwa uongo Wasting floor ya ghorofa n mita 4 mpaka 4.5 so chukua 35×4 kisha mjicheke wenyewe
@faustinaurio37039 ай бұрын
Mnatulazimisha kukanyaga tope siyo? eti Mita 15 na la pili tz hakiki habari vizuri ala!
@aminielimushi87098 ай бұрын
Hata USA plaza ni zaidi ya Mt 15 hapa Leganga Usa river
@aminielimushi87098 ай бұрын
Watu wana msongo wa kausha damu
@faustinaurio37038 ай бұрын
@@aminielimushi8709 😂😂
@user-iw9zm7zh2u9 ай бұрын
Mtawekaje number 2 wakati number1 ipo
@EzzyEddy-il3ce9 ай бұрын
Ndo ushangae na wewe
@MrGoatAi8 ай бұрын
Sky krapa wewe kuwa makini
@ayubusanga49979 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@zashayrasaid89509 ай бұрын
Khaaaah mfyuuuuuuuh 🤣😂🤣😂🤣 Tanzania tena
@kennar0128 ай бұрын
GTC towers is way too tall than BRITAM. stop lying. Kenyans we know that.
@armandoleonardo69669 ай бұрын
Como é possível nessa lista constar Tanzania e não Mocambique uma vez que Tanzania não tem nenhum prédio que supera o de maputo de 33 andares?
@allyhumoud9 ай бұрын
Esse de Tanzânia tem 35
@gadyetheboss87389 ай бұрын
Hata mimi sijaelewa inawezekana vipi kama sio kutuongopea
@lazzrchanal19359 ай бұрын
Além disso, a analista é tanzaniana, isso não pode te machucar
@samuelnjau16008 ай бұрын
😊
@user-si6ct5jz1h7 ай бұрын
Sasa jengo n la pili kwa urefu Tanzania na la kwanza halipo top ten
@ibrahimgwasma12239 ай бұрын
Hahahahaahhaha hiyo post atakuwa amefanya MTU tofauti na Mkenya