Hii movie inakaukweli ndani yake nawapongeza sana wote mulio shiriki hapa mumefanya kazi nzuri sana team mbwela mko wp njooni mbwana mulike mucomment ❤❤❤🎉🎉🎉😂😂
@RizikiZiki3 ай бұрын
Bi harusi imetoka 🎉🎉🎉kaka mbwela nilikua nimesha isahau usiwe unakawiza sana movi nzuri kama iyi❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@ngoshanangi86293 ай бұрын
Kazi nzuri sana kaka tuko pamoja nikiwa kahama, shinyanga Ila naombeni like zenu jamaniiiii🙏🙏🙏
Ep3tunaitaka haraka,nawapongezeni.yaani nikimuona mbwela lazima nitazame mpaka mwisho
@nadzuamrema58373 ай бұрын
Wa du you wich🤣🤣🤣🤣kipara
@FurahaAmina3 ай бұрын
Asante Sana mbwela kwakutuletea mwendelezo , Nawapenda Sana mimi!!❤❤
@Zahrah11-xy2iy3 ай бұрын
Kaka unachelewa sn kutoa muendelezo nakupata nikiwa 🇴🇲
@fatumabakari26403 ай бұрын
Kipara.jamani eti connection kwenye picha za utupu 😂😂😂😂 hatari
@dollar1052 ай бұрын
Yeye hatari 😂😂sana hata kizungu
@biashaqtr-xd2mf3 ай бұрын
Mashallah mwanangu siku zote naangalia movie zako.Hi movie niyaukweli kabisa Na Allahu amekujalia kupanga vizuri na pia nifuzo kwa jami zetu za kiislamu watajifuza na pia watajitambua namin hawatokubali kuchezewa ovyo.Napia zawadi yako Allahu amekuekea duniani na kesho Akhera . Nakupenda sana mwanangu mbweya Allahu akulinde na awazidishie busara na hikma hizi ndio movie mbora za kutufundisha madili na ustarabu wadini unapo mstri mwenzo na Allahu naye anakustiri bila hesabu.❤❤❤❤❤❤
@mamakenajma32573 ай бұрын
Next pls tamu zaidi ya asali can't wait ❤from kenya
@Brownlecovalfilms3 ай бұрын
BROWN LE COVAL from Congo liké zangu kwema ❤❤ kweli naipendaaaaa
@salmahoperi97833 ай бұрын
From Pakistan napenda sana kazi za mbwela
@aishaomar22873 ай бұрын
Safi sana big kaka na kundi lako🎉🎉🎉🎉kipara huna nywele ila una akili 😂😂😂#ukiahidi mtu kitu na usitimize Mungu anachukia ila umechoma apo kwa connections sijapendaaa😅😅😅 🙌 🙌 🙌
@halemasuliman-js8ug3 ай бұрын
Bi harusi inakubalika mbwela hii movie kali sana uschelewe kututolea tupe mwendelezo proo ❤❤
@user-eq8cg3pc1u3 ай бұрын
Naomba like kwa kipara nipeni like zangu 🎉🎉🎉❤❤❤😂😂😂
@user-eq8cg3pc1u3 ай бұрын
🤗🤗❤❤
@dinabilemanga17033 ай бұрын
Kazi nzuri sana kaka mbwela nakukubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉 kaka mbwela 🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@user-dq5qu7hx1w3 ай бұрын
Nzur sn nimeipenda 🇧🇮
@user-yk8em1bh8g3 ай бұрын
❤❤❤
@user-vv3vj9gu7q3 ай бұрын
Mbwela huna BAYA my dear nikupe maua yako🎉
@Mpakauseme3 ай бұрын
We jama hiyo style yako yakuchomekea Kiingereza ni poa sana 😂😂😂😂😂😂😂😂
@fatumabakari26403 ай бұрын
😂😂😂
@saumbliz89833 ай бұрын
Hichi kisa kilitokea kweli daah hongera sana mbwela
@Zeldaommy3 ай бұрын
ACHA nilie alafu nitacommet badae😢😢😢😢😢😢😢
@MercyKahindi-go2nr3 ай бұрын
Mbwela Kwa ubora wake❤❤ nakupenda Sana mbwela Mungu akuzdishiee kakanguuuu❤❤❤
@barkaoman-ub6ko3 ай бұрын
Bwela I love you ❤❤
@luckylucky71533 ай бұрын
Bwela wee noma broo mungu akujalie uzidi kusonga mbele
@user-ce6gf1mh7i3 ай бұрын
Hi movie nzuri sana haswaa huyo muimbaji hiyo saut mashallha
Movie zako nyingi mbwela hazihusishi mambo ya uchawi au ushirikina hvo basi znamafunzo sana tofauti na hzo zngine. Aky Mungu akzdshie Fikra
@remiomar71542 ай бұрын
😂😂😂kipara connection mjini dada mwenyewe app yake mangekimambi
@everdhekay49243 ай бұрын
Kazi zuri mbwela,, Zumba 🤣🤣
@edwardmichubu30783 ай бұрын
Mbwela 🎉🎉🎉🎉
@GHgh-hq3zj3 ай бұрын
Saf sana kbs❤❤❤❤
@user-dx9ch7vw8r3 ай бұрын
Eeh bhaan ee binam chakul ch ham❤😂alaf hao waliopend familia wakakuowey hhhhh kisa imetulia ikalelew kwny maadil aisee mbn mtadhalilik😅😅makos saan kuowa im kuolew kabl hujamaliz stareh zako jhhhh
@chunaabdullah13333 ай бұрын
Wataaibika aswaa
@nadzuamrema58373 ай бұрын
Mkeo ni kirango mbyaa hapo umekosea kuowa baba
@hghh60563 ай бұрын
Bwela hongera bro kazi nzuri 🇰🇪 kwa kweli ww ni bingwa nakukubali hakika kazi zako zavutia saana Tena musimamo wako wa Kila tafsiri huwa unanipendeza saana sijui kwa kuwa ni kazi ou nimuonekano wako waonekana kijana mzuuri saana mwenye busara mpenda watu na kijana mwenye heshima saana kwa kweli Mimi nakupenda tu Bure ❤❤❤❤❤ mungu abariki kazi yako na akutie nguvu na akuheshimishe duniani🎉🎉🎉
@Ummykassimtz3 ай бұрын
Mbwela unajua bwana
@marialumbanga3 ай бұрын
Kazi nzuri hongera🎉🎉🎉best yake tatiana hapa
@user-cr8cs2qc8f3 ай бұрын
Mbn mnachelewesha sana😮😮😮
@user-pz3py2qu4w3 ай бұрын
❤❤❤❤❤ kaz nzur san
@mariammariam57233 ай бұрын
Kazi nzur❤
@user-pv5xn6vc1w2 ай бұрын
Kaka mbwela upo mwanaume cleanheart kwa kumstiri binamu yako maua yako hayooo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@InnocentArmadillo-do9vm2 ай бұрын
Filamu nzuri sana na inamafunzo ndani yake hongereni sana