Niliaza na mtaji wa sh 45000 ,mwaka elifu 2017 na mpaka Sasa namiliki zaid ya ml 14.8 ,,,niliaza na biashara ya kuuza vinywaji barabaran mpaka ikanipeleka mtaan kwenye furemu na kuaza kukomaa Hadi kununu pkpk 4 na kuoa hapa hapo na kiwanja na shamba mkoan yaan ,,mungu ni mkubwa ,,,big up chifu?
@samsonsoligi24209 ай бұрын
Biashara gan?
@user-ig1wd5yq1f9 ай бұрын
Ulifanya biashara gani??
@chiboonline3639 ай бұрын
Ushirikina ulitumika pia
@kuyekajisandu9 ай бұрын
Good job
@malimimasolwa64929 ай бұрын
Nimekupata sana kwenye kuku me mwenyewe nilianza na kuku mmoja sa iv nina kuku 200
@AnnaMkenga-iu9db7 ай бұрын
Thanks brother..nimeanza na kuku wa kienyeji 8 natetea na jogoo 2 this year July but nimetotolesha vifaranga zaidi ya 200 kwa 3 months sasa nimeuza and nimeingiza pesa nzuri Iam happy.unachokiongea ni kweli.sasa this December niko na oda ya 120 chicks na tatari nimeweka kuku 10 wote wanalalia 15 eggs each na in 5 days wanatotoa.so unaongea ukweli bro.asante mnoo
@fredkangethe74976 ай бұрын
@Anna Mkenga. Wafugia kuku wapi dada yangu.?
@AnnaMkenga-iu9db6 ай бұрын
@@fredkangethe7497 nafugia Arusha
@tithomathias4 ай бұрын
sorry nlikuwa naomba ufafanuz wa ufugaji kuku ili na mm nifanye please nipe ata namba yako
@PeterTuruba-uf4fn3 ай бұрын
Dada
@user-ye7hh1pv7w27 күн бұрын
Nimekuelewa bro umetuambia ukweli mtupu nitafanyia kazi
@user-zs1cq5cy6p11 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu ni msaada mkubwa kwa taifa umetuamsha san
@mussaabdulmalick204811 ай бұрын
Asante sanaa kaka ningependa siku moja tuonane mi naishi msasan nafanya biashara ya mayai kama unaenda kifanya shopping supermarket za shoppers angalia mayai yenye jina MSSAP ...
@justinelius78306 ай бұрын
Kaka mtaji wa kuku ulianza na shi ngap
@baysadam235 Жыл бұрын
Nakupata vzuri bro cheaf From Moz🇲🇿🇲🇿👍
@PaulinaNduva11 ай бұрын
❤ good
@moisebwanamoye1484 Жыл бұрын
matuta vijana wanaochangia mawazo hayo ndio mapenzi kweli nakupenda sana mzee wangu
@user-dr7jn4op8g Жыл бұрын
Kweli juice inafaida nakubali
@user-dr7jn4op8g Жыл бұрын
Nimewahikufanya juice baada ya miezi 3 nilitoa Faida kubwa siseminikiasigani lkn siachi kufanya juice huwanapumzika tu lkn ndio biashara yngu kubwa nakama Niki fanya Leo wateja wanakuja kwasababu najuwa kutengeneza napia naifanya kwaumaridadi usafi. Kwanza biashara kma hizi zamajimaji. Kma juice mwezangu mtu Hali tu kama hawajamuwangalia mfanyaji usafi wake
@aishakassim7510 ай бұрын
@@user-dr7jn4op8guko wapi dear nataka kufanya hiyo kazi ila sijui pa kuanzia
@jastinekyando904410 ай бұрын
shukran kaka godlove nakufatilia san na nimejipa miaka mitano from now napenda unavyofanya🙏🙏
@hishammudhihiri555510 ай бұрын
Bro sasa huo ndio uwanaume...mwanaume sikupiga tantarira nyingi kma muimba taarabu..hizi ndo njia nzuri zakusaidia wenzio na wao waeze kujituma kwa bidii..Ubarikiwe mzee baba
Kaka www ni msaada Kwa jamii Asante xan mungu akubalik
@user-oh7ls4cz5l4 ай бұрын
Aiseeee bro nakukubl sana we n genius aisee umenitoa kwenye Giza nene
@GraceGodson-fk3tu8 ай бұрын
Ahsantee my brother nilikua na ndoto ya kufuga kuku Ila nilikuwa nimekata tamaa Ila Leo umenipa moyo am going to start it...
@andrearaphael372810 ай бұрын
Daaaaaa ngoj nikupe maua yako Big point San Brother 🎉🎉
@user-sm7ct8lv5l10 ай бұрын
Jamaa kanipa madini na kanifanya kujiona na Mimi naweza for sure Nilikuwa nampango wakufungua biashara ya cm nikawa naogopa ila kanipa nguvu sana huyu mwamba mzalendo respect brother
@evanslikono863410 ай бұрын
Mimi ni mkenye Niko Nairobi nafuraia mawaitha yako👍💯
@BGHaule10 ай бұрын
Unatuchamba huku unatupa elimu,big up,mwanzo hata Mimi nilikuwa sikuelewi,ila now nimekumanya,dogo upo vizuri you are the geneous
@happyvalence53527 ай бұрын
Tafuta pesa mbwa nyinyi 🤣🤣🤣🤣
@SuzanLazaro-sj8qv6 ай бұрын
Kaka vp kashata italipa
@stanleyandrea51539 ай бұрын
Gentle man ña nusu. God bless you more
@hastatz Жыл бұрын
Biashara ya udalali wa vitu used kuna mtu ana shida na kitanda hana hela ya kununua kipya alf kuna mtu amechoka kitanda anataka kingine na anahitaji mtu wa kumpa hela kidogo hapa wew unakua kati kati yao unapiga chako kwa juu na hapa kwenye hii biashara kuna njia 2 za kuifanya moja unakua dalali kwa mnunuzi na muuzaji ya pili ni unanunua bei ya chini mteja anakuja unamuuzia wew😊
@abelaidan10 ай бұрын
Hii ni bonge la biashara ndio naifanya kwa sasa
@user-pg2mv9wd2x4 ай бұрын
Big mind, big up bro and God bless
@mr_shark358711 ай бұрын
Mnajua Huyu Brother ni Geneas sana aise na Unajua Kuna wabongo wachache sana wenye kuwa naakili timamu Ndo watamuelewa huyu jamaa shida ya Cici wabongo Tunakubali anacho kifanya mwamba ila Bado. Wabishi sana 🤣 ila ukweli nikwamba anatisha sana sema Simba 👑👑👑Chief Mungu akuweke content zako Zina fanya vizuri sana 🔥💪
@ukweliunauma45709 ай бұрын
Acha kujidanganya mwenzio yuko katika chama hata akiuza mavi yanatoka freemason inachangia iyo
@strawberryrachii12-xh5bq10 ай бұрын
Umeona mbali sana chakula kinalipa sana aswa catering service hii pia haitaji mtaji mkubwa kikubwa ni ujuzi na kujua namna ya kukuza hiyo biashara hongera chief kwa hili🙌🙌🤝
@alihassansorikushey14149 ай бұрын
Shukran kaka kutufungua macho ubarikiwee
@Mosses811 ай бұрын
kaka kazi zuri sana mimi nina haidia ya kufanya biashara ya kuuza chakula cha mifugo kama chakula cha kuku ila sina mtaji kaka iwezeshe nipo moshi kilimanjaro
@mtinkoITservices9 ай бұрын
Hii ndio hisani kaka hakika umetujenga na tutafata . Maana wivu uliomzuri ni ule wa kuangalia njia walizotumia wenzako kuendelea utumie na wewe tunashukuru kwa elimu yako 💪💪
@dausonmethod6187 ай бұрын
Kaka uko vizuri sana ahsante kwa ushauli wako
@Nourdeintv20305 ай бұрын
Brother hapo umetisha ahsante sana mkuu
@nanceaidan662210 ай бұрын
Blessings bro🎉🎉🎉❤
@user-mm9hf9if7f10 ай бұрын
Nimekuelewa sana kaka ngoja nikupe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mkalitalkshow10 ай бұрын
Nice advice brother
@tumajunior608010 ай бұрын
Umeeleweka bro asante ubarikiwe
@FredyNdimla-uv6dx10 ай бұрын
Asante kwa kunifungua brother
@magesajoseph10 ай бұрын
Asante sana kaka endelea hivyo utukomboe ndugu
@comorolodgechamanzisaku63415 ай бұрын
Asante mtani kwa juhudi zako kupambana watu wasio kuelewa wenye chuki kama wale wa Ipinda. Nadhani wenye mitaji midogo watavuna kitu hapa. Rgds BDKOMBA
@magrethmbaga10895 ай бұрын
Mm napenda biashara y a bakery. Sasa sijui napata wapi mafunzonilinnianze.
@user-ub2zv5oi8k10 ай бұрын
Yeah that is very good advice
@Ntomolapagu25511 ай бұрын
Asantee kwa darasa 🙏
@Dullah08Sportswear10 ай бұрын
Mimi nawashauri kitu kimoja tu, kabla ya kufungua biashara yako jitahidi ujibrand (uwekeze kwenye wateja). Mimi nimeanza biashara yangu huu ni mwezi wa tatu tu lakini kwa sasa biashara yangu inanipa faida kubwa kuliko mshahara nnaopata.
@mahengepascal9 ай бұрын
Unafanya biashara gani
@user-xx2pj1xq6y6 ай бұрын
Bro biashara gan iyo
@SimonIbrahim-vy2vy3 ай бұрын
me cjui ata nifanye biashara gn
@bluetikyd7371Ай бұрын
🤜
@user-yr4cf7wj4g11 ай бұрын
Umetisha sana kaka ❤❤❤
@olarivolarivp270210 ай бұрын
Brother uko vizuri atabiashara ya bekery
@user-jx9ni2fm5g4 ай бұрын
Asante kwakutufungua macho bro
@aureliakisaka88944 ай бұрын
asante bro nilikuwa nawaza cha kufanya❤
@arnoldopindi4452 Жыл бұрын
Oy chief godlove mm nipo Kenya na nimetaka kuanza biashara ya kuuza viatu na mavazi,je biashara hiyo Ina mtaji? Naomba jibu
@nashajr5491 Жыл бұрын
Oya kamanda Kenya vip biashala uko
@FedrickOden-lk5pb Жыл бұрын
Blz nakupata vzr kbx pande za mpegele hapa
@user-pc9ol8jh2s6 ай бұрын
Asante kaka ushauri wako mzuri Mimi ninauza juyce kiukweli matunda mazuri nayaona we we mkweli
@josephmtavilalo50874 ай бұрын
Chief lila siku ninakueleza you are the best bro keep it up🎉🎉🎉🎉🎉
@consolatamedard659311 ай бұрын
Yani wa Tz sisi hatuna Jema mtu anatueleza biashara za kufanya unaanza kulalama mtaji kwaiyo unataka akuletee mtaji hiyo Juice anayosema sizan kama inataka mtaji mkubwa Mim nilkuwa nacheza mchezo Wa kila siku 2000 lengo tu nipate Blenda na Friji Used nikapata na natengeneza juice mambo yanaenda punguzen kulalamika na kuwaambia watu wachawi niakili tu
@sarahnyaganilwa386210 ай бұрын
Hili pia wazo langu hvi juice nzuri ni matunda Gani
Nakumbuka nilianza na mtaji wa sh. Laki 7 katika biashara yangu lakini Kwa Sasa imekuwa na kufikia Mil.25 Kwa miaka miwili na mwaka ujao naanza hiyo ya ufugaji kuku sababu tangu kale naamini itanitoa kimaisha. Respect Chief GODLOVE
@directorballo9598 Жыл бұрын
kwA biashara gan laki7 ad 25m kwa miaka mi2 kaka chacha
@MarCom-xy6cj Жыл бұрын
Oy wambura
@simonmwashiuya6184 Жыл бұрын
Ni biashara gani mwenzangu
@consolatamedard659311 ай бұрын
@@directorballo9598Yani na mm nimewaza kwasauti hapa
@stellawatison614211 ай бұрын
Natamani sana biashara sijuwi pakuanzia
@user-jo2qh5oq8p6 ай бұрын
Mungu akupe maisha endelevu
@user-yy2qm5ne3d5 ай бұрын
Big up brother kinacho tupa shida ni uoga wa kufanya kitu na hatuna uthubutu wa kujaribu Zaid tunaishia kuyawaza pasipo kutendea kazi
@user-vv4wy1ih4r10 ай бұрын
Barikiwa sana kaka dah umeniamsha
@user-tg4wt8yh6h5 ай бұрын
Asante Kaka kwaushauli wako unatupa changamoto yakutafuta hela
@yahayamasanja18495 ай бұрын
Nimeipenda hiyo bro.busara zako zinaonyesha kuwa kila mmoja apate
@MosesGilya8 ай бұрын
asante sana kaka kwa kujifungua ubongo
@user-re4pe8st9f9 ай бұрын
Thanks bro im from Congo Drc
@florianmzagila21369 ай бұрын
Daaah brother ahsante umenipa elimu kubwa sana ila mm sina hata mtaji je nafanyaje angalau nipate kamtaji kiasi ili niweze kuanzisha biashara.
@user-om3in6di1b5 ай бұрын
Uza iyo sim upate mtaji
@cornelytv28397 ай бұрын
Congratulations ❤❤❤❤
@samsonmaketa883510 ай бұрын
Naisubir ep sod 2 nakupendaa Bure ndroo
@SaidaTulinge-hr2su5 ай бұрын
Asante bro napenda san kufanikiwa
@veronicaelias7912 ай бұрын
Asantee sana kaka kwa ushauli mzuri
@EzekiaMwaibambe-yu6uk7 ай бұрын
Asante kwa ushauri wako Mungu akubarik
@user-cd2gn3ot9r8 ай бұрын
Asante San kaka unazid kutupa nguvu
@user-sr6wl4nv6e11 ай бұрын
Bro m ni mkenya lakini napenda mafunzo zako❤
@kalistusmhando384611 ай бұрын
Uelewa wako mkubwa bro,, biashara nyengine ni ya saloon ya kike piah inalipa na Ina faida
@SasaNgunila-fl9ms10 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka
@deniseliya348 Жыл бұрын
Umeongea ukweli, Vijana tuamke tufanye kazi
@elikanasamwel9 ай бұрын
Biashara ingine ni ya kuuza mtumba,unaweza kununua suruali nzuri yenye bei ya tsh 5000 ukauza 12000 had 15000
@user-qd7sl4vu1e5 ай бұрын
Nakubari bro betri kumbe halina chaji😂😂
@waleggaestrongboy4 ай бұрын
Ahsanten Bro❤
@user-ez8ds8ng9y Жыл бұрын
Umetisha xana kaka
@mohdhamad552110 ай бұрын
Good Idea bro🎉🎉❤
@NeemaGodwin-ql5gm2 ай бұрын
Asante sana kaka umetisha
@user-wz6cn9ze2c6 ай бұрын
Bro nmekuelew vzr ngoj tufanyie kazi
@DaressalaamTv-rb2io10 ай бұрын
Asante sana
@user-ke2he9ni3u10 ай бұрын
Goodlove Naqba Sana Umefanya Saiv Money Naipambania Sana RESPECT BROTHER
@JacksonDomisian9 ай бұрын
Asante buraza kwaushauri
@OtevaTz-uf3pc27 күн бұрын
Kaka una roho nzuri sana mungu akulinde
@paulinewamboikamaukamau-mp2ze5 ай бұрын
Asante kwa ushauri mzuri
@user-be3nf4ov6c4 ай бұрын
Fantastic ideas
@abdulrazaquerazaque10 ай бұрын
mungu akubaliki Kaká mi Niko Moçambique
@user-ni9bo9dl6f9 ай бұрын
❤❤much love chief
@BlackMamba-qs1uz10 ай бұрын
Kati ya siku unewongeya pweti ndo Sasa ,💝💝💝💝
@MarthaDonald-wb4ll2 ай бұрын
Mimi napenda sana kufanya biashara ya kuuza juice ila bado sijafanikiwa kupata friji tu naomba sana mungu anisaidie nipate PESA ya friji.asnte bro upo vizuri sana
@DaressalaamTv-rb2io10 ай бұрын
Nataka nije nijifunze kitu kwako watanzania wachache Wana moyo kama wako sio wachoyo asante sana kwa elimu kubwa
@kulishaandry57306 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nimetazama video yako... Nimekuelewa sana.
@pauljuliusonyango573510 ай бұрын
Kaka unatia moyo sana hongera sana bt kingne mm naona kilimo Cha umwagiliaji
@GodbetterIbrahimu4 ай бұрын
Thankx bro...
@isaackambofi124110 ай бұрын
Goooood mwanafyale ndaga fijo
@colethahenry60638 ай бұрын
Big up bro,,,,,,,
@barnabawilliams58611 ай бұрын
Mm nataja biashara moja kwenye hzo mbili zilizobaki biashala ya mtumba inatoa na haihitaji pesa kubwa sana ili kuanza ni pesa kdg2 230000 inatosha sana kuanzisha mitumba ya watoto hii biashala inatowa sana ila hasala kwenye biashala hazikosekan belo moja linatowa zaid ya pesa uliyonunulia
@user-ik2qn7xp9k5 ай бұрын
❤kaka apo umesaidia vijana wengi sana kifikra god bless you
@user-ij2bf9mb6v8 ай бұрын
Dah asante sana mm nipo bukoba mm nafanya kaz ya ufund wa sim kama ulivosema inalipa kweli ila nataman na kufuga kuku alafu banda la cd
@murishokasimu427611 ай бұрын
Umetisha saaaaaana mwamba
@finestkiller157010 ай бұрын
Nakubali sana bro hususani ile clip ulio sema unataka kuoa arafu ushauri unaomba kwa mpiga nyeto? Ukatoa content kwamba ukipata ela usiwaze kujenga bali kuwekeza big up sana 🙏🙏
@user-zz6mi4yj8w7 ай бұрын
I like it broo🎉🎉🎉🎉
@veronicaluvanda288011 ай бұрын
Ubarikiwe sana
@AndreaEzekiel-wm6sv9 ай бұрын
Big up Sana Br
@abdallamohamedabdalla11 ай бұрын
Kizazi sana bro
@marwamarwa68369 ай бұрын
Naona kila mtu anatoa ushuhuda na mmi nisibaki ,, Nilianza na million mbili mwaka 2019 sasa hiv sina hata mia mungu mkubwa 😊😊😊😊