Asante kaka niko Kenya na nimekufatilia Kwa miezi mtatu na nashukru nimefanya Mambo ambayo nilikua siyawezi be blessed brother
@LincolnMoshi12 күн бұрын
❤❤❤ Bank ya NBC Malengo inasaidia sana utoi pesa mpaka miez 6 nimeijaribu maana M Pesa imenishinda natumia pesa nyng MB na kubeti😮
@AbubakariYahaya-ej9mc9 күн бұрын
Hilo la mb na kubeti ni msiba kqetu
@zinhotz5366 Жыл бұрын
Binafsi nikushukuru sana Mimi ni dereva boda boda actually niseme natumia pesa ovyo sana nimejiwekea kiwango kidogo sana Cha shilingi ELFU kumi niweke Kila siku kwenye kazi yangu najiwekea Ndani kwangu ila haiputi siku Tano Nisha chukua so now umenipa njia nzuri na sahihi za kutunza pesa be blessed 🤌
@AshaMaulid-je6dq11 ай бұрын
Pmk
@saidsaido80645 ай бұрын
Boss amekuona
@RoseMbwanaАй бұрын
Asante.. mimi nimetafua watu 10 kila trh30 kila mmoja anatoa laki moja
@khamisomary742822 күн бұрын
Na tena tumia fixed account
@mariamnestory55432 ай бұрын
Binafsi napenda kukushukuru sana kupitia hili SoMo nmejifunza kitu katika maisha na nitaishi kwenye hii mikakati
@tukaesanatu2754 Жыл бұрын
Joel asante kwa kutufundisha maisha yaani wewe kaka mungu peke yake aendelee kukutunza na kukubariki zaidi unafundisha vizuri sana nafatilia sana video zako.
@tukaesanatu2754Ай бұрын
asante joel,ila mimi nitakuomba wewe unisimamie ,,,,najua una kazi nyingi sana still nitakuomba wewe kila mwezi unanifatilia
@khadijakisingo7920 Жыл бұрын
Kaka Joel nimeyaona matunda kupitia ww una mchango mkubwa sana ktk mafanikio yng haswa 2021 -2022 alhamdulillah nimeongezwa mshahara pia Nina account bank nakushukuru pia namshukuru mungu 🙏💖💖💖
@halimayahaya5558Ай бұрын
Nashkuru mungu kwenye hizi njia zote nimepita and thank you 🙏
@king-gtv2010 Жыл бұрын
Yan kaka Joel mungu akubaliki sana ❤🙏🙏🌎 uzidi kwenda viwango vya kimataifa 🌎🌎⛪️
@alexmushi6017 Жыл бұрын
Hakika
@hamadnassor2523 Жыл бұрын
Hongera kaka tunajivunia kwa class zako
@JustaTz2 ай бұрын
🙏🙏
@yahyahadji21 Жыл бұрын
Nidhamu ya fedha ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo maishani
@MwasiMhango2 ай бұрын
Since i started following your classes, you have been such a big help kwenye maisha yangu hasa kifedha.Mungu akubariki
@user-fy4tl2te2r4 ай бұрын
Asante sana Kwa elimu nzuri hakika... Mungu akubariki
@patelnay41249 ай бұрын
Mungu akubariki Sana,am learning a lot from you,na niseme tu hivi Sasa Nina uwezo wa kujiwekea akiba na kufanya vitu vya maana kupitia wewe, seminar zako na kitabu Cha money formula vimeniboost Sana🙏🏼🙏🏼
@LovelyOutdoors-wd5nh2 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,mimi napenda kutumia njia ya kikoba nilichopata hapo ninunue vitu vya jumla nimechoka na rejareja
@soccerupdates5 Жыл бұрын
Nimepata hamasa kubwa Kwa hili fundisho lako, Lazima niyafanyie kazi mwaka huu 2023
@fridalifa7575 Жыл бұрын
Nakuelewa sana brother @Joel Nanauka. Binafsi umenitoa mbali sana kuhusiana na nidhamu ya kifedha. Naendelea kujifunza zaidi🙏🙏
@user-oi8cn7hw8y11 ай бұрын
Thanks my friend for your advice God bless you
@chrismassawe2939 Жыл бұрын
Shukran sana kiongozi kwa Elimu
@priscashairock26794 ай бұрын
MUNGU akubariki Sana our mentor..
@king-gtv2010 Жыл бұрын
Nakukubali sana kaka Joel my Tz mentor I wish Nikuone one day 🙏❤️❤️
@omarimtau5162 Жыл бұрын
Ahsanteee Broo nanauka kwa kutewa kwenye njia kuu juu ya nidhamu ya fedha.. njia zote ni nzuri na muhimu sana kuzitumia lakini mimi ningependa kuanza na njia ya kumshirikisha mtu nnae muheshimu na kuweka akiba,, naamini zitanisaidia kama ntazifuata kikamilifu.. **Ubarikiwe sana kwa masaada wako kwenye jamii**
@mariamzambi1995 Жыл бұрын
Amina sana. Nimeipenda hii njia ya kuwa na account bila ATM CARD. ubarikiwe sana . Acc ya WADU POSTA.
@GloryKakole2 ай бұрын
Njia ninayoona ni best kwangu ni kuweka ikiba kwa upatu na kufanya manunuzi ya ujumla... Ahsante sana kaka🙏🙏
@martinenkingwa1757 Жыл бұрын
Hongera bro kwa kazi nzuri unayofanya. Maana unatujenga kifikra,mitazamo ili tuache yasiyofaa tuimarishe Hali zetu.
@LadouceKulimushi-qb5oeАй бұрын
Asante nimejufunza kwa mafundisho
@user-qz3od7go7h10 ай бұрын
Mbarikiwe mtumishi napenda mafundisho yako
@brackskinyozi32808 күн бұрын
Asante sana coach Joel
@ashaidd2912 Жыл бұрын
Be blessed nakukubali sana ndugu shukran
@osangoamosi4355 Жыл бұрын
Ahxante sanaa Mr Joel nanauka, hakika umetupa somo bora sanaa MUNGU AKUBARIKI,WEWE NI MTU MHIMU SANAA KTK HII JAMII MUNGU AKUBARIK SANAA
@jumabakary516610 ай бұрын
😊😊
@lightnessmachua6587 Жыл бұрын
Kaka Joel , Asante Sana kwa mafundisho yako,mm Nina akaunti ya akiba na vikoba.
@etiennenebus4087 Жыл бұрын
Asante sana baba Joel nanauka
@joycekyando5321 Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi japo nimechelewa
@alexmushi6017 Жыл бұрын
Shukrani kiongozi Nanauka tuko pamoj
@winfridaadam7951 Жыл бұрын
Nashukur sana kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa kwani nilikuwa sina utumiaji wa pesa vzr ilaa umenifungua sanaa akili yangu tangia nianze kufatiria ndundishi yako. Barikia sana 🙏🙏
@shabanabdallah3766 ай бұрын
Shukran sana Brother Darasa limeeleweka vzur unastahili maua yako.
@jamesngasi7252 Жыл бұрын
Asante sana kaka leo nimekusikiliza na lipoti ijayo kwa neema ya Mungu itakuwa ni ushuhuda
@user-qe3lo3rn8p9 ай бұрын
Asante kwa ushauri, naendelea kujifunza
@user-re2jl5rn4h9 ай бұрын
Asante kiongozi kwa kifungua vichwa vya wengi
@juliusluponde6628 Жыл бұрын
Shukrani sana Kwa somo zuri!
@aboymoon99729 ай бұрын
Ahsante sana Kwa elimu Yako nimevutiwa sana na itakufatilia sana🙏🙏
@sephaniachaula103010 ай бұрын
Nashukuru sana mungu akubarik sana
@atanasmwinyi06 Жыл бұрын
Najivunia sana hii class I believe that one day yes
@MakrinaPius3 ай бұрын
Asante sana na ubatikewe🙏🏼
@AbduMadandi-my6dc Жыл бұрын
Aksante sans bi.ejifunza mambo mengi kwako mungu akubarki
@GodlistenMassawe-nf8is20 күн бұрын
Be blessed brother umenipa funzo zurii
@nikolausmnanka93624 ай бұрын
Upo vizur sn umenijenga sn nanauka
@julietmateru57899 ай бұрын
Ubarikiwe Kaka!mafundisho yako mazuri sana
@user-um6oj8ci9i15 күн бұрын
Asante tuku pamoja na darasa lako❤
@magemwaipaja8650 Жыл бұрын
Yaan kuna kitu cha muhimu sana nmekipata hapa Asante kwa ushauri mzuri
@julioclauditayaye9368Ай бұрын
Kazi njema zote nzuri ubarikiwe
@HeneryKhamisАй бұрын
asante sana nashukuru
@christopherndelwa28 ай бұрын
nimeipenda hiyo ya kuweka standing order be blessed brother
@allyjuma9365 Жыл бұрын
Nashukuru kaka njia nzuri zaidi ni hiyo ya benk kuzuia kutoa baada ya muda flan nimeipenda ntaifanyia kazi
@tinoh7_9 ай бұрын
Mungu akuongezee kaka..nakukubali Nivilee hujuh 2..god be with you
@manofgod4471 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
@DionistaMsack2 ай бұрын
Asante sana nimepata funzo
@johnmaduhu9435 Жыл бұрын
Asante sana kaka.
@barakajulius5938 Жыл бұрын
Nakuomba Uwe mentor wangu, na unanifuatilia kila mwezi. Asante
@lebahatikeiya8666 Жыл бұрын
Asante sana brother nimejifunza mengi sana kwako toka nikufahamu
@neemaryan9947 Жыл бұрын
Shukrani Mr Nanauka. Kupitia chaneli hii nimefanikiwa jinsi ya kuweka akiba. Cha kujiongezea nitafungua akaunti ya Benki ili nihame m pesa niweke akiba yangu Benki. Ubarikiwe sana.
@AishaOman-qz7tn11 ай бұрын
Asante kwa somo nimejifunza kitu
@solangesoso3100 Жыл бұрын
Ubarikiwe mno kaka Joel na Mungu aendelee kukutumia zaidi
@jerolily3 ай бұрын
Asante sana bro .i have learned A lot 🙏🙏
@williamloserian5999 Жыл бұрын
##Nimekuelewa Sana broo...na nashukuru sana kwa SoMo maana kwangu mm hela napata Sana but matumizi makubwa...##
@OscarKalinga-zt3bk3 ай бұрын
More thanks
@rafiudineassanebartolomeub9930 Жыл бұрын
Nimekukubali sana kaka. Mungu akubaliki sana. Rafiudine Assane Bartolomeu Toka Mozambique
@CHIKUMARTIN-oc5icАй бұрын
Nimekupenda bule
@Magreth-uk2fq Жыл бұрын
Mungu Akubariki Sana
@paulyusuph7572 Жыл бұрын
Honger sana bro joel nanaukakwasaaa una video 669 zote hiz nimeziangalia na kuvifanyia vitendo asante sana
@LilianfelixFelix-wg3wh6 ай бұрын
Asante sanaa naamini malengu yakununua Gari yatatimiaa
@TANZANIANFIGHT Жыл бұрын
Mungu akuweke maisha mengi kaka, tunataka kuonyesha matunda yako uliyo yapanda kwetu,
@harunaselupanga2146 Жыл бұрын
ahsante sana mwalimu
@Sibazurin8 ай бұрын
Hongera sana brother kwa somo zuri Mungu akubariki pia tunasahidika sana
@user-ni2cw9tp7d9 ай бұрын
Tremondous amount of respect thank you Mr Nanauka .
@user-vo5df3nu8o9 ай бұрын
Dah,bro nashukulu sana kwa ushauli wako.
@thejames2649 Жыл бұрын
Thank you
@user-vd5fe4ve6l9 ай бұрын
Mungu akulinde uzidikutipatia somo maana daa nakuleewa sana
@rabiaiddi2884 Жыл бұрын
Hongera sana brother kwa somo zuri hata mimi vikoba vimenisaidia sana kwakweli 🙏🏼
@user-ei6oh7vl8z9 ай бұрын
Thnx me naweza tumia hio njia ya 1 na ya 2 kupitia sacos na uptu asante sana mna biashara yngu ina mwaka sasa iko vle vle haikui na mashallah inatembea vzur tuh
@trustmhagama2375 Жыл бұрын
Asante kaka elimu unayitoa inanisaidia
@user-mk7qe1bt8r8 ай бұрын
Brother ahsanteee sana kwa elimu Yako muhim ya maisha🙏🙏
@hellenmwasalwiba6555 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@daviddeus3443 Жыл бұрын
Asante Bro kwa hii elimu
@christermlewa8471 Жыл бұрын
Asante sana kaka na Mimi ni mtumiaji mbaya sana wa pesa mpaka huwa najiombea Mungu aniongoze
@franciscarsongea79483 ай бұрын
Asante Kaka ubarikiwe mambo mengi nshayajua sasa makosa ya matumizi ya pesa niko mayo Dana Sasa nshajua njia
@abimelekiayubu36916 ай бұрын
Anhsante san maneno yako yamenisaidia
@NeboSaulo23 күн бұрын
Be blessed
@user-nn4nx2rp3t10 ай бұрын
Nashukuru umenifungua.
@MakutaChrispro-lk8gj3 ай бұрын
Kaka Asante sana kwaushauli
@larkmarsh7024 күн бұрын
Ahsante sana kaka joel
@babybhalo8723 Жыл бұрын
Asantee 🙏🙏🙏🙏
@bernadette6266 Жыл бұрын
Asante Sana Kaka najifuza kwako
@kelvooonowbert7427 Жыл бұрын
Asante mwalimu
@jumastephano2688 Жыл бұрын
Ahsante sana kk Joel
@user-bp7pr7le3g2 ай бұрын
Asante sana🤔
@DJJIMYTZ2 ай бұрын
Nice story champion mwamba wa mwambafix nimeufuatilia mpk mwisho
@MsumariYacobАй бұрын
U made me stronger about money bro
@AsteriaKomba3 ай бұрын
Nashukuru naendelea kujifunza
@paulouma3958 Жыл бұрын
Thank you bro
@user-bw6lq4uv5u6 ай бұрын
Mungu akubariki kaka Joel
@user-di8ox6xz1j3 ай бұрын
Asnt sana mwl kwa mafundisho yako hakika umenibadilishia sana maisha yangu.. mm natumia vikoba