No video

BIBI AWEKEWA MAJI KWAKE|MAJIRANI WASHANGILIA TUMEOKOKA

  Рет қаралды 8,891

DTV

DTV

2 ай бұрын

Пікірлер: 106
@aishahazary4097
@aishahazary4097 2 ай бұрын
Maasha Allah ....Hii ni sadaka zuri sana katika sadaka.ALLAH ajaalie kwa aliyetoa iwe ni asbabu ya kuingia peponi.Aamiyn
@aminasaleh7875
@aminasaleh7875 2 ай бұрын
Sadaka jaria: duniani Allah awape hasana na akhera hasana
@aminasaleh7875
@aminasaleh7875 2 ай бұрын
Ameen ya Rabb
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 2 ай бұрын
Amiin
@attyambaraka3756
@attyambaraka3756 2 ай бұрын
Aamiyn yaa Rabb
@ummuissa5883
@ummuissa5883 2 ай бұрын
Ahsant sana fabi kwa kumjali na kumpambania bibi mwenyezi mungu awape imani usaidie wangineo kila mwenye hali ngumu mungu awasimamie insha Llah
@user-fe9jc5di9f
@user-fe9jc5di9f 2 ай бұрын
Mashallah Allah awabarik wote wenye kutoa kwanamna Moja ama nyingine Allah awazidishie kwawalicho punguza
@fathimamct232
@fathimamct232 2 ай бұрын
Màshallah Màshallah Màshallah mungu Amzidishie Hugo.Alietowa Sadaka sake Jamani
@neemaoman1519
@neemaoman1519 2 ай бұрын
Uyu mam aangu mdogo alovaa kanga kifuwan mtot wa babu yng mashallah
@ashashaban6484
@ashashaban6484 2 ай бұрын
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AWALIPE KILA LA KHERI ALOJITOLEA MUNGU AMJAALIE JANNA FEEDAUS
@fathimamct232
@fathimamct232 2 ай бұрын
Màshallah Màshallah Màshallah Fahby mwanangu mungu Akulinde Kwa kuwafurahisha wanyonge jamani
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 2 ай бұрын
Masha allah Allah bariki kwakila alieweka pesa yake nawewe fabi na Adam Allah atawalipa kwakweli
@salmaebrahim2058
@salmaebrahim2058 2 ай бұрын
Fabi umekesha Sana hongera Sana Mungu akubaliki mnooooooo
@oman1oman179
@oman1oman179 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ manshallaah TABARAKALLAAH alie jitolea allaah amzidishie pale alipo towa apate zaidi
@maryamabdullah9169
@maryamabdullah9169 2 ай бұрын
Mashaaallah Fabian Umefanya kazi kubwa kwa kumpambania bibi mpaka kupata maji Allah Awalipe Ujira ulio mwema kwa wote wanaojitolea kumsaidia bibi
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 ай бұрын
Mashaallah kweli maji ni uhai hiz ndio amana za kuwekeza hp dunian
@user-dx1hz3ow7k
@user-dx1hz3ow7k 2 ай бұрын
Mashaallah Allah atakulipa hiki ulichokifanya ni sandakan kubwa duniani na kesho khahera
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 2 ай бұрын
MashaAllah Tabaraq Rahman 🎉🎉, Mungu akubariki sana fabi
@SabihaHamed-vf2ku
@SabihaHamed-vf2ku 2 ай бұрын
Masha allah. Mashaallah masha allah
@user-ff2ey5pv9r
@user-ff2ey5pv9r 2 ай бұрын
MASHA ALLAH, MASHA ALLAH, ALLAH TABARAKA WA TAALA, AWALIPE KILA LA KHERI
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie 2 ай бұрын
Maashaallah Maashaallah Allah awalipe wote mlio jitolea. Hongera sana Fab
@user-ug4dg3zh1w
@user-ug4dg3zh1w 2 ай бұрын
Kwakweli mwenyezi Mungu atakupa kk umemfanyia vitu vingi sn mwambie bibi hao majirani wampe pesa siitakunatakiwa bili kila mwezi
@salimafakhi9425
@salimafakhi9425 2 ай бұрын
Mashaa Allah Allah barik
@al-mamarial-mamari5457
@al-mamarial-mamari5457 2 ай бұрын
MaShaAllah Allah awabariki wote walokamilisha hili. Bora ungaliwaambia wakachangie umeme kila mwisho wa mwezi. Shukran
@ashasaidy5769
@ashasaidy5769 2 ай бұрын
Mashallah mashallah mwenyezmungu amjaalie aliye jitolea hii swadaka
@halimahalima1488
@halimahalima1488 2 ай бұрын
MashaaAllah Allah awabariki sanaa ❤❤❤
@omanmct135
@omanmct135 2 ай бұрын
Mashallllah sadaka jariya nzuri sana mmmashallllah❤
@FatumaAmis
@FatumaAmis 2 ай бұрын
Mashallah safi sana
@user-gg5ow9bg6y
@user-gg5ow9bg6y 2 ай бұрын
Good boy fabi mwenyezi mungu akulinde
@mwantumswalehe2300
@mwantumswalehe2300 2 ай бұрын
Mashallah mashallah mashallah tabaraka Rahman 😂😂😂❤❤❤nawapenda sana
@user-kd7ey2mu7p
@user-kd7ey2mu7p 2 ай бұрын
MashaAllah ❤❤Allah amuongezee alietoa sadaka hii kwa kweli Bibi na nyotayake❤❤
@aminaramadhan3815
@aminaramadhan3815 2 ай бұрын
Maishallah fabi mwezi mungu akuzishie moyo huo huo na wanatoa michango
@miriamahmadi1356
@miriamahmadi1356 6 күн бұрын
Bibi na kupenda sana❤❤❤
@rayaabdul-gm3hc
@rayaabdul-gm3hc 2 ай бұрын
Walipe hapo sio bure wanachekelea tu
@FatumaMamlo-st8pj
@FatumaMamlo-st8pj 2 ай бұрын
Walipe bili jaman kuteka bure malipo yatakua shida mchango utasimama halaf watadaiwa walipe to
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 2 ай бұрын
Fabi mungu akuhifadhi inshaallah 🤲🤲na bibi nae ana mambo 😂😂 Alhamdulillah
@setiseti5281
@setiseti5281 2 ай бұрын
Alihamdulilah maashaallah majirani wateke napesa ndooo mia
@user-im3nb1ed2e
@user-im3nb1ed2e 2 ай бұрын
Masha Allah, Faby nakupenda sana
@mwajoma1373
@mwajoma1373 2 ай бұрын
Mashaa Allah mungu amzidishie
@leilabuisha9976
@leilabuisha9976 2 ай бұрын
Huyu bibi nimempeleleza hajui kuwaombea mungu walio msaidia... mkubwa kwako unaomba watu waziri kumsaidia, mfundishe kushukuru na kuwaombea dua watu walomsaidia.. Baba Fahad anajua kuwaombea mungu watu walomsaidia na kuwashukuru.. ila huyu bibi wala hajui kabsaaa, allah atamuongoza
@bibahhadith
@bibahhadith 2 ай бұрын
Sio kweli
@HawaAhmed-yj8wo
@HawaAhmed-yj8wo 2 ай бұрын
Umeangalia interview aliyoletewa mashuka na pazia!? Mbona amewaombea Sana tu jamani?
@user-ow7pl6tz2c
@user-ow7pl6tz2c 2 ай бұрын
Una roho mbaya na unachuki sana uyo bibi ameshukulu sana na amewombea sana Dua watu
@user-go6xm3ef1o
@user-go6xm3ef1o 2 ай бұрын
Wakat mwengine sio adi mtu aombe dua umsikie dua nzur ni ile ya kimya kimya
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 2 ай бұрын
Hili jina lina shida. Mnajiona mnjua kila kitu😂😂😂. Bibi wawatu ameshukuru sana
@user-fd5pb1dt4j
@user-fd5pb1dt4j 2 ай бұрын
Mashallah kk fabi mungu akulipe
@harerimanaaisha7613
@harerimanaaisha7613 2 ай бұрын
Mansha'Allah Mansha'Allah
@fatimaalhabsii1728
@fatimaalhabsii1728 2 ай бұрын
Maa Shaa Allah
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 2 ай бұрын
Alhamdulilah munguawajaliyenikilalakher
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj 2 ай бұрын
Mashaallah Allah amjaalie Yule aliejitolea❤❤❤❤🎉🎉
@MamySarah-lo8gg
@MamySarah-lo8gg 2 ай бұрын
Mashallah mashallah mungu awafamyie wepes wote waliojitolea
@chikujuma18
@chikujuma18 2 ай бұрын
❤❤❤❤ mola awazidishie mlipo mtoa awaongezee inshallah
@asiasalim9323
@asiasalim9323 2 ай бұрын
Masha ALLAH Alhamdulillah
@azaniasaidi93
@azaniasaidi93 2 ай бұрын
Mashaa'Allah ❤❤❤
@mamayao9816
@mamayao9816 2 ай бұрын
Masha'Allah
@OmanAlkamil-nl2zw
@OmanAlkamil-nl2zw 2 ай бұрын
Fabi wangechangia hata elfu 2 kwa mwez itasaidia bili kuliko kuchota bure kabisa sababu mtaa mzima watahamia hapo sababu ni bure shida itakuwa kwa bibi,,,ni ushauri tu jamani
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 ай бұрын
Kweli kabisa hao majirani nao wajiongeze😂😂
@fatuma5208
@fatuma5208 2 ай бұрын
Mashallah ❤❤❤❤
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 2 ай бұрын
Alhamdulillah ❤❤❤
@aidasaidalsharji1559
@aidasaidalsharji1559 2 ай бұрын
Mgeni fika wenyeji wa pone mungu a bariki
@user-fg9sc2gr5k
@user-fg9sc2gr5k 2 ай бұрын
Mashallah Mashallah ♥ ♥
@mariyamgharib940
@mariyamgharib940 2 ай бұрын
😂😂😂 bibi anafurahisha uyu mashaa allah
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 2 ай бұрын
Masha Allah bibi anafurahi na kupiga kingereza 😂
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 2 ай бұрын
insha munguawawekee majiya zamzam sikuyahesabu
@zawadikasim6679
@zawadikasim6679 2 ай бұрын
Majirani wazuri
@omanmct135
@omanmct135 2 ай бұрын
Aaalllahmdulilah yarab
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Jaman Fab ongera sana. Lakini Feb kuchota bura bill ataweza bb kulipa bil?l❤❤❤❤
@rayaabdul-gm3hc
@rayaabdul-gm3hc 2 ай бұрын
Hapo fabi itakuwa ishu kubwa .itakuja bili kubwa sana .bibi haoni watafanya fujo tu
@hawamohammed9740
@hawamohammed9740 Ай бұрын
Furaha yangu basi natoka machozi Allah akulupeni kher fabi na wote walochangia hili na jengine Allah awaingize pepon kwa mlango wanaotaka 😢😢😢daah yaani siwezi kuzuia chozi langu
@hamidakhamis-ir5qv
@hamidakhamis-ir5qv 2 ай бұрын
Mashallah Allah kwakweli huyu amefanya sadakta na Allah ataendelea kupata kheri mpk kufa kwakwe
@khadijasayeed3381
@khadijasayeed3381 2 ай бұрын
Nimefurahi
@zenasalum699
@zenasalum699 2 ай бұрын
Mashallah
@ArafaAlly-dy3nv
@ArafaAlly-dy3nv 2 ай бұрын
Masha allah allah azidi kuwajia lidhiki njema na ya halali inshaall🙏🙏🙏
@maimunamsakamali9152
@maimunamsakamali9152 2 ай бұрын
Allhamdulilah
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 Ай бұрын
Mashaallah ❤
@mngwalijuma597
@mngwalijuma597 2 ай бұрын
Fabi bibi asiende mtoni afulie hapo nyumbani yeye
@user-yo8np7ce8n
@user-yo8np7ce8n 2 ай бұрын
Allah awalipe kheri kwa kila alie jitolea lakini fabi hapo wakati kushawarahisishia kufua kisimani kisa maji yatatumika sn itakuwa shida watayachota hapo wakafue majumbani mwao labda uhofie wakifua hapo wataweka uchafu lakini sio maji kutumika sn itakuwa ngumu au walipie mchango wa maji
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u 2 ай бұрын
insha allah mirankhasanati yenu wootefabinialojitoleya maji
@omanmct135
@omanmct135 2 ай бұрын
Bibi❤😂😂😂
@OmQrf
@OmQrf Ай бұрын
Alhamdulillah mungu awazidishie wote wanao msaidiya huyo mama etu niwapi hapo Jaman?
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 2 ай бұрын
Nyie mnaosema bill kwani bomba limeletwa kwa mchango si mtu tu kajitolea hiyo ni sadaka yake..
@JokhaJoko
@JokhaJoko 2 ай бұрын
Fabi muguata kulipa
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 2 ай бұрын
Naona huyu Fabi amekuwa mbaguzi, ni huyu bibi tu na familia yake kina baba Fadi na jopu lake. Maskini yule mama na watoto wake wadogo na mmoja mgonjwa amemtupa
@user-gb3sf9fy2u
@user-gb3sf9fy2u 2 ай бұрын
Sasa ka fab hapo si itakuwa mtu anachota maji anaenda kufulia kwake yy bibi atajua vp
@OmanOman-bx5du
@OmanOman-bx5du 2 ай бұрын
Wanunue ayo maji. Bili itakua kubwaa. Awato fua mtoni. Minipo paree nimekaa
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 ай бұрын
Italeta ugonvi wesubiri
@sophsoph4740
@sophsoph4740 2 ай бұрын
Kbs ika fabi yupo ht simama imara😂😂
@isunga1964
@isunga1964 2 ай бұрын
Bora tu wangechangia kidogo maana mtu anaweza sombelea nyumbani anafua usiku anajaza kwa mapipa
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Ай бұрын
Bib na hicho kiingilish 😂😂
@ZainaBu-zs6wc
@ZainaBu-zs6wc 2 ай бұрын
Mungo awaongozeni kwenye njia njema
@MidlastaLyimo
@MidlastaLyimo Ай бұрын
SADAKA SII MSIKITINI TU AU KANISANI.HATA KWA WAHITAJI..WACHOYO ACHENI KUSEMA BILI KUBWA.WENYEW WATASIMAMIA.
@MidlastaLyimo
@MidlastaLyimo Ай бұрын
HUO NI MFANO MZURI SANA WA KUIGWA.TUSIWAACHE WAZEE WETU WATAABIKE.MUNGU AWABARIKI SANA
@JaneLaizer-tb6zl
@JaneLaizer-tb6zl Ай бұрын
Hahaaaaa bibi orait
@shamilashabani4288
@shamilashabani4288 Ай бұрын
Fabi hiyo bomba iwekewe kifungio na kufuli lake jioni afunge,na ingewezekana majirani wachangie kwa kila ndoo ili pesa imsaidie bibi mahitaji madogo madogo,majirani wanafurahi hapo ila baadae itakuwa fujo tu wala hawataenda kufulia mtoni
@aminaramadhan3815
@aminaramadhan3815 2 ай бұрын
Tafuta kopo na kufuli awe usiku anafunga asubuhi afungua
@aziza9093
@aziza9093 2 ай бұрын
❤❤❤😂
@arshadmohammed3207
@arshadmohammed3207 2 ай бұрын
Fabi naomba no.yako ya watsap
@dtvonline2099
@dtvonline2099 2 ай бұрын
0719141723
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Omari awe anawatoza alau sh 200 anaweke. Kuchotesha bure maji bure ilikuwa miaka ya nyuma siku hizi bill ni kubwa mno:itakuja bonge la bill. Halafu watafungiwa bb wa watu akose maji.
@khadijasayeed3381
@khadijasayeed3381 2 ай бұрын
Aliyeweka ndo kaamua hivyo dear ni sadaka yake acha tu
@husnathabiti4114
@husnathabiti4114 2 ай бұрын
Kwakwel ​@@khadijasayeed3381
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 2 ай бұрын
Walipe bili fabi watachota wataenda kufua ndani mwao walipe bili kasoro bibi
@najatrashidi6647
@najatrashidi6647 2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@user-cc6dx4kn7w
@user-cc6dx4kn7w 2 ай бұрын
Mnunulie mkeo gas mtungi mkubwa
@SalmaSamiry
@SalmaSamiry 2 ай бұрын
Daah mashaallah allahumma barik Allah awalipe kheri maji ni uhai yani malipo yenu wote mlio wezesha jambo la bibi mtayakuta kwa Allah
@user-nl8my3ye5d
@user-nl8my3ye5d 2 ай бұрын
Aki bibi huyu sw aki juu ana tufuraisha sana aki❤❤🎉
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 38 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 38 МЛН
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 35 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 4,5 МЛН
UTACHEKA MANEO YA BIBI AKIPOKEA MKONO WA IDI
11:16
DTV
Рет қаралды 8 М.
UTAKIPENDA CHUMBA CHA BIBI KIMEBADILIKA|AWEKEWA MAJI
36:13
SHUHUDIA VITUKO NA VIROJA VYA MWAKA KOGWA.
9:20
Kizimkaz Social online Tv
Рет қаралды 204
MWAJUMA AMVURUGA BIBI YAKE
18:20
DTV
Рет қаралды 3,9 М.
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 38 МЛН